MAGUFULI AWAKA, AMSHUSHA BODYGUARD KWENYE GARI, AMNYANG'ANYA MKURUGENZI GARI

  Рет қаралды 458,475

Millard Ayo

Millard Ayo

3 жыл бұрын

Пікірлер: 580
@halimamangala6731
@halimamangala6731 3 жыл бұрын
Kama wewe unapitia video zote za baba tangu atutoke gonga like😭😭
@rozaliewalumona8604
@rozaliewalumona8604 3 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema mbinguni
@rozaliewalumona8604
@rozaliewalumona8604 3 жыл бұрын
Ninaamini kazi umefanya si. Kwa wa Tanzania tuu ni kwa Afrika nzima na raisi wote Afrika wangefuata mwenendo wako hatungehitaji . misaada toka inje
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 жыл бұрын
Mungu tunaomba utupatie tena Rais kama huyu jpm dah
@mangomkusaga5468
@mangomkusaga5468 3 жыл бұрын
Halima vp
@aliandrew3537
@aliandrew3537 2 жыл бұрын
My dear it's so painful to believe that doctor John pombe magufuli the bulldozer, jembe keshatutoka it's so painful for real From Kenya mpare originally
@ForeveryoungNana2019
@ForeveryoungNana2019 3 жыл бұрын
I can't stop watching your videos Magu, continue dancing with the angels🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
@aliandrew3537
@aliandrew3537 2 жыл бұрын
My dear we need leaders kama jembe the bulldozer magufuli Yani mpaka Leo kifo CHAKE chanitia huzuni hadi leo
@janethmwanri1658
@janethmwanri1658 3 жыл бұрын
who is watching this now when he's no more... he says and does what he says... Like if you are watching this as we mourn for him
@itsyourboy1407
@itsyourboy1407 3 жыл бұрын
Utaishi mioyoni mwetu 😭😭NENDA SHUJAAA WETUU UPUMZISHWE KWA AMANI
@alexmuya8541
@alexmuya8541 3 жыл бұрын
Am a kenyàn when I see thz best president in Africa I feel to cry out of happiness a president who listen to the prights of common mwananchi of Tanzania may God bless him I wish he could be be a Kenyan president
@johnmhina8122
@johnmhina8122 3 жыл бұрын
Exactly Alex Muya
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 жыл бұрын
Thank you Muya. We pray that our EAC gets good leaders so that our economy and social life can fly. We are one people. Mkenya akipata ni mtanzania kapata, Muuganda akipata ni Mrwanda kapata na mranda akipata ni Mburundi kapata. Tuendelee kuombea Umoja wetu wa East Africa na Afrika kwa ujumla. Big up Muya.
@justinemachuma6954
@justinemachuma6954 3 жыл бұрын
Exactly, Am a kenyan too, I salute Magufuli too
@safinamalero3971
@safinamalero3971 3 жыл бұрын
Rais wangu asalamaleku.....😴
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 жыл бұрын
Karibu tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@graceniyonzima3130
@graceniyonzima3130 3 жыл бұрын
I am Burundian but kila nikimuona mheshimiwa Rais John Pombe Magufuri aki naisi furaha kubwa sanaaa Mwenyezi Mungu akuwezeshe ubaki na Moyo wa upendo
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 жыл бұрын
Umeonaa eeee but today we haven't our president it's xo sad hakika chema dada neema hakidum!!!!
@damariam7497
@damariam7497 3 жыл бұрын
Mungu akuweke Magu, ww ni jembe Tanzania mjivunie mumshike kabisa💛💛💚💚 Kenya tunampenda sanaaaaa!!!
@givenlaudenmwamasage5057
@givenlaudenmwamasage5057 3 жыл бұрын
Asante dada hili jembe kwelikweli halipingiki rais miaka mia
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 3 жыл бұрын
👏🏻👏🏻👏🏻
@ruthnjau
@ruthnjau 3 жыл бұрын
🥺
@damariam7497
@damariam7497 3 жыл бұрын
@@ruthnjau Ndo ivyo hatuna budi Mola kampenda zaidi...Mola awape nguvu wa Tanzania..😢😢😢
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 жыл бұрын
Yani watu Leo ndo wanakumbuka daa we are so sad Tanzanian
@lucykiruki4439
@lucykiruki4439 3 жыл бұрын
Great and true son of Africa! Caring and sorting out wananchi’s issues. Tanzanians are truly blessed
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 жыл бұрын
Umeonaa eeee!!! But today we haven't
@fababindawood8363
@fababindawood8363 3 жыл бұрын
Yaani me nataman angekuwa Rais mpk Zanzibar 🙏🙏🙏💪💪💪💪
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 3 жыл бұрын
Kweli kabisa.
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 жыл бұрын
Is your present too
@abdullaabdullahmpakanjia2336
@abdullaabdullahmpakanjia2336 3 жыл бұрын
Mijichoyo
@josephnchunga1247
@josephnchunga1247 3 жыл бұрын
Yani wapendwa kwa wananchi mh rais Wetu tulitakiwa tumpe miaka 20 huyu ndie tunayeona anaweza kuisukuma tz kwenye maendeleo ya kasi tuliokuwa tunahitaji jpm safiiiii Mungu akupe maisha marefuuuu jpm wetu
@jumajuma7658
@jumajuma7658 3 жыл бұрын
JPM OYEEEEE
@rukiaaisu2309
@rukiaaisu2309 3 жыл бұрын
Yani unawazo kama langu huwa naongea kila siku wallah tungefika mbali sana
@nsarilema9580
@nsarilema9580 3 жыл бұрын
haya muongezeeni miaka 100 kabisa
@ashuraissa7044
@ashuraissa7044 3 жыл бұрын
Tulikupenda Sana baba yetu ulitupenda Sana haukubagua baba lala salama mungu akuangazie mwanga wamilele 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@sammygichuki5664
@sammygichuki5664 3 жыл бұрын
Mimi ni mkenya lakini twajivunia uongozi wa raisi wa Tx is a genius makufuli
@gabinnshimirimana683
@gabinnshimirimana683 3 жыл бұрын
🇧🇮Can we make Mr John Pombe Magufuri the African President? He just does things different from other leaders. Tanzanians should be proud of him! 🇧🇮
@nice4really503
@nice4really503 3 жыл бұрын
Mtamuua ubongo jaman🙄
@erickossen6378
@erickossen6378 3 жыл бұрын
we are proud indeed
@josephatwilson9845
@josephatwilson9845 3 жыл бұрын
And now he is not live😭😭😭😭 great loss to our country
@aliandrew3537
@aliandrew3537 2 жыл бұрын
Wanafki wameungana Na mabwenyenye wajamfikia kum'maliza
@fredasanga5394
@fredasanga5394 3 жыл бұрын
kama unampenda magu weka lake hapo
@magdalenekessy9651
@magdalenekessy9651 3 жыл бұрын
Safi sana rais wetu
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
Nampenda kwa roho yake nzuri
@awadhally1052
@awadhally1052 3 жыл бұрын
👍
@faridadudu3178
@faridadudu3178 3 жыл бұрын
napita kwa majonzi 😭😭 baba umetuacha bado tunakuhitaj ,mbele yako nyuma yetu😭😭😭
@deserttv_tz2655
@deserttv_tz2655 3 жыл бұрын
👏👏 huyu ndo rais tunayemtaka, mwenye vitendo vingi kuliko maneno, naamini mungu alimuandaa kwa ajiri ya taifa hilii🙏🙏 watanzania tunapaswa kujivunia sana❤️❤️❤️
@ashamapembe6273
@ashamapembe6273 3 жыл бұрын
Mno!
@jeradiakiyoo4677
@jeradiakiyoo4677 3 жыл бұрын
hahaha
@damariam7497
@damariam7497 3 жыл бұрын
Wallahy nimeamini chema hakidumu...😭😭😭 Mola awafariji ndugu zangu
@husnasalim5739
@husnasalim5739 3 жыл бұрын
YANI MM UWA NALIAA KWA FURAHA NIKIMUONAGA UYU RAIS
@anahna6788
@anahna6788 3 жыл бұрын
UNA PENDA NA UNA MAPENZI YA DHATI KWAKE
@neck0410
@neck0410 3 жыл бұрын
Safi
@mjerumaninyandu7655
@mjerumaninyandu7655 3 жыл бұрын
Aloho kweli namkubali sana
@arkadimakona2113
@arkadimakona2113 3 жыл бұрын
@@anahna6788 the
@josephatwilson9845
@josephatwilson9845 3 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman baba ,tutakukumbuka sana kwa uchapaji wako wa kazi na kumjali myonge
@nassirabdi6360
@nassirabdi6360 3 жыл бұрын
A true pan africanist jpm was an example for us all......Africa loves and misses you......rest in peace.
@billyisadia5651
@billyisadia5651 3 жыл бұрын
The late just went back to where he belongs, really. Where truth & justice prevails, in heaven
@remenmunis7729
@remenmunis7729 3 жыл бұрын
Huyo jamaa anajua kujieleza sana Excellent
@florakiondo8557
@florakiondo8557 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 3 жыл бұрын
Halafu munataka kutuletea sijui tundu lissu sijui membe sijui zitto kabwe sjiui upuuzi gani hawataweza kufanya haya ya magufuli
@ummymohd7570
@ummymohd7570 3 жыл бұрын
Kwa kweli
@lujanimboje3935
@lujanimboje3935 3 жыл бұрын
Hahahahaa
@tiktoktdmdynamo3100
@tiktoktdmdynamo3100 3 жыл бұрын
Kimsingi hauwezi kusema ivo kwa sababu toka nchi umepata uhuru ni chama kimoja tu ndo kimetawala
@depaolo3461
@depaolo3461 3 жыл бұрын
@@tiktoktdmdynamo3100 chama sio tatizo ila tatizo ni kiongozi
@husnasalim5739
@husnasalim5739 3 жыл бұрын
Akuna anaweza mambo kama anayofanya MH JONNY POMBE MAGUFUL vyama sio sababu kikubwa uchapaji wa kazi uyu ni mfano kwaafrica mzima
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 3 жыл бұрын
Asante Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏🙏🙏
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
Kuna watu wanaroho mbaya sana...utasikia Magu anatumia pesa za wanachi vibaya....Ahsanteee Uncle JPM. Mungu akubariki akupe afya njema.
@sylvestersimweka6643
@sylvestersimweka6643 3 жыл бұрын
Amina
@melissateddybearcossan9506
@melissateddybearcossan9506 3 жыл бұрын
Watajiju wananchi ndio wanazitaka siyo yeye atajirike peke yake kama waliopita
@masengosamuel3817
@masengosamuel3817 3 жыл бұрын
Pande za burundi tunawafuatilia na poleni sana kwa msiba uliwo wakuta.millard
@MaaneML
@MaaneML 3 жыл бұрын
Yaani mimi nikimuona huyu Rais naona tu maisha ya watanzania yakibadilika tu. Nilikata tamaa na nchi hii kipindi cha mafisadi nikawa naongea hivyo mpaka nikadhaniwa pengine Mimi ni mpinzani. Kumbe tu ni maumivu ya wizi na ufisadi uliokuwa unafanyika. Yaani ninatamani utuongoze term hata 4 mpaka uzeeke kabisa.
@tumainimbati9789
@tumainimbati9789 3 жыл бұрын
Mimi kama mm huwa namuomba Mungu amsimamie Rais wetu mpendwa kwa kila akifanyacho kiwe chema kama vile anavyoendelea kutenda wema na hata kama atakataa kuongeza mda wakuongoza maombi yangu yaende kwa Kasimu majaliwa majaliwa awe Rais wa nchi maana mengi anayajua sana nchi hii tukiwapa wajinga wajinga wasiyojielewa kama wakina lissu wanaosifia ya nje kuliko yakwako ni utoporo
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 3 жыл бұрын
Ni kweli Anna Lyimo. Inabidi tulinde na kumwombea
@neck0410
@neck0410 3 жыл бұрын
Sawa
@mamavero4004
@mamavero4004 3 жыл бұрын
Mm sijawahi piga kura ila mwaka huu nitaamka saa kumi ya usiku niko kituo cha kupugia kura
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 жыл бұрын
Ni real but u see today
@edwinelias8554
@edwinelias8554 3 жыл бұрын
Km umesikia asalamu allekum like hapa
@deodatusmdaku2226
@deodatusmdaku2226 3 жыл бұрын
Gari ya mkurugenzi iwe ambulence 🙌🙌🙌
@godrivermussa6797
@godrivermussa6797 3 жыл бұрын
😀😀😀😀yan nimecheka kwa sauti aisee
@barakaben7902
@barakaben7902 3 жыл бұрын
Yaani mimi sina mbavu maana zinauma kwakucheka na mshituko
@teresaonduko4443
@teresaonduko4443 3 жыл бұрын
Natamani kuhamia Tanzania 💕
@pascoalphonce2911
@pascoalphonce2911 3 жыл бұрын
Karibu sana Tz, hata ukija kuolewa tu huku Tz tayar umekuwa Mtanzania....Karibu sana
@barneymunuo5659
@barneymunuo5659 3 жыл бұрын
Karibu mama Mimi mwenyewe sijaoa nikikuoa utakua mtanzania kabisa hatunaga tatizo na wageni sisi karibu sana
@kelvinbalama7521
@kelvinbalama7521 3 жыл бұрын
Jaman pole Sana but today we haven't our president it's soooo sad
@justinwambua5180
@justinwambua5180 3 жыл бұрын
Tuleteeni huyu kiongozi hapa Kenya, hata sisi tunakupenda hapa kenya
@justinwambua5180
@justinwambua5180 3 жыл бұрын
@Zawadi Issa anakunywa sana huyo pombe wenu
@kezahabiba5554
@kezahabiba5554 3 жыл бұрын
Wamlete kwanza Uganda duh
@justinwambua5180
@justinwambua5180 3 жыл бұрын
@@kezahabiba5554 Uganda mko sawa nyie. Lifetime president
@agnesgervas8070
@agnesgervas8070 3 жыл бұрын
Kila nikiona comment zenu nalia tu naona jinc gani mlivyokuwana upend nchi jirani natamn ingekuwa ndoto tu hii kwtu
@justinwambua5180
@justinwambua5180 3 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 You should have given us Magufuli on loan for one term. This is the only president every person in Africa was following closely, the rest are useless. May he rest in peace, we loved him.
@roselugendo6943
@roselugendo6943 3 жыл бұрын
Asante Rais. Pole na safari yakwenda kumuhifadhi ndugu yetu, baba yetu mzee mkapa .
@oscarkasalile8370
@oscarkasalile8370 3 жыл бұрын
Mzee wewe huna mpinzani Tanzania hata Duniani, mungu akulinde
@sophiasophia6945
@sophiasophia6945 3 жыл бұрын
Apate wapi mpinzani
@joackimmapunda4697
@joackimmapunda4697 3 жыл бұрын
Et " alo masela " ila magufuli more love kwako
@missmoona4497
@missmoona4497 3 жыл бұрын
Hahahaaa bb huyu ni mjanja hatar hiyo nimewaelewa maana yake kuna watu wajipange kutumbuliwa wallah
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 3 жыл бұрын
Anaemuona mkurugenzi anatamani ardhi ipasuke alike hapa
@hellenmollel6679
@hellenmollel6679 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda Baba yangu, na Rais wangu
@ntamukunzimodeste4876
@ntamukunzimodeste4876 3 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda baba yangu
@youngpesa3744
@youngpesa3744 3 жыл бұрын
asante mung kwa kutupatia uyu rais asante baba magu kura yang iyooooooooh!
@priscambwambo1030
@priscambwambo1030 3 жыл бұрын
Hata sisi tunakupenda sana sana Rais wetu. Watanzania wote wazalendo tunakupenda sana.
@haroungallus4480
@haroungallus4480 3 жыл бұрын
Thou inpm
@haroungallus4480
@haroungallus4480 3 жыл бұрын
L
@eliazephania7633
@eliazephania7633 3 жыл бұрын
Acha na watambe na watu wasio wapiga Kura sisi raisi wetu ndo huyu
@reubenismail3672
@reubenismail3672 3 жыл бұрын
Daaa!kweli huyu hakika ni baba aisee anaongea kwa uchungu pia hapendi kabisa vurungu!amani ndo kila kitu
@juniorlaban2078
@juniorlaban2078 3 жыл бұрын
Rip president magu u are a hero Kenya I wish we could see this happening n our country u were blessed Tz
@marchymaziku6234
@marchymaziku6234 3 жыл бұрын
Magu nenda kaamulize kagame anatumia katiba gani inayo mfanya atawale rwanda mda mrefu hivi Harafu njoo itumie huku😁😁😁
@presseg.6362
@presseg.6362 3 жыл бұрын
Bwana akubariki Sana
@amonsanga1866
@amonsanga1866 3 жыл бұрын
Mh wangu nakuelewa sana haijawahi kutokea na haitatokea kupata Rais kama huyu Mungu akulinde utimize ndoto zako mh
@christinakomba4826
@christinakomba4826 3 жыл бұрын
Amwekee wigo wa moto wala adui hasimkaribie siku zote za maisha yake !! Amina
@nakalikyumile4370
@nakalikyumile4370 3 жыл бұрын
Nchi hii magufuli atachoka!yaani yeye pekee ndo anahangaika na kero za wenye nchi!wasaidizi wake wote ni wazembe
@barakaben7902
@barakaben7902 3 жыл бұрын
98% ni majipu sana
@peterokalo9632
@peterokalo9632 3 жыл бұрын
Theirs is no any president in all Africa’s continents like MAGUFULI 👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽who work hard and caring his peoples🪐🌎🙏🏽👏🏽☝🏽👌🏽👋🏽
@joshuasila9548
@joshuasila9548 3 жыл бұрын
Huyu diye president namtambua injini
@jacobmwaluanda6960
@jacobmwaluanda6960 3 жыл бұрын
Yes yes
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 3 жыл бұрын
we are like so much our president 💚🇹🇿
@fatmayussuf4760
@fatmayussuf4760 3 жыл бұрын
Na sisi tunakupenda sana raisi wetu
@doramkolo1745
@doramkolo1745 3 жыл бұрын
Am proud of my president kwakweliii💃💃💃💃💃💃💃
@mustafagaula3166
@mustafagaula3166 3 жыл бұрын
Msimfananishe huyu MWAMBA na vitu vyenu vya kipumbavu! Heti sijui Tundu, sijui Tobo....! Tumuache huyu king atufanyie kazi.....!
@victorjidinga9743
@victorjidinga9743 3 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hadijamatola5230
@hadijamatola5230 3 жыл бұрын
Eti tundu jamani nimejuwa kucheka 🤣🤣🤣😂😂
@dayana5513story
@dayana5513story 3 жыл бұрын
😀😀
@amouramour9712
@amouramour9712 3 жыл бұрын
h
@nice4really503
@nice4really503 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣tobo 🤣🤣🤣🤣
@rehemajoseph33
@rehemajoseph33 3 жыл бұрын
mkuu mungu akulinde awe nawe kila hatua unayo piga akuongoze
@muhubirirwesapaul3150
@muhubirirwesapaul3150 3 жыл бұрын
Nakuombea amani na maisha meme kwawa Tanzania wote. Mungu akujalie Mh Rais Magufuri
@paulina.baynit7970
@paulina.baynit7970 3 жыл бұрын
Naomba muheshiwa Rais upitie kwenye wilaya nyingi za nchi hii kunauozo wa hali ya juu. Kuna halmashauri za wilaya nyingine utafikiri siyo Tz.ufisadi usiseme unavyo shamiri. Mungu akubariki sana Rais wetu. Magufuli hoyeee!
@mariamkheri8138
@mariamkheri8138 3 жыл бұрын
Nampenda sana jamaniii huyu baba mmmh we acha tu
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 3 жыл бұрын
Hahahaha dah Magu nooma,Mungu akutunze baba
@CyimSky
@CyimSky 3 жыл бұрын
Wasukuma ndio kabila linaloongoza kwa upole/iko hivi kabila hili ni kubwa ...... kzfaq.info/get/bejne/aMmagMll157FXWQ.html
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 3 жыл бұрын
@@CyimSky ACHA UKABIRA ww
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
@@CyimSky acha UNGESE uo
@enezachauka7620
@enezachauka7620 3 жыл бұрын
Safi Mr Miayo, Magu co p kaka, RAIC NO1 TZ MWENYE MCMAMO
@sylvestermhojaaron9659
@sylvestermhojaaron9659 3 жыл бұрын
Mkurugezi atembee kwa miguu, wagonjwa wapande gari, hadi raha
@barakaben7902
@barakaben7902 3 жыл бұрын
Yaani inashangaza na kusisimua
@goodluckkigwenenge8953
@goodluckkigwenenge8953 3 жыл бұрын
@@barakaben7902 amina
@rosemasunga5209
@rosemasunga5209 3 жыл бұрын
Magufuli baba Wa wanyonge tunakuelewa baba God bless you baba!!!
@maxgwaho2268
@maxgwaho2268 3 жыл бұрын
Kwel kuwa Rais sio mchezo mpka unaweza kulia
@irenenyambeki3094
@irenenyambeki3094 3 жыл бұрын
Nakupenda sana raisi
@ibrahimmungure4749
@ibrahimmungure4749 3 жыл бұрын
Hapa kazi tu.
@edwinsima260
@edwinsima260 3 жыл бұрын
Daaaa!!!! my present uko vizuri sana baba
@zaidihussein4311
@zaidihussein4311 3 жыл бұрын
Chuma makufuli auna haja ya kupiga kampeni pesa ya kampeni peleka ktk miradi ya maendeleo kura tumeisha kupa siku nyingiiii
@ruthnjau
@ruthnjau 3 жыл бұрын
Safiri salama JPM🥺
@samiahkhalfan9091
@samiahkhalfan9091 3 жыл бұрын
Ahsante Baba, Mungu azidi kukuongoza na kukusimamia katika kuliongoza Taifa letu. Ahsante Mungu kwa kutuletea mtetezi wetu
@emanuelseka7581
@emanuelseka7581 3 жыл бұрын
You're the best
@eryin977
@eryin977 3 жыл бұрын
RIP papa 😭😭😭😭😭
@yohanaanthony3422
@yohanaanthony3422 3 жыл бұрын
Hata Kama Rais ataagiza uachwe upite uende kwake lazima walinzi wakukague kague
@junioryasin5306
@junioryasin5306 3 жыл бұрын
Lazma maana watu wamevaa ngoz ya kondoo kumbe ni chui
@peterokalo9632
@peterokalo9632 3 жыл бұрын
Raisi Wa mapezi n’a upending kwa ichii Yake n’a population yake
@ivonafrance8805
@ivonafrance8805 3 жыл бұрын
Sina cha kuongeza zaidi ya kuzidisha maombi ya uzima wenye afya na baraka tele kwako rais wa wanyonge mungu azidi kukuweka
@ZaharadaffaZaharadaff
@ZaharadaffaZaharadaff 3 жыл бұрын
Tunakupenda BABAETU na tunajua sisi Tz sio maskili ila tulikua tunakandamizwa lkn BABA wewe MUNGU akulinde sana
@robertsabuni7752
@robertsabuni7752 3 жыл бұрын
Safi sana
@mimitijara4806
@mimitijara4806 3 жыл бұрын
Haki watanzania uta kosa lulu yenu imerudi kwa mwenyewe mungu m7mba will mss u alot
@lamynlogan9599
@lamynlogan9599 3 жыл бұрын
Matatizo makubwa. Kumpata tena kiongozi kama huyu ni ndoto za mchana. Amesawazisha mambo mingi. Lala salama baba tutakukmbuka daima. Umetuliza sana baba.
@officialnaa8470
@officialnaa8470 3 жыл бұрын
Yani Rais oyee ccm oyeee ubarikiwe baba
@albeleenalberto158
@albeleenalberto158 3 жыл бұрын
Bora huyo alievaa miwani maana akipepesa macho haonekani
@felistermbua4703
@felistermbua4703 3 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha mamamaaaaaa mbavu zang
@ramadyzo5587
@ramadyzo5587 3 жыл бұрын
Twaku kukumbuka kwamazuri mungu akupe maisha yalio mazuri uko uliko
@sisdell1779
@sisdell1779 3 жыл бұрын
Mungu haachi kizuri chake kiharibike,pumzika babaa... One love🇰🇪
@shamimushittindi1418
@shamimushittindi1418 3 жыл бұрын
Mimi nitaolewa wakati magu akistaafu maana sasa hivi najiona nipo na baba home kwa jinsi alivyotuchemsha ubongo asante sana mjomba jj
@akiikilongo5691
@akiikilongo5691 3 жыл бұрын
Njoo mimi takuoa ila tuanze uhusiano xxhv😂😂😂
@salummigezo3729
@salummigezo3729 3 жыл бұрын
Njoo nkuoe
@livingeb5052
@livingeb5052 3 жыл бұрын
Aaaya ameshaondoka ssa inakuaje??? Pole ndgu angu
@jokeableking7039
@jokeableking7039 3 жыл бұрын
Ni Rais gani mwingine anayetoka kuzika na kuanza kuchapa kazi kama kawaida Africa nzima??????
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
Mwingine angelala mwezi kuomboleza😁😁😁😁
@jokeableking7039
@jokeableking7039 3 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 ukiona hvo ujue thawabu haitokei Mara mbili
@magdalenekessy9651
@magdalenekessy9651 3 жыл бұрын
Ni mzee wa hapa kazi. Tu
@leoncenondo
@leoncenondo 3 жыл бұрын
Huyo ni msaada toka Mungu, kwa wa TZ . Na nina amini kwa Africa mzima.
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 жыл бұрын
Utasikia siku saba za maombolezo hahahah...ahsante uncle Jpm.
@kimanijohn9529
@kimanijohn9529 3 жыл бұрын
Magufuli hoiyee
@hassanbashir7104
@hassanbashir7104 3 жыл бұрын
Tume mpoteza kiongozi tumempoteza simba wa African emwenyezi mungu utusaidie
@Mohaa4309
@Mohaa4309 Ай бұрын
Hongera sana bro mwenye umevaa kofia 🎉😂 walahi
@ireenpriscus5821
@ireenpriscus5821 3 жыл бұрын
Jaman huyo kaka anaongea na rais kama anaongea na bibi yake haogopi hata
@otmarykiowi4132
@otmarykiowi4132 3 жыл бұрын
Amani ipo
@angelntandu661
@angelntandu661 3 жыл бұрын
Atakuwa babu yake
@amouramour9712
@amouramour9712 3 жыл бұрын
h
@cosmaskomba2723
@cosmaskomba2723 3 жыл бұрын
Nmependa the way alivyojieleza
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 3 жыл бұрын
Hapa Kazi2 🔥 🔥👏🏻🇹🇿
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 3 жыл бұрын
Asante Mungu kutupatia Raising huyu mwenye kumtanguliza Mungu
@AWD_Tz
@AWD_Tz 3 жыл бұрын
Ee Mwenyez Mungu umbariki Mhe. Magufuli kwa mapenzi yako na umsamehe mabaya yake. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
@saitotisaitoti6734
@saitotisaitoti6734 3 жыл бұрын
Nimemuonea huruma DC jamani
@goddaudi1023
@goddaudi1023 3 жыл бұрын
👍👍👍
@beautywithnay5974
@beautywithnay5974 3 жыл бұрын
Makufuli baba ulale salama na mungu akumpunguzie adhabu yakaburi😭😭😭😭😭
@mohamudismail9177
@mohamudismail9177 3 жыл бұрын
Kwani mafuriko ya maji yanatoboa mabomba ya chini? mbona hata mimi sielewi.Asante baba..sote hatuelewi,,mungu Akuweke pema.AMIN
@jastenzabron5979
@jastenzabron5979 3 жыл бұрын
Mugufuli wengi tunamatatizo katika kiwanda chadangote tunamatatizo mengi njoo utusaidie
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
R.I.P BABA YANGU😭😭😭😭 TUTAKUKUMBUKA DAIMA😭😭😭😭😭
@ndiiyolazaro769
@ndiiyolazaro769 3 жыл бұрын
Hatukonae tena JPM😭😭😭😭😭😭😭
@sadamroba5162
@sadamroba5162 3 жыл бұрын
Pia sisi wote kenya tunakupenda sana.
@sanityonline4512
@sanityonline4512 3 жыл бұрын
dah president
@nassirmasoud6097
@nassirmasoud6097 3 жыл бұрын
Tunampa kura 5 tena Magu
@ramadyzo5587
@ramadyzo5587 3 жыл бұрын
Kumbukizi zaniliza sana siwez ingia one line bila kumkumbuka msema kweli
@richardbosire510
@richardbosire510 3 жыл бұрын
Everyday I like watching Rais Pombe
@hddhhddhdhhd7466
@hddhhddhdhhd7466 3 жыл бұрын
asante magufuli Mungu ngu akutunze
@donardmsomi8451
@donardmsomi8451 3 жыл бұрын
Nimekuwa mkiwa. Imekuwa ngumu kukusahau Baba yetu. Pumzika kwa amani baba yetu
@hoperegina2561
@hoperegina2561 3 жыл бұрын
Kweli mwenyezi Mungu hakukosea kutupa magufuli.
@Papa2thaE
@Papa2thaE 3 жыл бұрын
😆😆😆JPM kasema “Huyu pumbavu sana. “
@rachelmbeyu4385
@rachelmbeyu4385 3 жыл бұрын
Napenda vile yeye hutoa mtu makosa papo hapo
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 3 жыл бұрын
nimeisikia ile nikacheka peke yangu walishaanza kumvuruga lkn mwisho hakawaelewa hakashuka down kidgo ... tatizo viongozi wanamzingua mheshimiwa matatizo yote yanai face serikali si ndio maana haka panic.
@amouramour9712
@amouramour9712 3 жыл бұрын
h
Ziara ya Rais Magufuli kwenye Bandari ya Dar es salaam
5:57
Millard Ayo
Рет қаралды 927 М.
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 19 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 7 МЛН
버블티로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 96 МЛН
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
15:50
Global TV Online
Рет қаралды 706 М.
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'
14:14
Global TV Online
Рет қаралды 344 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 558 М.
I’m just a kid 🥹🥰 LeoNata family #shorts
00:12
LeoNata Family
Рет қаралды 19 МЛН