JUMBA LA KIFAHARI LA RAZALEE WANALOFIKIA MASTAA WAKUBWA /PAMOJA NA MARAIS

  Рет қаралды 35,909

ZamaradiTV

ZamaradiTV

3 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 127
@zuliomar8866
@zuliomar8866 2 ай бұрын
Mimi mwalimu wako Mr Muha wa Laureate. Nakupongeza sana kwa hatua uliopiga na ALLAH azidi kukuongoza katika njia njema anayoiridhia.
@AmosjonhmsusaNengajohn
@AmosjonhmsusaNengajohn 3 ай бұрын
Jamaa yuko humble sana ,, neno brother na karibu tena kalisema zaid ya 100 kwenye haya mahojiano
@user-dv5zg7ru9c
@user-dv5zg7ru9c Ай бұрын
Sio kama taufiq kamwambia akihojihojiwa na uyu mwandishi, mwandishi atakua star 😂😂
@hafidhisamata634
@hafidhisamata634 2 ай бұрын
Nachompendea razaleeee pesaaa kajaza ila kuvimba hajui very humble
@saidkhalifa34
@saidkhalifa34 3 ай бұрын
Mr Razalii umezungumza kwa hisia saan kwenye suala la kuiletea maendeleo Zanzibar allah aakuwafilishe
@Udindigwa
@Udindigwa 3 ай бұрын
Nimependa Jamaa Anavyo Jibu Maswali Hekima Ndo Kitu Bora SANA Katika Maisha Yetu Mungu Anisaidie Aniongoze Vyema Katika Safali Ya Maisha Yangu
@khadijamansoor7415
@khadijamansoor7415 3 ай бұрын
Ndugu mtangazaji pole ,umepambana na matajiri wakubwa wenye imani zao za Dini Mashaallah
@RayaAmeir
@RayaAmeir 3 ай бұрын
Razaleeeeeee sema tenaaaaaaa......hongera saleh
@hassanabazar9411
@hassanabazar9411 3 ай бұрын
Huyu Mr Sematena ni mtu poa sana yani hana majivuno kabisa Mungu akuzidishie kheri
@ahmedhamdan8526
@ahmedhamdan8526 3 ай бұрын
Safi bro ❤
@amirkhamis8250
@amirkhamis8250 Ай бұрын
Kuna watu wana hela halafu ni very humble. Angezipata Doto magari/Mwinjaku ingekua hatulali
@Juke995
@Juke995 3 ай бұрын
Wengine tumeishia tu kumjua jina na lijumba lake ila hatujui ni nan na imekuwaje hadi kahojiwa 😢bora millad ayo anauliza maswali muhimu
@princesaha3262
@princesaha3262 3 ай бұрын
True!!
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 3 ай бұрын
Rich young man but very humble
@fahadfahmy
@fahadfahmy 3 ай бұрын
Mwisho wasiku namimi nimeangalia kipindi 👍
@RehemaAlly-rn7cb
@RehemaAlly-rn7cb 2 ай бұрын
eeeeenh kwa mara ya kwanza kuliona hili jumba ndanii nilikuwa napita tu kwenda beach😁😁😁
@abiboseleman1649
@abiboseleman1649 3 ай бұрын
Vipindi vingi wakigonga wanjfanya kwenda kuu Liza Kwan hajui km anafwata😅😅
@mrsab303
@mrsab303 3 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@happynkya9770
@happynkya9770 3 ай бұрын
daaah haya bhna
@user-rk9cy8gc8g
@user-rk9cy8gc8g 3 ай бұрын
Mashallah anampenda kusema karibu Sanaa half nitajir huyu
@user-ic1is1cn6y
@user-ic1is1cn6y 3 ай бұрын
Mmeona watu na maswahiba zao😀😀
@Kevworx
@Kevworx 3 ай бұрын
Nilichopenda jamaa ni mshabiki mwenzangu wa Chelsea
@MoLabia
@MoLabia 2 ай бұрын
😂😂
@alexkayombo2725
@alexkayombo2725 2 ай бұрын
Form 4 2012 duh ?? Mdogo wangu kabisa pesa sasa😂😂😂
@isaachayes9783
@isaachayes9783 3 ай бұрын
TATIZO HUJUI KUPANGILIA MASWALI, MTIRIRIKO NI MBOVU.
@stephanomagembe4140
@stephanomagembe4140 3 ай бұрын
Kipindi kizuri lakini kuna maswali yanakosa kuulizwa ..maana huyu ni kijana amefikaje hapo ? Au amerithi Mali au namna gani..
@Alburtukal
@Alburtukal 3 ай бұрын
Utajiri ni wa kurithi tu
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 3 ай бұрын
Kipindi kizuri Ila ungekifanya mchana ingependeza zaidi
@tembatembele5332
@tembatembele5332 3 ай бұрын
Nyumba nzuri aweke pazia za umeme
@kingkendrickk
@kingkendrickk 3 ай бұрын
Wazanzibar wanaishi bwana
@khamismohammed1650
@khamismohammed1650 3 ай бұрын
Sio wote
@user-lj7mu1tk2b
@user-lj7mu1tk2b 3 ай бұрын
Wemuongo 😂😂 njoo zanzibar uone jualitavokuwakia
@mithlaabdulrahim8566
@mithlaabdulrahim8566 3 ай бұрын
​@@user-lj7mu1tk2b Akaribie 2 mbona 😂😂😂
@ZiyandaMhlana
@ZiyandaMhlana 3 ай бұрын
Iknw is nice house m father is contractions doing this big bangaloo
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 2 ай бұрын
Pazuri sana🎉
@Iptysamkihiyo
@Iptysamkihiyo 3 ай бұрын
huyo ni mr. mwisho wa siku sio mr sema tena
@godfreychaula3969
@godfreychaula3969 3 ай бұрын
camera man movement zako zipo slow,unachelewa kufika eneo husika wakat inaanza kuelezewa,fanyia kazi hilo
@saidseif1860
@saidseif1860 3 ай бұрын
Bado mtangazaji hajaiva yaan km mtalii vile
@yusrasalum
@yusrasalum 2 ай бұрын
Si michezo ❤
@ShedrackSylvester-yl6be
@ShedrackSylvester-yl6be 3 ай бұрын
Mpeni mashavu castor Dickson atauwa San kwenye hichi kipind izuri sema mwana unyama
@redtk2971
@redtk2971 3 ай бұрын
Kijana kwa maneno yako hayo ya watu wanaingia kimya kimya na yatch chonde usije mfufua jiwe huko alipo😂
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343
@ujenziwanyumbakisasatanzan6343 3 ай бұрын
Kwanini msitafute watangazaji wenye uwezo. Na mtu wa editing pia aongeze uwezo. Ila mtangazaji big NO
@user-rk9cy8gc8g
@user-rk9cy8gc8g 3 ай бұрын
Nimecheka salehe kwenye tenesi
@footballtzee
@footballtzee 3 ай бұрын
Mdogo angu kabisa 😂😂😂
@saidkhalifa34
@saidkhalifa34 3 ай бұрын
Hao ndio wazanzibari halisiii
@hafidhisamata634
@hafidhisamata634 2 ай бұрын
Tungekuwa wabongo kama huyo haongei na mtu
@Sisterjemi1
@Sisterjemi1 3 ай бұрын
Huyu si muarabu rangi tu mbona wapo wachanga weupe nao utasema waarabu
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 3 ай бұрын
Kitaaaa hapo Bush Doctor kibweni Mshelishelini Wapi Msouth,
@kahilissa1862
@kahilissa1862 3 ай бұрын
hahha msouth yupo
@manallayusuf4951
@manallayusuf4951 3 ай бұрын
Sale hataki kaondoka naona mwenyeji anasimama kukuaga wewe umekaa bado 😂😂
@princesaha3262
@princesaha3262 3 ай бұрын
Kipindi kizuri ila Da Zama huyu mtangazaji Bado hajaiva, hamjuwi kumuhoji mtu. Kwani mtazamaji hajuwi huyu ni nani?? Kwani mtu anataka amjuwe huyu jamaa ni nani?? Na jina lake ni nani?? Na Kwa Nini ni Raza Lee?? Ana husiana vipi na kina Marehem Moh'd Raza au Ibrahim Raza. Hayo yote yalitakiwa yajulikane!!
@Ciyara248
@Ciyara248 3 ай бұрын
Omba ajira uende wewe ukawe mtangazaji wa kipind
@princesaha3262
@princesaha3262 3 ай бұрын
@@Ciyara248 ahaaa. Haya
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 3 ай бұрын
NAKUJIBU MIMI NDIO MTANGAZAJI SALEH SIO KILA KITU MTU ANATAKA KUKIWEKA HADHARANI NA AKISHASEMA HATAKI VITU VYENGINR VIENDE HEWANI UNATAKIWA UMUHESHIMU KWAIYO KILA AMBACHO UMEKIONA HAKIJAENSA HEWANI MWENYEWE HAKUPENDA…. Sada kama Bado sijaiva karibu ulete CV upate ajiraa….. saleh classc hapa IDD MUBARAQ
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 3 ай бұрын
Unataka ujue nini zaidi na nishasema mfanyabiashara mkubwa zanzibar unataka ujue nini wakati keshatoa historia yake alipozaliwa mpk aliposomaa mpaka Akamaliza ndugu yng🙏🏻
@Ciyara248
@Ciyara248 3 ай бұрын
Salehe baba pumzk mwaya ....Sisi tunao fatilia kipind chako kila siku Ndo tunao jua ubora wako katika kazi achana na izi ng'e🤬
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 3 ай бұрын
Wanaume wa zanzibar hawana vichogo
@djhajiztz
@djhajiztz 3 ай бұрын
hata komwe awana
@kautharjay5868
@kautharjay5868 Ай бұрын
salehe mbona anacho??
@Alburtukal
@Alburtukal 3 ай бұрын
Nlikua nashindana nae kuenda mbio na mavespa maeneo ya chukwani
@KautharRamadhan-xv3gf
@KautharRamadhan-xv3gf 3 ай бұрын
Kwaiyo tukufanyejr
@swahilkid3128
@swahilkid3128 3 ай бұрын
Matajiri wote znz ni warabu au wahindi waznz weusi zao chuki na umasikini umewajaa,walalamikia muungano eti ukivunjika watakua matajiri kimiujiza kama hao waarabu
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 3 ай бұрын
Sema huwajui zipo gapiz zanzibar zina pesa wala hazina papara ya kujisifu
@kingkendrickk
@kingkendrickk 3 ай бұрын
Aisee
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 3 ай бұрын
Mpumbvu sn ww huku Zanzibar kuna wa2 weusi wenye pesa kuliko warabu na wahindi hatupendi sifa na kujulikana ukitaka kujua ilo nijb comment hii nikupe data za wa2 weusi wenye pesa kuliko waarabu
@masoudrashidmohammed4124
@masoudrashidmohammed4124 3 ай бұрын
Ww ni pimbi sana unachuki na wazanzibar na huwajui wazanzibar stupid kabisa kumbe ww yaani wazanzibar wanapesa hatari sana. Na huko kwenu Tanganyika munatumwa ba hao hao wazanzibar ndio wanaokutumeni
@Muhamed_mo
@Muhamed_mo 3 ай бұрын
Mliwauwa ili mrithi majumba na mali zao je vipi hamjafaidikaaaa, na nyie mkatajirikaaaasss, msicheze na mgao wa Allah mmeadhirikaaaa na mmakufa dhaliliiiiii
@zahormohd
@zahormohd 3 ай бұрын
Hilo jumba alijenga baba yake tangia mwishoni mwa miaka ya tisiini na mwanzo lilikua limeandikwa baadhi ya aya za qur'an kwenye kuta zake na likapata umaarufu kwa raza na kipindi chote cha uhai wa baba yake hatukuwahi kuona akitembelewa na mapaparazi kuhojiwa kwenye nyumba hiyo.
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows 3 ай бұрын
Na baba yako mbona hakujenga mpaka leo hii bado maskini?
@icclcharters3389
@icclcharters3389 3 ай бұрын
Acha hasira😂
@princesaha3262
@princesaha3262 3 ай бұрын
Sio kwamba hatumpendi au hatupen di kipindi ila mfumo wake wa kuhoji. Anakwambia jumba la kifahari la Raza Lee kumbe ni sehemu yake ya biashara sipo anapoishi. Na ukipima yy anasema 2012 kaenda china kusoma hapo kamaliza form 4 ,je china alisoma kipindi Gani?? Chuo alimaliza lini?? Na level yake ya elimu ikoje?? Kwa sababu ukimuangalia huyo,Mali nyingi amezikuta na yy anaendeleza tuu. Kama ilivyokuwa Kwa tawfiq ila tawfiq kidogo yupo tafauti na huyu lkn wanafanana.
@princesaha3262
@princesaha3262 3 ай бұрын
@@nickalreadyknows Hana.
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 3 ай бұрын
We ulitaka ajengewe na baba yako nini? We mbona baba yako kakuachia masufuria hamna anaeshangaa
@abdulrahmanmohammed4449
@abdulrahmanmohammed4449 3 ай бұрын
Msimlaumu mwenzetu amekutana na vitu vya ajabu vimemtoa mchezoni amebaki anashangaa maswali hamna..ila amejikaza hata hivyo
@HamisiChipotele-fl8xo
@HamisiChipotele-fl8xo 2 ай бұрын
Kweli kbs. Masikini ukikutana na tajiri mtetemo lazima😂
@KASSIMABDULLA-wm7bn
@KASSIMABDULLA-wm7bn 19 күн бұрын
Upo sahihi
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 25 МЛН
Sheria Ngowi Aifungua Shajara Yake Kwa Babie Kabae
55:41
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 8 М.
Сын вернулся с войны и сделал сюрприз 🤯
0:17
Фильмы I Сериалы
Рет қаралды 6 МЛН
УНИТАЗ В ЛЕСУ?? #shorts
0:24
Паша Осадчий
Рет қаралды 3,1 МЛН
Эта ведьма поедает детишек #фильм #кино
0:53
МеткийДик
Рет қаралды 2,7 МЛН
Didiya hume wo chidiya dila do na 🦜🦜 #shorts #comedy 😜
0:34
Sikha shorts and vlogs
Рет қаралды 61 МЛН
Burger Boom 💥 #настольныеигры #boardgames #games #игры #настолки #настольные_игры
0:35