Ngowi TV yafanya ziara ya ghafla katika shamba darasa la Prof Ngowi na kushuhudia jinsi Mjasiriamali huyo anavyozibadilisha changamoto kuwa fursa. Tazama makala hii kwa utaratibu na uongeze kiwango cha maharifa
Пікірлер: 25
@isikesamike2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani mwamba Prof Ngowi 🙏
@goodluckmachangu59415 жыл бұрын
Hawa ndio ma professa tunaowataka sasa. Wanaishi wanachokiongea thumb up Professor👏👏👏👏👏👏👏👏
@gregorychogelo20135 жыл бұрын
Tunahitaji ma professor watekelezaji kama ww...! God Bless u Prof!!
@joshuambwile29385 жыл бұрын
Prof. Ngowi, hata vitabu vyako sasa naweza kusoma! Maana najua ninacho gain ni practically sio nadharia tu! Hongera sana kwa kazi nzuri. Najipanga nami siku moja niweze kuwekeza katika bwawa kama hilo, eneo langu linashabihiiana sana na lako, hasa kwa mkondo wa maji unaokatiza pembezoni mwa shamba.
@jesusnetworkministry5 жыл бұрын
Daah namkubali sana Professor Ngowi
@jonathanmnyone40032 жыл бұрын
R.I.P. Prof. Ngowi
@aggy_cakeandbites5 жыл бұрын
safi Sana. tunajifunza mengi zaidi.
@anafisuleimani70835 жыл бұрын
Safi profesa ngowi
@lucydamson42402 жыл бұрын
Dah pumzika kwa aman professor
@goodluckmachangu59415 жыл бұрын
Asante sana kwa makala nzuri kama hizi
@edwardmwampaka83205 жыл бұрын
saafi sana professor
@agustinokagoroba61165 жыл бұрын
Wanaokaa na elimu bila kuweka kwenye matendo ni mizigo watatembea na vyeti wakitafuta kazi mungu usiwape nimizigo.
@mrsmartfarm13135 жыл бұрын
Nafurah sana baada yakumwona my professor akiwa field
@gabrielngowi75112 жыл бұрын
You have gone prof..but your legacy remains.
@malalezengo44055 жыл бұрын
Dah safi sana
@edinamutakyawa68725 жыл бұрын
hongera prof
@meddygregory90385 жыл бұрын
Inspirational
@babalois72405 жыл бұрын
Fantastic
@mcluciana45544 жыл бұрын
Hongera sana pf Ngowi hakika Darasa tosha
@philipomrutu20224 жыл бұрын
Hongera sana Prof. H.Ngowi kwa kutufundisha kwa vitendo zaidi. Ahsante sana, bado najifunza.
@lemameasi17234 жыл бұрын
na naweza kupataje vitabu vyko kwa hapa arusha?
@lemameasi17234 жыл бұрын
kaka ngowi naomba kupata namba yako ili nikupigie kwa ushauri
@almachiusrweyongeza51592 жыл бұрын
Daah pumzka kwa Aman ,nimekumbuka mjomba wa Dr Justinian bamanyisa nae marehmu lakn ndoto Kama zako
@pilimsangeni86684 жыл бұрын
Naomba namba ya cm ili kujifunza zaid
@yudaphillip75232 жыл бұрын
Rest in peace Prof Prospa Honest Ngowi mafunndisho yako ya ujasiliamali yataishi ingawa wewe haupo tena katika hii dunia