Huyu kishimba serikali ingekuwa inapokea ushauri wake,Kuna mambo mengi yangebadilika.Hongera sana mheshimiwa akiri kubwa sana!!
@shemaadihoseni161914 күн бұрын
Huyu jamaaa anafikiria nje ya box akiwa ndani ya box
@christinakomba68914 күн бұрын
Nakupenda sana kishimba yani huwa unaongea point
@ngejejemashubi421314 күн бұрын
Kuna mjinga anache kisenge kweli ,Mzee yupo sahihi sana shida hawajui watu wa chini wanavyoishi
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k21 күн бұрын
Kishimba ni mbunge anamaona ya mbali sana
@mh925114 күн бұрын
Kishimba akichangia mimi nataka spika Dk. Tulia awepo iliakimaliza mchango wake amtunuku huyu ni profesa Kishimba!
@abeltarimo995921 күн бұрын
Safi sana.
@user-ch8it5jr8m14 күн бұрын
Very intelligent God bless u
@georgemtewele765614 күн бұрын
Huyu mzee kaongee Bonge la point tena ya kiusalama ,, Unaenda china kukopa pesa , halafu wanatengeneza midoli 😢 mfanya biashara anatoa Usd 100,000 anapeleka china kupakia midoli , cash flow ya nchi inapungua … na inarudi kwao kwa kununua mdoli ambao mwezi mmoja umechakaa ,, shida ningekuwa raisi
@renatusrevocatus389514 күн бұрын
Acha tuisome namba kwa pamoja
@ErastoMdee-wj6vz14 күн бұрын
Safi sana Mzee ushauri mzuri
@RwegoshoraPatt-os2ik14 күн бұрын
Watakubania weeeee lakin ipo siku utakuwa waziri tuuu maana unamaono ya mbali
@user-wo8rq7yr6j21 күн бұрын
Mbunqe kishimba n Zaid ya wabunqe wasomi ata 10
@emmanuelmasele958521 күн бұрын
Mh.Kshimba unaakli nyngi sana.
@YudiJaje-ve1ij21 күн бұрын
Uwa nakukubari sana profesa kishimba
@deogratiusmaila67614 күн бұрын
Hayo CCM hawajui kuwa kuna maisha magumu mzee na watakupeleka kwenye maadili shauli yako
@jacksonmtulla917414 күн бұрын
Kweli kabisa, serikali irudishe matumizi ya chloroquine. Hii mseto haiko that effective