HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIONGELEA WAUMINI WA MACKENZIE WALIOFARIKI KWA KUFUNGA SIKU NYINGI
Пікірлер: 187
@GodlistenAlenАй бұрын
I like the way he speaks his mindi.
@sultanalnaamani2156 Жыл бұрын
Wewe nakukubali msema kweli Mungu akulinde akupe afya njema na umri mrefu
@loishiyesamwel1374 Жыл бұрын
Inaelekea kweli ya Mungu inaanza kufunguliwa, Mchungaji Mungu aendelee kukupa Hekima.
@joanesasalavaleriano9980 Жыл бұрын
Napendaga mafundicho yako baba 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
@fredngajiro382 Жыл бұрын
Hananja huyo
@angeldejoice3202 Жыл бұрын
Nimecheka mpaka moyo umeridhika
@davcodavid8651 Жыл бұрын
Mungu akubariki Mchungaji Hananja
@felixthuranira7995 Жыл бұрын
Nakupenda bure mchungaji wa mungu
@reonardchatanda63719 ай бұрын
Hananja uko vizur sana Mtumishi wa Mungu. Mwenyezi Mungu akuongezee nguvu na ujasiri wakuongea ukweli kwa wakristo wanaoudhalilisha ukristo duniani
@evamkala99524 ай бұрын
Wisdom at it best....wish all preachers could reason like you....God bless you man of God
@thomasmwachambi102410 ай бұрын
Hongera mchungaji Hananja kwa kueleza UKWELI kuhusu watumishi waliojaa wakiniita Manabii na Watume kwa ajili ya masilahi Yao. UKWELI unauma ila waupokee.
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
NI kweli kabisa Hananja, unaongea Ukweli mtupu
@maryamsuleiman63409 ай бұрын
Mimi ni Muislam ,lkn nakupenda saaaana ,wewe nimtu unaakili ,nasema Masha Allah , unasema ya Akili sana ❤❤❤
@maryeer6392 Жыл бұрын
Hallelujah 🔥 Moto mtu wanguvu 👏👏💪.
@neema8110 Жыл бұрын
Wow safy sana 😂utoto utumwa ujana maswali uzee ugonjwa🤝🤝☺️🙌🏿
@user-of1zc7uv5k7 ай бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu, Mungu akupe maisha marefu ya kuishi hapa Duniani.
@rizikivincent5255 Жыл бұрын
Mzee wetu Mwenyezi Mungu akuzidishie mibaraka kwa mafundisho yako mazuri wengine wanapindua mwaandiko na mafundisho ukristo umebaki kama historia na si kielelezo kwa waliosimama kupindua ukristo na utu na ukuu wa wakristo ukristo umekuwa wa bandia
@morrismkuba5755 Жыл бұрын
Roho pelekea Mungu sisi tunaona mapaja yako tufunikie mjinga wewe, umenimaliza babaa, mi kutoka 🇰🇪🇰🇪 twakupenda bure 🙏💪👍
@YudaMaongezi-kx2on Жыл бұрын
Sikuizi wanawake Wanawaheshimu zaidi wachungaji kuliko Waume zao!! . Namkubali sana Uyu mzee
@mamachris6811 Жыл бұрын
Wengi wamevunja ndoa zao ,na mali zimechukuliwa zote na hao wachungaji fake 😂😂
@paschalsafari9747 Жыл бұрын
Wengine wanawapikia kabisaaa mwisho wa siku wanaliwa🤣🤣🤣🤣
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Wanawake wanakuwa wanaenda kufutiwa zambi huko kanisani
@user-zt3ug9wv7f5 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji ,mafundisho yako yatia moyo yaan ukweli mtupu
@EDWINMUTAYOBA-je2bu Жыл бұрын
Napenda Sana kukusikiliza mchungaji unatuponya Kwa mafundisho Yako baba tunakuelewa
@godfreymuhavi4861 Жыл бұрын
Napenda mafundisho Yako,nikiwa Nairobi Kenya
@user-fu6zc5ju6f11 ай бұрын
Maisha marefu mtumishi🤲🤲
@user-is9up1qg4i6 ай бұрын
Eee mungu lisaidie kanisa lako na watu wako ubarikiwe sana pastor
@Nurjan8475 ай бұрын
Nakupenda sana baba mchungaji mungu akuweke sana 🙏🙏
@johnmpemba30579 ай бұрын
Hananja a real pastor❤
@monicambuya-sq9ms Жыл бұрын
Kweli kabisa mchungaji tunaangamia kwa kukosa maarifa
Nakufuatilia vizuri sana, tufundishe na MUNGU akubariki sana.
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
HAHAHA Mzee naendelea kukubali wanamuamini mchunhaji kuliko M/MUNGU hongera sana
@saiditwalibu5244 Жыл бұрын
Haloo!!! We Mzee uko vizuri,
@user-of1zc7uv5k7 ай бұрын
Asante Sana Mtumishi Hananja barikiwa Baba
@gabrielpott3325 Жыл бұрын
Hongela sana mzeee mw MUNGU akubariki sana mzeee wangu.
@user-ey5xm6sp2v10 ай бұрын
Saf mzee Wetu ananja kweli
@rahma6189 Жыл бұрын
Safi sana baba nakukubali
@nicolausmollel6212 Жыл бұрын
Nakubali sanaaa mafundisho yako barikiwa sanaaaa
@sylvestercameo6263 Жыл бұрын
Hakika kichaka cha matapeli ni ndani ya madhehebu yanayojiita makania ya maombezi.
@kadrikimaro1889 Жыл бұрын
Mzee wewe ndo ulitakiwa uwe kiongozi mkuu wa makanisa yote
@KantonaErick10 ай бұрын
Hongera sana mchungaji ukweli mtupu
@isayatippe6409 Жыл бұрын
Mtumishi Hananja, kwa asilimia kubwa nakukubali kabisa, lazima kufuata UTARATIBU unaotakiwa!!!
@genevievesunday8 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi kazi yako ni njema
@AdenshaluMwameri-nl2dm9 ай бұрын
Yani kukija asubuhi jamani mm ndio baba leoo, mm ni muislamu ila namkubali huyu pastor.
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Siku zote nitaenda kusali Roman Catholic, Lutheran na Anglican.
@mamachris6811 Жыл бұрын
Uko sawa Mimi Anglican hadi mwisho
@ninahmbonea6248 Жыл бұрын
Kwani hayo madhehebu mnayo yataja Roman, Lutheran, Anglican yametajwa katika biblia gani? na Yesu alisemaje kuhusu kuabudu? Zehebu siyo ndiyo suluhisho suluhisho ni kulijua neno, someni Yohana 4;23 na Mathayo 18;20.
@mamachris6811 Жыл бұрын
@@ninahmbonea6248 hayo ni maoni yake na uchaguzi wa mtu binafsi
@archadbaltazar5358 Жыл бұрын
😂
@yohanamorisi1802 Жыл бұрын
@@ninahmbonea6248 Mungu akubariki
@user-pu7ux9xx7s2 ай бұрын
Mchungaji nakupongeza ni kweli wanawake wanasahau familia zao wanashinda kanisani masaa 24 kuwa wameokoka warudi kwenye mstari Sala zina mipaka
@user-rs4ft6ig7v7 ай бұрын
😂😅😅Nimecheka hapo njion ya leo Nakutemea maik 😂😂😂🤣🤣🤣 Nakukibali sana
@judynekesa8682 Жыл бұрын
Mbavuu zangu jamani TZ 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 this round akuna kumpumua
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Isaya 56 10 Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto hulala, hupenda usingizi, 11 Naam, mbwa hao wana choyo sana, hawashibi kamwe; na hao ni wachungaji wasioweza kufahamu neno; wote pia wamegeuka upande wazifuate njia zao wenyewe, kila mmoja kwa faida yake, toka pande zote. 12 Husema, Njoni, nitaleta divai, Na tunywe sana kileo; Na kesho itakuwa kama leo, Sikukuu kupita kiasi
@kabaranamaganga66467 ай бұрын
Ubarikiwe kwa kuwafungua watu macho japo waliofungwa hawatakuelewa
@neema8110 Жыл бұрын
Eti jioni ya leo😂😂😂😂😂😂😂
@rosemarysulle92884 ай бұрын
😂😂😂😂jioni ya reo
@Georgemorisiamani-oy3hf Жыл бұрын
Ubalikiwe sana baba
@HezbonBakiliye-cx6cj7 ай бұрын
ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@peternguluchuma Жыл бұрын
😂 jioni ya reooooo😂😂😂
@leonidasbzzojoyhatung3118 Жыл бұрын
Haaa🤣🤣🤣 ni kweli kabisa.jioni ya reeelooa🤣🤗🤗🤗
@hellenmawere9284 Жыл бұрын
Na sauti inabadilika 😝
@HadijaZabroni-pu1lt Жыл бұрын
Jioni yaleo😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-zj7bt5nl4v10 ай бұрын
Nakukubali mchungaji..!
@khadijaali9861 Жыл бұрын
Yaani wafurahisha mchungaji wasema ukweli
@mussakimaro5588 Жыл бұрын
Katika wachingaji wenye ukweli huyu Yuko vizuri sana
@mamachris6811 Жыл бұрын
Huyu na Daniel Mgogo
@davidmghanga8502 Жыл бұрын
Nakubali
@AlexMtenga11 ай бұрын
Hananja mungu akubariki sana
@ahmedymasimba1096 Жыл бұрын
Mzee uko vizuri sana huna mbamba
@FrenkLemigius4 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba
@kastoriooko7157 Жыл бұрын
Malango ya kuzimu ni : madhehebu, pesa , umaarufu na wanawake . Nikisema wanawake ni wote isipokuwa binti za Mungu.
@user-zo3sc5pk2l8 ай бұрын
Mchugaji uko vizuri
@janethstephen7869 Жыл бұрын
Kweli kabisa waaibisha ukristo jmn
@christsndushondi51 Жыл бұрын
Baba nakupenda bure
@hanifaoman2972 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂ukweli
@Estherm309 Жыл бұрын
😂😂😂😂 makenzi wooooi wakristo wameaibishwa kabisa jamani YESU KRISTO pekeyake atagulie Kwa MAISHA yetu 🤔🙏🙌🙌
@user-pu7ux9xx7s2 ай бұрын
Wape ukweli wabadike mchunaji umetufungua
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Unasema sawa Lakini Unaposema Wanaowaua hawana Makosa? Ni hivi Walioua Ni Wahalifu Pia
@alzawahirabdallah2299 Жыл бұрын
Kweli mchungaji kwa kwaeleza ukweli na ungeniambia pia ukristo sio dini
@JAPHETMWATUJOBE-nj4hc9 ай бұрын
Sure yupo sahihii
@suzanalucasemanuel7006 Жыл бұрын
😂😂😂😂 amen mchungaji
@aloycemisigalo3983 Жыл бұрын
Hananja we ni shida umeongea mambo mengi na yote yako sawa kabisa.
@happsamwita7381 Жыл бұрын
Amina Baba umefoka sana....waamini tue na akili
@NabilSeif-ll8in10 ай бұрын
Mutumichi yukomakisan
@user-kd9vh6ve6n10 ай бұрын
Kweli akili kubwa haiwezi kuongozwa na akili ndg...hawa ndo kina ayubu mtu mwenye akili kubwa hata dunia ikipita wakati gan atasimama katika nafas yake....nawaza dunia yaleo mtu akipitia aliyo pitia ayubu ataenda kwamitume wote mpaka atakapo enda kufia.
@risperrugimbana4745 ай бұрын
Biblia imekaa hapa baba hananja
@frankmushi8892 Жыл бұрын
Nikweli kabisaaa
@mzalendowaasili1727 Жыл бұрын
Hahahahah mungu aitwe Mungu
@jwakoofficial1560 Жыл бұрын
Nakubari sana
@DaudNtare Жыл бұрын
Wooo
@raphaelkomba3644 ай бұрын
Sawa lipo mahakaman kwann auwe watu huyo sio mchungaji Ni mjenzi huru
@amina2044amin-zv2gh7 ай бұрын
Amiin🤲🤲🤲
@edsonnelson4464 Жыл бұрын
Hao waliokufa waliowengi si walikuwa na umri zaidi ya miaka 18 kwani sheria inasemaje kwa mtu ambaye no mtu mzima kakubali mwenyewe kufunga hakuwalazimisha labda kwa wale watoto wadogo chini ya miaka18
@Washington4656 ай бұрын
Nakupenda mushunganji lakini sikukujuwi
@christopherkaloli3418 Жыл бұрын
Acha kupotosha watu,haya yalitabiliwa acha yatendeke ili maandiko yatimie
@nellyjr396 Жыл бұрын
We mtoto wa makenzi nn mbona kama unaumia😂
@jofreysikomele70566 ай бұрын
mimi nakuelewa sana las wewe ni Las pece las
@RichardGilbartMPAGAZE-hk2ny6 ай бұрын
Amen
@raphaelkomba3644 ай бұрын
Mmmh ukweli mtupu
@geofreyg.mtensa4559 Жыл бұрын
Jmn naomba MAMA SAMIA SULUHU HASSAN...kuanzia leo piga marufuku kwa mtu yyte kujiita Nabii au Mtume, yaani awa wasenge wanaudhalilisha ukristo sana, ...
@monicambuya-sq9ms Жыл бұрын
Tatizo uhuru wa kuabudu
@geofreyg.mtensa4559 Жыл бұрын
@@monicambuya-sq9ms daaah...!! inaniumiza sana yan,
@frankjohn8706 Жыл бұрын
@@monicambuya-sq9msHilo la uhuru wa kuabudu waliliweka wenye akili kwavile Mungu mwenyewe amewapa watu kuchagua watakaemtumikia wewe ni nani umzuie mtu kutumikia anachokiamini je siku utawala wa inchi ukiwa na rais mwanga na akawa na nguvu kama Nebkadreza alasimamisha sanamu lake ninani atapimpinga
@amosziro70547 ай бұрын
Hapo hananja
@andrew29468 Жыл бұрын
Tuna watu wa ajabu sanaa Africa. HAPO KWENYE AKILI
@ThobiasMarandu Жыл бұрын
Waliokufa Ni Wapumbavu, Waliowapeleka Waumini Kwenye Mauti Ni Wahalifu na Machinja Chinja Utasemaje Hawana Makosa?
@jacobshao1260Ай бұрын
Je unajua kukaanga kibua😂😂😂
@elishaskazoza8268 Жыл бұрын
Mzee unatakiwa uwe mwenyekiti cptc Tanzania
@sskondopoleani9616 Жыл бұрын
Mtumishi naomba nikusahihishe, kwenye dini yetu MAAMUMA haina maana ya Mbumbumbu fanya tena utafiti wako.
@SIMULIZIZONE Жыл бұрын
Ndugu mfuatiliaji naomba nikusahihishe Kwenye kiswahili Kuonyesha kosa la mtu bila kutoa jibu ni KUKOSOA Kuonyesha kosa la mtu na kumpa jibu sahihi, ndio kusahihisha Fanya utafiti