Nakuombea kwa Mungu akujaalie uijue haki ili uifuate Inshallah 🙏🏻🙏🏻 kwa ndugu zangu ktk iman tuitikie amin
@bakarisaidi30226 ай бұрын
uzuri wa mchungaji hananja anaongea facts,Mimi ni Muislamu lakini napenda sana kumskiza Hananja,
@KanalIdrissah-dh5hj20 күн бұрын
Even me broo
@Chery_cherryy6 ай бұрын
Safi sana, a good pastor who understands the scriptures, tunazungumza na Mungu kupitia maandiko yake matakatifu
@wamisangi28016 ай бұрын
Kupitia Roho Mtakatifu aka Roho wa Mungu anaye ishi ndani yetu ambaye anatuwezesha kudadavua hayo masndiko. Mchungaji wako mpaka hapo ni muongo tayari. Kwa umri wake amedanganya wangapi? Atubu na aache huu usanii utampleka jehanamu ya ziwa liwakalo moto milele.. Yohana 14:16-18.
@Catherine-mh8sw5 ай бұрын
@@wamisangi2801yohana 17:3
@user-ve3wu5jn1l5 ай бұрын
Hananja Mungu amuweke upo wazi Sana . Naomba Mwenyezi Mungu akuongoe
@salmoncelestine68405 ай бұрын
Kristo aendelee kukutunza baba,, nakupenda..God bless you
@bugybuster57886 ай бұрын
Ananja na magufuli baba 1 mama 1 maana wate wanasimamia kwenye haki
@namangabruno-xh3kp4 ай бұрын
Kheeee
@assaandrew24112 ай бұрын
Weeee nawe umelewa hawafanani hata kidogo
@mremagoodluck94018 күн бұрын
Mchungaji kweli, hachoshi hakinaishi kusikilizwa mafundisho na vionjo vyake, na tunapata kitu kwake faida yetu ya kiroho na kimwili. Sio hao wanaojiita,mh,dr,nabii, mtukufu sijui ujinga na sifa. Mungu pekee apewe sifa na si mtu
@LeahKaboza-vb4ih6 ай бұрын
Hongera mchungaji Mungu akubariki sana kwakweli hilo la michango watu wamefirisika
@EzekiaMichael-jn5np6 ай бұрын
Mchungaji Mungu akutie nguvu
@allymwashambwa59205 ай бұрын
Kwakweli hananja na baadhi ya wenzako nawakubali, mungu awabariki mnooo mnasema ukweli tu
@KS-iw7qv6 ай бұрын
😂 Ukizungumza na mkuu wa wilaya tu hatulali... je Mungu tutakuwepo kweli😅
Mchungaji wewe unajielewa sanaaaa mungu akubariki.hakuna mwanaadamu wakuongea na mungu wanakanisa laa Arusha pale kwa devi wahajielewi
@vickytorry1006 ай бұрын
Ukweli mtupu Dina za mchongo hizo, Mungu akuzidishie HEKIMA Mchungaji Hananja 🙏🏾
@wamisangi28016 ай бұрын
Manabii wa uongo watawapata wanaweke wajinga.
@user-io8hn1jb4d4 ай бұрын
We nawe mjinga mwingine@@wamisangi2801
@jamesnzinga53545 ай бұрын
Uyu jamaa ni mwalimu, mzuri muhubiri mkweli na mwana falsafa katika elimu ya dini kenya tunamkubaliii
@MichaelMagige6 ай бұрын
Majambazi yameingia makanisani,watu hawana hofu wanajiita manabii wa mchongo,stukeni watanzania! Musa mwenyewe hakumuona Mungu,hakuna mwanadamu anayeweza kumuona Mungu akaishi!
@trophywilson72116 ай бұрын
Kweli Kweli
@januarysungura81195 ай бұрын
Neno la Mungu ni taa ya miguu yangu ,tatizo ni watu kufikiri utajiri kwa maombi na miujiza bila kuwekeza na ndipo wanapoibuka manabii wa uongo kutumia fursa ,Hongera sana hananja kwa kuhubiri vyema
@gaspeldaniel11406 ай бұрын
Huyu mchungaji angekua uraya naamini angekua mbali sana maana kwanza unafiki hataki na uongo hataki amesimama katika bibilia
@mohamedyahya62686 ай бұрын
Sio uraya ni ulaya😂
@wamisangi28016 ай бұрын
Ulaya kazi ya ulaghai inalipa? Joel 2:28.
@vickytorry1006 ай бұрын
Kweli kabisa huyu ni tunu ya Tz ila hatuthamini watu kama yeye. Ni Mungu atamlipa
@yjoo98076 ай бұрын
Kwanini sasa unaamini mpaka awe ulaya??
@wamisangi28016 ай бұрын
@@vickytorry100 Acha kujitoa ufahamu wewe, Mungu yupi amtumikiaye anaye mruhusu kukejeli kwa rejareja hivi. Hii ni tabia ya Goliati.
@felistermarco5 ай бұрын
Kabisaaa🤣🤣 tanzania sihami mimi.uko sawa mchungaji
@CLAUDIPHILIPO4 ай бұрын
Pastor upo sahihi sana
@RubenMtuwaMungu-bz8ee6 ай бұрын
Manabii jamii ya akina Geordavie wa mungu wao aitwaye mungu wa dunia ni kweli huwa wanaongea naye hata kukaa naye.
@user-wi8og3sv4j6 ай бұрын
Maranyingi ananifurahisha na ananiimarisha sana kiimani
@aminatanzanya74755 ай бұрын
Ukizungumza na mkuu wawilaya hatulali.. Uzungumze na Mungu tutakuwepo kweli hahaha.!!!
@StevenCharles-d2o11 күн бұрын
Halafu ndo wale Wanaodanganya Wanamwona mwongo ila hananja Mungu akupe maisha marefu maana Milano pia ipo
@ThomasLucas-rh7wf5 ай бұрын
okey Hananja Mungu atusaidie
@righitkileo5 ай бұрын
Jaman dunia imechafuka watu wanasaka hela mpaka hawamuoqop Munqu.jaman mtu anaamka toka huko ni nabii.Aisee Munqu❤❤ Mkubwa❤❤❤pia mvumilivu.dunia inatisha
@SamwelSilvester-sp5owАй бұрын
Nakukubali sana, mungu akubariki
@estherdeborahsabuni98355 ай бұрын
Aliyemchagua Mungu amemchagua. Mungu turehemu.
@paschaljackson25845 ай бұрын
Ni kweli wachungaji wengi wanaanzisha makanisa ili wapate pesa. Wanafanys makanisa kuwa ndiyo biashara zao. Watu wanato sadaka kwa wachungaji wao bila kujua kuwa wanawaaminisha uongo tu. Soma biblia upate masrifa.
@CJ-vd9wn6 ай бұрын
Ila huyu mzee ni mwanafasihi mzuri sana😂😂😂
@vickytorry1006 ай бұрын
Mungu amemuumba wa pekee sana
@jeremiajacksonlupora67315 ай бұрын
Namkubali sana Huyu mchungaji
@saimonmizingo74855 ай бұрын
Mzee Mungu atusamehe sote tuione mbingu ubarikiwe sana
@trophywilson72116 ай бұрын
Mwandishi hata Kuandika hujui,mungu ni mzimu na MUNGU ndiye wa kweli
@hanskidd22905 ай бұрын
Acha ushamba bn tfsri ni ile ile
@timotheojackson30215 ай бұрын
Barikiwa Sana ❤hii ni kweli
@YOSHUAMWAMPETA5 ай бұрын
WAJUA KUANDIKA ILA KUFUNDISHA HUJUI.Sema MUNGU anaandikwa kwa Herufi kubwa Hususani Herufi ya Kuanzia.Ukiandika jina Mungu kwa kuanza na herufi ndogo kwa mfano kwa kimombo ukiandika gods itamaanisha miungu.
@Shafikimanga76 ай бұрын
Huyu anamjua Mungu na Imani pia. Huu ndio werevu Kila mmoja afikie hapa walau kwanza
@RamiasadikiGjanGjan3 ай бұрын
Safi sana mzee wangu
@sandrauwase95216 ай бұрын
WoW nakupenda sana mchungajii ❤
@abisalomwasike82805 ай бұрын
Man of god really man
@SaidKidundo-b7c14 күн бұрын
Nampenda sana huy mchungaji
@bahatilaizer87066 ай бұрын
Mimi ni Muslim Lakini nampenda Sanaa mchungaji Hananja anasema Ukweli uliopo Mungu akujalie miaka mingi wachungaji wengine wakuige Wewe
@AndreTadeuAlberto3 күн бұрын
Peço ajuda família, nataka kujiunga mwezenu na uyu mchungaji
@meekman18055 ай бұрын
Hongera kwa kusema Ukweli.
@patientfazili40675 ай бұрын
Ndio Kuna watu waiwojaliwa neema hapa Dunia wanasikiya sauti ya Mungu kimono ao kupitiya mjumbe (Malaika)
@mustavic77505 ай бұрын
Hayo ndo matatizo ya afya ya akili, 😂😂, yani usikie sauti ya mungu kupitia malaika.
Mungu akujalie akuonyeshe dini ya haki kbla ya kufa
@KennethChambilo-oh8pw6 ай бұрын
Waisilam acheni kukosoa msiyo yajua wote tumekaliliswa tu hizi dini kwa madiko ukweli anao yule aliye kuwepo kwenye tukio
@hassanachunis11666 ай бұрын
Tatizo lenu mnafanywa sana ngombe hilo ndio tatizo sasa mtu anakwambia ameongea na mungu na wamekaaa pale wanacheka 😊😅😅 sasa waislam ushawahi kuskiaa shekh kasema upuuzi kama huo
@Abcdefghijjjjjjjj6 ай бұрын
Hassan usisahau waislam mnapenda kufanya kinyume Cha maumbile Halafu makundi mengi ya kigaidi ni yenu Halafu mna chuki za hali ya juu sana na ubinafsi umejaa sana kwenu Ila ni nyinyi sio msaafu wenu Hata sisi bible haijasema Geodav huyu nabii wa uongo eti ndio ukristo Kua kiimani sio unakua kwa chuki ya kidini@@hassanachunis1166
@farajansekela57635 ай бұрын
Hata we dini umerithi unaijua vizuri ,,,,,Dini zote Ni biashara tuu,,,@hassanachunis116
@KassimuAhamadi06Ай бұрын
Waislamu wanajutambua,huwez kuona upumbav huo msikitin
@josephmushi70975 ай бұрын
Huyu mch ni mkweli kwa yeye Mungu hajawahi kuzungumza nae ila Mungu huzungumza na watu .Ni kwa njia gani kila mmoja kulingana na mahusiano yake aliyoyajenga mwenyewe.Mungu sio bubu .
@meekman18055 ай бұрын
Safi sana Mchungaji!
@AlexMkwama6 ай бұрын
Wokovu ni Wa Mtu Binafsi na MUNGU, kupangiwa sadaka ni ubakaji wa kiroho. Toa kwa kadri ulivyo barikiwa.
@@user-oh5iu6jx2j 2YOHANA :20"Nasi twajua ya kuwa Mwana wa Mungu amekwisha kuja,naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani ndani ya Mwana wake YESU KRISTO.HUYU (YESU) ndiye MUNGU wa kweli , na UZIMA WA MILELE." Ninajijua mimi ni NANI ndani ya YESU KRISTO WA NAZARETI MUNGU WA KWELI ,wewe Je?
@user-iw3kr9km6j5 ай бұрын
Mungu ajalie kizazi
@RolensiaKija12 күн бұрын
Big up mch hananja
@francofrederick9724 ай бұрын
Unasifiwa na wengi sawa, lkn unategwa kwa maneo yako uikane imani, kumbuka Mungu ni yeye yule habadiriki, unamaanisha Mungu ameacha kusema?, Wakati unamkosoa mwenzio sawa hata akiwa hayuko sawa ,wewe ndo unakosea zaidi😂😂😂😂😂😂
@dennisezakiel33806 ай бұрын
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hilo kweli kabisa ,
@hezronsanga51976 ай бұрын
True
@breymbasa34516 ай бұрын
Wanaongea na kingereza kidogo aleluhja oooo haleluhja😂😂
@pommenuh54135 ай бұрын
My mcungaji
@chrisbee78765 ай бұрын
😂😂😂😂😂nimecheka sanaaa
@lusekelowilliam20689 күн бұрын
😂😂😂😂 dah nimecheka kweli
@AbelTweve-yq8xe6 ай бұрын
Ati utafkirii striker😂😂
@noahnsubc16666 ай бұрын
😂😂😂 nakubal Hananja
@dilludillu27475 ай бұрын
The big brain
@estherdeborahsabuni98355 ай бұрын
Hananja sijawahi kukuelewa. Rehema ya Mungu iwe nasi. Mungu turehemu.
@wakwanza18325 ай бұрын
Sio mzima
@MasamaJanuary-ej1zz7 сағат бұрын
Ananja ni mfano wa kila kiongozi wa dini
@KijukuuMtemi4 ай бұрын
Huyu mchungaji angekua muislam bas ndo angekua shehe mkubwa tz mchungaji nakuombea Dua islimu kabla hujafa maana unaongea ukweli
@MS.independent89345 ай бұрын
😂😂😂 iiiiiiingweeeee 🙌🏼
@user-bi2hl9pw3v5 ай бұрын
Mimi nimwislm ila huyu jamaa namkubali cn
@joseaugust28055 ай бұрын
kwahiyo lile andiko linalosema siku za mwisho wazee na vijana , wataota ndoto na wataona maono , je nalo hilo andiko mbona hananja halisemi, hananja ni mzuri sana kwenye mambo ya kimwili , ila kwenye mambo ya kiroho naona hayupo viuri , maana encounter za KiMUNGU naona haziamini yeye anaona wote wanaotokewa na malaika au Yesu kuwa ni wanasema uongo , yaani wanajitungia story tuu, ila all in all maono na ndoto za kiMUNGU zipo, mtu asije akakudanganya , Mungu anaabudiwa katika mwili na pia katika roho na kweli
@didasmajor92885 ай бұрын
Jamani ukristo unaelekea wapi? Ee Yesu mwana wa Mariam plz rudi, angalau utunyakue wachache tuliobaki kukuamini ktk kweli ya neno lako, usikawie maana hata walio wateule wanaanguka, ushoga kanisani, Kamari kanisani, Vikoba kanisani, Ulawiti kanisani, Ufiraji kanisani, Utapeli kanisani, U-miss kanisani, Biashara kanisani, Ulevi kanisani na kila aina ya uchafu, waliobaki na msimamo wa dini ni watoto wa mama mdogo tu! Kumbuka ee Yesu ulisema, wema wetu usipozidi wema wa mafarisayo na masadukayo, hatufai kitu, siku hizi watt wa Ishmael wanalea watoto yatima, wanasaidia wagonjwa mahospitalini, wahi maana wateule nao wataisha, kazi yako pia itakuwa bure? Kufa kwako msalabani kutafaa nini? Njoo masiya njoo tunakungoja njoo uje uweke wazi mafumbo haya.
@user-zh4bu2mo9j5 ай бұрын
Mchungaji hananja lekebisha kauli yako mamuma mahanayake mtu anaeswali nyuma ya imaimu iyo ndio mahana ya mamuma usibadilishe mahana unasema mamuma mtu asiejua sikweli nakuomba mchungaji waone walimu update mahana sahii
@henrysizya2395 ай бұрын
Yaani mahojiano ambayo mchungaji Hananja amekuwa akifanya mara kwa mara yanawaponya wengi kuliko baadhi ya watumishi.
@user-mf5vn2kw4d5 ай бұрын
NI KWELI amezungumza na mungu lkn hajazungumza na MUNGU
@ErnestagustKweka2 ай бұрын
Kuna watu WA rohoni na WA mwilini ndicho kinchoonekana hap
@YohanaCharles-ow4kp4 ай бұрын
Huyo mchungaj wa Arusha smwamin nahuyu hananja simwamin nnae mwamin n mungu2
@mako3315 ай бұрын
Mimi ni mkristo lakini kweli ukristo umeingiliwa na ujinga saana, yani tunaamini tu kila ujinga eti Yesu aliniambia uso uso upuzi mtupu
@SAMWELCLEMENTtz45 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kalisanahii
@BIGSTONE-lb9po5 ай бұрын
NIHATARI SANA.
@musicheals15455 ай бұрын
hapo kwnye Sadaka na michango michango mingine, inabdi uende kwa viongozi dheheb flan ivi ukatoe somo kule maana.
@ubunifulifestyle34926 ай бұрын
Eti we mkaanga chipsi utaongea na mungu wwww😂😂😂😂
@wamisangi28016 ай бұрын
Unachekelea kama mazuri vile? Mkaanga chips aliye mpokea Bwana Yesu kwa taratibu zilizo elekezwa na Neno. Si tu kuwa anaongea kupitia ndoto/maono na Mungu lakini Roho wa Mungu anaishi ndani yake. Mawakala wa shetani katika ubora wao kupotosha wwtu wa Mungu ili wawaunganishe waende nao moto. Joel 2:28.
@dicksonkilupa22586 ай бұрын
@@wamisangi2801Mungu anaweza kusema na mtu yeyote kwa lengo la kutimiza kusudi lake, ila Mungu anayesema na mtu mmoja tu wengine hataki na tuchunguze hilo alilolisema linalenga nini?
@yuzotv4586 ай бұрын
@wamisangi2801 mzee unaamini geordevi kaongea na Mungu live sio???!,
@wamisangi28016 ай бұрын
@@yuzotv458 Jiongeze wewe, hujui hawa manabii wa uongo wanavyo lindana na kusaidiani. Kwa akili zako unafikiri huyu mchungaji anampinga Geodavi. Juzi tu katoka kusifia nabii wa uongo TB Joshua ndio leo ampinge Geodavi.??? Hii ni scheme ambayo imepangwa ikapangika ya shetani na mawakala wake. Iko hivi,Wiseman Daniel mmoja wa wasaidizi wa karibu na kuaminika sana wa nabiibwa uongo TB Joshua, alitoa ushuhuda kuwa nabii wa uongo TB Joshua alikuwa anafanya Ubatizo wa uchi wa mnyama kwenye mlima wa maombezi hapo scoan. Huyu mchungaji alimtetea leo ndio apinge huyo wa Arusha. Kutoka 20:26 na Yohana 21:7. Hawa manabii wa uongo wanafanya hivi. Wanatoa tuhuma dhaifu kwa mwenzao wakiwa wameandaa hoja zenye nguvu kutetewa na wengine hapo baadaye kuendea kudanganya watu wa Mungu. Tuhuma zote anazopewa TB Joshua ni dhaifu na zinazo hoja zenye nguvu zitaendelea kutolewa kadiri muda unavyo enda kuzipinga hii ni kwa madhumuni ya kuendeleza umaarufu. Unajua kwa nini. Nabii wa uongo TB Joshua alishadanganya kuwa yeye ni masihi baada ya Bwana Yesu Kristo kwani Mungu huleta mwokozi duniani kila baada ya miaka 2000 yeye ndiye wa kizazi hiki. Huu ni mpango aliacha hata baadhi ya mikakati ya huu uongo akiwa karekodi matukio ya kupigia propoganda.
@wamisangi28016 ай бұрын
@@yuzotv458 Geodavi na mchungaji wote manabii wa uongo.
@aizzyashery55646 ай бұрын
We ni zaidi ya mchungaji mkuu
@stevenialbert50334 ай бұрын
Tatzo unapenda sofa kwa wanadamu but God took with us,
@hamidudigogo58636 ай бұрын
Huju mchungaji angekua mwislam angekua safi sana mana hata wachungaji wengine namini Wana mchukipa ila anawambia UKWELI ubalikiwe sana HANANJA
@user-io8hn1jb4d4 ай бұрын
Geor Davie mwizi tu kama wezi wengine
@MelaNakuja5 ай бұрын
Naitwa Rejina kashinde na watafuta ndugu zangu maiko kashinde kanyala ni namiaka kumi16 sijawaona
@OteshaTime_Services5 ай бұрын
Tatizo hatusomi NENO na kuomba, na hatwendi kanisani.
@hekimajohn30706 ай бұрын
Huyu ndo muchungaji wa kweli aliyebaki duniani wengine wote wapigaji
@yudatv49116 ай бұрын
Mungu akuzidishie maarifa hananja
@NasaniaMartin3 ай бұрын
Hivi kumwona mchungaji ni pesa hivi kulikon
@mussakimaro55885 ай бұрын
huyu ndo mchungaji naemkubali ktk wachungaji wote
@VascoKasambala2 ай бұрын
Iiichi watu wake wengi ni ziro brn
@oscarjohn4776 ай бұрын
St Francis mbeya
@user-yl8td2om2y6 ай бұрын
Baba ubalikiwe sana Yan tujifunz kitu wakrsto jaman Tanzania sio kwako kichwa iki kingekua malekan wagejivunia San mama Samia nakuomb ananj awemshaul waikul jaman
@HaroldEliud5 ай бұрын
Mungu yupo anaongea na watu wachache, sio manabii tu, kuna watu walikuwa washirikina , wameonana na Mungu na waliacha, wapo waliokuwa icu wamezungumA na Mungu live wamepona