Kama wewe unapitia video zote za baba tangu atutoke gonga like😭😭
@rozaliewalumona86043 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yake mahali pema mbinguni
@rozaliewalumona86043 жыл бұрын
Ninaamini kazi umefanya si. Kwa wa Tanzania tuu ni kwa Afrika nzima na raisi wote Afrika wangefuata mwenendo wako hatungehitaji . misaada toka inje
@AlAl-sd9pl3 жыл бұрын
Mungu tunaomba utupatie tena Rais kama huyu jpm dah
@mangomkusaga54683 жыл бұрын
Halima vp
@aliandrew35372 жыл бұрын
My dear it's so painful to believe that doctor John pombe magufuli the bulldozer, jembe keshatutoka it's so painful for real From Kenya mpare originally
@ForeveryoungNana20193 жыл бұрын
I can't stop watching your videos Magu, continue dancing with the angels🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿
@aliandrew35372 жыл бұрын
My dear we need leaders kama jembe the bulldozer magufuli Yani mpaka Leo kifo CHAKE chanitia huzuni hadi leo
@janethmwanri16583 жыл бұрын
who is watching this now when he's no more... he says and does what he says... Like if you are watching this as we mourn for him
@itsyourboy14073 жыл бұрын
Utaishi mioyoni mwetu 😭😭NENDA SHUJAAA WETUU UPUMZISHWE KWA AMANI
@alexmuya85413 жыл бұрын
Am a kenyàn when I see thz best president in Africa I feel to cry out of happiness a president who listen to the prights of common mwananchi of Tanzania may God bless him I wish he could be be a Kenyan president
@johnmhina81223 жыл бұрын
Exactly Alex Muya
@temuemanuel46713 жыл бұрын
Thank you Muya. We pray that our EAC gets good leaders so that our economy and social life can fly. We are one people. Mkenya akipata ni mtanzania kapata, Muuganda akipata ni Mrwanda kapata na mranda akipata ni Mburundi kapata. Tuendelee kuombea Umoja wetu wa East Africa na Afrika kwa ujumla. Big up Muya.
@justinemachuma69543 жыл бұрын
Exactly, Am a kenyan too, I salute Magufuli too
@safinamalero39713 жыл бұрын
Rais wangu asalamaleku.....😴
@mahmoudaziz47173 жыл бұрын
Karibu tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
@graceniyonzima31303 жыл бұрын
I am Burundian but kila nikimuona mheshimiwa Rais John Pombe Magufuri aki naisi furaha kubwa sanaaa Mwenyezi Mungu akuwezeshe ubaki na Moyo wa upendo
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Umeonaa eeee but today we haven't our president it's xo sad hakika chema dada neema hakidum!!!!
@damariam74973 жыл бұрын
Mungu akuweke Magu, ww ni jembe Tanzania mjivunie mumshike kabisa💛💛💚💚 Kenya tunampenda sanaaaaa!!!
@givenlaudenmwamasage50573 жыл бұрын
Asante dada hili jembe kwelikweli halipingiki rais miaka mia
@starlonejadamskp82243 жыл бұрын
👏🏻👏🏻👏🏻
@ruthnjau3 жыл бұрын
🥺
@damariam74973 жыл бұрын
@@ruthnjau Ndo ivyo hatuna budi Mola kampenda zaidi...Mola awape nguvu wa Tanzania..😢😢😢
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Yani watu Leo ndo wanakumbuka daa we are so sad Tanzanian
@lucykiruki44393 жыл бұрын
Great and true son of Africa! Caring and sorting out wananchi’s issues. Tanzanians are truly blessed
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Umeonaa eeee!!! But today we haven't
@fababindawood83633 жыл бұрын
Yaani me nataman angekuwa Rais mpk Zanzibar 🙏🙏🙏💪💪💪💪
@mahmoudaziz47173 жыл бұрын
Kweli kabisa.
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Is your present too
@abdullaabdullahmpakanjia23363 жыл бұрын
Mijichoyo
@josephnchunga12473 жыл бұрын
Yani wapendwa kwa wananchi mh rais Wetu tulitakiwa tumpe miaka 20 huyu ndie tunayeona anaweza kuisukuma tz kwenye maendeleo ya kasi tuliokuwa tunahitaji jpm safiiiii Mungu akupe maisha marefuuuu jpm wetu
@jumajuma76583 жыл бұрын
JPM OYEEEEE
@rukiaaisu23093 жыл бұрын
Yani unawazo kama langu huwa naongea kila siku wallah tungefika mbali sana
@nsarilema95803 жыл бұрын
haya muongezeeni miaka 100 kabisa
@ashuraissa70443 жыл бұрын
Tulikupenda Sana baba yetu ulitupenda Sana haukubagua baba lala salama mungu akuangazie mwanga wamilele 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@sammygichuki56643 жыл бұрын
Mimi ni mkenya lakini twajivunia uongozi wa raisi wa Tx is a genius makufuli
@gabinnshimirimana6833 жыл бұрын
🇧🇮Can we make Mr John Pombe Magufuri the African President? He just does things different from other leaders. Tanzanians should be proud of him! 🇧🇮
@nice4really5033 жыл бұрын
Mtamuua ubongo jaman🙄
@erickossen63783 жыл бұрын
we are proud indeed
@josephatwilson98453 жыл бұрын
And now he is not live😭😭😭😭 great loss to our country
@aliandrew35372 жыл бұрын
Wanafki wameungana Na mabwenyenye wajamfikia kum'maliza
@fredasanga53943 жыл бұрын
kama unampenda magu weka lake hapo
@magdalenekessy96513 жыл бұрын
Safi sana rais wetu
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Nampenda kwa roho yake nzuri
@awadhally10523 жыл бұрын
👍
@faridadudu31783 жыл бұрын
napita kwa majonzi 😭😭 baba umetuacha bado tunakuhitaj ,mbele yako nyuma yetu😭😭😭
@deserttv_tz26553 жыл бұрын
👏👏 huyu ndo rais tunayemtaka, mwenye vitendo vingi kuliko maneno, naamini mungu alimuandaa kwa ajiri ya taifa hilii🙏🙏 watanzania tunapaswa kujivunia sana❤️❤️❤️
YANI MM UWA NALIAA KWA FURAHA NIKIMUONAGA UYU RAIS
@anahna67883 жыл бұрын
UNA PENDA NA UNA MAPENZI YA DHATI KWAKE
@neck04103 жыл бұрын
Safi
@mjerumaninyandu76553 жыл бұрын
Aloho kweli namkubali sana
@arkadimakona21133 жыл бұрын
@@anahna6788 the
@josephatwilson98453 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman baba ,tutakukumbuka sana kwa uchapaji wako wa kazi na kumjali myonge
@nassirabdi63603 жыл бұрын
A true pan africanist jpm was an example for us all......Africa loves and misses you......rest in peace.
@billyisadia56513 жыл бұрын
The late just went back to where he belongs, really. Where truth & justice prevails, in heaven
@remenmunis77293 жыл бұрын
Huyo jamaa anajua kujieleza sana Excellent
@florakiondo85573 жыл бұрын
Ubarikiwe mtu wa Mungu
@salmaathuman91563 жыл бұрын
Halafu munataka kutuletea sijui tundu lissu sijui membe sijui zitto kabwe sjiui upuuzi gani hawataweza kufanya haya ya magufuli
@ummymohd75703 жыл бұрын
Kwa kweli
@lujanimboje39353 жыл бұрын
Hahahahaa
@tiktoktdmdynamo31003 жыл бұрын
Kimsingi hauwezi kusema ivo kwa sababu toka nchi umepata uhuru ni chama kimoja tu ndo kimetawala
@depaolo34613 жыл бұрын
@@tiktoktdmdynamo3100 chama sio tatizo ila tatizo ni kiongozi
@husnasalim57393 жыл бұрын
Akuna anaweza mambo kama anayofanya MH JONNY POMBE MAGUFUL vyama sio sababu kikubwa uchapaji wa kazi uyu ni mfano kwaafrica mzima
@ferouzmasoud47413 жыл бұрын
Asante Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏🙏🙏
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Kuna watu wanaroho mbaya sana...utasikia Magu anatumia pesa za wanachi vibaya....Ahsanteee Uncle JPM. Mungu akubariki akupe afya njema.
@sylvestersimweka66433 жыл бұрын
Amina
@melissateddybearcossan95063 жыл бұрын
Watajiju wananchi ndio wanazitaka siyo yeye atajirike peke yake kama waliopita
@masengosamuel38173 жыл бұрын
Pande za burundi tunawafuatilia na poleni sana kwa msiba uliwo wakuta.millard
@MaaneML3 жыл бұрын
Yaani mimi nikimuona huyu Rais naona tu maisha ya watanzania yakibadilika tu. Nilikata tamaa na nchi hii kipindi cha mafisadi nikawa naongea hivyo mpaka nikadhaniwa pengine Mimi ni mpinzani. Kumbe tu ni maumivu ya wizi na ufisadi uliokuwa unafanyika. Yaani ninatamani utuongoze term hata 4 mpaka uzeeke kabisa.
@tumainimbati97893 жыл бұрын
Mimi kama mm huwa namuomba Mungu amsimamie Rais wetu mpendwa kwa kila akifanyacho kiwe chema kama vile anavyoendelea kutenda wema na hata kama atakataa kuongeza mda wakuongoza maombi yangu yaende kwa Kasimu majaliwa majaliwa awe Rais wa nchi maana mengi anayajua sana nchi hii tukiwapa wajinga wajinga wasiyojielewa kama wakina lissu wanaosifia ya nje kuliko yakwako ni utoporo
@temuemanuel46713 жыл бұрын
Ni kweli Anna Lyimo. Inabidi tulinde na kumwombea
@neck04103 жыл бұрын
Sawa
@mamavero40043 жыл бұрын
Mm sijawahi piga kura ila mwaka huu nitaamka saa kumi ya usiku niko kituo cha kupugia kura
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Ni real but u see today
@edwinelias85543 жыл бұрын
Km umesikia asalamu allekum like hapa
@deodatusmdaku22263 жыл бұрын
Gari ya mkurugenzi iwe ambulence 🙌🙌🙌
@godrivermussa67973 жыл бұрын
😀😀😀😀yan nimecheka kwa sauti aisee
@barakaben79023 жыл бұрын
Yaani mimi sina mbavu maana zinauma kwakucheka na mshituko
@teresaonduko44433 жыл бұрын
Natamani kuhamia Tanzania 💕
@pascoalphonce29113 жыл бұрын
Karibu sana Tz, hata ukija kuolewa tu huku Tz tayar umekuwa Mtanzania....Karibu sana
@barneymunuo56593 жыл бұрын
Karibu mama Mimi mwenyewe sijaoa nikikuoa utakua mtanzania kabisa hatunaga tatizo na wageni sisi karibu sana
@kelvinbalama75213 жыл бұрын
Jaman pole Sana but today we haven't our president it's soooo sad
@justinwambua51803 жыл бұрын
Tuleteeni huyu kiongozi hapa Kenya, hata sisi tunakupenda hapa kenya
@justinwambua51803 жыл бұрын
@Zawadi Issa anakunywa sana huyo pombe wenu
@kezahabiba55543 жыл бұрын
Wamlete kwanza Uganda duh
@justinwambua51803 жыл бұрын
@@kezahabiba5554 Uganda mko sawa nyie. Lifetime president
@agnesgervas80703 жыл бұрын
Kila nikiona comment zenu nalia tu naona jinc gani mlivyokuwana upend nchi jirani natamn ingekuwa ndoto tu hii kwtu
@justinwambua51803 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 You should have given us Magufuli on loan for one term. This is the only president every person in Africa was following closely, the rest are useless. May he rest in peace, we loved him.
@roselugendo69433 жыл бұрын
Asante Rais. Pole na safari yakwenda kumuhifadhi ndugu yetu, baba yetu mzee mkapa .
@oscarkasalile83703 жыл бұрын
Mzee wewe huna mpinzani Tanzania hata Duniani, mungu akulinde
@sophiasophia69453 жыл бұрын
Apate wapi mpinzani
@joackimmapunda46973 жыл бұрын
Et " alo masela " ila magufuli more love kwako
@missmoona44973 жыл бұрын
Hahahaaa bb huyu ni mjanja hatar hiyo nimewaelewa maana yake kuna watu wajipange kutumbuliwa wallah
Mh wangu nakuelewa sana haijawahi kutokea na haitatokea kupata Rais kama huyu Mungu akulinde utimize ndoto zako mh
@christinakomba48263 жыл бұрын
Amwekee wigo wa moto wala adui hasimkaribie siku zote za maisha yake !! Amina
@nakalikyumile43703 жыл бұрын
Nchi hii magufuli atachoka!yaani yeye pekee ndo anahangaika na kero za wenye nchi!wasaidizi wake wote ni wazembe
@barakaben79023 жыл бұрын
98% ni majipu sana
@peterokalo96323 жыл бұрын
Theirs is no any president in all Africa’s continents like MAGUFULI 👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽👋🏽who work hard and caring his peoples🪐🌎🙏🏽👏🏽☝🏽👌🏽👋🏽
@joshuasila95483 жыл бұрын
Huyu diye president namtambua injini
@jacobmwaluanda69603 жыл бұрын
Yes yes
@hassanparamana22153 жыл бұрын
we are like so much our president 💚🇹🇿
@fatmayussuf47603 жыл бұрын
Na sisi tunakupenda sana raisi wetu
@doramkolo17453 жыл бұрын
Am proud of my president kwakweliii💃💃💃💃💃💃💃
@mustafagaula31663 жыл бұрын
Msimfananishe huyu MWAMBA na vitu vyenu vya kipumbavu! Heti sijui Tundu, sijui Tobo....! Tumuache huyu king atufanyie kazi.....!
@victorjidinga97433 жыл бұрын
😂😂😂😂
@hadijamatola52303 жыл бұрын
Eti tundu jamani nimejuwa kucheka 🤣🤣🤣😂😂
@dayana5513story3 жыл бұрын
😀😀
@amouramour97123 жыл бұрын
h
@nice4really5033 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣tobo 🤣🤣🤣🤣
@rehemajoseph333 жыл бұрын
mkuu mungu akulinde awe nawe kila hatua unayo piga akuongoze
@muhubirirwesapaul31503 жыл бұрын
Nakuombea amani na maisha meme kwawa Tanzania wote. Mungu akujalie Mh Rais Magufuri
@paulina.baynit79703 жыл бұрын
Naomba muheshiwa Rais upitie kwenye wilaya nyingi za nchi hii kunauozo wa hali ya juu. Kuna halmashauri za wilaya nyingine utafikiri siyo Tz.ufisadi usiseme unavyo shamiri. Mungu akubariki sana Rais wetu. Magufuli hoyeee!
@mariamkheri81383 жыл бұрын
Nampenda sana jamaniii huyu baba mmmh we acha tu
@lindambilinyi62533 жыл бұрын
Hahahaha dah Magu nooma,Mungu akutunze baba
@CyimSky3 жыл бұрын
Wasukuma ndio kabila linaloongoza kwa upole/iko hivi kabila hili ni kubwa ...... kzfaq.info/get/bejne/aMmagMll157FXWQ.html
@wazirikhamisi48283 жыл бұрын
@@CyimSky ACHA UKABIRA ww
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
@@CyimSky acha UNGESE uo
@enezachauka76203 жыл бұрын
Safi Mr Miayo, Magu co p kaka, RAIC NO1 TZ MWENYE MCMAMO
@sylvestermhojaaron96593 жыл бұрын
Mkurugezi atembee kwa miguu, wagonjwa wapande gari, hadi raha
@barakaben79023 жыл бұрын
Yaani inashangaza na kusisimua
@goodluckkigwenenge89533 жыл бұрын
@@barakaben7902 amina
@rosemasunga52093 жыл бұрын
Magufuli baba Wa wanyonge tunakuelewa baba God bless you baba!!!
@maxgwaho22683 жыл бұрын
Kwel kuwa Rais sio mchezo mpka unaweza kulia
@irenenyambeki30943 жыл бұрын
Nakupenda sana raisi
@ibrahimmungure47493 жыл бұрын
Hapa kazi tu.
@edwinsima2603 жыл бұрын
Daaaa!!!! my present uko vizuri sana baba
@zaidihussein43113 жыл бұрын
Chuma makufuli auna haja ya kupiga kampeni pesa ya kampeni peleka ktk miradi ya maendeleo kura tumeisha kupa siku nyingiiii
@ruthnjau3 жыл бұрын
Safiri salama JPM🥺
@samiahkhalfan90913 жыл бұрын
Ahsante Baba, Mungu azidi kukuongoza na kukusimamia katika kuliongoza Taifa letu. Ahsante Mungu kwa kutuletea mtetezi wetu
@emanuelseka75813 жыл бұрын
You're the best
@eryin9773 жыл бұрын
RIP papa 😭😭😭😭😭
@yohanaanthony34223 жыл бұрын
Hata Kama Rais ataagiza uachwe upite uende kwake lazima walinzi wakukague kague
@junioryasin53063 жыл бұрын
Lazma maana watu wamevaa ngoz ya kondoo kumbe ni chui
@peterokalo96323 жыл бұрын
Raisi Wa mapezi n’a upending kwa ichii Yake n’a population yake
@ivonafrance88053 жыл бұрын
Sina cha kuongeza zaidi ya kuzidisha maombi ya uzima wenye afya na baraka tele kwako rais wa wanyonge mungu azidi kukuweka
@ZaharadaffaZaharadaff3 жыл бұрын
Tunakupenda BABAETU na tunajua sisi Tz sio maskili ila tulikua tunakandamizwa lkn BABA wewe MUNGU akulinde sana
@robertsabuni77523 жыл бұрын
Safi sana
@mimitijara48063 жыл бұрын
Haki watanzania uta kosa lulu yenu imerudi kwa mwenyewe mungu m7mba will mss u alot
@lamynlogan95993 жыл бұрын
Matatizo makubwa. Kumpata tena kiongozi kama huyu ni ndoto za mchana. Amesawazisha mambo mingi. Lala salama baba tutakukmbuka daima. Umetuliza sana baba.
@officialnaa84703 жыл бұрын
Yani Rais oyee ccm oyeee ubarikiwe baba
@albeleenalberto1583 жыл бұрын
Bora huyo alievaa miwani maana akipepesa macho haonekani
@felistermbua47033 жыл бұрын
Hahahahahahahahaha mamamaaaaaa mbavu zang
@ramadyzo55873 жыл бұрын
Twaku kukumbuka kwamazuri mungu akupe maisha yalio mazuri uko uliko
@sisdell17793 жыл бұрын
Mungu haachi kizuri chake kiharibike,pumzika babaa... One love🇰🇪
@shamimushittindi14183 жыл бұрын
Mimi nitaolewa wakati magu akistaafu maana sasa hivi najiona nipo na baba home kwa jinsi alivyotuchemsha ubongo asante sana mjomba jj
@akiikilongo56913 жыл бұрын
Njoo mimi takuoa ila tuanze uhusiano xxhv😂😂😂
@salummigezo37293 жыл бұрын
Njoo nkuoe
@livingeb50523 жыл бұрын
Aaaya ameshaondoka ssa inakuaje??? Pole ndgu angu
@jokeableking70393 жыл бұрын
Ni Rais gani mwingine anayetoka kuzika na kuanza kuchapa kazi kama kawaida Africa nzima??????
@ilovejesus93033 жыл бұрын
Mwingine angelala mwezi kuomboleza😁😁😁😁
@jokeableking70393 жыл бұрын
@@ilovejesus9303 ukiona hvo ujue thawabu haitokei Mara mbili
@magdalenekessy96513 жыл бұрын
Ni mzee wa hapa kazi. Tu
@leoncenondo3 жыл бұрын
Huyo ni msaada toka Mungu, kwa wa TZ . Na nina amini kwa Africa mzima.
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Utasikia siku saba za maombolezo hahahah...ahsante uncle Jpm.
@kimanijohn95293 жыл бұрын
Magufuli hoiyee
@hassanbashir71043 жыл бұрын
Tume mpoteza kiongozi tumempoteza simba wa African emwenyezi mungu utusaidie
@Mohaa4309Ай бұрын
Hongera sana bro mwenye umevaa kofia 🎉😂 walahi
@ireenpriscus58213 жыл бұрын
Jaman huyo kaka anaongea na rais kama anaongea na bibi yake haogopi hata
@otmarykiowi41323 жыл бұрын
Amani ipo
@angelntandu6613 жыл бұрын
Atakuwa babu yake
@amouramour97123 жыл бұрын
h
@cosmaskomba27233 жыл бұрын
Nmependa the way alivyojieleza
@starlonejadamskp82243 жыл бұрын
Hapa Kazi2 🔥 🔥👏🏻🇹🇿
@vickyshayo78803 жыл бұрын
Asante Mungu kutupatia Raising huyu mwenye kumtanguliza Mungu
@AWD_Tz3 жыл бұрын
Ee Mwenyez Mungu umbariki Mhe. Magufuli kwa mapenzi yako na umsamehe mabaya yake. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
@saitotisaitoti67343 жыл бұрын
Nimemuonea huruma DC jamani
@goddaudi10233 жыл бұрын
👍👍👍
@beautywithnay59743 жыл бұрын
Makufuli baba ulale salama na mungu akumpunguzie adhabu yakaburi😭😭😭😭😭
@mohamudismail91773 жыл бұрын
Kwani mafuriko ya maji yanatoboa mabomba ya chini? mbona hata mimi sielewi.Asante baba..sote hatuelewi,,mungu Akuweke pema.AMIN
@jastenzabron59793 жыл бұрын
Mugufuli wengi tunamatatizo katika kiwanda chadangote tunamatatizo mengi njoo utusaidie
@rezegerezege6913 жыл бұрын
R.I.P BABA YANGU😭😭😭😭 TUTAKUKUMBUKA DAIMA😭😭😭😭😭
@ndiiyolazaro7693 жыл бұрын
Hatukonae tena JPM😭😭😭😭😭😭😭
@sadamroba51623 жыл бұрын
Pia sisi wote kenya tunakupenda sana.
@sanityonline45123 жыл бұрын
dah president
@nassirmasoud60973 жыл бұрын
Tunampa kura 5 tena Magu
@ramadyzo55873 жыл бұрын
Kumbukizi zaniliza sana siwez ingia one line bila kumkumbuka msema kweli
@richardbosire5103 жыл бұрын
Everyday I like watching Rais Pombe
@hddhhddhdhhd74663 жыл бұрын
asante magufuli Mungu ngu akutunze
@donardmsomi84513 жыл бұрын
Nimekuwa mkiwa. Imekuwa ngumu kukusahau Baba yetu. Pumzika kwa amani baba yetu
@hoperegina25613 жыл бұрын
Kweli mwenyezi Mungu hakukosea kutupa magufuli.
@Papa2thaE3 жыл бұрын
😆😆😆JPM kasema “Huyu pumbavu sana. “
@rachelmbeyu43853 жыл бұрын
Napenda vile yeye hutoa mtu makosa papo hapo
@hassanparamana22153 жыл бұрын
nimeisikia ile nikacheka peke yangu walishaanza kumvuruga lkn mwisho hakawaelewa hakashuka down kidgo ... tatizo viongozi wanamzingua mheshimiwa matatizo yote yanai face serikali si ndio maana haka panic.