Mzee Anena MAZITO kwa RC HAPI kwa Kubomolewa NYUMBA

  Рет қаралды 81,417

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

Mzee Anena MAZITO kwa RC HAPI kwa Kubomolewa NYUMBA
Mkuu wa Mkoa amemsweka ndani diwani viti maalumu kupitia chama cha Demokrasi na Maendeleo Chadema kata Kihesa Silestina Jonso kwa kuamulisha mgambo kuvunja nyumba na mwananchi wake Lonjino Utenga.
Lonjino Utenga ambaye ni mwananchi wa Mtaa wa Kihesa alimwambia Mkuu wa Mkoa kuwa diwani huyo aliamua kufanya kitendo hicho kutokana na visa vya kusiasa.
Akisikiliza juu ya kero hiyo kutoka kwa wananchi huyi Mkuu wa Mkoa Ally Hapi alilazimika kuwaita viongozi mbalimbali wa Mtaa huo ilikuweza kupata ukweli wa jambao
Baada ya kujilidhisha na maelezo mbalimbali kutoka kwa viongozi hao ikiwa ni pamoja na Diwani huyo Mkuu wa Mkoa huo Ally Hapi amelazimika kuagiza jeshi la Polisi kumweka ndani diwani huyo.
Aidha baada ya kutoa maagizo hayo Mkuu huyo aliweza kuahidi kumchangia shilingi laki tano huku wadau mbalimbali wakiendelea kutoa michango na kuendelea kutoa ahadi.
bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzfaq.info FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1 / uwazi1 WEBSITE:
globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Пікірлер: 103
@jovinacbkan7785
@jovinacbkan7785 4 жыл бұрын
Wajenge nyumba ya Mzee Alhapi,ongera sana kaka,kazi nzuri,nyumba ijengwe .
@mariamm2724
@mariamm2724 4 жыл бұрын
Mkuu wangu wa mkoa nakupenda sana kwanza unahofu ya mungu na unatenda haki,najuwa nahilo utatenda mungu akusimamie huyo mzee apate haki
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
Watoto wa MAGUFULI oyeeeee piga kazi kaka
@margretchai3384
@margretchai3384 4 жыл бұрын
Hongera mheshimiwa
@johnjacob9587
@johnjacob9587 4 жыл бұрын
More Congratulations RC Ally Happy nakupenda Sana
@laulymo2063
@laulymo2063 3 жыл бұрын
Barikiwa sana 🙏 mkuu
@rowlandwilbert9625
@rowlandwilbert9625 5 жыл бұрын
kuanzia dakika ya 41 uyo mzee amezungumza kwa hisia sana, hao ndo wazee wakereketwa
@bintlola3127
@bintlola3127 5 жыл бұрын
Na avuliwe vyeo vyote mamaeeee.....sijui kwann hawavyama pinzani wakolofi...alafi hao ndo wakwanza kusema serikali mbovu...
@yussufbare4913
@yussufbare4913 3 жыл бұрын
Mama unakaa kudulumu lakini huyu hakimu uko mbeleyake SI mtu hivi hivi Leo una kibarua ngumu hapa ....eti kijijio ya ugurua shenzi
@nayopamlimbatv1382
@nayopamlimbatv1382 4 жыл бұрын
Pole sana mzee wangu ila mbona wamama mna sifa nzuri za huruma ila uyu mama yupo tofauti sana na wanawake au wamama wenzake duuuh wewe mama mungu anakuona kwa kweli
@mamaliabdi2305
@mamaliabdi2305 4 жыл бұрын
uko vizuri brother mungu akulinde
@happynanyaro4421
@happynanyaro4421 4 жыл бұрын
Mungu akubarik mkuu wa mkoa wa lringa
@crunkersdd4578
@crunkersdd4578 4 жыл бұрын
I liked the democracy of republic of 🇹🇿.Thanks to mr Hapi and God bless you
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 жыл бұрын
Crunkers Dd, is a kangaroo court democracy?
@SabraKhalidy
@SabraKhalidy Ай бұрын
Hongera Mkuu, Mungu akusimamie katk majukum yako
@juliethmollel9355
@juliethmollel9355 4 жыл бұрын
mkuu wa mkoa wa iringa nimekupenda bure ,ungegombania uras ningekupa kura zangu zoe mungu akubariki
@bintiiddy7043
@bintiiddy7043 4 жыл бұрын
Huyo mama anaroho mbaya kama yule mchaga aliouwa mfanya kazi wake yani hawana utofauti😭
@hadijashabani890
@hadijashabani890 4 жыл бұрын
Adi nimelia jamani dah
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 Ай бұрын
Mkuu wa mkowa hongera sana kutetea wanyonge mungu akubarik
@brunochilole7185
@brunochilole7185 4 жыл бұрын
Nakuombea mkuu uje uwe raisi wa Tanzania kaziyako safi
@leonardpetro1463
@leonardpetro1463 5 жыл бұрын
Nimefurahi huyu mama kukamatwa maana niliumizwa sana hila ya huyo mjinga RC Fanya kazi yako baba
@mwnaidibushuti9958
@mwnaidibushuti9958 4 жыл бұрын
Mimi sio mtanzania LAkini nafurahia kazi ya muheshimiwa happy mungu akupe afya njema na muongo zo mwema zaidi nimekupenda kwa ajili ya Allah
@yussufbare4913
@yussufbare4913 3 жыл бұрын
Kenya ndo Kuna unyama zaidi hii
@shufaavuai9690
@shufaavuai9690 2 жыл бұрын
MashaaAllah
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 9 ай бұрын
Mungu awabariki mmetimiza andiko alikosema Yesu nalikuwa uchi mkanivika, mmeuvika mwili wa krsto
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 жыл бұрын
Ningependa kujua hivi huyo mama alihukumiwa muda gani. Maana si kwa roho mbaya hiyo khaa
@danypray2259
@danypray2259 5 жыл бұрын
Mpaka machoz yanatoka
@lucymacha1853
@lucymacha1853 4 жыл бұрын
Jamani wewe mama kwanini unakuwa katili hivyo mkuu wa mkoa sukuma ndani hafai kwenye jamii
@fatoomfatoom5590
@fatoomfatoom5590 5 жыл бұрын
Hili sio jipu bali tambaza litumbue muheshimiwa Ally HAPPY Mungu yupo pamoja nawe
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
Kwakweli tena tambazi sugu lina mizizi
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Жыл бұрын
😂😂😂
@yusuphyohana8738
@yusuphyohana8738 3 жыл бұрын
Kweli ya Mungu mengi
@janerosempeta5662
@janerosempeta5662 2 жыл бұрын
Kweli kabisa maligo makomi igoo! Umwanako peiwonaga udade afwete itawulo hela nyeee! Pole sana Kaka yetu!
@abdulazizabdillahkijaro3070
@abdulazizabdillahkijaro3070 4 жыл бұрын
I wish we had this kind of power in kenya
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 4 жыл бұрын
Mama ana roho mbaya mungu amlaani
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
Safi sanaaaa
@mariamm2724
@mariamm2724 4 жыл бұрын
Kweli mhehe mwenzangu huyo kanyanyasika kiasi kwamba unafikili mkimbizi kweli jaman, imeniuma sana
@ednamanji
@ednamanji 4 жыл бұрын
Huyu RC Ni Magufuli number 2 Msaidizi wa Wanyonge.
@alimbarakmselem8467
@alimbarakmselem8467 Жыл бұрын
Masha Allah
@georgeszigashane4710
@georgeszigashane4710 Жыл бұрын
Wewe nimuheshimiwa unastahili kwelikweli, unahekima yakuamua kero za watu, hatakama leo Samia suluhu ameshakutoa kazini, Ila tuko nyuma Yako wewe nishupavu kbs, maana wewe utamurizi magufuli Samia nibure.
@midumbiojijo8126
@midumbiojijo8126 2 жыл бұрын
Huyo mama anakiburi sana
@ibrahimmawazo7165
@ibrahimmawazo7165 2 жыл бұрын
Hadi nahisi machozi yanatoka, kiama kipo na tutahukumiwa! roho mbaya sio nzuri. Allah akulipe kheri Muheshimiwa.
@zainabumbondei8635
@zainabumbondei8635 3 жыл бұрын
RC WAIRINGA SHIKAMOO MITANO TENA NAKUPA KUANZIA LEO
@queenlovemgallah6520
@queenlovemgallah6520 3 жыл бұрын
Nimekupenda bule mkuu wa mkoa
@dianaamon9844
@dianaamon9844 4 жыл бұрын
Huyu mama unaweza mtia kisu aisee
@bafaqurish9018
@bafaqurish9018 4 жыл бұрын
Ally plz njoo moshi tunataka mkuu wa mkowa kama wewe asee wewe ni noma aseeee karibu moshi
@erneolumato574
@erneolumato574 5 жыл бұрын
uko vizur kaka
@ELGIUSKELAMIYE
@ELGIUSKELAMIYE Ай бұрын
Mkuu wa mkoa wapi jamn Yuko vzr sana
@dolnaduswege1984
@dolnaduswege1984 2 жыл бұрын
Hapo hapi nakupa hongera sana kwa kufuata haki
@yussufbare4913
@yussufbare4913 3 жыл бұрын
takataka bado mnakula nguruwa basi hata mbua kuleni
@jordanyassin6038
@jordanyassin6038 4 жыл бұрын
Huyo amgeukie MUNGU aombe Toba sana
@karimmveyange280
@karimmveyange280 2 жыл бұрын
Alli Hapi nijembe bwanaa.Unaeleweka tangia Kinondoni.Mungu akuzidishie.Fanya subira. Haki haiozi.Nyota yako ilisha fahamika na inang]ara sana.
@juliethmollel9355
@juliethmollel9355 4 жыл бұрын
mama anaroo mbaya huyo cjawahi ona ,sura mbaya kama uchi wake
@georgejindwa8135
@georgejindwa8135 4 жыл бұрын
Mm ni mkenya lakini huwa napenda sana kufatilia siyasa ya Tz huwa yanipa muongozo mzuri wa kisiasa. Huyu mama anampenda huyu mzee that's way alimwambia akampe chumba kwake.
@LingxueMhume
@LingxueMhume 3 ай бұрын
Wakenya mna akili sana
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 жыл бұрын
Walah nimemaikiliza huyu baba nimetokwa na machozi anaelez kwa hisia na amenyanyapaliwa vby mno na kuteswa nimelia vby unavua nguo mbele ya watoto wako wa jinsia zote kwann jmn
@luganojacob
@luganojacob 4 жыл бұрын
Mkuu apo upo sawa ila migambo hawahusiki
@linusisiyovizurikumkanamza7622
@linusisiyovizurikumkanamza7622 2 жыл бұрын
Wewe kumbe mtendajji mzuri unastaili bado kuwa mkuu wa mkoa mama Samia huyo rc hapi big up
@failunaimba9774
@failunaimba9774 4 жыл бұрын
Hahahahaha amenaswa
@antonwicki262
@antonwicki262 4 жыл бұрын
Uuwi huyo mama ningeshamuuwaga zmn
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 жыл бұрын
Mungu akupe subra tu my ndugu
@susananyasani6526
@susananyasani6526 3 ай бұрын
Haya maneno mazito kutoka kwa Wananchi yanauma lazima yaangaliwe upya
@aaminaasljbgbvf745
@aaminaasljbgbvf745 5 ай бұрын
Wewe chekelea dada yatakutoka napuani 😢😢😢
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 2 ай бұрын
Tunamungoja Sabaya mama yetu mpendwa hawa ni watumishi makini sana
@silayostraton3778
@silayostraton3778 2 жыл бұрын
We all
@VitalisPaul
@VitalisPaul 5 ай бұрын
Grobal inawekaje tangazo ktk ya hutuba ya mtu, kuna wakati mnazingua bwana
@janethmollel6324
@janethmollel6324 4 жыл бұрын
Duh hadi machozi
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 жыл бұрын
Huyu mama alifikiria kweli juu ya huyu mkuu wa mkoa au alifuata fitina zawatu kumtumbua
@teedullah5708
@teedullah5708 2 жыл бұрын
Wanarukana Sasa we mkuu nimekupenda bure🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@susananyasani6526
@susananyasani6526 3 ай бұрын
Maskini inauma kutofuata haki pole sana Baba na Familia yako
@mwariworld6547
@mwariworld6547 4 жыл бұрын
20:40💔💔💔💔😥😥😥😥
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 4 жыл бұрын
Huruma kweli
@frankaugustine9512
@frankaugustine9512 4 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa tulia huko ndo tunaona kalama yako achana na wenye uchu wa mdaraka
@mariamm2724
@mariamm2724 4 жыл бұрын
Uyo mama shetani mkubwa ona linavoangalia
@khadijamasoud5521
@khadijamasoud5521 3 жыл бұрын
natamani uwe rais
@franceobert3087
@franceobert3087 2 жыл бұрын
Inauma
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 2 жыл бұрын
Wewe mama umeanza unaongea kwa ujasiri sasa unaanza kutetemeka
@yussufbare4913
@yussufbare4913 3 жыл бұрын
Utashugulikiwa taktak
@munaahmed8499
@munaahmed8499 4 жыл бұрын
Mm nalia tu kila ninapoona hii clip inaumiza huyu ni mzazi na ni binadam nina miaka 23 lkn maisha nilipitia mpk sasa nipo kam binadam inaumiza kam baba huyu anavyolalamika. Mpk sasa nipo natmikia waarabu kisa ili nije naishi kwa aman lkn huwez jua roho mbaya kam hizi ikija kunikuta mm si kufa tu jmn haaaaaaa inauma mar 10000
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 9 ай бұрын
Huyu mama nammaindi
@mwayayamashaka6708
@mwayayamashaka6708 Жыл бұрын
Hata mupemba yapo sana
@mjegembishalms2461
@mjegembishalms2461 2 жыл бұрын
Utawara wakizalendo sijui kama bado upo kwa bibi samia
@luthntulo
@luthntulo Жыл бұрын
Unastahili kuwa raisi.kwanini. Hukugombea uraisi njoo rujewa tunakuhitaji MUNGU akubariki mheshimiwa.
@stumay-wx9rp
@stumay-wx9rp 2 жыл бұрын
Mama na wigi lake kama fangiyo hana hata huruma
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 жыл бұрын
Hichi kipande nimekikuta tictok nikajua huyu jamaa katumbuliwa kimakosa kumbe nikwaajili ya maslahi ya watu
@galawesakayala806
@galawesakayala806 5 жыл бұрын
wewe mbunda tutakufuatiria siyo bure, na wewe ndiyo sawa na huyo delila
@mariamm2724
@mariamm2724 4 жыл бұрын
Huna jipya piga ndani
@iddindudi9632
@iddindudi9632 2 жыл бұрын
Iddi ndudi wa kondoa dah inauma sama ila kilaa chenyemwazo hakikos mwisho by iddi ndudi
@innocentsindi994
@innocentsindi994 4 жыл бұрын
Dear Happ mimi si mu Tz rakini ninakupenda jinsi unavyosikia watu wako na kutatua matatizo. Mungu akubariki sana
@agnettakamugisha4984
@agnettakamugisha4984 5 жыл бұрын
this is WRONG! lazima kesi ifunguliwe! Hacha kunyanyasa watu😢
@leonardpetro1463
@leonardpetro1463 5 жыл бұрын
Nothing wrong we know how this woman doing.
@jacklinejosam3713
@jacklinejosam3713 9 ай бұрын
Wemkuu wamkoa wewe, nataka tukutoe copy jamani usambae Tanzania nzimaa
@zamoyonirashidy1154
@zamoyonirashidy1154 4 жыл бұрын
kwakweli mkuu wamkoa ilinga wanalaha mana hanajua kutenda haki na wengine wakuu wamkoa waige mfano wa Mwezao kujua matatzo ya wanachiwao
@adamkaita3009
@adamkaita3009 5 жыл бұрын
mbunda hakuna chombo chenye lawama kama mahakama hazitendi haki sasa huoni hapo kuna chuki binafsi za kisiasa tena wote ccm.
@bintlola3127
@bintlola3127 5 жыл бұрын
Umeon eenhee
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
And you hear idiots saying u ve done nothing giving us yours ears till late tht they could not do
@georgeszigashane4710
@georgeszigashane4710 Жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Ally happy, wewe utakua rais tu sikumoja
@mayowangimba9553
@mayowangimba9553 Жыл бұрын
Kuna wengine walishabarikiwa kua matapeli,hapo nguvu sio huruma,municpal haina shida,shida ni ccm na usiasa wao
@nathalieswedy3653
@nathalieswedy3653 4 жыл бұрын
I wish na mkuu wangu wa mkoa angekua km wewe
@ELGIUSKELAMIYE
@ELGIUSKELAMIYE Ай бұрын
Ni mkuu wa mkoa wa wapi jaman
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
22:48
Global TV Online
Рет қаралды 726 М.
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 5 МЛН
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 38 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 13 МЛН
KILICHOMFANYA ALLY HAPI ATEMWE
2:47
Wasafi Media
Рет қаралды 193 М.
LIVE KUTOKA IRINGA: Mkutano wa RC Hapi na wananchi (MASWALI NA MAJIBU)
1:21:39
Usiku wa Kuamkia Leo RC Hapi amuweka Ndani Diwani CHADEMA, KISA?
25:35