Huyu mchungaji anaongeaga vitu muhimu Sana hachoshi kumsikiliza
@felixmluge32116 ай бұрын
TB Joshua ajawai kuamini kwenye kuponya watu pasipo kuwafundisha..... ukifatilia vzr utapata ufahamu uwo.
@jacksonmwangi94916 ай бұрын
The wisdom and sobriety in this man is on another level. Jesus loves you.
@peterblessing0066 ай бұрын
Mara tatu nikubakwa kweli 😂😂😂😂
@Kuminamoja19955 ай бұрын
Mafundisho ya kiislam haya masha'allah
@jacksonmwangi94916 ай бұрын
"soko lipo...ntatengeneza bidhaa.." 😂😂
@aminatanzanya74756 ай бұрын
Hichi kizazi cha mahangaiko 🤣🤣tunapend short cut
@user-zt3ug9wv7f5 ай бұрын
Huyu mchungaji hua napenda sana kuskiza interviews zake yaani yuaongea points kbsaa, huwez bakwa mara tatu na unazaa tu
@aminatanzanya74756 ай бұрын
Mar Tatu ni kubakwa kweli hahaha tena anamfat mwenyew nyumbn kwake
@swafiirbulbul8196 ай бұрын
Eti DONA la UPAKO 😅😂😂 Dah .. kijiko buku10
@wamisangi28016 ай бұрын
Kiwanda mdomo hakina tofauti na wauza upako. Utalijua hilo siku ukiwekwa huru kweli kweli na Yesu Kristo.
@saturinimushi47466 ай бұрын
Mch. Hananja unayo Hekima na Ucheshi inayopelekea Nisichoke Kukusikiliza.
@joackimmutulu6 ай бұрын
Hekima tupu!
@DavidBernard-uk7ss6 ай бұрын
Uwa napenda mchungaji wetu anavyo jilamba mdomo
@ismailally25496 ай бұрын
Hahahahahha wapuuzi bado mpo tu
@aminatanzanya74756 ай бұрын
Kweli kabisa Tb Joshua amefarik ndio wanaanz kumchafua wakt yupo hai mbona hawakusem
@wamisangi28016 ай бұрын
Farao wa Misri waganga/wachawi wake walifanya miujiza hadi leo wameandikwa wanaongelewa. Huyu na umri huu hajui kuwa uko uchawi na nguvu za giza za kushikia akili watu. Kabla ya kumlaume aliye rudia kubakwa ambaye anatoa ushuhuda baada ya kufunguliwa ajitafakari kwanza yeye ni wafungu lipi? Kesha kufa kweli lakini huduma inaendelea watu wanaendelea kwenda. Ujinga mtupu ni kuongea kila kitu bila hofu ya Mungu ili kiwanda chako cha mdomo wa kunena uongo na kweli kikusaidie mkono uende kinywani. Hunana tofauti na nabii wa uongo TB Joshua kuchanganya mema na maovu ili auze upako. Mlipokea Bure Toeni Bure.
@messoayubu3476 ай бұрын
Sio bure una shida ya afya akili.
@wamisangi28016 ай бұрын
@@messoayubu347 Mdogo mdogo Tanzania bila manabii wa uongo inawezeka si kwa nguvu wala kwa uweza bali kwa Roho wa Bwana Mungu. Zekaria 4:1 Wewe mwenye akili uende ukabatizwe ubatizo wa utupu SCOAN na wiseman Daniel maana mikoba ameridhishwa.
@davidmembedalamethepsalmis28856 ай бұрын
Hakuna muujiza WA kichawi unafanyika Kwa jina la YESU KRISTO
@wamisangi28016 ай бұрын
@@davidmembedalamethepsalmis2885 Manabii wa uongo watakuja kwa jina la Yesu kufanya nini na hilo jina la Yesu? Hilo nalo hujui?
@peterdeus60936 ай бұрын
Wew unashida na utakuwa umetumwa na wale wachungaji makanjanja, umekuja kutuandikia essay hapa