Hakuna mwanadamu anaeweza kumwingilia mtu kwa masaa 6 mfululizo ni uongo ,ujue tuu mama yako anamaisha yake lakini we binti ndio huna hata maisha hapo usipokua makini utaishi duniani kwa laana na mateso mazito sana kwani mtoto yeyote haruhusiwi kua kinyume na mzazi yeyote awe baba awe mama ,waache na ugomvi wao mlizaliwa mkawakuta na ninyi watoto ni wapita njia tuu kesho mta oa na ku olewa na mtaondoka nyumbani na kuwaacha wazazi peke yao ,jihadhari sana laana ipo na baadae moto wa milele
@msuyajunior9874Ай бұрын
Mama macho makavu ivo kwa mkasa wa mwanae.....uchunguzi ufanywe kwa makini mama kasuka ishu yote😢😢
@Kabwela776Ай бұрын
Kwa hiyo ulitaka aliye muda wote si anachunguzwa na ushahidi unapatikana
@philemornmutta1597Ай бұрын
Hata Mimi Nina mashaka na hili baba Kwa mwanae hili siyo jepesi hata kidogo
@nicodemuswidambe5132Ай бұрын
Kuingiliwa siyo shida nani kamwilingilia??! Acheni ushetani nyie wanawake!! Hapa hamna kitu ni uhuni tu.
@nicodemuswidambe5132Ай бұрын
Mama huyu ni mwongo!!! Dr alitakiwa kusema mtu aliyemwingilia alitumia njia nyingi siyo baba alitumia njia nyingine, alihuaje ni baba? Anafuata uongo wa huyu mama. Wanawake acheni uongo serikali iwamulike wanawake kama hawa ni waongo.
@HamisMghuna-fj3vzАй бұрын
Miaka 18 n mke lkn huo ugomvi unatupa wasiwasi mama ,njia zp, punguza rohooo mbaya,
@user-gy5en6cy8oАй бұрын
Saa 10usiku ana chat na mama yake .mama naye anasema alikua hana simu hii imekaje ki science 😢😢
@martharichard8204Ай бұрын
Ww nae elewa kiswahili alimpigia kaka ake ambaye all kuwa karibu na mama ake🤔
@josephatevarist1822Ай бұрын
Mwanzoni kasema alimchartia mama yake saa 11 Alfajiri ile siku ya kuingiliwa😊. Baadaye anasema kampa taarifa baada ya sikumbili.🤔
@hamispazia9Ай бұрын
Daktari naye haoni tatizo anadai labda imetumika njia nyingine 😂😂😂😂bas tukapige ramli😅😅😅
@ifmknowledgepower7333Ай бұрын
Pawepo na dawati la kutetea wanaume pia, mbona kama hii habari ni mchongoko tu.
@japhetkavishe2347Ай бұрын
Kwakweli
@ashurajengela3926Ай бұрын
Duh mbona kama ni mchongo 😢😢😢 isije kuwa hasira za mama ndio kampanga Binti ili amkomoe mumewake 😢😢
@ElybwayzАй бұрын
Kabisa
@christophermsekena616Ай бұрын
Hii story haijakaa sawa.... isije ikawa kaama ile ya Kenya.... binti alimzingizia babake amembaka, baba akafungwa baada ya miaka kadhaa ikagundulika ni uongo kwa ukiri wa binti mwenyewe😢
@estakapufi7582Ай бұрын
Yani hata mimi nimeona hii sio kweli maelezo tu yanaonyesha yakutengenenzwa kabisa watoto msiingilie maugomvi ya wazazi mtapata laana jamani.
@ElybwayzАй бұрын
Apo kama tatzo la uyo mama na uyo mwanaume ndio chanzo uyo mama analazimisha ampotezee uyo man kupitia mtoto
@sizyathom-qq5cxАй бұрын
Mm na wew atujuhii tumwachiye mungu yeye ndiye atukumu kwa haki
@jizzotheking9238Ай бұрын
Hii ni story ya kutengeneza ili mwanaume afungwe, lakin pia serikali niwaombe wasimsumbue huyo mwanaume, kwasabab mla chake hana deni, anakula tunda lake😀😀😀
@Fm-MornStar2014Ай бұрын
Kwa kifupi daktari hakugundua kwamba amebakwa!
@CHARITYKUMBERFIELD-uz9osАй бұрын
Kwanini hukupiga kelele na kwanini asubuhi asiwajulishe watu
@awamiabbas222Ай бұрын
Kwa macho ya huyu mama naona hiyo kitu imwtengenezwa kuna wanawake wwngine ni manyoka
@stellajoseph9334Ай бұрын
Hiyo ni mipango ya mama na mtoto, kwanini basi alivyobakwa siku ya kwanza asitoe taarifa hadi anabakwa siku ya pili ndio atoe taarifa kwa mama yake ? Kwanini hakwenda polisi hiyo siku ya kwanza maana Binti form four ni mkubwa na anajitabua ,tuseme tu kwamba huyo ni mchongo mama anataka kulipiza kisasi Cha kupigwa na mume wake kupitia njia hiyo.
@jackiefredrick586Ай бұрын
@@stellajoseph9334unahukumu moja kwa moja. Vipi kama ni kweli
@elizabethcharles6527Ай бұрын
We nimsenge NN kazingiziwa NN au nawew ndio tabia yako NN unawangiliaga wako ndio maana unatetea
@Njeriii536Ай бұрын
@@elizabethcharles6527😂😂😂mbona povu
@user-sn6dc9gh8kАй бұрын
Mara ooh akalala katikati nimelala na mdogo wang mara ooh baada ya kuniingilia ndo nikaenda kwa mdogo wang mh😢na kwann ustoe taarifa tangu mara ya kwanza ulisubir mara ya pili ndo uje kusema ww mtoto omba icjekuwa ya kenya ukarudi kukiri mwenyewe kuwa niuongo😢🙌
@winfridahubert4072Ай бұрын
Ya yule binti mama Yake mlevi 😂😂😂
@timothyraymond6938Ай бұрын
amesema alivyo muachia saa 11 Alienda Kamtext mama ake. Kidogo kasema alitoa tarifa baada ya sku mbili
@user-sn6dc9gh8kАй бұрын
@@timothyraymond6938 ndo maan haeleweki
@Fm-MornStar2014Ай бұрын
Halafu saa 11 kuanzia sijui saa ngapi ina maana hakulala muda wote atoroke? halafu mara ya kwanza mafuta maumivu, mara ya pili tu ikaingia bila shida akapata raha. Acheni uwongo.
@gaspertarimo8052Ай бұрын
Huko wanakoishi kwan ni kisiwa Jaman hakuna hata majirani huu kwel mchongo
@Dogoooo142Ай бұрын
Kwa maelezo ya mtoto na jinsi alivyosema mama kakosana na baba %kubwa mchezo umechezwa.
@EvaJuakaliTVАй бұрын
Ila sie wanawake kwa Uongo jamani Kha! Hapa hamna ukweli wowote me nasimama Upande wa Baba.
@georgejackson4430Ай бұрын
Asante EvaWaJuaKali
@mr.yahzadochuno7914Ай бұрын
Hii story ni ya uwongo mtto anabadilisha maongezi hapa uwongo mwingi mama kasuka mchongo
@AllybinamourАй бұрын
nikweli kuna kila dalili kua ni mchongo
@RahimaMct-ik8mrАй бұрын
Kweli mana kuingiriwa lakin hakuna Dalili
@deogratiusyudatadei5658Ай бұрын
😂😂😂😂 au mtoto amekubuu ni mzoefu aseme tu kosa ni kumlaa bila makubaliono na nikwavile ni baba yake😂😂
@chrisekonga9092Ай бұрын
Kaka hii story ya uongo naungana nawe, maelezo ya mtoto ni ya tofauti
@florianhashimu1370Ай бұрын
Mtoto angalia usije ukapata laana ambao ni mzigo mpaka kifo kwa sababu ya mama yako.hukumu ya MUNGU ni zaidi ya hukumu ya mahakama.jitasmini
@user-kn8pw7vk4eАй бұрын
Km nimekuelewa ivi, Kenya imewai kutokea hadi mbaba akafungwa lkn baadae mtt nafsi ikamuuma akabidi awe mkweli...kumbe ulikuwa mpango wa mamaake
@aishawhite1107Ай бұрын
Kakika Tena mtoto wa miaka 18 Leo hii anadai kaingiliwa 😮kwahy alikuwa bikira?? Au mnataka kumozesha Mzee jela😢
@frenkfarm1139Ай бұрын
dunia ya sasa inamkataaaa kabisa mwanaume kwakweli mungu atuteteee asimame nasisi
@viclamtz3473Ай бұрын
Mh subhanna llah
@sharifanyumayo6314Ай бұрын
Masaa yote hayo we ungeamka salama kweli? Hebu fanyen uchunguz vzr ni babayko mzazi huyo? Na mama Kwa nn unaacha watoto pekeyao? We mtoto jieleze vzr
@simbarajabu4157Ай бұрын
Huyo mama na huyo mtoto ni waongo sana mungu anawaona ,waende kwa kiboko ya wachawi wataumbuka na mungu atafanya kitu
@rosemarynyombi9371Ай бұрын
Sasa hapo kuna watu wawili, kiboko ya wachawi na Mungu unatuchanganya love
@LeonardGilbert-ox5ulАй бұрын
Asubuh alinipelek chumbn kwake jion 😂😂😂😂😂
@hamispazia9Ай бұрын
Yaani..kaingiliwa kisha akapiga kelele akaenda chumbani kwa mdogo wake😂😂😂😂😂
@jonnyfranco5318Ай бұрын
Mamaee 🤣🤣🤣
@ngomuotvonline581425 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅
@janifajani8875Ай бұрын
Nasimama na baba binti wa mika 18 eti adi una vuliwa nguo unafanywa ndounastuka eti nimesha ingiliwa wamama tuachr kutumia wasichana kwenye maugimvi yenu mnamuaibisha binti yako
@marymanoni5536Ай бұрын
Dada omba yasikukute tumuombe Mungu tu tuweze kulea watoto wetu wenyewe
@juliuslengai5089Ай бұрын
Huu ni uongo dr@@marymanoni5536
@Oldskulgemini9991Ай бұрын
@@marymanoni5536acha kushabikia vitu vya uongo Hivi! Mtu mwenye akili ya kawaida tu utaona hakuna ukweli hapa ni mchongo tu huu
@user-qb4cv7hs1oАй бұрын
Mi pia
@noelapangaАй бұрын
Mnaomsema huyu binti kuwa inaweza kuwa mchongo na mamake chungeni!.. tuna watoto na kama hatuna tutapata asee, kikubwa uchunguzi ufanyike
@kibasamohamedi8029Ай бұрын
Mh! Siamini! Huu mpango umepangwa na mama! mtoto adanganye et baba kamwingilia
@husseinhemedi9314Ай бұрын
Litoto lenyewe likubwa mungu atakuijibu wewe na mama yako mtabakwa kwapamoja
@hamoudcreator6343Ай бұрын
Duhhh!!!! Mungu Tunusuru... Japo hii story me sielewi..
@ibvisions4321Ай бұрын
😂😂😂 They will let us know ila hii story kuna chuki ipo kati
@ElybwayzАй бұрын
Kabisa mama ndio tatzo amemjenga mtt wampote baba
@jovinathaphilipo6385Ай бұрын
Inavyoonekana maana hata maelezo hayana ushirikiano
@user-xc1vv5ut3lАй бұрын
Basi ulinogewa😂😂😂😂😂😂😂😂
@Mayunga91Ай бұрын
😅😅😅MTOTO amenogewa
@user-xc1vv5ut3lАй бұрын
@@Mayunga91 na kibaridi Cha Moshi yn ilikuwa nomaaaaa
@Smart_packageАй бұрын
Uongo Mtupu huu. Lugha mbili tofauti kati ya mama na mwanae
@firerescueforceАй бұрын
kabla sijamaliza kuangalia hii dakik moja imetosha kusema mtoto ni mwongo mwongo mwongo
@twalibupembeАй бұрын
Mungu utuongoze na neema yako iwe juu yetu. Maana sio kwa yatokeayo siku hizi
@mboneamalaki5674Ай бұрын
Duh! Mungu atusaidie
@user-fz2qn5to1vАй бұрын
Mungu ndiye anajua kama kweli kafanya hivi kwa mwanae Mungu achelewi kujibu
@aminathaabubakarmasoud565Ай бұрын
Wametengeneza issue sio kweli jamani 😢😢😢
@user-xo2sq4eq1cАй бұрын
Wanataka kumpoteza Mzee wa watu tu hao lengo wachukuwe Mari za Mzee huyu wanawake ni majeuri sana
@user-nn3dx8df4bАй бұрын
Yani hapo mama kagombana na baba watoto anataka agombanishe familia baba akafungwe mama achukue mali uchunguzi ufanyike vizuri
@frankmlinda1181Ай бұрын
Kesi ya mchongo iyo hamtaki baba yenu
@abuuthauran9933Ай бұрын
Watu hawana Imani, mwenye Imani ya kweli hawezi fanya jambo hilo, kuweni na khofu ya Allah.
@pacomezouzoua9175Ай бұрын
Mara ya pili hakuumia sana Yani alisikia Raha so eti jaman😊😅
@gaspertarimo8052Ай бұрын
Cha kushangaza hapo Kwa kweli na anaongea mkavu kabisa et mara ya pili sikusikia maumivu huyu mama Kuna kitu anakifaham yeye na Binti yake huyu
@adolphmwangoje2887Ай бұрын
Binadamu wamekataaaaa Hili swala 😢😢😢
@ZulfaSharifuАй бұрын
Kah Pole yake
@bahatinassorali5222Ай бұрын
😢dahhh kwaiyo mkewe alikua akimfanyia ivo😢😢
@beipoaquality915921 күн бұрын
Hii dunia mwanaume hapewi nafasi na anachukiwa sana sijui kwann tumuombe Mungu atusaidie 🙏 huyu mtoto na mama wnapishana sana
@Kimjongun4996Ай бұрын
Safi sana mama wewe umeongea ukweli tutajuaje km kweli huyo mtoto kabakwa na babaake mzazi sawa hayo mambo sa zingine yanakuepo ila Kwa huyu mtoto Kwa maelezo yake na mama yake inaonekana Kuna kitu kipo nyuma ya pazia akihojiwa vizuri atatoa ushirikiano.
@user-wh9zj7kf7hАй бұрын
Mungu tusaidie
@FredMwamgogwa-td6niАй бұрын
Saa tano mpaka saa 11 daaaah uchunguzi ufanyike
@cheiknamouna2058Ай бұрын
saa 5 hadi saa 11 uko unaskilizia mautamu tu unaamka husemi kesho unarudia tena hebu mfinyeni huyo binti vizuri aseme kama katumwa au kuna kamtu kengine kanamchezea,Alafu mbona binti miaka 18 ana cm mama hana cm hiyo imekaaje?
@issapere8283Ай бұрын
Duh!
@tariqdasulleyАй бұрын
Hii Habari imekaa kimchongo sana. Mtoto alinogewa huyo 😂😂😂
@Boniphaceshayo5Ай бұрын
Binadamu gani anafanya kuanzia saa5 hadi saakumi na moja hapo kuna jambo sheria ifanye kaz yake
@HappyMwaigwisyaАй бұрын
Yaaniiiii
@aminathaabubakarmasoud565Ай бұрын
Kweli kabisaa
@florianhenry7198Ай бұрын
SAA tano HADI SAA kumi uwez kutomba masaa yote hayo Kwa kuma gan ya mtoto hyo kuimili masaa hayo yote ????
Inalilahh waina ilah rajiun,Yaraby tuongoze waja wako na utuepushe Na majanga
@MwitaNchagwaАй бұрын
Kaingiliwa mara 2 siku ya kwanza maumivu ya pili hakuna maumivu daktar alipima akaona hakuna bikra na kingine daktar hakuona michupuko
@Fm-MornStar2014Ай бұрын
Sasa mwenye akili zake ataaminije maana siku ya kwanza wakati wametumia mafuta hakusikia maumivu, mara ya pili TU hakuna maumivu. Halafu ripoti ya daktari wanaichanganya, mara ameingiliwa, mara daktari hakukuta nanihii! Kaha!😮
@patriciacarlo7236Ай бұрын
Wanawake wa kichaga ni kiboko,Tena wakibosho,mama kapiga mchongo hapa
@dotytydo2342Ай бұрын
Mmmm Mungu ndio shaidi hila binti muogope Mungu sana
@veronicamlelwa-zh9vyАй бұрын
Ee Mungu wangu😢
@karimallymrisho1565Ай бұрын
mara baba alivyo niingilia akaniachia saa 11 asubuhi nikamtumia mama ujumbe wa sms, Mara nilimpa taarifa mama baada ya siku 2😀😀 mpaka sasa mission failed
@Immahjr14 күн бұрын
Ana miaka 18 alafu atumie mafuta kwaiyo hiyo sehem yake ya siri alikuwa ameitunza kwa nan miaka yote hiyo🙌😂 huu ni mchongo naona maelezo yanapindia pindia hewan bila kifika chini
@johnsimon4286Ай бұрын
Daah wazee wa mkongo huwa hata masaa mawili hayaishi sasa mshua kaanza saa tano mpka kumi na moja duh. Anyway mzee amwachie huyo mama anacho taka😅
@user-yv7xg4em4sАй бұрын
Mara ya 2 hakupata maumivu makali du .
@ngwacahnyagwaswa9979Ай бұрын
😂
@ibvisions4321Ай бұрын
18 years mostly of them ni walimu wazuri tu kwa bed....😂
@user-yv7xg4em4sАй бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ElishaJoseph-ul4ceАй бұрын
Nlitegemea mwandishi angeuliza Mara ya kwanza alifanyiwa hicho kitendo na baba yake lini Mara ya pili ni lini halafu waangalie baada ya hapo aulize kwanin Mara ya Kwanza hakutoa ripoti hizo Kama kweli hakuna kitu nyuma ya pazia
@Kimjongun4996Ай бұрын
Kwanini asitoe taarifa mara tu alipofanyiwa hicho kitu kuliko kikaa kimya hadi mara ya pili ndo kutoa taarifa km sio mchongo huo,duh!hii dunia imeharibika,huo mchongo wa mzazi kumkandamiza babamtu.
@Legends_InterviewsАй бұрын
Jamani dah😢😢😢
@farajaMezza-qn4beСағат бұрын
Kama mtu unataka talaka achana na mtu tu bila kumuharinia maisha yake, yote hii ni tamaa ya mali mmoja anataka abakinna vitu vyote pakee yake, Acheni kutafutia watoto laana! Mmefika sehemu hamuwezani acheni kuhusisha watoto maana mlivyokutana hawakuwepo! Iwe ni kweli au uongo
@arttilioemiliam2419Ай бұрын
Mwongo huyu amesema siku hiyo alituma sms kwa mamake halafu Tena alitoa taarifa kwa mamake baada ya siku mbili. Polis wafuatilie vizuri maama Kuna ugomvi
@castoagust7073Ай бұрын
We jamaa unatufaa sana
@ismailsanga3233Ай бұрын
Baba anapumua kuanzia saa Tano mpaka saa kumi na Moja na ana miaka 60 vijana nendeni kibosho😂😂😂
@dheGamingking1Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s16 күн бұрын
WEWE MTOTO NA MAMAYAKO WOTEE HAMNA HAKILI KENGE NYIE MIMI NDO NINGEKUWA NIRAIS WA ICHI NINGEKUA NAKAMATA MPAKA MAMA WA MROTO JERAAA WASENGE NYIE WAGA MNATUONEA SANA SISI WANAIMEE KUMAMAKEE ZENUUUUUUUUUUUUUUUU
@nickmkude7571Ай бұрын
Siku ya kwanza hadi ya pili sio kweli😂😂 yani hizi issue zipo sana wababa wanatengenezewa kesi
@user-ie2sr4fi4kАй бұрын
Ni atali sana
@nickmkude7571Ай бұрын
@@user-ie2sr4fi4k noma sana
@SadaAhmad-nq5hxАй бұрын
Waongo mama na mtot washenzi
@naslimtz1247Ай бұрын
Hahahahah. Yani kapimwa hana mimba. Alafu kapewa vidonge vya kuzuia mimba. Hahahaha dah
@zahararamadhanisalmu39528 күн бұрын
😢😢😢 hi story mbona inaenda mbele nakurudi nyuma
@GarzaBreezeАй бұрын
daah noma sn
@RahmaAwadh-ul9yuАй бұрын
Uchu huo uchu gani jamani ...Ndio maana maisha yanazidi kua magumu khaaaaa😢😢😢
@margarethpolepole7438Ай бұрын
Kweli jamani Baba anambaka mwanae mungu wangu hana hata hofu ya Mungu
@kelvinimunishi3334Ай бұрын
😂😂😂😂😂 hiii nchiii
@nickmkude7571Ай бұрын
Siku ya kwanza hadi ya pili sio kweli😂😂
@idinado-wk3lxАй бұрын
Wewe na mama Yako wahuni njie pumbavu zenu 😊😊😊😊
@kingkong1506Ай бұрын
Muongo sikiliza jinsi anavyo ngata maneno
@apolnarytv107412 күн бұрын
Something behind the scene hapo Kuna ugomvi wa WAZAZI
@monalisaally4387Ай бұрын
Wewe mama Mungu anakuona na uongo wako na mwanao kwa unafki wenu
@mataypanga5262Ай бұрын
Kwa hiyo mama amemsingizia mume wake baada ya kupigwa?. Eti baada ya mama kutoroka nyumbani,anamtumia mwanae kumpa shitaka la ubakaji?. Je,kama aliingiliwa na mwanaume mwingine?. Na wewe mwanaharakati butu pia,mama aondoke na watoto,awapeleke wapi?. Wewe unadhania watoto ni mali mama tu,ulisikia wapi au majungu ya wanawake😂
@vibetz9991Ай бұрын
Kamuingilia wapi??
@user-qf6th4zm5iАй бұрын
Binti naye ilipenda uyu 😂😂
@Kimjongun4996Ай бұрын
Pili anasema alikuwa amelala ,je?huyo dada alijuaje kama babake katumia katumia mafuta,hapo ndo kuzungu mkuti kinakuja,kuna jambo hapo sio bure,na kaenda huspitali wamesema hakuna vyashiria hivi ukiingiwa vipimo vitakosa kuonekana km sio mbinu iliyotumika kumkandamiza mzee wa watu,huyu mama anajambo lake.
@janifajani8875Ай бұрын
Acheni jamani ukubwa huo wafatiliee kwamakini miaka 18 unafanyajwe na baba embuu ninyamazee😢😢😢😢
@Kabwela776Ай бұрын
Akifirwa mtoto wako siku moja ndio utajua uchungu wake
@suzymeck6279Ай бұрын
@@Kabwela776kweli kabisa...msichana wa miaka kumi na nane ana nguvu gan za kumshinda mbaba mtu mzima...
@fathiyahmuzney7367Ай бұрын
@@Kabwela776😂😂😂daah
@ibvisions4321Ай бұрын
Uyu dogo afinywe vizuri aseme ukweli kuna jambo haliko sawa kwenye maelezo yake.
@afmabeat9567Ай бұрын
Mbona kama fix
@femmachroots2041Ай бұрын
Ayo samahani lakini hii sio sahihi kama unalinda usalama wa huyu binti na familia yake unawezaje ku expose possible victims mtoto kajificha mama hana coverage hii sio sahihi kiongozi
@victormkello9575Ай бұрын
Exactly
@neemareuben311Ай бұрын
Mmmmmmh mbona ajui kujieleza vzr mbele nyuma mbele aisee aibuuu hii iyo baba anyongwee😢😢😢
@rumdeesonsoa1811Ай бұрын
Ushahidi haujitoshelezi
@esterabonga7947Ай бұрын
Mmh binti yuko mbele yuko nyuma mara alivomaliza na saa kumi na moja nikamtumia mama meseji saa kumi na mbili mara ohh nilimjulisha mama baada ya siku mbili 😂😂mbona kama stori ya uongo 😂😂
@Bilioneabichwa33115 күн бұрын
Kaingiliwa mara ya kwanza, ya pili, mtoto kAnogewa, du! Hatar sn
@officialsirithodacruzzyАй бұрын
Uongo mtup et tumeenda kupimwa kama nimeingiliwa nikakut nimeingiliwa what came for acha uongo binti na akuna mtu anaweza kufanya mapenzi ivyo saatana adi saakuminamoja asubui at angeweza kutembeee
@bushbabytzАй бұрын
wanataka wale pensheni ya mzee😂😂
@Officiallbrenda16 күн бұрын
HAWA WAKIBOSHO HAWA wanafiki sana Ww Uingiliwe masaa 7 Mwanaume gan Anauwezo huo
@collinmosha997725 күн бұрын
Dogo anasema akachukua sim akamtumia msg mama😂 mama anasema mtoto aliomba sm kwa nan sjui kibosho😂💀 tumepigwa apa
@ayoublupande300727 күн бұрын
Hahaha 😂 eti mzee alitumia mafuta hahaha 😂 dàaaaah 🥺 ukubwa wote huo mpaka mafuta kwa bongo hii Dàaaaah 🥺 Ila jmn Mungu ndo Anae juwa 😢😢namafuta tena yalitumika jmn
@princeganji2779Ай бұрын
Hahahahhahhaha huuu nimchongo 😂😂😂😂😂
@user-yj5on8cz3e28 күн бұрын
Mmmh dunia hii kunawatu mungu atawajibu michongo yenu hiyo allah ndo mjuzi wa yote
@epifaniakavishe9282Ай бұрын
Saa tano mpaka saa 11 mmmmh
@mushimadege28 күн бұрын
Mzee wa miaka 60 😂😂😂
@ngadumbishi1405Ай бұрын
Mara ya pili mambo yashakubali 😂
@dameboyboy2068Ай бұрын
Duh kweli Dunia inakwenda spid
@amosdeo9534Ай бұрын
Mara ya kwanza nilipata maumivu makali Mara ya pili sikusikia maumivu 😂😂😂
@sigorijoseph4977Ай бұрын
😂😂😂😂😂 alipata nini?
@sandejacob623Ай бұрын
Mimi kama adult psychologist, Naomba uchunguzi ufanyike kuna shida kwenye macho ya huyu mama.
@kelvindagine9571Ай бұрын
Heee Daktari kipimo hakionyeshi mpaka kuwe na ute ute . . Yaaan utelezi 😅😅😅 Ila Bongo hahahaha yaani Utelezi kama hamna vipimo vinasema kuna njia nyingi za kumwingilia dooh
@user-xr8qv9mw9vАй бұрын
😭😭😭tobaa moshi tuna nini jmn mungu tunusuru moshi jmn
@living_creature99Ай бұрын
HAWA watu wa bongo sijui hata wamekutwa na kitu gani , wanapenda umalaya , ukahaba, udhalilishaji.. hatari sana .. jamiii tayari imeshaharibika 😢