MBWEMBWE ALLY KAMWE BAADA YA AZIZ KI KUSAINI MKATABA MPYA YANGA

  Рет қаралды 80,677

Yanga TV

Yanga TV

22 күн бұрын

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 185
@JitihadaRashidi
@JitihadaRashidi 20 күн бұрын
NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki
@saidilindukwa
@saidilindukwa 20 күн бұрын
Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans
@bodyaman
@bodyaman 20 күн бұрын
Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa. Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K
@amaniomar1755
@amaniomar1755 20 күн бұрын
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.
@Maryc2G
@Maryc2G 20 күн бұрын
Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹
@hawamasanje9589
@hawamasanje9589 20 күн бұрын
Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana
@kalingavictor7068
@kalingavictor7068 20 күн бұрын
Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu
@HusnaOmarry
@HusnaOmarry 20 күн бұрын
Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺
@upendogidion5167
@upendogidion5167 20 күн бұрын
Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie
@MoajGraphics
@MoajGraphics 20 күн бұрын
Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰
@user-gf2jq8mf8j
@user-gf2jq8mf8j 20 күн бұрын
Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@JohnAlfred-k8f
@JohnAlfred-k8f 20 күн бұрын
Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu
@rehemamahendeka-rm2ek
@rehemamahendeka-rm2ek 20 күн бұрын
Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤
@RamadhaniMangwira-s6w
@RamadhaniMangwira-s6w 20 күн бұрын
Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma
@user-hu2sf3so9c
@user-hu2sf3so9c 20 күн бұрын
Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya
@martingodfrey7105
@martingodfrey7105 20 күн бұрын
Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko
@HusnaOmarry
@HusnaOmarry 20 күн бұрын
Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,
@HoseaNguge
@HoseaNguge 19 күн бұрын
Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅
@ndakijoseph8341
@ndakijoseph8341 20 күн бұрын
Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️
@MikidadiKambinda-tr6rl
@MikidadiKambinda-tr6rl 20 күн бұрын
Asante. Saaaaana. Viongozi. Wetu. Woooote. Na. Za. Kipekee. Apewe. Master. Aziz. Ki. Hongereni. Sana. Wananchi. Kwa. Uvumilivu. Wenu. Makolobwanji. Walianza. Kupanga. Sherehe. Kutuzomea. Sasa. Vwamebaki. Mimacho. Kodo.
@joojombi2341
@joojombi2341 20 күн бұрын
Ni hongera kwa Rais kwakweli amewajibika kwa kazi yake anayoijenga club na timu kwa ujumla. Hongera zake nyingi kwa kweli
@SalomeEdward-ch4pk
@SalomeEdward-ch4pk 20 күн бұрын
Naipenda yanga
@AbubakarKales
@AbubakarKales 20 күн бұрын
Hongera sana rais wetu hongera azizi ki kutisikia
@batilda4920
@batilda4920 20 күн бұрын
Semasema semaji letu tunakuelewa 🎉🎉🎉🎉
@AMIRIRAJABU-ld5ry
@AMIRIRAJABU-ld5ry 20 күн бұрын
Green 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 and yellow 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 forever
@HawaAlznezbar
@HawaAlznezbar 20 күн бұрын
💚💛💚💛💚💛yanga mbelee nyuma mwiko
@hyy4114
@hyy4114 20 күн бұрын
Nilikuwa Nakusubiria kwa hamu msemej mwenye point za uhakika
@user-eo8tb2js5v
@user-eo8tb2js5v 20 күн бұрын
Hakika Mungu.niwalehema siku zote tunawaombea Mungu.akajibu maombi.yenu
@BenPeter-vp2cy
@BenPeter-vp2cy 20 күн бұрын
Tunataka hesri day wananchi💚💛💚💛
@emanuelromanrc9782
@emanuelromanrc9782 20 күн бұрын
Wa kwanza Leo💚💚💚
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 20 күн бұрын
Napenda kusema uongozi kwaujumla mkovizuri timunyingine muige siodhambi😊
@TausiKitundu
@TausiKitundu 20 күн бұрын
yanga daima mbele nyuma mwiko
@emmanueljohn4571
@emmanueljohn4571 20 күн бұрын
Yanga🙌🏻🙌🏻
@HusseinJumahussein-lf1xk
@HusseinJumahussein-lf1xk 20 күн бұрын
Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏
@LukindoMchome-qv3vo
@LukindoMchome-qv3vo 20 күн бұрын
Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA
@EsterKindoli
@EsterKindoli 20 күн бұрын
Aho wagaya avae....
@LukindoMchome-qv3vo
@LukindoMchome-qv3vo 20 күн бұрын
@@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,
@EsterKindoli
@EsterKindoli 20 күн бұрын
@@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo
@user-ql2hc7zt6b
@user-ql2hc7zt6b 20 күн бұрын
Semaji mwenye cv kubwa
@BabatStarkid
@BabatStarkid 20 күн бұрын
Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅
@user-jb5ct7su8n
@user-jb5ct7su8n 20 күн бұрын
Hongera kwa raisi
@CharlesDanielnyanda
@CharlesDanielnyanda 20 күн бұрын
Hongera sana ENG HERS SAIDI
@samwelsanyura-iw9nr
@samwelsanyura-iw9nr 20 күн бұрын
Yanga for life
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 20 күн бұрын
💛💚💛💚yanga
@SanziNzige
@SanziNzige 20 күн бұрын
Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini
@candidamuhanika8328
@candidamuhanika8328 19 күн бұрын
Roho imekuuma.....😮😮😮
@nicodemusmemba1402
@nicodemusmemba1402 20 күн бұрын
Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,
@nurhatkheir1935
@nurhatkheir1935 20 күн бұрын
Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛
@MwaniPh
@MwaniPh 20 күн бұрын
Yanga bingwa
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 20 күн бұрын
Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri
@JayWizzy-iq8ed
@JayWizzy-iq8ed 20 күн бұрын
Naipenda yanga yangu❤
@ramadhanimrungu5806
@ramadhanimrungu5806 20 күн бұрын
Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali
@vinnyjr-n1g
@vinnyjr-n1g 20 күн бұрын
Yanga mpaka nakufa❤❤
@Justinaombay
@Justinaombay 20 күн бұрын
Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛
@KimSaidi
@KimSaidi 20 күн бұрын
🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa
@tonymwakalenga388
@tonymwakalenga388 20 күн бұрын
Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.
@AmiriMalenge-kc5jk
@AmiriMalenge-kc5jk 20 күн бұрын
Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga
@barakahmichaels1631
@barakahmichaels1631 20 күн бұрын
Author✌🏿✊🏿❤️
@user-kk7ni6cp7p
@user-kk7ni6cp7p 20 күн бұрын
Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan
@anyisilejaphet2658
@anyisilejaphet2658 20 күн бұрын
Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme
@user-jb5ct7su8n
@user-jb5ct7su8n 20 күн бұрын
Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana
@user-hy3en6vk5f
@user-hy3en6vk5f 20 күн бұрын
For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏
@Dartonjuma
@Dartonjuma 20 күн бұрын
Nice
@SalomeEmanuelimpalasinge
@SalomeEmanuelimpalasinge 20 күн бұрын
Hongera yako president Kwa aziz ki
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 20 күн бұрын
Nakubali sana ❤
@aziziabeid6052
@aziziabeid6052 20 күн бұрын
The first one, today
@KizingiliRamadhani-gh5gq
@KizingiliRamadhani-gh5gq 20 күн бұрын
Wambie hawooo manyonyo fc
@rogersiddy
@rogersiddy 20 күн бұрын
Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊
@Justinaombay
@Justinaombay 20 күн бұрын
Ulimsainisha ww au
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 20 күн бұрын
Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅
@rogersiddy
@rogersiddy 19 күн бұрын
@@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu
@rogersiddy
@rogersiddy 19 күн бұрын
@@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka
@KondoNgoma
@KondoNgoma 20 күн бұрын
Yanga hii mwaka huu litakufa jitu
@abuumfunda
@abuumfunda 20 күн бұрын
Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤
@DieudonneNdiho-yf5sq
@DieudonneNdiho-yf5sq 20 күн бұрын
Safi sana
@AntidiusiZindemba
@AntidiusiZindemba 20 күн бұрын
MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k
@FilbertKalembe-fy4oq
@FilbertKalembe-fy4oq 20 күн бұрын
Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂
@islamsaid9587
@islamsaid9587 20 күн бұрын
Onger eng hers said na menejiment yote
@simonIbrahim-hc8vm
@simonIbrahim-hc8vm 20 күн бұрын
Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 20 күн бұрын
💚💛💛💛💚l Love You yanga
@habibuabuu9609
@habibuabuu9609 20 күн бұрын
Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi
@twaribuidrissa9900
@twaribuidrissa9900 20 күн бұрын
Asalam aleykum wananchi wenzangu
@user-np4om6hz4m
@user-np4om6hz4m 20 күн бұрын
Walaykum s laam
@sulehyanajma3399
@sulehyanajma3399 20 күн бұрын
Moyo wangu umetulia sasa
@GraceFesto
@GraceFesto 20 күн бұрын
Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 20 күн бұрын
MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr 20 күн бұрын
HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU
@Abdul-jj6lq
@Abdul-jj6lq 20 күн бұрын
nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha
@kasandabulilo564
@kasandabulilo564 20 күн бұрын
Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂
@faidhasaid4084
@faidhasaid4084 20 күн бұрын
mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa
@julietmshana1962
@julietmshana1962 20 күн бұрын
Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 20 күн бұрын
Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv
@EsterKindoli
@EsterKindoli 20 күн бұрын
Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona
@tumainimremi3461
@tumainimremi3461 20 күн бұрын
Ushindi muhimu
@eliudmwanalusi3907
@eliudmwanalusi3907 20 күн бұрын
Huyu jamaa huwa anaongea fact sana
@tatalyzer382
@tatalyzer382 20 күн бұрын
#Yanga ni lidude kubwa sana😂
@eliadahmhina4125
@eliadahmhina4125 20 күн бұрын
3 one today😊
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 20 күн бұрын
Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u 20 күн бұрын
Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u 20 күн бұрын
Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu
@user-ds3oi3tt8u
@user-ds3oi3tt8u 20 күн бұрын
Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa
@jivankulikwa24
@jivankulikwa24 20 күн бұрын
Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂
@jumamzelela4207
@jumamzelela4207 20 күн бұрын
Sure😢
@husseynomar9523
@husseynomar9523 20 күн бұрын
Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉
@GodfreyLipumba-ds6jl
@GodfreyLipumba-ds6jl 20 күн бұрын
Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚
@julietmshana1962
@julietmshana1962 20 күн бұрын
💚💛💚💛💚💛
@KonjiKabasa
@KonjiKabasa 20 күн бұрын
Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 20 күн бұрын
Kivip kolo
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 20 күн бұрын
Maana hamuna munacho tuzidi labda munatuzidi maumivu😂😂😂
@user-rj8zh8ok7q
@user-rj8zh8ok7q 20 күн бұрын
❤❤
@LeontiaLeonard-tv7oy
@LeontiaLeonard-tv7oy 20 күн бұрын
Asanteeeeeee
@JumaJabibu
@JumaJabibu 20 күн бұрын
Hongera rais
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 20 күн бұрын
Allaah Akbar
@mitinjemaziku
@mitinjemaziku 20 күн бұрын
Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!
@BhutemiMapalala
@BhutemiMapalala 19 күн бұрын
Injinia apewe maua yake jamaani,daah Hadi laha❤😂🎉😢😮
@mansouromary9246
@mansouromary9246 20 күн бұрын
Ila Ali kamwe anajua kucheza na akili za hao wanaoHojii😂😂🙌
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 27 МЛН
PENZI LA MTOTO WA BOSS 💞 NA DADA WA KAZI  | Love Story
40:44
KIKOSI CHA MAANGAMIZI TAREHE 08 ,SIMBA&YANGA NANI KATISHA
2:23
Suda yanga
Рет қаралды 29 М.
Помог получить медаль
0:17
Новостной Гусь
Рет қаралды 2,7 МЛН
Competição de Low kicks #competition #chutes #pernas #kickboxing #karate
0:43
BJJ Techniques and News
Рет қаралды 13 МЛН