Pale unapotumia elimu yako vizuri kwa ajili ya nchi yako...🤗🤗🤗🤗 Prof.Kabudi Hongera saaaaana..
@makarangaj68445 жыл бұрын
Sio mbwembwe huyu jamaa ni mashine. Bravo Hon. Kabudi nakukubali sana mimi.
@federicamgeni5905 жыл бұрын
Mungu akubariki Raisi wetu kwani unatupenda Sana Watanzania
@marcelinokayombo35755 жыл бұрын
Prof.Kabudi one of the most inspiring ministers with good speech in east Africa
@davidnyambuche3525 жыл бұрын
Aisee Prof Kabudi unajua mpaka umepitiliza
@jahabdallah18295 жыл бұрын
Duu mjomba kabudi tunakuangaria uku mabaria south Africa live wagee maneno mazuri waelewe uko vizuri kwa kualimisha jamii hasante sana makufuli unatukosha sana yahani hakuna kuvichakitu duu mabaria mmeona makufuli anafofanya big up good your best president aweeee yeeebo baba tumekubari tuna kuelewa sana mabaria wote uku pritoria south Africa jah m south Africa
@nancyj32345 жыл бұрын
KABUDI KICHWA!!!!!
@godfreybigeyo91055 жыл бұрын
Haya mambo hatujawai kuyaona ,mungu akubariki rais wetu
@suratfrank62825 жыл бұрын
Kumbe kabudi ni noma sana sana mjanja huyoo naipenda Africa yetu
@sillasmsenga14145 жыл бұрын
Mbona hizi historia ni nzuri sana kwanini hivyo vitabu visifundishie historia mashuleni? Bg up Kabudi Mheshimiwa.
@bjzee19815 жыл бұрын
Walim waku fafanua ndio hakuna
@robertmwaipaja4794 Жыл бұрын
Munguakubariki
@sirjoel42285 жыл бұрын
yan TBC cjui hawaon hayomazaifu pcha hazionekan vzur pia mara nyng huwa ha2ckii habari vzur mara igande mara saut ikate lekbshen bhana #KABUDI il2mckie vzr.
@charleshaule40084 жыл бұрын
Somebody has to write something about Prof. Palamagamba Kabudi. The book shall be enshrined with prosperous life achievement in the academic sphere and evolution to political destiny. I am suggesting this because we all remain to be his great audience with minor positive comments on him but he never had listened to us or read on his legacy. In fact, he is the walking archive and thinking machine I ever experienced.
@abdulshaabani34065 жыл бұрын
Rais john pombe magufuri ni shujaa wa Tanzania haijawahi kutokea.
@bjzee19815 жыл бұрын
Engineer of course maths ime lala kuchwani
@adammakoye41985 жыл бұрын
Waliobahatikaga kusoma comment zangu miaka ya nyuma nilikuwa naandika kwa jazba za chuki sana juu ya utendaji kazi wa Raisi wetu lkn namuomba anisamehe sana japo hanijui na pengine hajawahi kuziona comment zangu hakika Magufuri ni kiongozi mwenye sifa zote za kuifikisha nchi hii pale tulipopaota miaka yote.
@wilsonkaseha20345 жыл бұрын
Ndo maana tunashauriwa kuweka akiba ya maneno!
@faza40234 жыл бұрын
Safii
@patricklembeli85233 жыл бұрын
Alishakusamehe zamani
@mussajuma17365 жыл бұрын
xafi xana mwanasheria kabuni jpm hajakosea kukuchagua upo pouw pigeni kazi mshahara wenu kula nyingi kwa jpm.2020.
@ndeshukurwakaaya43853 жыл бұрын
Hobgera Pro kabudi. Ama kweli umelishibisha mataifa yote mawili kihustoria. Vizazi vinahitaji kusoma historia hizi. DIVIDE AND RULE IMEKOMA. BALI SHERIA ITUONGOZE KATIKA KUIMARISHA MAHUSIANO YA ASILI ILI IWE GIA YA KUONDOA DIVIDE AND RULE.. UMOJA WA MWAFRIKA NI NGUVU YA BARA ZIMA LA AFRIKA. GOD BLESS TANZANIA 🇹🇿 AFRIKA.
@adammakoye41985 жыл бұрын
Wakenya wako bright hadi Nyerere ni wao du
@jahabdallah18295 жыл бұрын
Mabaria mmeona uyu raisi wetu tuna taka nini to support sasa hivi habaki huyu huyu bora chama cha cmm wachanguwe,pm, minister bora mumuache uyo uyo andeshe inchi
@yohanabillges61315 жыл бұрын
Tz viva prof kabudi
@bjzee19815 жыл бұрын
Kuna watu wame meza history. Jamani mi history ili nishindwa hadi nilikua na choka akili kufuatilia. Ila nadhani ninge fundishwa na huyu prof ninge shika. Tanzania ina wasomi sana wakenya ni english tu
@mbarikiwalazarowatisa20865 жыл бұрын
kuna watu wanafurahi . yan wao wnaona kama vituko...kabud anawapa elimu
@wilsonkaseha20345 жыл бұрын
Prof Kabudi, ni hazina
@yakobomaganga6557 Жыл бұрын
ASANTE SANA MZEE WETU 🙏🌹🌹 ANAEKUPINGA!!",, BASI TENA AKAOMBEWE
@charleshaule40084 жыл бұрын
having said more, his domestic life is humble than you can't even pronounce and he dedicate himself to faith as a great believer in Anglicanism. Every single thing he is in has drastic and detail knowledge of.
@yogopenmaster26075 жыл бұрын
Huyu mwamba huwa namkubali kinoma
@aggreymsemwa12495 жыл бұрын
TBC kuwen Makin bana Kamera zenu hazipo vizur kabisa
@jacklinepoul3735 жыл бұрын
Good people must act the same, education and life
@kirwaisa8772 Жыл бұрын
Hazina ya Afrika huyu. Pongezi sana Prof. Kabudi
@bjzee19815 жыл бұрын
Wa barabaig naona ni kama Wa turkana coz mila zao zina fanana za kuvaa shanga badala ya nguo hadi karne hii. Ila ktk ufugaji wa kale wamefanana ktk suala la ufugaji na ku keketa wasichana na jasiri wa kutumia mikuki
@jovinekatwale87853 жыл бұрын
Namkubali sana huyu jamaaa, hakika upo vzr sana, kabudi
@adamdaudi61913 жыл бұрын
Aisee inabidi kupiga shule tu hapa, maana sasa hapa kama shule ni ndogo hapa unaonekana kama umesahaulika mahali hapo, naona genge la wapiga shule tu hapo!.
@elisantente25185 жыл бұрын
Kenya yatoa msaada Tanzania Magold na mapesa.
@zegelibilishanga60474 ай бұрын
😂mh,Raisi unahazina umeacha kutumia unakubali kuingiza majizi kwenye baraza lako ndiyo maana unapwaya
@nsengiyumvaemmanuel30893 жыл бұрын
Nkurunziza Francois
@kassimrajabu78055 жыл бұрын
TBC HOVYO KABISAAA
@mussalengine2287 Жыл бұрын
God xn musomi wetuuuu
@mohammednassor30813 жыл бұрын
Huyu mtu kichwa tunao wasomi tanzania
@omanmamulove98783 жыл бұрын
maramb kwetu jamani😁😁
@adamomary21443 жыл бұрын
Namwona rais baada ya jembe mh JPM
@davidnyambuche3525 жыл бұрын
TBC mnayumba, mawasiliano ovyo kabisa
@omanmamulove98783 жыл бұрын
jamani.mi.mtaita wamaramba😅😅😅
@dominicantweve15884 жыл бұрын
TBC Takataka kweli
@faustinsirili34803 жыл бұрын
Profesa kabudi Ni matatizo
@josephkafumu3006 Жыл бұрын
Kabudi ni jembe na musomi anatumia usomi wake kwa ajili ya tanzania
@selesaid43673 жыл бұрын
I LOVE U BROTHER
@alihijiiddi89774 жыл бұрын
WEWE WACHAUJINGAWAKO WA P H D TULIKUPA WAZANZIBARI UNAZUNGUMZA UWONGO TUMESHA KUCHOKA UNAZUNGUMZA GUMZO YA UWONGO NA KUZUBAISHA WATU TU MUONGO NDUGU WA DAMU NYINYI WATANGANYIKA NA UKRISTOWENU 🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹🇹🇿👹
@michaelmichael99344 жыл бұрын
Huwa napenda sana kumsikiliza sana huyu msomi hakika ni hazina ya historia huwa anapenda sana kufundisha kwenye hotuba zake.. biup sana mzee wetu
@andreamajjar82564 жыл бұрын
Hatuna Nchi inayoitwa Tanganyika wala Zanzibar tuna Tanzania,kama hujui acha udin Zanzibar dini zote zinakubaliwa maana watu wa Tz wanadin bt Tz haina dini