Рет қаралды 2,776
STRAIKA wa zamani wa Yanga, Kipanya Malapa amewataka mashabiki kutomchukulia poa, akiwa kwenye harakati zake za kutafuta, badala yake amewataka kujua anaishi maisha yanayompa amani.
Staa huyo ambaye kwa sasa anafanya biashara za kuuza mishikaki ya mia mbili Buguruni, amesema anaipenda biashara hiyo na hafikirii kufulia kiuchumi kwenye maisha yake.