No video

#MEDANIZASIASA

  Рет қаралды 8,448

Star TV Habari

Star TV Habari

Күн бұрын

Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !

Пікірлер: 19
@albertvalentino130
@albertvalentino130 6 ай бұрын
Yakijirudia ya 2020 tunaweza kuwa kwenye hatari ya kutumbukia shimoni.
@PoliceBrutalityWorldWide-pd8mw
@PoliceBrutalityWorldWide-pd8mw 6 ай бұрын
Mbatia ni msomi na mwanasiasa mzuri , nakukubali toka Bungeni. Umetulia ingawa kuna usaliti. You look younger, calm and stable. God bless you always 🙏🏾
@ibrahimnyangura2195
@ibrahimnyangura2195 6 ай бұрын
👌👌
@jumahungulu9891
@jumahungulu9891 6 ай бұрын
@odemba👋
@reginamwendwa6709
@reginamwendwa6709 6 ай бұрын
Mbatia namkubali sana mtu wa uelewa mkubwa hekima na mcha Mungu NCCR bila mbatia inapwaya
@deokessy6596
@deokessy6596 6 ай бұрын
Fact mbatia
@albongo6
@albongo6 6 ай бұрын
Mbatia ni mahiri sana
@ChristerShao
@ChristerShao 6 ай бұрын
Mbatia hekima ipo,nilisikitika sana,alichofanyiwa na Selasini.Ni mtu wa Heshima sana.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 6 ай бұрын
✌️👊👍.
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 6 ай бұрын
Mbatia uko vizuri sana ila odemba anataka kukubaisha, swala la uenyekiti kwa chama kinachotafuta dola siyo wakubadilisha hovyo hovyo unaweza kuleta mamuluki
@The199269
@The199269 6 ай бұрын
Edwin Odemba Ulindwe na Mizimu yote ya ma babu zetu
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 6 ай бұрын
Odemba huyu si kiongozi bandia unaowayumbisha.
@jumayussuf6786
@jumayussuf6786 6 ай бұрын
Ccm muandishi
@raymondswai5555
@raymondswai5555 6 ай бұрын
Odemba si mwandishi au mtangazaji mahiri,,,,uliza swali subiri jibu vinginevyo ni MDAKU tu
@csato9415
@csato9415 6 ай бұрын
Huwa nashangaa maana haachi mtu akamaliza kujieleza, labda mimi sijui... pengine ndio taratibu kwa wanahabari kuhoji !
@user-hf9kp7ys2h
@user-hf9kp7ys2h 6 ай бұрын
Ndugu odemba CCM hawachagui mwenyekiti bali hupatikana Kwa kuchaguliwa Kwa urais wake hivyo hatokani na kuchaguliwa kama wanavyochaguliwa wenyeviti wa vyama vya upinzani Kuna tofauti kubwa sana hapa na hii yote inafanyika kuwabana waliomashuhuri na viongozi wanaofanya vizuri kwenye upinzani wasiendelee kuchaguliwa. Tuviache vyama vya upinzani viwe huru kuwachagua viongozi wanaowataka wenyewe wawaongoze bila kujali ni Kwa muda Gani !
@RichadTenga-ze4vp
@RichadTenga-ze4vp 6 ай бұрын
Mbatia NI comrade,WENYE akili wanamjua ndo maana wanamwekea njama KILA kona .tunamfurahia.mchango wake tumeukosa Sana shupavu huyu wa mama tanzania.hao waliompindua tunawajua hawana lolote NI wahuni wamenunuliwa,na hawafiki popote.na tunawafuatilia Kama wanna hoja hatuzioni.tunachoona NI ndevu tu zinapepea,majungu na maneno ya uongo na ya kumchafua mheshimiwa mbatia ili wammalize hawataweza huyu NI Nelson Mandela wa tz
#MEDANIZASIASA-LAZARO NYARANDU NDANI YA MEDANI ZA SIASA N CHIEF ODEMBA
54:30
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 13 МЛН
VICKY KAMATA NDANI YA MEDANI ZA SIASA NA CHIEF ODEMBA.
54:58
Star TV Habari
Рет қаралды 2,4 М.
Cia mucii 😄
46:52
Advanced Pictures
Рет қаралды 129
RAFIKI :BROTHER K MOBIMBA
3:15
Brother K MoBiMbA
Рет қаралды 14 М.
MEDANI ZA SIASA NA MCH.PETER MSIGWA
1:07:42
Star TV Habari
Рет қаралды 14 М.
Blue Food VS Red Food Emoji Mukbang
00:33
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 13 МЛН