MNENAJI - MCH. RICHARD HANANJA TUKIO - KONGAMANO LA VIJANA LA UREJESHO NA UAMSHO (RESTORATION & REVIVAL CONFERENCE) MAHALI - MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B" TAREHE - JUNI 07.2022
Пікірлер: 89
@godwinkileo7702 Жыл бұрын
Biblia iko kichwani hongera sana mchungaji Mungu akubariki, nami nivuviwe huo upako kwa jina la Yesu amen
@desmondayoub51712 жыл бұрын
Honger san mchungaji una gusa vijana san ujumbe mzuri
@chrissjoel7752 Жыл бұрын
Huyu mtumishi anakipawa cha ajabu aisee 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@MCNgakungaJunior2 жыл бұрын
DAAAAAAH!PASTOR ANA MADINI SANA NA UWEZO WA AJABU SANA.BE BLESSED!
@user-fi2fw4sf2w12 күн бұрын
Mungu akubariki san paster❤
@sophiapeter7843 Жыл бұрын
Napenda doctor Rose anavyokuwa pamoja na pastor.barikiweni Sana 🙏🙏🙏
@titomagaga6665 Жыл бұрын
Titus Ubarikiwe, Mungu atuinulie wengine wengi kama Mch Hananja
@user-lf6jc9we6l3 ай бұрын
MUNGU akubariki sana pastor kwa huduma yako njemaa sanaa na kwa mafunuo makubwa ya mafundisho ya biblia
@foibejustolukumay9817 Жыл бұрын
Yesu naomba karama kama ya huyu Mch anasoma bibilia Kwa kichwa Mungu Mpe maisha marefu Mch karibu karatu
@waridimushy22 Жыл бұрын
Karibu jmn
@andreaotaigo402 жыл бұрын
Muchungaji Mungu akutunze sana baba
@julytito38912 жыл бұрын
Sema nimekukubali pastor yaan hasa pale unavyotema cheche kusemamistari Bible kwa kichwa bila kufungua ht biblia kweli umekula kitabu mtumishi
@petrakepher21222 ай бұрын
Oooohhh my God! The God of Pastor Hananja, I will serve you Ebenezer.
@salomemueni1002 жыл бұрын
Mimi naona ushindi kwa imani.. Hallelujah, hallelujah.
@elishamaabdu7775 Жыл бұрын
Mwamba imara ubarikiwe pastor.
@mercy342 Жыл бұрын
Biblia kichwani mungu nijalie kipawa hiki
@JosephAjali-kp3lg11 ай бұрын
Very inspiring indeed may God bless u
@elishamaabdu7775 Жыл бұрын
Umeimeza baba mngu ukubariki sana
@user-wp3ml3yy1x9 ай бұрын
Hananja Mungu akubariki vifungu vipo kichwani duh!
@marymoshy66102 ай бұрын
Mungu apewe sifa, hakika Neno la Mungu limenibariki.sifa na utukufu ni kwa Bwana. Naomba hy neema ya kusoma mstari na kuelewa na kuishi kwa Jina la Yesu. MUNGU MWEMA AKUTUNZE MNO.
@VincentKarithi2 ай бұрын
Ameni
@estacdkarisa47052 жыл бұрын
Ameeen hallelujah mchungaji
@reginageorge1453 Жыл бұрын
It good we want to see everyday
@hagaikipua36662 жыл бұрын
God bless u pastor
@peehmuki72712 жыл бұрын
God bless Apostle T. Mwangi now nmejua the secret ya kubarikiwa kwako ni kuheshimu na kuwatambua God's generals
@rosemkuye9612 Жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji tunapona kwa masomo yako.
@godfreysekumbo15232 жыл бұрын
Ulijuaje paster
@user-xr2ou6pf8t10 ай бұрын
Nilichelewa sana kukujua mtumishi wa Mungu Mungu akutunze baba
@yothamkalila28902 жыл бұрын
Ameen Ubarikiwe mtumish
@ernestmvunyi6340 Жыл бұрын
Hongera zake mchungaji
@justinefrank28922 жыл бұрын
Amen sana mtumishi
@eliabubarankiliza682 Жыл бұрын
Kwakweli huyu mchungaji nimmenda bure biblia inasomwa kwa kichwaaa duuuu Mungu kambariki kwel
@sammydzuya6939 Жыл бұрын
Pastor ubarikiwe xna Bibilia yote imo kichwani daah tupe siri mtumishi
@EmilyShali-vi6ir Жыл бұрын
Emilly Shali: Ameen barikiwa Sana mchungaji
@pascokavishe6712 Жыл бұрын
I really love this astor
@pungopungo411 Жыл бұрын
Hatawaacha hoi sana huyo ila ufalme wa mungu unanyakuliwa na wenye nguvu. Sio kuchekeshwa
@mucochanella1672 Жыл бұрын
Amen Mungu akubaliki sanaa
@peehmuki72712 жыл бұрын
I can see my Pastor Apostle T.Mwangi in the service
@kitukumutisya22092 ай бұрын
Neema ikutoshe umenibariki sana asubuhi ya leo
@rosehaule6765 Жыл бұрын
Emen barikiwa umeponya moyo wngu
@gabrielnjiapanda37102 жыл бұрын
Ameni Mtumishi.
@dennisevarist2 жыл бұрын
Hiki kichwa nakielewa sana, kinasoma Biblia pasipo kuifunua physically
@lulu24peter24 Жыл бұрын
😂😂😂😂Amen
@obedysylvester30242 жыл бұрын
Naombeni namba ya hananja please
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Huyu kwakweli ndiye mtumishi wa Mungu kichwa kimejaa mistari ya Biblia. Hakika Mungu yuko na huyu Mchungaji.
@macdee_tv7622 Жыл бұрын
Namuona pastor t
@isakaandrea50562 ай бұрын
Aminaa
@euniceaidah Жыл бұрын
NIMEBARIKIWA SANA KWA BARAKA KENYA
@SaraShabani-sz4kl8 ай бұрын
Sanamu lake sijui tutakaaa kwa wapi
@midianarushuli56122 жыл бұрын
Anaweza kuvunja mbavu mtu
@MasudiAsumani-oz9ur10 ай бұрын
Injili ya moto
@Algo.delaif2 жыл бұрын
Amenifurahisha sana kuhusu teja aliyeingiza mkono kwenye mfuko wa rais wa mtaa
@geofreykomanya4968 Жыл бұрын
p
@konyakisinza114 ай бұрын
Amina
@tupokengwala2027 Жыл бұрын
Amen ! Amen
@agnesnangela26892 жыл бұрын
Amen Amen
@gladyskerubo60757 ай бұрын
Amen
@tinnahagustinolyelu42476 ай бұрын
Ee umesoma biblia .mtumishi
@user-sb4fj9iq6f5 ай бұрын
🙏🙏🙏
@jacksonjasson8823 Жыл бұрын
Good
@darcinmubeza15608 ай бұрын
Mzee wa hekima na busara
@elishamaabdu7775 Жыл бұрын
Mngu nipe kama huu.
@lilgrray2892 Жыл бұрын
Ameen
@nikutusyaangolile5931 Жыл бұрын
Nyimbo za zambia
@adamfumbo5116 Жыл бұрын
Ameeeni
@ahimidiwerishya8523 Жыл бұрын
Pastor nipe siri ya kukariri mistari ya biblia dah kila mstari unao kichwani. Hii ni neema ya pekee sana sidhani kama una mpinzani dah!
@bernardmkuffya5171 Жыл бұрын
Jitahidi sana unaposoma bibilia takatifu,uwe unaandika zile AYA ambazo umezipenda,au unahisia nazo na jitahidi kuziongea onapoongelea Mambo ya kidini na wenzio.Then hakikisha unazisoma kila siku.Ubarikiwe sana. Halafu yupo MTU mmoja Ni mkenya msabato,anaitwa Pastor Ndacha muangalie YOTUBE
@slaviousluambano2115 Жыл бұрын
Jifunze kusoma biblia Kila wakati na jitahidi kuyaishi hayo unayoyasoma 😃
@KevinCrala Жыл бұрын
Daaa mungu akutunze
@darcinmubeza15608 ай бұрын
Hana mpinzani
@faustinhommedetatnifasha96693 ай бұрын
Fanya bibilia iwe lafiki Yako Fanya ulafiki n'a bibilia
@mathiasteti1380 Жыл бұрын
3
@irenematari621811 ай бұрын
Baba mchungaji ana biblia yote kichwani
@aderiderkihupi7240 Жыл бұрын
MAFUNZO MAZURI
@walterongeri4531 Жыл бұрын
Sina maoni
@gracedamas5883 Жыл бұрын
Mungu nipe akili kubwa
@nzungubulay56662 жыл бұрын
Ameee kubwa mtumishi
@violetmuchunguzi75562 жыл бұрын
Mungu akubariki baba mchungaji.....
@janesekimweri1620 Жыл бұрын
God bless you pastor
@nicolousmwakalengela22588 ай бұрын
Richard Hananja anavyohubiri anafanya Injili kuonekana nyepesi mno SASA HUBIRI wewe uone Shughuli
@salomemueni1002 жыл бұрын
Hallelujah jesu anatangaza mema juu ya familia yangu..kwa jina la jesu.. AMEN