Hongera Cna Mkuu Wa Mkoa Unafanya Kazi Nzuri Lakin Nikuombe Mkuu Wa Mkoa Kuna Malamiko Hayana Kichwa Yamekaa Kifamilia Cna Na Ww Unamambo Mengi Ya Kufanya
@floramollel13625 жыл бұрын
Una kazi sana izo kesi ngumu
@bunubunu87925 жыл бұрын
MWESHIMIWA RC ALI HAPI MUNGU AKUPEAFYANJEMA.NIMEKUKUBALI,
@njanjuleed13914 жыл бұрын
Hongera Sana kaka hapi kuokoa wanyonge ilingampya asnte Sana nakukubari sana
@samueljr91055 жыл бұрын
Daaah hii imeweza sasa yani dada kajistaki mwenyewe
@lubatikoseme66134 жыл бұрын
Kesi ya nyani imeangukia kwa ngedere... hapi achia mahakama waliosomea sheria. Hii sio safi hapi.
@jameswillson86854 жыл бұрын
Mweshimiwa uko mvumilivu Sana mgu akutie nguvu
@najma32685 жыл бұрын
Leo hii nimeishindwa kwakweli ni ngumu kumeza 🤣🤣huyo dada 🙌
@dianamalingumu45165 жыл бұрын
huyu dada anasema kweli hapo kazungukwa jmn anasema kweli
@ZROST Жыл бұрын
Kwanza mkuu wa mkoa wa Iringa one day uwe rais Inshallah Amin uyo dada aokoke
@relaxchinese41035 жыл бұрын
Umeniuzi kweli umeolewa huku mara kule mara umerudiana na mume wa mwanzo mara umepata bwana mwingine laanakum laanatu allah mwananamke lizika na mume mmoja
@tumainimango81405 жыл бұрын
Hahahaaa
@colethacharles5485 жыл бұрын
Yaani Dada ana wanaume huyooo loooo,kesi haina hadhi ya kusikilizwa na mkuu wa mkoa wanamchosha bure
@ramadhansteven3255 жыл бұрын
Dada mkavu huyu hata ashtuk duuu yupo very comfotable
@tariqmussa80993 жыл бұрын
Yani nimecheka uyu dada ni tatizo anawanaume wengi
@ashaally69935 жыл бұрын
😂😂😂😂 nacheka kama mazuri vile...mmmh hii Kali ya mwaka dada mabwana wote hao unawamudu vipi 😂😂😂 unataka bara na pwani utapotea ndugu yangu 🙆
@hajichungu94135 жыл бұрын
Asha Ally ha ha ha ha ha no nishidah
@ashaally69935 жыл бұрын
@@hajichungu9413 😂😂😂
@hermescash94635 жыл бұрын
😂😂😂😂. Nmecheka mwishoni katoea "Mdude" tena
@ashaally69935 жыл бұрын
@@hermescash9463 😂😂😂😂
@kangujosephkangungu265 жыл бұрын
Asha Ally dadaangu mhhh haya huwa inatokeaga
@fredykephacy92305 жыл бұрын
huyo Dada muongo sana
@traudkamugisha80515 жыл бұрын
Nimeipenda hii ahahahaa!!!
@fatumahassan82125 жыл бұрын
Khakika mheshimiwa hizi changamoto unazokabiliana nahisi akili inachoka pole sana, mungu alikuleta duniani kwa makusudi wapo baadhi ya watu wanahitaji kusaidiwa namna ya kuishi
@ramadhanisururamadhanisuru32155 жыл бұрын
Dah Kiongozi pole sana na majukumu ni kazi kweli kweli
@HarunaSaidy-rd8rs Жыл бұрын
Big. Up
@rahelmasiga15034 жыл бұрын
Mnampotezea Mkuu nafasi huyu dada hajambo kwa kuolewa
@m.mmarckus62985 жыл бұрын
Kaaaaaaa mengine ya familia,siyo ya serikali
@attumassawa59215 жыл бұрын
kweli huyu ni mgoni damu . Duu mwanamke mmoja wanaume sita bila aibu una simama mbele ya watu.
@bosiborimomanyi5592 Жыл бұрын
Ukiachana unatafuta mwingine..Hana shida
@BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын
Ally happy ulikuwa vizuri wengi tutakukumbuka Kwa jinsi ulivyo saidia watu kupata haki zao ,Wanaume watatu ulitaka Nini Cha zaidi webibi huna haya
@naimasuleiman6489 Жыл бұрын
Yuko wapi kwani
@Zubaiba5 ай бұрын
Ally hapi hongera sana 🎉🎉🎉
@flowinkilangira15455 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa iringa ana kazi kubwa mnooo.. Na hii ni mikoa karibia yote.
@rahimaaaaa86993 жыл бұрын
Du enzinza Magu rahaa sana
@ashurar27214 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa kazi unayo da pole sana
@bintiiddy70434 жыл бұрын
Mambo ni mengi kwakweli sasa Mbona mengine mmazlize nyumban ty 😁😁😁😁😂😂😂mnaznguwa kishez
@bintysayd17635 жыл бұрын
Kesi zingine hata sizakuwasilisha hahahaaa tapel huyo madam 😆😆😆
Hapi kazi mnayo mkoa unawatu wenye vichwa vigumu huo baraa ulanzi
@ismailyusuph7405 жыл бұрын
Hahahaaa....Yaani Muh’ ungekua unapokea kesi za dhuluma zenye chembechembe za mahusiano’ kichwa kingepasuka...!...Ndio hapo tujue viongozi wa DINI wana kazi kubwa kuamua kesi za mahusiano...! Bint kila anapokwenda ana BWANA.....! ...YAANI NI TAFRANI...!
@ezekielevarest62545 жыл бұрын
Hahahahahahaha
@lubatikoseme66134 жыл бұрын
Case ya hilda ni ya mahakamani na si nyie hapi mnahukumu case kwa feelings.. wache waliosomea taaluma ya sheria wafanye kazi yao..kuliko kuwaitia police tena
@linahsemindu4261 Жыл бұрын
Bora ungesema huijui Hy namba 😆
@BYAUNDA4 жыл бұрын
mweshimiwa huyo dada amezulumiwa, kufuatana na hali yake yakuwa na wanaume wengi, inaonekana kama familia yake yaani dada yake pia alimzunguuka, wampe haki yake.
@halimajamaniamekuwamndeme96174 жыл бұрын
Kwanza huyu dada ni kahaba, mbona anawanaume wengi sana, duuuuuuuu!
@kiyabonjemu98855 жыл бұрын
Kitu kimeshaeleweka, Dada Ni mtuhumiwa, kilichobaki Ni halali ya vyombo vya dola.
@floradori57604 жыл бұрын
Siku hizi naona watanzani mumechanganyikiwa kwa iringa mko na vituko sanaaaa
@bakarirutengwe3036 Жыл бұрын
KAZI KWELIKWELI
@devothafredrick39115 жыл бұрын
Duuuuuh!!!!! Noma sana aixee
@dianarosemassawe48245 жыл бұрын
Ha ha ha rahatupu iringaaa kushea raha tuuu ha ha 😂 🤣 🤣
@naimasuleiman6489 Жыл бұрын
Naion leo baada ya miaka 3 hii kali duu🤣🤣🤣🤣🤣muendelezo jmn
@aulamongi2020 Жыл бұрын
Iringa, Njombe,Songea, ogopa yaan weka mbali na watoto.
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Adi raha😁😁
@ukhtyashurasakinamnyoti17865 жыл бұрын
Kwa mpango huu ukimwi utawamaliza
@theresiakaruhanga95025 жыл бұрын
Ukhty Ashurasakina Mnyoti kumbuka Iringa iko kwenye kumi bora
@geofreyngoloka8065 жыл бұрын
Hii ndo mahakama nzuri
@ifruitx20965 жыл бұрын
Sweka mtu ndani huyu mama msweke ndani anakaa tapeli
@MrLogalaa5 жыл бұрын
Kama reality show
@bjzee19815 жыл бұрын
Kwani shida iko wapi? Mbona wanaume nyinyi mnawengi 😂😂😂😂
@hannansdeliciousfood4261 Жыл бұрын
Mwanamke hadhi huwa hana akiaa kazi kuchopwa chopwa km kibuyu cha asali atakuwa na shimooo la kupandwa na mgomba
@timanyere9052 Жыл бұрын
Mim mwedzenu nimefall love na mueshimiwa😘💗😂nimchanganye nahuyo afande apo nyuma
@esabelfadhili84325 жыл бұрын
Dada anajazba ndio mana kila mwanamme anamkacha...wanaume watatu hadi sasa je akizeeka???
@gracealex87125 жыл бұрын
Dada anazungukwa hapa na hapa hawezipata haki yake, zaidi ya kudhalilishwa tu.
@happybruno17644 жыл бұрын
Pole mkuu wa mkoa hadi kichwa kitakuuma baba
@ashamganga66365 жыл бұрын
😂😂😂yani malalamiko mengine yanachekesha hadi ya ndoa basi na mm nipeleke nimetelekezwa na baba mtoto wangu
@tuphujekumuhkunonyiile37395 жыл бұрын
Kes ilikuwa yakiwanja chake
@floradori57604 жыл бұрын
Huyo ni malaya mwanzo muogo tena
@neemakaaya59714 жыл бұрын
Nakukubali sana
@bunubunu87925 жыл бұрын
HONGERA MILARD AYO KWAKUTUHABARISHA.
@user-ec4ou2tj6rАй бұрын
Alie cheka kwa nguvu gonga like
@agesag.m24764 жыл бұрын
Hahahaha Hii story ni Moto
@stanleyeddo43464 жыл бұрын
Inaweza kua wame mzunguka mama wa watu me najua sisi binadam shida sana
@asiasalim46344 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Love you happy
@janethjustin52565 жыл бұрын
jaman kwan hii inaendelea wapi😹😹😹
@angellamwamlima14985 жыл бұрын
Duh! makubwaaaaaaa
@seddamwaipungu65664 жыл бұрын
Mmama ana sura kavuuuuu, dangaaaaaa
@rutashubanyuma45465 жыл бұрын
Usimuamini mwanamke kabisa
@athanaskipeto5725 жыл бұрын
OG Mkuu pole
@wistonmsasa77495 жыл бұрын
Mwanamke Malaya sana
@momepeter91614 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mambo meusi eheeee
@mercypeter162 Жыл бұрын
Mama Muhuni amezungukwa Na waume zake😂😂😂
@sumaiyahussein3578 Жыл бұрын
Ila mweshimiwa inaonekana anapenda izo story 😂😂
@ameenaameena12243 жыл бұрын
Mpira huo sio mke😂😂😂😂
@elizabethsolomon86205 жыл бұрын
Hahahaha. Kazi kweliiii
@saadacharasaada19582 жыл бұрын
Huyu dada nishida sana
@johnsonjusto95645 жыл бұрын
hawa wote sweka ndani kwakuwa wanajikanyaga na maelezo yao
@martinthomas70345 жыл бұрын
Kamwene oyeeeeeeeee
@mandiatv87375 жыл бұрын
hahahahahaha duuudunia inamambo
@ramadhanisururamadhanisuru32155 жыл бұрын
Uuuwiiii rc pole sana maana unakutana na changamoto nyingi sana