Tuko pamoja kiongozi ktk kuwafanya viongozi walioapa kuilinda katiba badala yake kuikanyaga kanyaga lazima wafundishwe kwa kupelekwa mahakamani.
@user-jl5un4wf3uАй бұрын
He isclever head and genius for ourdays.incabinates.
@walidmgonja3644Ай бұрын
Mpina akili huna,wanaokushabikia humu mitandaoni sio wabunge,huwezi kupata msaada zaidi ya kujimaliza mwenyewe
@JosiasJassonBilomo-ws1uxАй бұрын
We ndo hauna akili,
@fredytarimo9107Ай бұрын
Hamia upinzani kaka
@TonnyLucious-qd1oyАй бұрын
The incredible mbunge
@kilimanjarostarloungeАй бұрын
kwa mfano raisi awe MAKONDA makamu awe MPINA waziri mkuu mwambukusi pata picha 2025 hiyo serekali itakuaje please REPLY
@wemakyagunya1895Ай бұрын
Itakuwa safi sana Mungu afanye hilo litokee
@wemakyagunya1895Ай бұрын
Mpina wewe Wafaa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania uwezo huo unao na Uongozi unauweza. Hakika Mungu akusimamie Tanzania ikipata wabunge 100 tu wenye nia thabiti kama wewe Nchi yetu itapona kwa yanayoendelea na tuyaonayo kiukweli yanaumiza mioyo yetu kama watanzania.Endelea kututetea.
@josephatmhamiji4886Ай бұрын
Wewe ulipaswa kuwa makam wa rais wewe msukuma mwenzangu unahofu namungu simama imara
@walidmgonja3644Ай бұрын
Tatizo la ukabila ulilonalo ni dalili ya ushamba,obvious tunajua ninyi ni washamba kwahiyo sishangai sana
@kiboshokiboshomungumkubwa7789Ай бұрын
Ww siulikuwa waziri wacha zako
@lameckbalekere1962Ай бұрын
Kuwa waziri ndo wamuonee
@levidavid1156Ай бұрын
mpina ndo kionzi ambaye anapaswa. kukipwa mshahara wa kibunge coz ndo mtu anayejua nini maana ya ubunge
@halimamasai2234Ай бұрын
Hana lolote huyo Mpina spika ni mwanasheria anajua analofanya
@robertzamani5612Ай бұрын
Kama anajua analofanya mbona hajasikiliza hoja zake za tuhuma za Bashe kulindanya Bunge kuhusu uagizwaji wa sukari
@florencemeza6540Ай бұрын
Hivi unawasikiliza au unashabiki upupu kujua sheria ndo kuvunja sheria@@halimamasai2234
@florencemeza6540Ай бұрын
@@robertzamani5612wanyonyaji mnajuana kwa kuteteana mpina KICHWA
@wemakyagunya1895Ай бұрын
Exactly
@user-dw6sy3tt8lАй бұрын
MAONI YANGU MWANAINCHI " MHESHIMIWA SPIKA TULIA NI MWANA SHERIA ,ASIACHE WABUNGE WA WIN KWA KILA WANACHOTAKA AU KUFILIA! WAKIFARANSA HUSRMA" JE TE LAISSE PAS GAGNE " TON PANSE"😂!ADHABU IKITOLEWA HAIPUNGUZWI ,WALA KURUDIWA TENA ! ITAMANISHA NINI AU KULETA PICHA GANI KWA,SPIKA NA WANAINCHI??