Рет қаралды 49
Huyu Alikuwa ni Mwanaharakati, Mwanasiasa na Mwanafalsafa kutoka Uingereza aliyeishi US, ni mmoja wa Wanasiasa wanaokumbukwa sana US kwa Mchango wake katika Mapinduzi ya Amerika mwaka 1775.
Ambapo Alikuwa anatoa hotuba na kuandika maandiko yayolikuwa na ushawishi mkubwa sana kwa Watu.
Alizaliwa January 29, 1737 Norfolk UK, akaenda Kuishi US. Inaelezwa baada ya Kutoa mchango mkubwa katika Mapinduzi ya Amerika.
Akaenda kuishi Ufaransa pia alikotoa mchango kama huo kuelekea Mapinduzi ya Ufaransa mwaka 1789, Alikuwa maarufu sana huyu mtu.