Blother utalaniwa na mwenyez mungu we ichezetu dunia
@LauSeven-vj1tf3 ай бұрын
Ndug yang wewe umli huo unajiunga na mali za kichawi bora umemludia mungu wako ubarikiwe pia utafte maisha kwanguvu zako god bless u
@user-xe3wp3hd3u5 ай бұрын
Hongera Kaka mungu akupe uelewa zaidi na nguvu
@lamoslameckekitambala88635 ай бұрын
Mungu azidi kukupa maarifa na kutadharisha watu wengine maana wengi wanaendelea kujiunga.
@tinnabernard35385 ай бұрын
Mungu akupe nguvu zaidi na zaidi amen
@Dominant973 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@niolaussdavid3 ай бұрын
kwa upumbavu wake
@EstherMgala5 ай бұрын
ubarikiwe kaka mungu yupo pamoja nawewe
@GuzuraGuzura6 ай бұрын
Jitahidi uwe unafupisha hbr, lkn ueleweke, mb huku n changamoto sana
@Victorinjames4 ай бұрын
Anasema ukweli uyukijana nimekanae namfaham
@mussarizzyofficial78982 ай бұрын
Ulisema utawataja watu waliojiunga na freemason wasanii, wachungaj,wachezaj viongozi wa umma,lakn nimekuckiliza mapaka mwisho hujawataja hata mmoja but thanks for ur advice broo
@user-te7mc8gw8o5 ай бұрын
Mungu akuinuwe sana
@AmbonisyeMwanda5 ай бұрын
Ndugu kutoa siri ya watu cndiko kuokoka 'we kama umeokoka shukur Mungu 'batrimao alisema yote cjui ninachojua nilikua kipof sasa naona ndo ushuhuda siri hazitoweza kusaidia anajua Mungu
@CatherineKimoso4 ай бұрын
Imani ni matishio au nikumjua mungu?mungu hachunguzwi.wachunguzi wa kwanza walimchunguza yesu wakasema ana pepo la bezibebuli. ndugu simama
@Pilausbwinyo4 ай бұрын
Omben Mungu awafunulie macho ya rohoni ,msipende kuwa watu wakusikia tu ndomaana Kuna nulu na Giza Yesu alisema watu wangu wanaangamia kwakukosa maalifa,ukiwa thabiti katka maombi Mungu lazima akufumulie, je hyo yakwel ama la
@jetuwalugano69766 ай бұрын
Sio kwamba ulitii amri zao acha kuwapigia debe mungu ataongoza watu wake
@ElinaNyangachi4 ай бұрын
Fatilia kosa cha tajiri na lazaro wenye hekima ndio hutambua yasemwayo
@gosbertmuta54212 ай бұрын
Ww acha hzo ww
@user-yp2sf7yx4k4 ай бұрын
Mungu akupe nguvu zaidi n'a uendeleee kuwaaibisha wasikutishe
@soniaramadhani6684 ай бұрын
Barikiwa kaka na Mungu azidi kukulinda
@user-jy5di4hh8l4 ай бұрын
Brothey uxichok kwa ukubwa na uzito unao pitia kunasehem ume tutoa nakutuweka tunashukuru sana mungu akuongozesa kwakirahatua unayotu weka tunapata kuelewa atatusiyo yajuwa
@lightnessassery98764 ай бұрын
We ongea habari za Yesu achana na watu Mungu Mungu anawajua mwenyewe
@user-xx1wp2re5t5 ай бұрын
Brother Mungu akupe nguvu endelea. usiache kuwaaibisha hao watu imenifunza kwa kiasi fulani
@CatherineShipimilu5 ай бұрын
Yes
@PillBimbiga-kv4bn4 ай бұрын
Samwel mungu anakuona
@user-de3hn6nk5h4 ай бұрын
Ongea point
@user-uy3gy5gx4o6 ай бұрын
Mungu yu mwema❤❤
@user-vt4vd5rh8u5 ай бұрын
Kuna ushuhuda mwingine nmesikilza imefafanua zaidi mwamposa me cna Imani nae Wala mahybiri yake cyahitaji Tena,
@PhennyBundeАй бұрын
nakuunga mkono
@alphonceamon54196 ай бұрын
Daaaaaah uyu nimdanganyifu ametumwa kupoteza watu kabisa watu wa Mungu kuweni makini jamn asee daaah uyu kijan jmn namuurumia jaman niwakala wa ibirisi kabisa yan jmn kuweni makini watu wa Mungu😂😂😂
@leilakira4 ай бұрын
Unajua aje anadanganya mungu aliwapa macho lakini hamwoni😭😭ambia mungu akupe macho ya kiroho
@JenipherMourice4 ай бұрын
Mmmmh yote ni mauongo tupu kwenda huko hunalolote
@AvuraKashindy3 ай бұрын
Acha kutukan nyie muombee tu kam ni huongo Mungu atambadilisha na kutukana sio njia sahih ata Mungu hapendi kuwa makin na muwe na kiasi cha maneno yote mtamkayo msitukane jmn
@jafarimsigwa2773 ай бұрын
Naona kama naibiwa Mb vile:
@samjohn72303 ай бұрын
Huyu kijna anatafuta kiki tuu
@user-et7km8uz8g4 ай бұрын
Honger kak mungu akupe nguvu na uelew
@gershombwana3 ай бұрын
Shida ni kwamba watu wanapenda Sana kuamini miujiza ndio waamini kitu Fulani,binafsi Mungu wangu wa mbinguni awe anatoa ishara,au miujiza au asitoe ishara au miujiza nitaendelea kumwamini sababu Imani yangu haikujengwa kwenye misingi ya ishara Wala au miujiza,pili watu wengi naamini hawasomi maandiko wao wanapenda maneno ya kuambiwa ambiwa pasipo kusoma ,tatu baadhi ya watu wengi hawamwabudu Mungu wa mbinguni bali huwaabudu watu kwa maana ya baadhi ya wachungaji utasikia MTU anakwambia mi nasali kwa mchungaji fulani............fikiria andiko hili ....watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Mungu awabariki nyote
@niolaussdavid3 ай бұрын
mpumbavu mmoja anasimama kupotosha na watanzania mnavyopenda kupotoshwa mnaingia kichwa kichwa
@user-dj4de6kt4p3 ай бұрын
Mungu azidi kukutianguvu yupo pamoja nawe
@user-ox6hg1wm1h4 ай бұрын
Asante kwakuni nipa fuzo na ufaham zaaidi
@JulesKalombe3 ай бұрын
Mimi Niko kongo 🇨🇩 Kaka mungu akubari kweli njia mbaya ya freemason 😭😭
@user-cr9op3bz1u3 ай бұрын
The way the son of God came world, the is people who loved him and others no, live that man Alo be looking at fmy . from ug❤❤❤❤
@user-bj9fp7vt7g5 ай бұрын
barikiwa kijana ayo major nikweli Walton amacho yakiroho waelewa na wanna usiongope matisho yao ata Bambang yao akuwezi maana yesu wake alimshida
@RehemaJuma-bb6py4 ай бұрын
Eeeee. Hiyo ni kaz, ya mungu kununuwa mtumishi was kwel na wa kweli , yy atabaguwa kondoo, na mbuzi, Asante.
@user-ki4ps2yg3x6 ай бұрын
Mungu akubark lakn kama umetumwa kuokoa watu wa Mungu kua sirious acha mzaha, cku ya mwisho utaulizwa weka u sirious kwenye testimony
@gracesidi11745 ай бұрын
Tuombee Mchungaji,twaumia na jamii yangu
@samjohn72303 ай бұрын
Dg anatunga, mambo yke
@user-zl4bk5bn4t4 ай бұрын
Mungu akubariki
@beatricejohn75695 ай бұрын
Mungu akubariki,usjali maagent wanaotumika kukuvunja moyo,piga kazi dogo
@CatherineShipimilu5 ай бұрын
Yes
@NUSURA4 ай бұрын
Umelipwa shingapi na mwaposa😅😅
@niolaussdavid3 ай бұрын
ambariki kwa upuinbavu wake
@tinnabernard35385 ай бұрын
Mtumishi Samwel asante sana umenifungua asante Mimi na watoto wangu tumepigwa nakitu kizito asante mtumishi
@niolaussdavid3 ай бұрын
mjinga huyo
@user-mt8mj9qw8z4 ай бұрын
Acha stori naenda kwenye pont
@user-wd5uh7dh8i4 ай бұрын
Mungu akuinie zaidi maana unayo sema nanimazito
@dorcaslundumen43702 ай бұрын
Asante kuttia moyo Mungu akubariki
@EdouardJohnson-pw6lt2 ай бұрын
Watu wa Mungu kuweni makini si mtumishi wa Mungu huyu ni mtumishi wa ibirisi
@WarthaNungu4 ай бұрын
mungu azid kukulindaa kwakweli
@MichaelMoye-gw1yr3 ай бұрын
Mungu akuongoze
@GraceMakoye-zu1ux3 ай бұрын
Mungu akulinde❤
@BenardSimon-me5ky3 ай бұрын
Kama wajua mafuta ya kawe yanasidia sana kwanin ww usichukue upelekeeee kwa rusifaaa ili akose nguvu ya kuua wanadam. Kwan ww rusifa wamjua na Mungu amekutuma, ww umekimaa au furaha yako ni kuona watu wanateseka na magonjwa au waendeee kawe kila siku. C utusaidiee kuzuia kazi ya rusifaaa
@user-hj5mv9bc9p6 ай бұрын
🎉❤ nimekukubali sana nisingeyajia haya 20:04
@bethnjeri16976 ай бұрын
Na Kwa sababu umeokoka na kutoka freemanson wacha kuongea mambo ya kule Sana muda mwingi hubiri neno la mungu ili watu wapate kukobolewa,shetani Hana nguvu juu ya yesu
@bethnjeri16976 ай бұрын
Preach the gospel hiyo muda mwingine umebakisha
@user-bk8pe4qe6j4 ай бұрын
Mungu akupe nguvu
@cadsonesmo5 ай бұрын
Mwenyez mung akuongezee na akutie nguvu cads@
@ReaganENZI-ww4vu2 ай бұрын
Hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu plz, follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante sana barikiwa
@MariaMzava4 ай бұрын
Mungu atusaidie wapemdwa tuwe tunsoma neno la mungu ili tusidanganyike
@mussapaul32953 ай бұрын
God bless you
@user-qf3co7ge9i4 ай бұрын
waaybishe hao mungu na akutie nguvu
@zipporahkathure58285 ай бұрын
Acha ufala bro,tafuta pesa kwa njia nyingine
@janewanjiku37165 ай бұрын
True
@leilakira4 ай бұрын
Don't be quick to judge one day guys you will know the truth
@user-ob6qy8py6l4 ай бұрын
Huna nguvu za mungu usiwadanganye watu wa mungu,hakuna jina liwezalo kutuokoa Kwa loho Bali jina la YESU mafuta yanini maji yanini
@miriamkaaya36183 ай бұрын
Tumia mamlaka na damu ya YESU,uondoe huo mlango wao YESU atawale mwenyew,wameshashindwa mwache MUNGU aitwe MUNGU.
@user-ht4lq4is1f5 ай бұрын
Mh !!! Nimeishia apa kukusikiliza maana shetan tayar kashakutawanyisha ata hujui nn unaongea
@AvuraKashindy3 ай бұрын
Watumishi tusipende kuhukumu kbla hatujahukumiwa mbn tunatukan ivo jmn tusiruhusu. Vinywa vyetu kutenda zambi zisizo za lazim kumbuk ata Bwana yesu alitukanwa na kupigwa mawe na alipingwa na kukataliwa ko msiwe wepesi kuhukum kuwen na busara watu wa Mungu. Watumishi wa Mungu na manabii walitukanwa sembuse uyu Acha kutukn kbsa na Mung atusaidie
@user-fr4lw2wd3q4 ай бұрын
Ndugu yangu samweli sasa unawambiaje waende sehemu pabaya wakati unajua kabisa sio wachungaji sahibi,ebu naomba tunyoshee maelezo
@furahazero65594 ай бұрын
Kama hujatumwa Na lusifa Basi wewee Kwa Nini usiamini Kia Mungu ndiye king wa makingi Muamini bwana Mungu wako tuu
@user-to1mq2qr1q4 ай бұрын
Ww umetisha
@miriamkaaya36183 ай бұрын
😭E MUNGU naomba utuzidshie macho ya rohon kwan ktk wewe tunayaweza mambo yote 🙏 GOD
@elishampoki87512 ай бұрын
Yesu kristo Anakuja kila mtu ajipime mwenyewe kama kateuliwa au kakataliwa , kumuona mwenzio kapotea hiyo sio kweli unatakiwa ujione we we kuwa umekubalika au. Umekataliwa
@mamu-fl9dj2 ай бұрын
Amina, Mungu azidi kukulinda na kukuinua
@athumanimwaimu34604 ай бұрын
Umeona usagaji tu mashoga nao ataww muongo mungu akuoteshe kwautakatifu gani achabifu
@user-hr5qr1jv5x5 ай бұрын
Safi ujasiri
@NeemaMayala-zt6bb3 ай бұрын
Mungu akutie nguvu jaman
@user-oq5cy9rc4s4 ай бұрын
Muim sana naomba moyo wako ushirikiana na sauti ili kinacho toka moyoni Baci kisikike kupitia sauti kwasababu inafasi kubwa sana kwa mwanandam kuzungumza lugha nyingine moyoni ila kwa mdomo awezi . Kwailo ndio ilivyo kwako wewe moyo unazungumza ili lakini mdomo lile kwaiyo tuwe makini sana 🙏
Aisee jamaa eleweka na useme ukweli usikute unawatetea hao watumishi watu wa Mungu wazidi kupotea hakika utaulizwa na MUNGU MWENYE ENZI YOTE we haya
@JeankissKalonda3 ай бұрын
Mimi napenda kipande iki kya Freeman, mimi n'a taka niwe pamoja n'a jama cha Freemanson
@user-hj5mv9bc9p6 ай бұрын
Mungu atutetee watu wajue upotofu wa lusifa waijuekweli
@MathiasNzungu5 ай бұрын
Umetumwa na national toka hapa mungo walioitwa wanahekima
@yehoshafatisuhuzwa43994 ай бұрын
Ongea point acha kuzunguka zunguka neno moja unaludia mala 2x2 unaboa
@user-sw8og7qr3m6 ай бұрын
Mmmh c utajee maelezo mengi
@MathiasNzungu5 ай бұрын
Mimi sijui alijiungaje na alitokaje? Hivyo saivi kila muujiza feemansono tuliangalieni hili
@RehemaRehemaJosephbaraka3 ай бұрын
Mbona hao watu anao sema ndo sina imani nao kabisa jamn
@NgoyBanza-ec1kk3 ай бұрын
Mungu akutiye moyo
@AngelaWillison-yi3fm3 ай бұрын
Saaaaana kaka ata bibilia inasema tusiione haya injili kwakua ni uweza uletao wokovu sema kaka uokoe wengi na roho wa mungu akutumie
@miriamkaaya36183 ай бұрын
Right
@user-dj4de6kt4p3 ай бұрын
Ila Kuna watu hawalisikii neno wabishi sanaa
@user-gh7jd3oc2n6 ай бұрын
Nenda kweny point bhn
@williammichael92703 ай бұрын
Uhakika
@LovelyDrill-bx1rs6 ай бұрын
❤❤🎉
@mariamchannel92344 ай бұрын
Hahaha nimemuelewa sana , kaongea kinyume kawataja wachunguji kinyume
@user-do8ue3wy9v5 ай бұрын
Acha bas maana Ata maandiko tunayajua Ata wewe yawezekana mbigu usipate. Maana kumkana lusifa c kupata mbigu .unajua ukimbia dhambizako kwani ulivo jiunga nani alikutumaaa. Acha kumjalibu mungu..
@ZuDadi4 ай бұрын
MUNGU anaishi umilele lakini manabii na mitume wanazaliwa, wanakufa Anachosema huyu ni kweli mtu wa kwanza kutumwa alikuwa kerubi alimjua Muumbaji kuliko wote akafeli, Adam alikuwa mkuu lakini alifeli Huyu mtumishi sio muongo kuna kitu anakieleza jaribuni kusoma kitabu Waliomwangusha Yesu hawkuwa wale akina Herode walikuwa watumishi au mafarisayo Walivamiwa kwa hiyo unaweza ukamuona mtumishi yuko vizuri baada ya muda ameanguka. Tuna maaskofu walisema hawawezi kugombea uongozi wa siasa ndani ya taifa hili leo ni wabunge Tunatakiwa tuwaombee. Yesu alitakiwa msamaha Bure.
@PatrickMutunga-lo9pb3 ай бұрын
Unajua walimuita yesu mkuu wa mapepo,kwahivyo mwenye hekima adanganyiki...ndungu zangu watu wa Mungu,chagueni ukweli wacheni kupotezwa.
@EliaMvungi4 ай бұрын
Ingia kweny pont
@Elizabethngimba4 ай бұрын
Amen mwamposa 🙏🙏
@PaulMurhabazimasumumu-lz3rx5 ай бұрын
Ndugu Sam we l wewe ni mwongo kweli kweli kabisa tangu sasa ujuwe hakuna wokovu unaopatikana kwa makuta kwa Majid ao vitu vingine vyovyote isipokuwa kufuata taratibu ya matendo 2:37-38 na kuendelea mu Imani mitume walio tuachia sema wewe ni mujumbe WA lusufer na unapenda watu wajiunge achat Yale mambo Yako mitandaoni amini yesu
@user-tf7hz6mw1o5 ай бұрын
Kweli Sheitani mudaganyivu, Mungu akutie nguvu bro uzidi kutoboa siri
@PhilipoSimon-bz2st5 ай бұрын
We nae usha kosa kazi tu
@JennyChris-cs5xh2 ай бұрын
Daah sijui tumuamini nani jaman
@samuelwambua374 ай бұрын
Baba soma bibilia thambi abayo aitawai samehewa kuongea vibaya kuhusu roho mtakatifu
@LilyCruise-fp7mj5 ай бұрын
Huyu ametumwa apoteze watu,msufuate mambo za mtandaoni
@user-jy5di4hh8l4 ай бұрын
Kaka kwa maneno tuunayo sema inazipiti shakabisa ulishatoka uko ulipokuwa cc wenye of ya Mungu tunakuelewa San
@NephaelMoriasi2 ай бұрын
😢wee hata haujielewi wala haujitambui toka hapo nenda zako
@user-rd9zo7df3k4 ай бұрын
Kijana pole Sana ilausiwadaganye
@BenardSimon-me5ky3 ай бұрын
Before hao watu wawili wa Mungu kuja / kuzaliwa rusifa hakuwepo. Kwann usemi rusifa anapatikana wapi uko ulikoenda ili tuandamane kumfukuza maana dunia tumeumbiwa kutawala wanadamu sasa wajua shetan aliko sema wanadamu wamfukuze ili tuwe uru
@user-bp1ou4tv2m4 ай бұрын
Mungu awe nawe broo
@MathiasJames-mr4vc5 ай бұрын
Zungumzia manabii wengine lakini usimzungumzie mwamposa
@user-hn1ou2rc6x4 ай бұрын
Kkkk mwamposa nn nani?? Hawezi yeye kwenda huko au umebeba loho yake semea yako usiamini mwezio jiamini mwenyewe
@user-hh1cx5xn8n4 ай бұрын
Mungu akumpe nguvu utua
@ChantalMbuthia4 ай бұрын
Vitu zingine naonanga ni uwongo tuh mbona usipige magoti uwaombee
@user-ns9bn1mu1y6 ай бұрын
Mbona uelezi Bwana alivyokuokoa,unatupa wasiwasi kama ushuhuda huu si wakubumba!!