Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 127
@zuliomar88662 ай бұрын
Mimi mwalimu wako Mr Muha wa Laureate. Nakupongeza sana kwa hatua uliopiga na ALLAH azidi kukuongoza katika njia njema anayoiridhia.
@AmosjonhmsusaNengajohn3 ай бұрын
Jamaa yuko humble sana ,, neno brother na karibu tena kalisema zaid ya 100 kwenye haya mahojiano
@user-dv5zg7ru9cАй бұрын
Sio kama taufiq kamwambia akihojihojiwa na uyu mwandishi, mwandishi atakua star 😂😂
@hafidhisamata6342 ай бұрын
Nachompendea razaleeee pesaaa kajaza ila kuvimba hajui very humble
@saidkhalifa343 ай бұрын
Mr Razalii umezungumza kwa hisia saan kwenye suala la kuiletea maendeleo Zanzibar allah aakuwafilishe
@Udindigwa3 ай бұрын
Nimependa Jamaa Anavyo Jibu Maswali Hekima Ndo Kitu Bora SANA Katika Maisha Yetu Mungu Anisaidie Aniongoze Vyema Katika Safali Ya Maisha Yangu
@khadijamansoor74153 ай бұрын
Ndugu mtangazaji pole ,umepambana na matajiri wakubwa wenye imani zao za Dini Mashaallah
@RayaAmeir3 ай бұрын
Razaleeeeeee sema tenaaaaaaa......hongera saleh
@hassanabazar94113 ай бұрын
Huyu Mr Sematena ni mtu poa sana yani hana majivuno kabisa Mungu akuzidishie kheri
@ahmedhamdan85263 ай бұрын
Safi bro ❤
@amirkhamis8250Ай бұрын
Kuna watu wana hela halafu ni very humble. Angezipata Doto magari/Mwinjaku ingekua hatulali
@Juke9953 ай бұрын
Wengine tumeishia tu kumjua jina na lijumba lake ila hatujui ni nan na imekuwaje hadi kahojiwa 😢bora millad ayo anauliza maswali muhimu
@princesaha32623 ай бұрын
True!!
@sabrinasabrina83953 ай бұрын
Rich young man but very humble
@fahadfahmy3 ай бұрын
Mwisho wasiku namimi nimeangalia kipindi 👍
@RehemaAlly-rn7cb2 ай бұрын
eeeeenh kwa mara ya kwanza kuliona hili jumba ndanii nilikuwa napita tu kwenda beach😁😁😁
@abiboseleman16493 ай бұрын
Vipindi vingi wakigonga wanjfanya kwenda kuu Liza Kwan hajui km anafwata😅😅
@mrsab3033 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@happynkya97703 ай бұрын
daaah haya bhna
@user-rk9cy8gc8g3 ай бұрын
Mashallah anampenda kusema karibu Sanaa half nitajir huyu
@user-ic1is1cn6y3 ай бұрын
Mmeona watu na maswahiba zao😀😀
@Kevworx3 ай бұрын
Nilichopenda jamaa ni mshabiki mwenzangu wa Chelsea
@MoLabia2 ай бұрын
😂😂
@alexkayombo27252 ай бұрын
Form 4 2012 duh ?? Mdogo wangu kabisa pesa sasa😂😂😂
@isaachayes97833 ай бұрын
TATIZO HUJUI KUPANGILIA MASWALI, MTIRIRIKO NI MBOVU.
@stephanomagembe41403 ай бұрын
Kipindi kizuri lakini kuna maswali yanakosa kuulizwa ..maana huyu ni kijana amefikaje hapo ? Au amerithi Mali au namna gani..
@Alburtukal3 ай бұрын
Utajiri ni wa kurithi tu
@adamkapolo88173 ай бұрын
Kipindi kizuri Ila ungekifanya mchana ingependeza zaidi
@tembatembele53323 ай бұрын
Nyumba nzuri aweke pazia za umeme
@kingkendrickk3 ай бұрын
Wazanzibar wanaishi bwana
@khamismohammed16503 ай бұрын
Sio wote
@user-lj7mu1tk2b3 ай бұрын
Wemuongo 😂😂 njoo zanzibar uone jualitavokuwakia
@mithlaabdulrahim85663 ай бұрын
@@user-lj7mu1tk2b Akaribie 2 mbona 😂😂😂
@ZiyandaMhlana3 ай бұрын
Iknw is nice house m father is contractions doing this big bangaloo
@shyfettymtunda46192 ай бұрын
Pazuri sana🎉
@Iptysamkihiyo3 ай бұрын
huyo ni mr. mwisho wa siku sio mr sema tena
@godfreychaula39693 ай бұрын
camera man movement zako zipo slow,unachelewa kufika eneo husika wakat inaanza kuelezewa,fanyia kazi hilo
@saidseif18603 ай бұрын
Bado mtangazaji hajaiva yaan km mtalii vile
@yusrasalum2 ай бұрын
Si michezo ❤
@ShedrackSylvester-yl6be3 ай бұрын
Mpeni mashavu castor Dickson atauwa San kwenye hichi kipind izuri sema mwana unyama
@redtk29713 ай бұрын
Kijana kwa maneno yako hayo ya watu wanaingia kimya kimya na yatch chonde usije mfufua jiwe huko alipo😂
@ujenziwanyumbakisasatanzan63433 ай бұрын
Kwanini msitafute watangazaji wenye uwezo. Na mtu wa editing pia aongeze uwezo. Ila mtangazaji big NO
@user-rk9cy8gc8g3 ай бұрын
Nimecheka salehe kwenye tenesi
@footballtzee3 ай бұрын
Mdogo angu kabisa 😂😂😂
@saidkhalifa343 ай бұрын
Hao ndio wazanzibari halisiii
@hafidhisamata6342 ай бұрын
Tungekuwa wabongo kama huyo haongei na mtu
@Sisterjemi13 ай бұрын
Huyu si muarabu rangi tu mbona wapo wachanga weupe nao utasema waarabu
@machintangachibwena59223 ай бұрын
Kitaaaa hapo Bush Doctor kibweni Mshelishelini Wapi Msouth,
@kahilissa18623 ай бұрын
hahha msouth yupo
@manallayusuf49513 ай бұрын
Sale hataki kaondoka naona mwenyeji anasimama kukuaga wewe umekaa bado 😂😂
@princesaha32623 ай бұрын
Kipindi kizuri ila Da Zama huyu mtangazaji Bado hajaiva, hamjuwi kumuhoji mtu. Kwani mtazamaji hajuwi huyu ni nani?? Kwani mtu anataka amjuwe huyu jamaa ni nani?? Na jina lake ni nani?? Na Kwa Nini ni Raza Lee?? Ana husiana vipi na kina Marehem Moh'd Raza au Ibrahim Raza. Hayo yote yalitakiwa yajulikane!!
@Ciyara2483 ай бұрын
Omba ajira uende wewe ukawe mtangazaji wa kipind
@princesaha32623 ай бұрын
@@Ciyara248 ahaaa. Haya
@salehcllassic23253 ай бұрын
NAKUJIBU MIMI NDIO MTANGAZAJI SALEH SIO KILA KITU MTU ANATAKA KUKIWEKA HADHARANI NA AKISHASEMA HATAKI VITU VYENGINR VIENDE HEWANI UNATAKIWA UMUHESHIMU KWAIYO KILA AMBACHO UMEKIONA HAKIJAENSA HEWANI MWENYEWE HAKUPENDA…. Sada kama Bado sijaiva karibu ulete CV upate ajiraa….. saleh classc hapa IDD MUBARAQ
@salehcllassic23253 ай бұрын
Unataka ujue nini zaidi na nishasema mfanyabiashara mkubwa zanzibar unataka ujue nini wakati keshatoa historia yake alipozaliwa mpk aliposomaa mpaka Akamaliza ndugu yng🙏🏻
@Ciyara2483 ай бұрын
Salehe baba pumzk mwaya ....Sisi tunao fatilia kipind chako kila siku Ndo tunao jua ubora wako katika kazi achana na izi ng'e🤬
@rukaya-jg7hj3 ай бұрын
Wanaume wa zanzibar hawana vichogo
@djhajiztz3 ай бұрын
hata komwe awana
@kautharjay5868Ай бұрын
salehe mbona anacho??
@Alburtukal3 ай бұрын
Nlikua nashindana nae kuenda mbio na mavespa maeneo ya chukwani
@KautharRamadhan-xv3gf3 ай бұрын
Kwaiyo tukufanyejr
@swahilkid31283 ай бұрын
Matajiri wote znz ni warabu au wahindi waznz weusi zao chuki na umasikini umewajaa,walalamikia muungano eti ukivunjika watakua matajiri kimiujiza kama hao waarabu
@MohamedAhmada-ie7ke3 ай бұрын
Sema huwajui zipo gapiz zanzibar zina pesa wala hazina papara ya kujisifu
@kingkendrickk3 ай бұрын
Aisee
@KassimAlly-xp4dz3 ай бұрын
Mpumbvu sn ww huku Zanzibar kuna wa2 weusi wenye pesa kuliko warabu na wahindi hatupendi sifa na kujulikana ukitaka kujua ilo nijb comment hii nikupe data za wa2 weusi wenye pesa kuliko waarabu
@masoudrashidmohammed41243 ай бұрын
Ww ni pimbi sana unachuki na wazanzibar na huwajui wazanzibar stupid kabisa kumbe ww yaani wazanzibar wanapesa hatari sana. Na huko kwenu Tanganyika munatumwa ba hao hao wazanzibar ndio wanaokutumeni
@Muhamed_mo3 ай бұрын
Mliwauwa ili mrithi majumba na mali zao je vipi hamjafaidikaaaa, na nyie mkatajirikaaaasss, msicheze na mgao wa Allah mmeadhirikaaaa na mmakufa dhaliliiiiii
@zahormohd3 ай бұрын
Hilo jumba alijenga baba yake tangia mwishoni mwa miaka ya tisiini na mwanzo lilikua limeandikwa baadhi ya aya za qur'an kwenye kuta zake na likapata umaarufu kwa raza na kipindi chote cha uhai wa baba yake hatukuwahi kuona akitembelewa na mapaparazi kuhojiwa kwenye nyumba hiyo.
@nickalreadyknows3 ай бұрын
Na baba yako mbona hakujenga mpaka leo hii bado maskini?
@icclcharters33893 ай бұрын
Acha hasira😂
@princesaha32623 ай бұрын
Sio kwamba hatumpendi au hatupen di kipindi ila mfumo wake wa kuhoji. Anakwambia jumba la kifahari la Raza Lee kumbe ni sehemu yake ya biashara sipo anapoishi. Na ukipima yy anasema 2012 kaenda china kusoma hapo kamaliza form 4 ,je china alisoma kipindi Gani?? Chuo alimaliza lini?? Na level yake ya elimu ikoje?? Kwa sababu ukimuangalia huyo,Mali nyingi amezikuta na yy anaendeleza tuu. Kama ilivyokuwa Kwa tawfiq ila tawfiq kidogo yupo tafauti na huyu lkn wanafanana.
@princesaha32623 ай бұрын
@@nickalreadyknows Hana.
@FahadAbubakari3 ай бұрын
We ulitaka ajengewe na baba yako nini? We mbona baba yako kakuachia masufuria hamna anaeshangaa
@abdulrahmanmohammed44493 ай бұрын
Msimlaumu mwenzetu amekutana na vitu vya ajabu vimemtoa mchezoni amebaki anashangaa maswali hamna..ila amejikaza hata hivyo
@HamisiChipotele-fl8xo2 ай бұрын
Kweli kbs. Masikini ukikutana na tajiri mtetemo lazima😂