MTANZANIA MILIONEA MWENYE MASHAMBA MAKUBWA YA PARACHICHI, ASIMULIA ANAVYOPIGA MAMILIONI

  Рет қаралды 115,053

Millard Ayo

Millard Ayo

5 ай бұрын

Пікірлер: 194
@raykas9976
@raykas9976 5 ай бұрын
Jamani waanchishi WA habari WA Tanzania acheni uzushi na uongo kuwadanganya watu Mimi naishi Dubai parachichi huku 1 AED Sawa na 650Tshs. Sawa hiyo kaka amejitahidi sana Kwa kilimo lkn mengine punguzeni kuzusha. Asante.
@aminakasim1198
@aminakasim1198 5 ай бұрын
😂❤
@habibajumahabiba6730
@habibajumahabiba6730 5 ай бұрын
Sikiliza vizuri dear kasema china na sio Dubai
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 ай бұрын
Hata china hawezi uza hiyo bei kwa parachichi moja​@@habibajumahabiba6730
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc 4 ай бұрын
Ya kuambiwa jiongeze, hata kama ana ingiza pesa nyingi ,changamoto ktk kutafuta pesa ni nyingi Tena za hatari , pesa zipo lkn amua kupambana kufa na kupona, hakuna ubwete hata ungeenda nchi ya mbali.
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 4 ай бұрын
Kweli sio elf50 huo ni uongo
@JustinKilamba
@JustinKilamba 5 ай бұрын
Hongera Sana kwa kuwa mfano kwa watanzania. Wezesha basi na vijana wetu wa kitanzania waondokane na utegemezi wa ajira rasmi.
@angetilemwashitete2788
@angetilemwashitete2788 5 ай бұрын
Safi sana ,Kijana Mwenzetu ,umenimotivate
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 5 ай бұрын
Great ur very open to the community
@user-xe3fo1bh5s
@user-xe3fo1bh5s 5 ай бұрын
Keep up the successful spirit my brother
@IsmailMjesh
@IsmailMjesh 5 ай бұрын
Masha Allah..... Rizki ya halali kabisa'........
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 5 ай бұрын
Motivation speakers bhana,,,,, Kila kwenye mafanikio ya mtu , nyuma yake kuna yaliyojificha!! Ila hongera kwake
@juniortza
@juniortza 5 ай бұрын
😂 I hear you! Wacha chumvi na sukari zote ziitwe vikolezi.
@AnethEdward-nf6sc
@AnethEdward-nf6sc 4 ай бұрын
Umesema ukweli mtu mpaka afanikiwe ana mengi, lkn kapambana c mchezo, watu tunapenda tufanikiwe lkn waoga.
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Ай бұрын
Mungu nijaalie me pia nifanikishe kilimo nikipendacho inshaAllah
@user-lf3vq8gt1f
@user-lf3vq8gt1f 5 ай бұрын
Millard njoo usa river maeneo ya doli kuna mashamba makubwa ya parachchi kuliko huko ni nomaa😂
@marychuwa8159
@marychuwa8159 5 ай бұрын
Woow sehemu gani naomba details
@user-lf3vq8gt1f
@user-lf3vq8gt1f 5 ай бұрын
@@marychuwa8159 nenda usa River Arusha uko kilimo kikubwa Cha umwagiliaji wa maparachichi ya kisasa ni noma
@williamkishiva9446
@williamkishiva9446 3 ай бұрын
Hapo biashara ni hiyo miche sio tunda moja ni 50,000
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 5 ай бұрын
Safi Sana ndugu, nashkru kutujuza fursa ndugu zako bila kificho.
@infosolution1323
@infosolution1323 5 ай бұрын
Bei ni ya uongo mimi nafanya Kazi GIANT hapa USA ni Mtanzanua upande wa Mauzo ya aina ya mpogampoga na matunda (Produce) vyakula hiyo tunauza parachichi moja kwa bei ya Usd 1.99 sawa na Tsh 5,373 tena kwa exchange rate ya barabara ya Tsh. 2,700. Kweli biashara ipo lakini tuwache uongo wa bei.😮
@justinemwita8828
@justinemwita8828 5 ай бұрын
Kaka naomba namba yako mm ninazo palachichi za kutosha ,ili tuonane kma tunaweza kufanya biashala
@htx1873
@htx1873 5 ай бұрын
Hongera sana brother , you are inspiration.
@abumasoud1996
@abumasoud1996 5 ай бұрын
Umekosea parichichi.moja ni alfu tano na sionalfuhamsini
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 2 ай бұрын
Hapa canada parachichi moja dola 2 ni ngapi kwa bongo
@davisnitu890
@davisnitu890 Ай бұрын
​@@tanzcanmediatv4473ni 5000Tsh
@ezrankandagila8370
@ezrankandagila8370 5 ай бұрын
Hongera sana kiongoz natamani kulima parachichi ningependa nipate mawasiliano yako ili nijue napataje Miche mimi napatkan wilaya ya kasulu
@FikiriMloka-ft3yf
@FikiriMloka-ft3yf 5 ай бұрын
Big up brother Amon,kilimo kinafaida sana tofauti na watu wengine wanavyofikiria.
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 5 ай бұрын
Njombe yamejaa huko mpaka wanalalamika bei ndogo sasa ukiwasaidia itakuwa vizuri kitu nimejifunza kilimo cha matunda kina kubali sehem yoyote tanzanian ili watu hawajajua tu
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 5 ай бұрын
Hongera sanaa kwani zao la palachi chi lina faida kubwa maadamu yupo atakae wasaidia kununua ila asiwe na dhuluma
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 5 ай бұрын
Acha uongo,hakuna parachichi moja linauzwa tshs elfu hamsini kidding one avocado selling for usd 20. Nope
@ramadhanijuma4130
@ramadhanijuma4130 5 ай бұрын
Amekosea tuu chukulia mfano mti. Mmoja huingiza laki 8 kwa msimu je unataka kuniambia mche mmoja unazaa parachichi 16? Usiwe mwepesi wa kulaumu penda kujifunza itakusaidia.
@othumanomari1589
@othumanomari1589 5 ай бұрын
Congratulations bro Long life
@BenLeeBl
@BenLeeBl 5 ай бұрын
Jichanganye😂😂😂
@richardchimba3800
@richardchimba3800 Ай бұрын
😂
@mkoma49
@mkoma49 5 ай бұрын
Uyu jamaa Muongo bhn mm anasema parachichi moja ni 50,000 ni uongooo mm nipo marekani parachichi wanauza yametoka Mexico parachichi moja ni usd 0.56 - 0.7 haifiki ata dola moja ivi kwnn hua awasemi ukweli
@hekimamtazamo4151
@hekimamtazamo4151 5 ай бұрын
Bro usiwabishie watu hayo maparachichi ya American ni GMO kutoka huko Mexico sasa ukikutana na parachichi organi USA unawezakununua hata dola 10 bhana wewe ndio usitudanganye kwani American hauko peke yako tuko wengi sana now
@damianlupogo8686
@damianlupogo8686 5 ай бұрын
​@@hekimamtazamo4151 atakua anakuka gmo
@davisnitu890
@davisnitu890 Ай бұрын
​@@hekimamtazamo4151kwan iyo GMO yenyewe anaijua, yeye kazi kula tu.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 5 ай бұрын
Kiongozi rekebisha kauli yako hapa Canada parachichi kubwa unaweza nunua Kwa Canadian $ 4.50 hadi $ 5 , Sawa na kama elfu Tisa hadi Kumi ya TANZANIA, Unahabari nzuri saana na ushawishi Kwa vijana lakini kwenye Bei umeteleza, hiyo Ni be ya hapa Calgary, Alberta sijui sehem nyingine
@dicksonexavery726
@dicksonexavery726 5 ай бұрын
Kweli ndugu yangu jamaa linaongea kimihemko mwenyewe niliona kwenye supermarket ya Minesota USA 🇺🇸 ni 2usd-mpaka3usd eti elfu 50000??😅😅
@angelinabiswalo2134
@angelinabiswalo2134 5 ай бұрын
Ulimi umeteleza tu. Ujumbe muhimu umeeleweka.
@blessjoel9323
@blessjoel9323 5 ай бұрын
@@dicksonexavery726kwema kaka tusaidie basi masoko bosa
@blessjoel9323
@blessjoel9323 5 ай бұрын
@@dicksonexavery726tupeni basi connection tuwaletee mzigo
@rubenprince8990
@rubenprince8990 5 ай бұрын
​@@angelinabiswalo2134huku kwa wazungu hakuna parachichi linalogharim helfu hamsini
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 5 ай бұрын
Huu mkoa wa kuangalia kwa jicho 3 unakuja kufanya mapinduzi mikoa ya nyanda za juu kusini wakae macho
@kechuagrosupplies
@kechuagrosupplies 5 ай бұрын
Hongera bro🎉
@Dr.Canisiusjohnkayombo
@Dr.Canisiusjohnkayombo 2 ай бұрын
Elfu 50 ni bei ya kilo zisizopungua 30
@zainabumahenge4269
@zainabumahenge4269 4 ай бұрын
Hongera kwa uwekezaji mkubwa tunaomba hizo connection za soko la parachichi shilingi 50,000 ili na sisi tuuze😂
@MUSK_HARMONY
@MUSK_HARMONY 3 ай бұрын
Moja ya wilaya nzuri ni kakonko . Kanali Malasa nakukumbuka
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 5 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤
@hellenrichard6528
@hellenrichard6528 5 ай бұрын
Hii ni habari njema, hongera sana kwa kuwa mfano
@vailethshayo-nj3ge
@vailethshayo-nj3ge 5 ай бұрын
Hongera Sana ,Naomba namba za simu
@vayaulashedrack5994
@vayaulashedrack5994 5 ай бұрын
Hongera sanaaa kwa kupambana mkuuu
@richarde.c5277
@richarde.c5277 5 ай бұрын
Aiseee this is a good news
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 5 ай бұрын
Acha kudanganya Umma hakuna Parachuchi la 50,000/= DUNIANI!!!!😅😅😅😅😅😅
@MUSK_HARMONY
@MUSK_HARMONY 3 ай бұрын
Sasa kama amemotivate watu why msifanye
@user-xw6gv2om9o
@user-xw6gv2om9o 5 ай бұрын
hongera sana kaka
@lebahatikeiya8666
@lebahatikeiya8666 Ай бұрын
Elfu 50 haiwezekani kabisa kilo moja ya kahawa enyewe ni ngumu kufikia kiasi hicho. kwa parachichi kuuzwa elfu 50 hapana kabisa
@rainermbegu6455
@rainermbegu6455 4 ай бұрын
Karibu selutech company limited tukuhudumia kwa maitaji ya tube za kuoteshea parachichi boss tunazo bidhaa bora na staimilivu
@c75923
@c75923 5 ай бұрын
Biashara kama hizi zingetafutiwa miundo mbinu usafirishaji sio lazma afike Dar kuna uwanja wa Chato au Mwanza kila ndege inatua minofu ya samaki inapelekwa ulaya toka mwanza why not parachichi
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 5 ай бұрын
MashaAllah 🙏🙏🙏🙏God bless
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂 jmaaaa anaongea Sana aongee ukweli wa kununua parachichi nishingp
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 5 ай бұрын
Inawezekana 50,000 kweli kwasababu wazungu hununua kilo moja 5000 yakiw mabichi wao labda wanaenda kuuza kwa bei hiyo ya 50 moja kwa soko la nje
@patrickKitambo
@patrickKitambo 5 ай бұрын
Hi nancy
@vero57
@vero57 5 ай бұрын
Box elfu 50 sio moja
@jacquelinemakwesa6336
@jacquelinemakwesa6336 5 ай бұрын
Nimetaka kushangaa 1 elfu 50? Hapa uk 1 pound 1
@user-ph8ln3vd6n
@user-ph8ln3vd6n 5 ай бұрын
Safi na hongera sana
@sarasaimon980
@sarasaimon980 Ай бұрын
Good work ❤
@galizomar8779
@galizomar8779 5 ай бұрын
Mm nimeishi china zhenjiang miaka 2 sijaona parachichi la elfu50. Haizidi elfu6 per piece
@user-qh4mt9lu3b
@user-qh4mt9lu3b 5 ай бұрын
Habari kaka natamani kuwa mkulima wa parachichi lakini siko vizuri
@joynessmhalila811
@joynessmhalila811 5 ай бұрын
Hongera Sana bro, ila nakupataje ili niwe kupata miche
@user-ms1ri4sr4d
@user-ms1ri4sr4d 5 ай бұрын
Mmmmnh.weka ukweli.soko Lake lipo China sana sio kama miaka iliyopita.ila ndio kilimo kinachofaa kwa mazao ya biashara.na km Huna mzigo kwa sas nenda mufindi njombe au USA river arusha.
@zakayokulwa3604
@zakayokulwa3604 5 ай бұрын
Respect broo
@alexmatt9504
@alexmatt9504 5 ай бұрын
Hongera kwa ubunifu huo.Na mimi nimekuwa interested na hilo zao naomba contacts zako kaka ili tuongee.
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania Ай бұрын
TRA liked your story!
@J_Jeromy
@J_Jeromy 24 күн бұрын
😂😂😂
@fredricklaiza1276
@fredricklaiza1276 3 ай бұрын
Mmmmmh nje wanauza bei lakini hapo kwenye moja sawa na elfu 50 brother umetupiga kamba
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 5 ай бұрын
Wakenya mbn walikuwa wanatuibia Sana jmn
@samsonkivuyo9548
@samsonkivuyo9548 5 ай бұрын
Wao wana soko sisi tuna bidhaa
@infosolution1323
@infosolution1323 5 ай бұрын
Wakenya pia wanalima msiwazushie ila wao wanaongezea ubaya upo wapi kusaidia masoko hi ni Shirikisho la Afrika Mashiriki
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 ай бұрын
Mashaallah tabarak
@user-nu3oz2ub9s
@user-nu3oz2ub9s 5 ай бұрын
Safi sana
@amaninatai8232
@amaninatai8232 3 ай бұрын
Milard naomba uniunganishe na huyu ndugu nina shamba la parachichi Kilimanjaro naaza kuvuna mwaka huu tuko wakulima wengi
@Qur-x4i
@Qur-x4i 5 ай бұрын
Safi bro
@MariaSengo-cn5bx
@MariaSengo-cn5bx 5 ай бұрын
Naomba mawasiliano ya ndugu Amon mimi niko Morogoro..
@markminja4307
@markminja4307 5 ай бұрын
Im next.. 🤝
@skylevelmedia7581
@skylevelmedia7581 5 ай бұрын
Powerful
@seneu.2128
@seneu.2128 5 ай бұрын
Bei ya parachichi kwa ulaya kama Canada na America ni usd 4 mpaka 5 kwa parachichi moja amabyo ni kama tsh 8000 mpaka 10000 waambie watu walime ila msizidishe bei hakuna parachichi la usd 25.
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 5 ай бұрын
Ahsante sana brother
@Mapesa01
@Mapesa01 2 ай бұрын
Mimi naomba namba yake huyo jamaa naiyomba niwe supplier wake huku nchini
@tonnyford5782
@tonnyford5782 5 ай бұрын
Endeleen kubisha kuhusu bei mtabakia na ndoto kichwan,anaekuambia yy ndo anafanya hiyo biashara
@isaacndashuka5959
@isaacndashuka5959 28 күн бұрын
Hakuna bei hiyo popote duniani.nchi hii kwa uongo dah
@AmryAlly-dy4mz
@AmryAlly-dy4mz 4 ай бұрын
Hapo kwako kibondo green farm unazo miche ya aina gani na ni bei gani kwa mche mmoja
@Alphonsesimubonye-jr6ps
@Alphonsesimubonye-jr6ps 5 ай бұрын
Napenda kuasiliana nahu mkulina ili ahueze kunisaidia kwani Niko njiani nakuanza kilimo cha parachichi
@victorbugaisa7933
@victorbugaisa7933 5 ай бұрын
Tupate mawasiliano yake tupate elimu kuhusu masoko ya nje. Ahsante
@bethkonga7944
@bethkonga7944 5 ай бұрын
Mbona huku kwetu mufindi yanakosa tu soko aje atusaidie kututafutia soko
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 5 ай бұрын
Mbona njombe yananunuliwa Sana ni Yale ya buding, kilo moja 5000 yakiwa mabichi wazungi wengi huenda njombe kununua
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 5 ай бұрын
Hii itasaidia kukuza pia soko na wakenya tumefanikiwa kuwazibiti parachichi yetu itajulika kimataifa mi nipo dubai ila parachichi tunaona za kenya embe kenya lkn ukiangalia unaona kabisa hii embe ya kwetu kbs
@safiasaleh669
@safiasaleh669 5 ай бұрын
Watanganyika wala Msirembe masoko ata Zanzibar ni watumiaji wakuu wa maparachichi tunauza sana juice ya parachichi
@fredyfile623
@fredyfile623 4 ай бұрын
Yaaani hapa tz unajitangaza tajiri ngoja TRA waanze kukutembelea ndo utaanza kujuta
@dn.n4983
@dn.n4983 5 ай бұрын
Hongera
@juniormichael354
@juniormichael354 5 ай бұрын
Hakuna parachichi moja inayo uzwa elf hamsini dunia hii.... Hakuna mti wa parachici wenye kuzaa zaid ya kilo 5 baada ya miaka miwili takwimu anazo zitoa si za kweli mimi nalima parachichi anazo lima yeye
@anthonykimweri1386
@anthonykimweri1386 2 ай бұрын
Una mawasiliano Gani tuwasiliane
@eliudchaz9504
@eliudchaz9504 5 ай бұрын
Nawapongeza kwa kuhamasisha kilimo cha parachicui lakini jitahidi kuongea uharisia wa mambo acheni kutia chumvi sana ,hatutofika popote..
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 ай бұрын
RULENGE NGARA WANASEMAJE MAANA MM YALIYKWAKUTA SINA HAMUNNA HIKI KILIMO
@Kabwela776
@Kabwela776 5 ай бұрын
Msifanye makosa akawaambia ana soko na akakusanya maparachichi yenu akawauzie na mtapeliwe 😅
@victorgogadi55
@victorgogadi55 5 ай бұрын
Inanikumbusha kilimo cha vanilla🤣
@Kabwela776
@Kabwela776 5 ай бұрын
@@victorgogadi55 mkuu nimekumbuka kilimo cha vanilla bukoba alikuwa mjanja mjanja kama huyu bingwa eti parachichi moja elfu 50 ya kibongo wakati wengine tuko ughaibuni na ni kama dola 4 tu around
@steventamla2443
@steventamla2443 5 ай бұрын
Naitaji seedling naomba namba ya manager wa shamba
@ednaeliamani4214
@ednaeliamani4214 4 ай бұрын
Mfano mzuri sana. Asante Kaka kuleta maendeleo
@masomekitwala3758
@masomekitwala3758 5 ай бұрын
Imekaa vizuri
@estakapufi7582
@estakapufi7582 5 ай бұрын
Jamani tuko ulaya ila barachici elfu 50 sujui nchi gani ila nilipo haijafika iyo beo huu uongo😂😂
@user-sf3ju4sd2v
@user-sf3ju4sd2v 4 ай бұрын
Naomba naomba ya jama naitaji Michel Niko burundi
@user-qo3hq7il1e
@user-qo3hq7il1e 5 ай бұрын
Hivi kweli Kuna fedha za aina hii .
@zawadibernard8232
@zawadibernard8232 5 ай бұрын
Mbabaishaj Huyo nendeni kibidula MAFINGA ndio muone maajabu
@annatemu4488
@annatemu4488 5 ай бұрын
Elfu 50?au alitaka kusema elfu 5?sijaelewa,hapa UK ni pound 1=na elfu 3100 ya TZ
@user-if8uh3cp8s
@user-if8uh3cp8s 5 ай бұрын
Au umesahau boss kilo Moja ndo sh 50000
@evodyalexander7094
@evodyalexander7094 5 ай бұрын
Mi naomba namba za SIM ninashida ya miche
@stanleymfikwa9350
@stanleymfikwa9350 5 ай бұрын
Hongera sana broo maisha yako yamekua mapya
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 5 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@jumanyenzi2020
@jumanyenzi2020 5 ай бұрын
Hawa influencers inakiwa kuwa makini sana. Hamna mti wa miaka mitatu ukupe 700k kwa mchumo!
@mybrain8940
@mybrain8940 5 ай бұрын
😅 kuna Yule wa mchicha alikuwa ana uza laki moja uingereza , kabla huja amini , masifa ya kijinga convert elffu 50 to yuan au dollar then angalia bei ya maparachichi supermarket china 😅 halafu ukiuza heavy cargo unajua kwa Tani au kilo sio kuhesabu moja moja , ana Jambo zuri ila awe mkweli😅😂
@robertnkovuma7488
@robertnkovuma7488 5 ай бұрын
Mwongo maneno mengi huyo watz bwana!
@nathanaellutevele
@nathanaellutevele 5 ай бұрын
😂😂😂😂parachichi 1 elfu 50? Hapa tumepigwa.😂😂😂
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 5 ай бұрын
Parachichi moja elfu 50.😂😂
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 5 ай бұрын
Tumepigwa hapa😂
@joshuakitunzi9500
@joshuakitunzi9500 5 ай бұрын
Ulaya ni sahihi ndg,tembea uone mengi👏
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 5 ай бұрын
​@@joshuakitunzi9500hatakama'wapi ulaya parachichi elfu 50?ulaya ipi uko wewe? Saaana sana bei ipo juu ni €2 au £2 pounds nisawa na elfu tsh 9.500/= ati elfu 50? parachichi?wehu hao hivi mtu kuongea ukweli unakufa au?
@kamanda007
@kamanda007 5 ай бұрын
Labda 5000 lakini sio 50,000
@desolz3809
@desolz3809 5 ай бұрын
​@@joshuakitunzi9500ulaya ipi unayoongelea ww
@deogratiusbrilliantshayo4262
@deogratiusbrilliantshayo4262 4 ай бұрын
Naomba namba ya mwamba huyu nipate miche
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 ай бұрын
Mche.mkoja.lakin7 du
@user-kk4go9uj9g
@user-kk4go9uj9g 5 ай бұрын
Ndg mkulima njoo mpaka madaba ununue wasaidie wakulima
@matrida.lunyilija5196
@matrida.lunyilija5196 5 ай бұрын
Hongera naomba mawasiliano yake jamani
@razarondiwayezu6314
@razarondiwayezu6314 5 ай бұрын
ningependa kuliza mimi ni wainchi jirani burundi kuna uwezekano wakupata miche?
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Global TV Online
Рет қаралды 304 М.
Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae
32:50
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 10 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН