GODBLESS LEMA KATIKA DK 90 KWA KINAGAUBAGA AFUNGUKA YALIYOKUWA YAMEJIFICHA KWENYE MEDANI ZA SIASA.

  Рет қаралды 56,014

Star TV Habari

Star TV Habari

5 ай бұрын

Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
Star TV Brightens Your Day !

Пікірлер: 300
@brunowilliam826
@brunowilliam826 5 ай бұрын
Tungepata watu kama 10 tu Tanzania aaàh tungekuwa mbali sana .LEMA KICHWA
@edsonmnego4030
@edsonmnego4030 5 ай бұрын
Lema akili kubwa sana huyu jamaa sema tu mungu akubaliki
@mocomoja4229
@mocomoja4229 5 ай бұрын
Lema Anaongea ukweli na hata mtangazaji anajua Hilo
@abdulally2764
@abdulally2764 5 ай бұрын
Lema Mungu akubariki sana ... nakuombea . Hakika hizi ni dk 90 zitazo ishi mika mingine 90
@user-mp7zk7dk7f
@user-mp7zk7dk7f 5 ай бұрын
Hongereni star tv mnajitahidi kujitofautisha na Yale ma tv
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 5 ай бұрын
TV za machawa na mashabiki
@mathewyoung2159
@mathewyoung2159 5 ай бұрын
Lema wew kichwa ubarikiwe Sana kiongozi wetu ✌️✌️
@shinipapaya846
@shinipapaya846 5 ай бұрын
Kwa lipi ndugu yangu jiongeze 😂😂😂
@user-bg8zz5vw5v
@user-bg8zz5vw5v 5 ай бұрын
Lema ww nimtu muhimu sana mungu alikuweka hpo kwasababu tuna kukubalisana ww nifaither brother.
@abdulmshamu801
@abdulmshamu801 5 ай бұрын
Good my lema,umekomaa kisiasa.
@gallegalleson4427
@gallegalleson4427 5 ай бұрын
Lema nimemfuatilia ana uelewa mpana wa mifumo wa serikali ya tz
@user-fl7jl7vk3n
@user-fl7jl7vk3n 5 ай бұрын
Lema ni shujaa
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 5 ай бұрын
Godbless Lema Mtumishi Anaehubiri Ukweli Hata Pahali Pa Hatari, Mungu Akulinde Mwamba Wetu,🙏🙏🙏
@MakalaSimulizi
@MakalaSimulizi 5 ай бұрын
Lemaaa!!!!!!! Smart Sanaa hiki kiumbee
@user-dc2xo6tp4n
@user-dc2xo6tp4n 5 ай бұрын
God bless lema uko makini sana umeupiga mwingi waambie ukweli na waswahili wanasema myonge mnyongeni lakini mpeni haki yake
@jamallysayd3886
@jamallysayd3886 5 ай бұрын
Najiulizaga chadema wanatoaga wapi watu wenye uelewa mkubwa,ukiachana nalema kamata yeyote pale chadema hata mfagiaji point nikubwa full madin kichwan yani utajibiwa na utarizika sio wababaishaji wawale jamaa wengine wanaojar matumbo yao2 Allah akubariki sana kaka lema
@LumolaSteven
@LumolaSteven 5 ай бұрын
Tupeni fursa tuunde Serikali ya CHADEMA. Wananchi wakiamua inawezekana tukafanya mageuzi.
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 5 ай бұрын
UKO SAHIHII NDUGU UMESEMA UKWELI, CHADEMA INAHAZINA YA VIONGOZI, TAIFA MPAKA VITONGOJINI NI WATU WENYE AKILI KUBWA SI VIONGOZI TU HATA WANACHAMA WA CHADEMA WENGI NI WENYE UWEZO MKUBWA SANA WA KUFIKIRI AJABU!!! NDIYO MAANA CHADEMA IKO IMARA SANA!! KUMBUKA VYAMA VYOTE VYA UPINZANI NCHINI VIKO MFUKONI MWA CCM, LAKINI CCM HIYO HIYO IMEISHINDWA KABISA KUIWEKA CHADEMA MFUKONI MWAO NA HOFU KUBWA YA CCM NI JUU YA CHADEMA. HAKIKA CHADEMA NDIYO KIBOKO YA CCM.
@salummohamed2689
@salummohamed2689 5 ай бұрын
Tatizo siyo wanatowaga wapi, ni watu wanaoamini utawala Sheria na haki.
@MussaSelemani-wz5np
@MussaSelemani-wz5np 4 ай бұрын
HAHAHAHAHAHAHAAAAAA UMENIFURAHISHA SANA
@wiza2309
@wiza2309 5 ай бұрын
Hongera sana Mh Lema, uko vizuri sana, Mungu akutunze
@apostlejoelyamo2983
@apostlejoelyamo2983 5 ай бұрын
Lema uko safi pipoooooooz
@josephatmsaki5944
@josephatmsaki5944 5 ай бұрын
Lema nakuelewa san
@omaryidd4373
@omaryidd4373 5 ай бұрын
Lema ameongea ukweli kabisa Arusha barabara alitengeza kipindi chake 42:08
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 5 ай бұрын
Namuona Odemba akipokea madini kutoka kwa professor nguli wa siasa ya jamii G.LEMA
@pastorstevenmdoe5143
@pastorstevenmdoe5143 5 ай бұрын
Kiongozi shupavu G Lema
@ignacekiwale7281
@ignacekiwale7281 5 ай бұрын
Navutiwa sana na Mwandishi Odemba kwa weledi na maswali mazuri anayowahoji watu mbalimbali...Mhs Lema,ni mkweli,mwenye ufahamu wa mambo ya kimsingi,mtetezi wa haki na mwanasiasa mahiri sana...
@FrankMichael-tg4vz
@FrankMichael-tg4vz 5 ай бұрын
Nilimuomba mungu anipe mtt wa kiume nimuite jina la huyu mwamba na kweli mungu amejaalia nimetimiza ilo Sasa mwanangu ni God bless ❤
@udazakikoti3419
@udazakikoti3419 5 ай бұрын
Wenye mitazamo ndiyo wanaopigwa vita na serikali ya nchi hizi, lakini lema hayumbi kwenye misimamo yake
@juliuslukumay333
@juliuslukumay333 5 ай бұрын
Goodbless lema ni mwanasiasa mwenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na pia anauwezo mkubwa wa kufikiria kuhusu maisha ya watu na kuhusianisha na utawala.
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 5 ай бұрын
Kwa kujenga hoja hata akiwa muuaji awe kiongozi wa nchi. Kwa kweli fikra zenu matope ndo maana Tanzania na utajiri wote tuliokuwa nao fikra za Mtanzania ni kiwango cha chini sana sana, hamjithamini kama nyinyi ni binadamu mnaostahili usawa, haki na maendeleo. Ni mtu asiyejithamini tu na mjinga ambaye hajielewi. Inasikitisha kuona na elimu zetu, miaka ishirini bado tunaongelea afya bira, barabara mbovu, elimu duni, ufisadi, kuporwa ardhi, kuteka watu. Bado mnakihitaji hiki chama kiendelee hivyohivyo , basi sisi si binadamu kamili bali nusu watu tusiojielewa.
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 5 ай бұрын
BRAVO MH. LEMA....UMEKUWA JASIRI NA MUWAZI KUHUSU MAKONDA.....HUYU MAKONDA NI MUUAJI...MLA RUSHWA NA FISADI WA KUTISHA....LAANA YOTE YA UTEUZI WAKE ITAMPATA TU MH. RAIS SAMIA....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU 'HACHEZEWI'.
@user-vd1vx1dc8p
@user-vd1vx1dc8p 5 ай бұрын
Kuna watu Tanzania hii ukiwaambia kuhusu Makonda wanakutukana matusi kama yote, watakumbuka baadaye wamechelewa subiri tuone mwisho wake
@aloycemruma6552
@aloycemruma6552 5 ай бұрын
​@@user-vd1vx1dc8pmm 57:08
@danielmakelemo2395
@danielmakelemo2395 5 ай бұрын
Odemba Leo Kawa msikilizaji emekutana na ulimi ufunfishao😂😂😂the born agen huyoo
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 5 ай бұрын
Kaabisa kabisa
@salummohamed2689
@salummohamed2689 5 ай бұрын
Odemba Kiri kuwa umekutana na kiumbe chenye uelewa Kwa maendeleo ya nchi yake. Ukikiri labda serikali ya ccm itakuchukia?
@listenshao2716
@listenshao2716 5 ай бұрын
Safi sana kamanda wetu
@waltergeofrey8543
@waltergeofrey8543 5 ай бұрын
Nyamaza Odemba hahahahahaha nice Interview 👏
@thomasmollel9465
@thomasmollel9465 5 ай бұрын
Bro nakukubali sana
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 5 ай бұрын
❤❤❤❤ hakika kabisa mwamba umesema kila kitu chakweli
@MuhojaMalicho
@MuhojaMalicho 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤ kamanda wakwe nia yao nzur kwa ichi
@AlexMkwama
@AlexMkwama 5 ай бұрын
Odema jitahidi kutoa sauti , lema tu hapo hakusikii vizuri! Unauliza maswali kama unaogopa , be free man of god
@queenmama2033
@queenmama2033 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 brother lema big up😂 iyo ya makondaa bhn
@DoctorKajase
@DoctorKajase 5 ай бұрын
Odemba hanakitu hapo niyaleyale makapi ya sisiemu mapandikizi madogo madogo. Kwanza hana anacho kijua kimataifa. Akiwa anamuhoji lema nisawa na kilimanjaro na kichuguu. Hakuna muandishi hapo. Kuna chawa hapo tu anaefikiria kwamba anaweza kuchaguliwa DC Pumbavu ni ujinga mtupu.lema anaongea point kubwa sana na zamsingi ila huyo bwege anae muhoji anaegemea sana chama tawala.
@feddymwanga5462
@feddymwanga5462 5 ай бұрын
Kazi nzuri Godbless
@user-nn6zq1ok7i
@user-nn6zq1ok7i 5 ай бұрын
CCM WATAFAKARI WAJIULIZE KWANI KONGO HAWAKUWA NA ASIKARI BINADAMU ANABADILIKA WASIJIAMINI KWENYE JAMBO LA HAKI
@MnuwiiItowela-vf1td
@MnuwiiItowela-vf1td 5 ай бұрын
Kamanda upo sahihi
@user-in9gt2nz9x
@user-in9gt2nz9x 5 ай бұрын
Bro umetisha sana umekomaa kisiasa una PhD ya siasa
@JoshuaStanley-qu3im
@JoshuaStanley-qu3im 5 ай бұрын
Lema nakukubali sana
@egbertmachumu8552
@egbertmachumu8552 5 ай бұрын
Kauli ya mkuu wa majeshi kuwa kuna wakimbizi wako kwenye nafasi za maamuzi nchini ni nzito sana ...
@MussaSelemani-wz5np
@MussaSelemani-wz5np 4 ай бұрын
TENA ZAIDI YA SANA
@swaxtv4650
@swaxtv4650 5 ай бұрын
Lema 🙌🙌
@tubonemahalack7505
@tubonemahalack7505 5 ай бұрын
Kabisa lema unachokisema ni kweli tupu
@paulokiwango21
@paulokiwango21 4 ай бұрын
Ni sahih kbsa
@richardhoseni2643
@richardhoseni2643 5 ай бұрын
Absolutely 💯
@ERICKEXON
@ERICKEXON 5 ай бұрын
Lema nikiongozi Bora ajaye
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 5 ай бұрын
Serikali hii inatawaliwa namagaidi ndiyomaana wanaiba wanaua wanabambika raiawemamakesiyabure walaghai walafi hawajari haki zawatu,
@ChristerShao
@ChristerShao 5 ай бұрын
Hapo Lema siyo sawa mpe nafasi nzuri sio umwambie nyamaza.
@selemanishambi6524
@selemanishambi6524 5 ай бұрын
Sawa bwana umeneja Asaalam alahkum mema.
@pendolema7195
@pendolema7195 5 ай бұрын
Safiiiii😊
@PaulMadatta
@PaulMadatta 5 ай бұрын
Da! Huyu jamaa sikuwahi kufikiri kama anauwezo namna hii aiseee😢😢😢😢😢
@user-xr9ql3cf9k
@user-xr9ql3cf9k 5 ай бұрын
He's the mindchanger.....nothing more
@user-or5hm7nl7q
@user-or5hm7nl7q 5 ай бұрын
Nakubali sana
@deomuday7315
@deomuday7315 5 ай бұрын
Lema kama Lema God bless you my brother
@mwalimulossilamsuya1944
@mwalimulossilamsuya1944 5 ай бұрын
Stop neglegence friend...congr...4what
@emmanuelmziray1073
@emmanuelmziray1073 5 ай бұрын
God Bless you Godbless Lema ❤
@Euph59
@Euph59 5 ай бұрын
Chama Makini
@user-qe8yi9oh1d
@user-qe8yi9oh1d 5 ай бұрын
Ila Mimi Lema Huwa nabarikiwa sana kukusikiliza
@thomasmollel9465
@thomasmollel9465 5 ай бұрын
Big up we appreciate you brother
@prochesytesha8040
@prochesytesha8040 5 ай бұрын
Lema yupo good
@calistusmahombo-ty8ni
@calistusmahombo-ty8ni 5 ай бұрын
Great minds
@FredrickKinyaha
@FredrickKinyaha 5 ай бұрын
Hongera samaa mh lemaa
@kirariwilanya1850
@kirariwilanya1850 5 ай бұрын
Ukimuona mwana cdm popote ujue ni madini Bora na adimu katika Nchi
@godfreytarimo4296
@godfreytarimo4296 5 ай бұрын
Hongera lemaa
@PaulLukumbi-en3qd
@PaulLukumbi-en3qd 5 ай бұрын
Odemba kwanza hondera kwa mijadara mizuri inayolenga kuelimisha jamii,pili tunahitaji viongozi kama lema nawengine wenye uthubutu.
@user-ib5pj5sf8y
@user-ib5pj5sf8y 5 ай бұрын
Lema,Heche na Pambalu ninyi ni vifaa kweli kweli 2ko pamoja mpaka kieleweke
@DottoMussa-fx8pn
@DottoMussa-fx8pn 5 ай бұрын
Hahahahahaha lema kamanda kweli kweliii nmefurahi na wazo lako kua umshauri mkuu wa jesh la polix makonda awe ndani
@user-pb6qe7fv1u
@user-pb6qe7fv1u 5 ай бұрын
Huyu odemba na alloyce nyanda ni waandishi wazuri na wanao jua sio hawa wengine machawa na wachambuz wa mapenzi
@yusuphkichawele1009
@yusuphkichawele1009 5 ай бұрын
Very wise Lema✌️✌️✌️
@user-cl6oe4xu9g
@user-cl6oe4xu9g 5 ай бұрын
Mbamban boss ✌️✌️✌️✌️💯
@kimalinganomhelela8377
@kimalinganomhelela8377 5 ай бұрын
Mbona linapokuja suala la kutangaza kiasi tulichochanga kwenye programu ya Join -the chain anakuwa mkali.Wachaga kwenye pesa hawana utani.
@amedeusleonce-hg7qf
@amedeusleonce-hg7qf 5 ай бұрын
Ww apo kwenye nyuklia nimestopisha kwanza nimekunywa maji then naendelea kusikiliza kiukwel nainjoy na elimu napata
@fmleli.tz2004
@fmleli.tz2004 5 ай бұрын
Lema ubunge ni kitu kidogo sana lami kata ya Ngarenaro ni alama
@zuberilekengere5763
@zuberilekengere5763 5 ай бұрын
Safi
@RamadhanMdoe-pe9il
@RamadhanMdoe-pe9il 5 ай бұрын
👍👍👍
@michellerobert4600
@michellerobert4600 5 ай бұрын
Madini
@amedeusleonce-hg7qf
@amedeusleonce-hg7qf 5 ай бұрын
Apo kwenye tuzo ya raisi na majibu nimepozi nimekunywa maji afu naendelea kusikiliza napata elimu ya kutosha apa
@user-nn6zq1ok7i
@user-nn6zq1ok7i 5 ай бұрын
MFUMO UMETUTENGENEZEA UMASIKINI SERIKALI KUJIÓNA KUWA INAMAAMU ZI YANCHI NA SIO WANANCHI
@user-vd1vx1dc8p
@user-vd1vx1dc8p 5 ай бұрын
Uko sawa! Ila wenye akili timamu tu ndiyo watakuelewa
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 5 ай бұрын
Mrombo nikiwa gikombaa Nairobi
@agtbss3463
@agtbss3463 5 ай бұрын
Think tank ✌️✌️
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 ай бұрын
Na wapo wengi ambao wanaweza kutuvusha
@agustinokimaro1483
@agustinokimaro1483 5 ай бұрын
Uchaguzi uje tuu lema tukurudishe mjengini haraka cnaaa
@ChristerShao
@ChristerShao 5 ай бұрын
Odemba uko vizuri.Mtulivu.
@CRJr0905
@CRJr0905 5 ай бұрын
🔥🔥🔥
@rahabufilangali-cp6br
@rahabufilangali-cp6br 5 ай бұрын
Lemaaaaaaaa sio utamaduni wangu kuangalia comedy😂😂😂
@IddyWahabu
@IddyWahabu 5 ай бұрын
Hivi serikali yetu ni masikini kweli mbona viongozi wetu wanatumia magari ya kifahari sana mbn kama vile sisi sio masikini kiivyooo
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 ай бұрын
Hii nchi ni ya VIONGOZI
@omaryidd4373
@omaryidd4373 5 ай бұрын
Lema wakikuita tena ongelea na machinga ulisahau Kamanda wangu Mbauda hamna sehem ya kufanyia biashara wanatukamatia biashara zetu
@salehehassan3665
@salehehassan3665 5 ай бұрын
Kampokeeni mwenezi😂
@Zanijasy-hy7vm
@Zanijasy-hy7vm 5 ай бұрын
Lema ni Nabii
@ChristerShao
@ChristerShao 5 ай бұрын
Lema huko vizuri,muungeni mkono hoka zake ni zakujenga tafakarini sisi wote.
@feliciaswai4984
@feliciaswai4984 5 ай бұрын
Lema uko vizuri. Tungekuwa na watu watano tu kama wewe nchi ingetilia na watu wangeishi kwa raha sana. Mama yuko vizuri sana. Wasaidizi na washauri wake wajipime.😂
@MakalaSimulizi
@MakalaSimulizi 5 ай бұрын
@ChristerShao
@ChristerShao 5 ай бұрын
Aliyempiga kofi Mzee Sinde Warioba,ni yule aliyemuuliza Kubenea swali unajua mimi ni nani? Kubenea alijibu nini?
@alibalushi4691
@alibalushi4691 5 ай бұрын
Star tv au chadema tv?msiwe wanafik.awamu hii ya sita imebarikiwa na mungu kuleta haki na utanda wazi.tukubali hali halisi
@onesmomasala-rg2wd
@onesmomasala-rg2wd 5 ай бұрын
Fikiria kwanza ndg
@ManaseJubilate-kk2gz
@ManaseJubilate-kk2gz 5 ай бұрын
Great thinker 👏,nchi ina hali ngumu wala haionyeshi matumaini kwa watu wa kada ya chini🥺
@paschaljeremiah4903
@paschaljeremiah4903 5 ай бұрын
Kwakweli hii nchi ina watu wenye akili sana! Natamani hata chembe ya akili yako Lema, hoja zako ziko makini mno
@WamburaJomu-xy2is
@WamburaJomu-xy2is 5 ай бұрын
Lema uko makini na majibu 👏👏👏
@mwalimulossilamsuya1944
@mwalimulossilamsuya1944 5 ай бұрын
Makini aje...
@mwalimulossilamsuya1944
@mwalimulossilamsuya1944 5 ай бұрын
Makini aje...
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 5 ай бұрын
Akili kubwa
@user-nn6zq1ok7i
@user-nn6zq1ok7i 5 ай бұрын
TIME WILL TELLLLLLLLLLL
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 5 ай бұрын
Ccm haiwezi kushinda bila nguvu ya dola mshahara dhambi ni mauti watakufa
@BenjamnimsakaBenjamnimsa-ls9gu
@BenjamnimsakaBenjamnimsa-ls9gu 5 ай бұрын
Tatizo mkuu akili Yako kubwa ubongo wa watanzania nimdogo unaingiza vitu vizito kwenye ubongo mdogo
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 5 ай бұрын
Maccm niviziwi hawana bahatihiyo yakusoma nyakati ingawamwenyezi mungu amewafunulia nakuonyeshanguvu yake lakini bado wameshupaza shingo kama Farao kipindi cha musa, kwahiyo kunakitukibayasana kinainyemelea TZ eemungu tusaidiye utuepushe naubaya huu
@pendolema7195
@pendolema7195 5 ай бұрын
😮😮
@pendolema7195
@pendolema7195 5 ай бұрын
❤😮😮😊😊😊
@pendolema7195
@pendolema7195 5 ай бұрын
😮
@user-ry1pe3tu5s
@user-ry1pe3tu5s 5 ай бұрын
NDIO Lena huyu jamaa anapenda kumkatisha MTU anaposema ukweli ,,HONGERA LEMA UNAMTULIZA ASIKUKATISHE MANENO YANAPOSHONA MSHONO, ,,TULIA MTANGAZAJI UNAPOPIGWA SHINDANO YA KICHWA
@amedeusleonce-hg7qf
@amedeusleonce-hg7qf 5 ай бұрын
Kinachoniuma una mwelimisha hadi odemba et pambana jiamin ila so vizur lema
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 22 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 24 МЛН
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 4 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 56 МЛН
GOODBLES LEMA AMPIGIA OLE SABAYA NA KUMTAKA AACHE KUTESA WATU
3:14
Chadema Media TV
Рет қаралды 399 М.
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 572 М.
Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo
9:52
Millard Ayo
Рет қаралды 1,3 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 22 МЛН