MIRAJI ATOA ANGALIZO MKATABA MPYA WA KIBU DENIS | LEO SIMBA INAWEZA KUCHANA NA MCHEZAJI WANGU 😂

  Рет қаралды 23,049

Finest Online

Finest Online

13 күн бұрын

Пікірлер: 43
@salmoncelestine6840
@salmoncelestine6840 10 күн бұрын
Kazi za kiume zinataka hivyo,,ukimya na utulivu kazini kwa mwanaume muhimu sana.Hongera Mzamiru
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 11 күн бұрын
Mzamiru apewe kitambaa kama huseni anatoka mana nawakubar sana Hawa Wana wapambanaji
@user-wk2bg8zf3l
@user-wk2bg8zf3l 11 күн бұрын
MUNGU IBARIKI SIMBA🎉🎉🎉❤❤❤
@user-cz9me7mq9r
@user-cz9me7mq9r 11 күн бұрын
Miraji unanpa raha et ukigonga nga ngaaa😂😂
@BADILIJUSTUS-fs3oo
@BADILIJUSTUS-fs3oo 9 күн бұрын
Miraji miraji miraji usije ukamukosea heshima kibu Denis nimchezaji wauhakika, subili apate usaidizi ndio utajua kibu Denis ni nani, kibu anaifia timu kabisa timu ilikuwa inavuja Kila sehemu (kiungo hovyo mbona hausemei Ngoma na kanote wanatofauti gani na beki Kennedy au wao wanaasist ngapi ngapi au hauwaoni) kibu pekeyake ndio aliwasumbua yanga kwenye 2_1 tunasajiri lakini atakuwemo wa kufikia uwezo wa kibu Denis, mi naomba mungu atusaidie tupate kiungo anajua kucheza kiungo afu utaniambia kibu atamaliza na goli ngapi?
@hamduomar1243
@hamduomar1243 11 күн бұрын
Miraji nipo Zanzibar namba zako za simu naziomba
@YusufOmar-tk8yf
@YusufOmar-tk8yf 11 күн бұрын
Mm nipo nazo nipo Zanzibar 😊
@user-cv4yi5hz9b
@user-cv4yi5hz9b 10 күн бұрын
Acha unafki broo mbona maramoja alikuepo hapo Zanzibar😔😔🤪🤪
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 11 күн бұрын
Big up miraj chagamba
@BADILIJUSTUS-fs3oo
@BADILIJUSTUS-fs3oo 9 күн бұрын
Kibu huwa anafunga sana tena sana akipata wasaidizi sio hii simba iliyokuwa inavuja kila sehemu kibu Denis anafanya kwenda kuinusuru isifungwe pia kuipeleka mbele ifunge goli yeye pekeyake ww ungeweza huku wachezaji wengine wamelarex tu Ngoma na kanote mpaka pozisheni zao hawajui timu inasumbuliwa tu na timu ndogo
@JamesLukmay
@JamesLukmay 9 күн бұрын
Miraji ingilad awana kikozi cha uxhindi
@makambiluse3565
@makambiluse3565 11 күн бұрын
Leo nimewaona airpot mnalekod sema nilikuwa juu ya dalaja ningewapa hi
@IsackKija
@IsackKija 11 күн бұрын
Wakwanza atakua wa mwisho
@user-gy6ru6dw1b
@user-gy6ru6dw1b 11 күн бұрын
😅
@abdallahrenatus6677
@abdallahrenatus6677 11 күн бұрын
Mala ya Mwisho nilionana na milaji bundesliga Mwanza
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 9 күн бұрын
Xav mtupu
@MzeewaYanga-hm8jq
@MzeewaYanga-hm8jq 11 күн бұрын
Kaka naomba matangazo yewe mwisho
@denishaule6314
@denishaule6314 10 күн бұрын
Ili usiangalie😂😂😂😂
@denishaule6314
@denishaule6314 10 күн бұрын
Sherehe chakula huwa ni baada matukio muhimu
@DanielChaula
@DanielChaula 11 күн бұрын
Mjombaaaaaaaaa
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 11 күн бұрын
milaji chagamba pamoja
@user-eu9bz1kb2u
@user-eu9bz1kb2u 11 күн бұрын
miraji kwa kibu wewe ni mnafiki UKo vizuri lkn Kila ukiongea kuhusu kibu unampondaga sana toka robathino alivyo mpa tuzo Dubai wewe Ulikua unamponda juzi Tena ilivyo kua lomansi ya kwenda yanga wewe wewe ndo Ulikua unasema kua kibu Amna kitu na ukaanza kuchambua no zake toka yupo mbeya city au sio wewe Leo unasema kibu safi kweli
@makambiluse3565
@makambiluse3565 11 күн бұрын
Umemuelewa lakini?? Kasema namba zimemkataa it means hamna alichofanya
@user-eu9bz1kb2u
@user-eu9bz1kb2u 11 күн бұрын
​@@makambiluse3565kwa kibu ni mnafiki fatilia maojiano kuhusu kibu
@deonatusdaud4640
@deonatusdaud4640 11 күн бұрын
​@@makambiluse3565uwe unaskiliza kwa makini
@BADILIJUSTUS-fs3oo
@BADILIJUSTUS-fs3oo 9 күн бұрын
​@@makambiluse3565wewe niyanga kwa taarifa Yako kibu kaongeza miwili jiandae huko atawaua
@BADILIJUSTUS-fs3oo
@BADILIJUSTUS-fs3oo 9 күн бұрын
Kweli kabisa miraji kwa kibu nimnafiki sana, haya nani mwenye namba nzuri Sasa ata viungo wako
@BADAWY575
@BADAWY575 11 күн бұрын
Nimeongea sana nikatukanwa matusi mengi yani lenyewe miraji pia chizi anajisahaulisha kuwa kununua kwao ni bwinde simba wote michizi yani yenyewe kama yamerongwa musahaulishe
@user-pr1nk6vr2q
@user-pr1nk6vr2q 11 күн бұрын
Ww mwenyeo chzi na utaumia xna mbwa ww😂😂mwaka huu @BADAWY575 ww ni mbwa huna akli lzm utukunwe na bdo😅😅
@deonatusdaud4640
@deonatusdaud4640 11 күн бұрын
Hujui kuandika...
@user-pr1nk6vr2q
@user-pr1nk6vr2q 11 күн бұрын
@@deonatusdaud4640 🤣🤣🤣🤣🤣
@BADAWY575
@BADAWY575 11 күн бұрын
Hao simba paka zimbwe junior lazima kuwe na toleo jipya mpira tunatizama paka timu ya taifa zimbwe njee pale anakaa kijana wetu kibabage kwa hy simba bado wako nae sana njia ile kasi ya mtotovwa iringa zinbwe hawezi.mechi taifa akiguswa chali beki hy imekwiii pale njia .Simba hamuwezi munafulisika hamuna pesa omba omba nyie
@DennisDotto
@DennisDotto 11 күн бұрын
Lipeni madeni msajili mmekaa kimya kama dirisha la usajili halijafunguliwa.
@BADAWY575
@BADAWY575 11 күн бұрын
We vipi timu yetu kimataifa tarehe tano toleo jipya aliyetoka ndio katoka lakini tarehe 5 vijana au chezi la wana wajagwani full report timu nzima ng'ang'a hizo zinakuja kutupa raha .wanalipwa wengine wako dubai Aucho kama ulaya ndani ya uganda.nyie benchi la ufundi hamuna uongozi ndio ule ule hahahahaha hahahahaha
@BADAWY575
@BADAWY575 11 күн бұрын
Sisi bila ata toleo jipya timu iko kamili imara .sasahv nyie Simba muki itisha timu zoezi hamutimiii .mikuma kweli nyie hamulioni kama bado ukamilifu wa timu hakuna hamuoni au nyie ni matahira wa babujiii au ni misukule ya Mo babujiiiiii
@BADAWY575
@BADAWY575 11 күн бұрын
Utajuaje babaa hy kimya yetu inakusumbua ki usomiiii baba Yanga ulaya uhakikaaa
@BADAWY575
@BADAWY575 10 күн бұрын
Hahahahahaha hili jinga kweli nawambia simba machizi kama wamerogwa tena wamerogwa macho yao pia sio masikio pia.hahahahaha Dar Young African rais lipo vacation maokoto kibao wachezaji kina aziz wapo dubai usajili tayari umemalika maaaaaaaapweeeeema tarehe 5 fuluuuuu mchezaji kambi nyie vipi nyie wote machawa tuuuuu hahahaha wanafiki omba omba kwa babujiiiiiii
@kadirichannelonlinetv4258
@kadirichannelonlinetv4258 11 күн бұрын
Me xjaona point ya miraji make anaongeaongea2 kucheka cheka2 ndo nn
@avitusmichael5
@avitusmichael5 11 күн бұрын
Kaongee ww uone utakavyojambajamba ovyo kama ni rahisi, pia kama humwelewi unapita kuliko huko kuharisha
@rynesalewa7043
@rynesalewa7043 11 күн бұрын
Kwan ni lazma ufatilie miraji kama rahic chukua number hapo wasiliana na chagamba ukafanye interview wwe
@christinaKufakulala
@christinaKufakulala 11 күн бұрын
Mbona unamakasiriko kwani umeitwa humu😂😂😂
@georgiusgotifrid3074
@georgiusgotifrid3074 11 күн бұрын
Mkuu wewe ni kweli ni mamuluki😡
@deonatusdaud4640
@deonatusdaud4640 11 күн бұрын
Akili zako ndogo sana...poor
Me: Don't cross there's cars coming
00:16
LOL
Рет қаралды 13 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,5 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 49 МЛН