Hongera sana mkuu wa mkoa Iringa tunakupenda unafanya kazi nzuri Mungu akukinge na mabaya yote
@gregorychogelo20135 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 huyu dada ni shida yaani..! Mume wake ana kazi
@yusuphmbago36645 жыл бұрын
Hapo ndio naelewa vizuri ule usemi "kukopa harusi, kulipa matanga".
@bintysayd17635 жыл бұрын
Hahahaaa
@bintiiddy70434 жыл бұрын
😂😂😂😂
@williammollel79634 жыл бұрын
@@rehemaibrahim8475 a
@samueljr91055 жыл бұрын
Mama ulikopa pesa ukafanyia nn? Hata sasa wapiga kelele hapa usaidiwe kuweni makini mnapo kopa maana ukijua utarudisha sasa ww unakopa pesa nyinge utumie kwa njia chafua hata biashara hutaanzisha alafu hutaki kudaiwa ama KWELI washwahili walinena KUKOPA HARUSI KULIPA MATANGA
@f.a60435 жыл бұрын
Kweli hasira ni hasara! Kiburi si muungwana! sasa huyu Mama angeongea hata kwa busara nzuri Mh. Mkuu wa mkoa angeweza kumsaidia pengine amesha mvunja moyo hata RC kwa namna yake hio anayoonyesha! sasa yeye anaongea kwa jazba hivyo sijui kama ataweza kusaidiwa masikini pole mama!
@stellasanga81065 жыл бұрын
Amvunje moyo mara ngapi ameshaharibu hyu mama mhehe mgaya sida hasira hasara, pole we kwanza hana adabu huyo mama.
@geofreykasebele92445 жыл бұрын
Huenda gari la bosi litaenda mtaroni kulingana na jasba za mwana mama. Ile kwa ujumla ni Iringa aisee!!!!! HASIRA!!!!
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
Vahehe Nye mmmh
@priscasiame91795 жыл бұрын
Kujitoa muwanga sio tu kujivesha mabomu..hata kupaza saut pia ..mama safi sana waajir wengi washenzi mungu anaona mama wa wawatu kateseka lumande moyo wake umejaa hasira
@fainnamvungi43645 жыл бұрын
nimeweka earphone masikio yote yananiuma we mama wewe unaniumiza masikio...😂😂
@allykiwembo95535 жыл бұрын
Pole muheshimiwa mkuu wa mkoa irnga kwel unapambana na changamoto nyingi
@aminarashid62865 жыл бұрын
Huy mkuu wamkoa nampenda sana
@venamlowe35565 жыл бұрын
Africans we can never be better, we don't feel for each other. When one got good life they don't care about another brother or sister, look at the way they are treating their home helpers. You reap what you sow for real.
@asteriambwei955 жыл бұрын
Hapana mama sheria za benki haziingiliani na mkuu wa mkoa unamwonea happy iko nje ya uwezo wake lipa mama deni hakuna njia
@venamlowe35565 жыл бұрын
@@asteriambwei95 Riba zenu za bongo are not realistic, na sikuwa ninamlaumu mkuu wa mkoa bali the banking system in Africa as a whole. Nchi ziliziendelea bank zao zinaelewa wakati upo kazini na wakati hupo kazini. In the end the debt ends up being written off. Mtauwa watu kwa pressure bure.
@upendohalisi805 жыл бұрын
Chezea mhehe wewe atakula sahani moja na huyo mama uwii
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Ally Hapi pole Sana baba kazi sana
@robathzingu16505 жыл бұрын
Kwa kweli inaumiza sana. Na kwa mtazamo wangu ni kuwa tatizo siyo la mwajiri ama hawa waajiriwa waliopunguzwa kazini na haya yote wanayolalamikia kuwakuta. Tatizo ni sera mbovu za kiuchumi za nchi yetu na hata kushindwa kuilea sekta binafsi ambayo ndiyo inaajiri watu wengi kuliko sekta ya umma. Hawa kina mama huko Mafinga ni mfano tu, lakini kuna watu wengi sana wameathirika na wengine kupambana kivyao na wengine wametangulia mbele ya haki kwa sbb hii...!
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
Hapo chachaaaaa!!!!😁😁😁😁
@wazirisukari51784 жыл бұрын
Alieskia rc kasema anadaiwa na bank laki tatu tunyooshe mikono juu
@tonkimaro24955 жыл бұрын
Gonga like twende pamoja
@benedictmgaya73005 жыл бұрын
Mama lipa pesa za watu mdomo mrefu wa nn
@tatuhamisi48384 жыл бұрын
Watu bwana wanakopa kulipa shida....
@juliaslengai33234 жыл бұрын
😂😂😂😂😂ww dada punguza mdomo dawa ya deni ni kulipa
@lucky92855 жыл бұрын
Dawa ya deni ni kulipa dada Nyodo haisaidiiii
@user-br4tl7jv9j5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂nmecheka sanaaaa
@jojigeorige10565 жыл бұрын
Mama yamemkuta tayari. Ni kawaida katika maisha kupanda na kushuka. Alipoomba mkopo fomu zake mwajiri alimdhamini vizuri tu. Lakini mwajiri HR sio mmiliki wa mwenendo wa biashara. Hali imebadilika mazingira ya biashara yamekua magumu kampuni ikaamua kubana matumizi!. Ikageukia kuratibu uzalishaji wake ili kuongeza tija na kupunguza gharama. Kutekeleza hilo ikabidi ipunguze uzalishaji ikiambatana na kupunguza ajira. Mama likamkumba fagio akatoka kwenye ajira. Anatika akiwa na mkopo! Benki ili nayo isiyumbe inahitaji huo mkopo na riba virudi ili nayo isipate hasara ikafunga biashara. Wanatanyaje zaidi ya kumdai huyo mama? Tukisema tudai sheria kwamba mtu akipunguzwa kazi mwajiri alipe pesa je ikitokea mwajiri akala njama na wafanyakazi wake kisha akawadhamini baadae wakapunguzwa na kutokomea na pesa je si tutaua sekta ya fedha nchini? Liangalieni kwa pande zote sio tu mnamuonea huruma huyo mama au kumlaumu mwajiri au kuibeza benki
@twahashearer83025 жыл бұрын
Pole mkuu kwa majukumu endelea kupigania wananchi wako
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Nilichobaini hapa tanzania wenyewe wenyewe tunaekeena roho mbaya makazini
@omarkhamis95144 жыл бұрын
Sio Tanzania pekee Da Radhia, ni ulimwenguni kote, imani zimedhoofika. Naona kama jua limetukaribia zaidi.
@enosupertv22055 жыл бұрын
*kama umesikia mheshimiwa mkoa like twende sawa*
@joachimxavier50302 жыл бұрын
Huyu mama ajitahidi kulipa tu maana kuondolewa kazini sio kinga ya deni lakini ajifunze kujishusha tu mh mkuu wa mkoa alikua na Nia thabiti kabisa ya kutatua tatizo lakini Kwa namna ya uongeaji wake inakatisha tamaa kabisa ya kumsaidia Sheria hua Haina huruma so bank wakisimamia Sheria naona mama anaweza akapoteza ajifunze kuzungumza na watu sio kujiaminisha una msimamo wakati umesimamia pabovu.
@teddymeela27915 жыл бұрын
Huyu mama kakosa hekima tii mamlaka ikiyokuzid wew
@florachrist96024 жыл бұрын
Nyie mi kam namuelewa vile😂😂😁😁😀jmn nyie deni linachosha mjue😁😁😀
@nyembogwazibaka86554 жыл бұрын
Unakopea nn? uwe na.kiswahili kizuri walla c baya haswa ukikopa kidogo, kidogo huyo mama anaonekana fedhuri
@rahjah58825 жыл бұрын
Chadema mnamuacha huyu mama kweli, huyu akisimama CCM lazima wakimbie
@reachthegoal76245 жыл бұрын
Wamweke kuwa msaidizi wa Tundu Lisu
@denistarange55805 жыл бұрын
Mama ni atm machine
@hillwilltv67815 жыл бұрын
Chadema haipo kushindana na ccm, ipo kwa nafasi yake
@hillwilltv67815 жыл бұрын
Chadema haipo kushindana na ccm, ipo kwa nafasi yake
@twaibumikidadi73775 жыл бұрын
Mkuu waa mkoa hapo kına kitu Mwajili n mwanamke na mqajiliwa n mqanamke Lazma ufikirie kidogo kuna undan ulijificha Huyu mwajili anaonekana kujiona na kukomesha Soo kutoa soluu unatakiwa kuwaza kidogo mheaimiw Ally
@dennismalima53654 жыл бұрын
Ally Hapi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@joemartin82465 жыл бұрын
sasa hapo ndo nimeelewa kwanini yule Mzee alikuwa akidaiwa kiwanja anajitoa ufahamu mkiondoka anakuwa mzima😂😂😂😂
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Duuh huyu Mama anafaa ila Kimbelembele ka mfuko wa shati,Muheshimiwa Uko Sawa Barikiwa.
@marygaspar64295 жыл бұрын
Maisha magumu!! ndo maana watu wanashindwa kulipa madeni, kwenye kuhangaika kuna changamoto zake na hasa kama unakopa! kwa sasa ni presha tuu!
@fatimamohammed23325 жыл бұрын
mama na ww wenge knoma hahahaha unaombewa kaz una mbwera hap kwakuwa mm tayar nna kaz nngekuwa cna ngekutafuta hahahah
@ashuramhando52852 жыл бұрын
Huyu Dada atapata msaada kweli duh alipe tu deni😂😂😂
@ibrahimkambi92885 жыл бұрын
DUUH...Uongozi kweli kazi yeye ndo mwenye makosa na yeye ndo anabwata hatari sana...
@halimasaleh57055 жыл бұрын
Dawa ya deni kulipa
@gloriamichael36985 жыл бұрын
Kazi IPO mwana Wa Elizabeth
@maryamthomas34254 жыл бұрын
hongera mweshimiwa mkuu wa mkoa wa iringa uko vizr nakuomba tembelea na kijjn kwetu isman ukawaskilze wazee wetu kero zao
@denisdaniel18395 жыл бұрын
Hahahahahahaaaaaaa uuuuuuwiiiii elimu elimu elimu elimuuuuuu kuongoza hao watu ni kazi sana
@jerumayamwasomola10654 жыл бұрын
Huyo mama mwenye vitenge hana hekima tena fala
@mzalendomzalendo25674 жыл бұрын
Huyu mama vp ulipochukua mkopo ulisherehekea sasa vp unakuwa mkali lipa deni la watu
@ymusic8035 жыл бұрын
Huyo mama kidomo domo sanaa hawezi rudishwa kazini vinginevyo atawavuruga ofisin
@reachthegoal76245 жыл бұрын
Wakati mwingine mtu anashindwa hata kulielewa tatizo linalomsu bua. Mkopo alioshindwa kulipa, chuki ya mwajiri, polisi kumsumbua, msimamo wa mumewe kutolikubali na kulibeba deni, dalali anaemtishia inawezekana yapo matatizo mara mbili ya hayo. Mtatua tatizo asipotambua kiini cha tatizo na kukiondoa itakuwa ni tatizo juu ya tatizo yani unatatua hili linazuka hili. Ingekuwa mimi ndiye mshauri wake, ningemshauri apeleke yote hayo kwa mbeba mizigo asiye na nyodo, YESU!!!!!!!!!
@norafrowin17484 жыл бұрын
Team Ally Hapi nipo hapaaa
@delsonandrea52235 жыл бұрын
huyu mama anaongea jmn ahahahaha duh
@irinemacha29515 жыл бұрын
Kandongolo
@irinemacha29515 жыл бұрын
Ha ha ha ha.. Naweza nikafa apa
@enosupertv22055 жыл бұрын
*huyu mama anaongea huku anamrembulia mkuu wa mkoa* *HATARIIIIIIIIIIIIIIIII* *NASEMA HAPO SITAK*
Makazini baadhi ya Boss wanapenda kunyanyasa mfanyakazi kwa njia fulani hasa baadhi ya wanawake ma boss na hasa akiwa na gari kujiona anaendesha ndege###
@seddamwaipungu65665 жыл бұрын
mama lipa mkopo
@tariqmussa80994 жыл бұрын
Pole mkuu wa mkoa unakutana na watu waainabalimbali ndio kazi
@zicomgravity48975 жыл бұрын
Hiyo Inaitwa "Sindila Shida! Hahahah!
@giannajoji79445 жыл бұрын
Huyu mama dishi limeyumba!
@thedeo4724 жыл бұрын
Pole sana dadangu, naamini ulikopa kwa nia njema Kabisa, tatizo ni kupoteza kazi na Mkuu wa mkoa alitakiwa aelewe hivyo.
@godasanga38195 жыл бұрын
mh Rc sijui sheria ya Tz ikoje mtu anakopeshwa kutokana na kazi (employment status) kama amepewa redundancy bima ina bidi ilipe au wawe-suspend malipo until further notice on changes of employment status mh angaalien sheria upya
@gm70455 жыл бұрын
Mama kuwa mpole!
@joramnunu14495 жыл бұрын
😁😁 Kazi kweli kweli
@mwanamutemi5 жыл бұрын
deni hilo muajiri ndie afaakua guarantor pamoja na insurance
@kirobotonzuusi32465 жыл бұрын
Kandogolo😂😂😂😂
@bjzee19815 жыл бұрын
Watu wa elimishwe kabla ya ku kopa
@colethacharles5485 жыл бұрын
Kaka yangu Ally happi kazi unayo daaaah,tunakuombea heri wasikilize tu hata kama watatukana huo ndio uongozi
@yusuphmbago36645 жыл бұрын
Kesi ngumu sana hii!
@NeemaMedia5 жыл бұрын
Duuuh huyu dada kibini kweli Unaongea mpaka unakosa msaada
@agathamwashimaha70125 жыл бұрын
Kwa kweli mkuu wa mkoa hongera,ila tunasema kwa kihehe kangalage,vahehe uwiiii Dada ,vakali uhulo
@salmaalimusa5474 жыл бұрын
Tena twina fidada nyee
@mwitamalwa27732 жыл бұрын
Hutu mama mwehu unakopaje bila kujua pesa unarudishaje
@georgemassebu20835 жыл бұрын
Kamama kakiwa ndani haka ni changamoto
@bintysayd17635 жыл бұрын
We wakopa kwa kazi yakuajiriwa 😆😆😆 hujui wakat wowote waeza simamishwa
@nchamosishaffi5005 жыл бұрын
hyo ni matamshi machafu
@benngideon93175 жыл бұрын
Hapa mkuu wa mkoa atasaidia nini..... Waoo ndioo waliochukua mkopo. Na wamechukua wakijua wanafanyia nini. Nadhani ni wakati wa watanzania kupewa elimu juu ya mikopo. Kabla hajapewa mkopo apewe elimuu.
@ilovejesus93035 жыл бұрын
Umetoa duku duku mama lakini hata Mimi kwa hicho kiburi siwezi kukurudisha kazini! Lol una uchungu mno utakuharibia bahati nyingine.
@bintiiddy70435 жыл бұрын
Haaahaaaa 😁😁😁
@israelmeshack25185 жыл бұрын
Napenda sana unavo fanya kaziyako mkuu wamkowa ila apa Arusha sijasikiya mkuu wamkowa akitisha kero za wananchi
@severinemabirika22495 жыл бұрын
Huyu Dada nusu brain
@mbiyugobo10314 жыл бұрын
Watu wa iringa wabishi
@theresiakaruhanga95025 жыл бұрын
mama kulipa mkopo ni lazima ujipange utakavyolilipa. halafu dada unakislani. kutembelea gari kumeingilianaje na kukopa kwako???
@alexkabeho56095 жыл бұрын
Eti jamani mtu mwenyewe anajaa ukorofi
@stellasanga81065 жыл бұрын
Nashangaa watu tumetofautina kwa kweli wivu tu unamsumbua tatizo wanawake hatupendani gar inahusiana na nn? Na mkopo?
@saidimpako51864 жыл бұрын
ELIMU IKIKOSEKANA NI SHIDA
@seragefernandofernando64875 жыл бұрын
Sisi tunantaka huko moçambique huyo ndo anajuwa cheria.
@rahelgika38705 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa nyamaza tu baba, haka ka mama hapana kwa kweli.
@mtanzaniahalisimungunimwem6734 жыл бұрын
Badala anyenyekee ahurumiwe, mama ananyosha kamdomo. Hapo ndio kashalikoroga na Deni atalipa. Hekima na utulivu ni kitu muhimu
@ellyjacob98975 жыл бұрын
Huyo mama analazimishwa kurudishwa kazi kwa lazima
@luluzonlinetv74435 жыл бұрын
hahaaaa we mama kiboko
@theresiakaruhanga95025 жыл бұрын
Luluz online Tv na aliye muoa ana mzigo usiobebeka. na inawezekana ni kweli aipunguzwa kwa utovu wa nidhamu😁😁😁
@tatuomar41645 жыл бұрын
Duuh huyu baba mkuu wamkoa nampenda jmn
@florabaruti80325 жыл бұрын
mwisho wa ibada
@superchadema24175 жыл бұрын
Sasa polisi unamtoa kwa lip,,hutaki kuona mtu mjasir au,,,,mama nmempenda bure
@oyay28214 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa ana kazi kisha ika zaa kazi
@salmathequeen61405 жыл бұрын
Lipa mkopo ila ungesaidiwa nyodo zako hazisaidii Mama angu
@kindandakudingwa75145 жыл бұрын
Daaaah hasira za kihehe hizi
@jacquelinosmond2214 жыл бұрын
nashindwa kuelewa kwa nini huyu mama anayeongea sana alilala hapo kumsubiri mkuu wakati uwezo wa kutatua mwenyewe alikuwa nao? mama mdomo umekuponza
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
Kazi ipo kweli.....hapa...wewe ulikopa lipa deni tu
@asteriambwei33494 жыл бұрын
Wanawake wana maneno sana anadaiwa haelewewi
@monicaelias27435 жыл бұрын
ahahaaa mama noma
@joharymussa63184 жыл бұрын
Duh! huyu mama ni noma aise
@nwntz5 жыл бұрын
mama ni rapa
@salehosama11632 жыл бұрын
Namkubaki sana ally hapi
@mussaabdiel97975 жыл бұрын
Sasa apo suluhu akuna ni ugomvi unaendelea, mkuu tatua kero Izo
@rahimaaaaa86994 жыл бұрын
Huyo mama wa kilemba nampa pole mmewe
@jeromendetaulwa34665 жыл бұрын
Duh huyo mama hatari kweli pole RC mchukulie hivyo hivyo