Our mission is to bring people together,entertain and educate people that's why we create content that does exactly that
Пікірлер: 9
@Benjathekingofficialtv19 күн бұрын
Huyu shetani huyu , ajue kuwa kuna maisha baada ya kuabudu ibilisi , kanumba yuko wap , haya tambeni nyie na akina diamond , chris shusho endeleeni , Yesu atakunyoosha tu
@barakanatus567618 күн бұрын
Ila anasaidia watu sana
@Benjathekingofficialtv18 күн бұрын
@@barakanatus5676 malaika wa giza kujifanya wa nuru , hata akina diamond , harmonize wanasaidia watu ila tunajuwa wanatumikia miliki gani
@GreysonMdee-wm8tn13 күн бұрын
Kwani Kuna watu mpaka leo bado wanaamini ukristo ni dini? Hamna dini hapo ukiona mtu yoyote anaamini kuwa YESU NI MUNGU yaani mtu huyo anatakiwa kuonewa Sana huruma maana ni ujinga ndo unamfanya awe hvyo
@nickluckmakundi18 күн бұрын
Siyo Kila mtu anayesema Bwana Bwana huyo ni mtakatifu hata waganga wanalitaja jina la Bwana ikiwemo huyu nabii feki