Msukuma ALIPUKA tena, atishia KUMLOGA Waziri "Mnatengeneza JESHI la kwenda kubaka dada zetu kweli?"

  Рет қаралды 93,889

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Жыл бұрын

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Musukuma akizungumza bungeni alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2023/2024, jijini Dodoma leo.
“Embu jifikilie mheshimiwa umenikamatia ng’ombe wangu 100, yani naona zinaenda sina uwezo wa kwenda polisi kuna bunduki, haya nina kosa unazichukuwa ng’ombe zangu unaziuza mimi ninarudi masikini halafu baada ya miezi sita unaanza kuniudumia na fedha za Tasaf, hiyo ni akili gani jamani.”
“Na mheshimiwa waziri makosa mengine tengenezeni utaratibu wa kutuonya…unazoa ng’ombe zangu zote nirudi tu nyumbani nianze kusema maliasili, mtakufa vibaya lazima niwaloge, lazima tuambizane ukweli maana nikienda polisi utanishinda mahakamani sina ela ya kwenda mtalogwa mtakufa vibaya" aliongeza Musukuma

Пікірлер: 54
@JemsiOrposei-q7w
@JemsiOrposei-q7w 23 күн бұрын
Safi sana. Kamanda. Ningekuwa. Na. Namba. Yako ingekuwa. Very sanaaaa
@SaruniChristophersabaya
@SaruniChristophersabaya 24 күн бұрын
Mungu akubariki Sana msukuma
@abelvita7298
@abelvita7298 17 сағат бұрын
Exactly really need this kind of leader
@charleselijah-vq3hq
@charleselijah-vq3hq 9 ай бұрын
Nakuwlewa sana Mweheshimiwa King Msukuma. Na Mungu akubariki sana.
@geraldisaka57
@geraldisaka57 Жыл бұрын
Akili nyingi sana
@PillikilumbiKilumbi-b3r
@PillikilumbiKilumbi-b3r Ай бұрын
Uko vizuri Muheshimiwa msukuma
@frerdmgirima6
@frerdmgirima6 Ай бұрын
Mm nakukubali sana baba
@MercianaMkumbo
@MercianaMkumbo Ай бұрын
Wow
@MercianaMkumbo
@MercianaMkumbo Ай бұрын
Yuk vizur san
@ngombegeorge3577
@ngombegeorge3577 Жыл бұрын
Mungu ni mkarimu sana tuombe sana, yan kuhama sehemu kwenda kwingne tena mtihan na watu wenye kipato kidogo maana anajua leo nazunguka hapa nitapata hela, yA unga na bahat mbaya wanapewa hela na wengne hata laki tano hawajaw shika . Itatetea yote kwenye pombe na kamar Tunaweza kua tunaanda umaskini mkubwa kuliko waliokua nao. Na mungu atusaidie kwa jina la mungu wa pekee nakataa kuwamisha tena wananchi. . Ni kosa mbele ya mungu
@user-lt3br3fl3g
@user-lt3br3fl3g 2 ай бұрын
Nakuombea mungu Sana msukuma karibu chuga baba
@stevendevid
@stevendevid 2 ай бұрын
nakubar Sana msukuma karibu tanga
@NeemaErnest-lz9my
@NeemaErnest-lz9my 3 ай бұрын
Very nice 1:48
@Rukiamussa-xe3ib
@Rukiamussa-xe3ib 9 ай бұрын
Saaafi Sana mh musukuma
@WilliamPaul-nx3xm
@WilliamPaul-nx3xm 2 ай бұрын
Uwiiiii msukuma penda wewe sana❤❤❤❤
@pasikarinyakire8215
@pasikarinyakire8215 Жыл бұрын
Kweli kabisa mbunge wetu musukuma tunakuombea sana kwa mungu
@MaryGoshashy
@MaryGoshashy 3 ай бұрын
Hongera
@DamianTanisa
@DamianTanisa 2 ай бұрын
💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
@user-cx1lu6go5m
@user-cx1lu6go5m Ай бұрын
Nakukubal xn
@kenjoseph3337
@kenjoseph3337 10 ай бұрын
Pure intelligence
@JacobAbraham-qk9jx
@JacobAbraham-qk9jx 2 ай бұрын
Vizuri sana msukuma.
@ruhubikamtaki7257
@ruhubikamtaki7257 2 ай бұрын
Wambie king, Musukuma
@othinielkamyola3697
@othinielkamyola3697 Жыл бұрын
Hii mashine
@stephanokaaya1881
@stephanokaaya1881 Жыл бұрын
Kiukweli hili sio jeshi la kulinda hifadhi ila ni M23
@user-kz9ct2vw4u
@user-kz9ct2vw4u 4 ай бұрын
Napenda sana huyu jamaa MSUKUMA siku moja awe rais naamini nchi nitaenda vzr sana
@naphtalleyakoyi1336
@naphtalleyakoyi1336 6 ай бұрын
Kenya tunakupenda msukuma❤
@chaomadedo
@chaomadedo Ай бұрын
Nyie Kenya ni watu wema sijawai ona baya toka kwenu. Watu wamaana kabisa nyie
@guyasidotto1198
@guyasidotto1198 Жыл бұрын
Mbunge wa Taifa
@josephmarwa5626
@josephmarwa5626 Жыл бұрын
Hiking kichwa kinazid wenye maelim na mavyet feki
@SteveSimsa-ho8pc
@SteveSimsa-ho8pc Ай бұрын
Naaaam
@filimonifilimonirafaeli7498
@filimonifilimonirafaeli7498 2 ай бұрын
King musukuma namkubali san angalau awelaisi
@user-yr5nx2nw8r
@user-yr5nx2nw8r 7 ай бұрын
hata cc huku konko manyon singida watu wanapigwa hatar halaf tembo wanaharb makaz yetu paspo kupata chcht kutka kwa serikal hkika tunaomb msaada wenu serikal yetu mtuteteee ss maskin hata hivy hatupend kuish polin jamn
@RajabuMalick
@RajabuMalick 11 күн бұрын
Wakupe urais
@SteveSimsa-ho8pc
@SteveSimsa-ho8pc Ай бұрын
Naaam
@user-vn3qo3uw3z
@user-vn3qo3uw3z 2 ай бұрын
Haifadhi ya tarangire wanakamata watu wanachi wanapita wanakamata na kupotea wanapenda wapi hilo swala liangaliwe wanachi wapo karib na hifadhi
@user-iz2gy6ib6y
@user-iz2gy6ib6y 6 ай бұрын
Maisha marefu kwako
@AliShaib-io2gr
@AliShaib-io2gr 3 ай бұрын
ana nikosha mie msukuma
@MaliseliniMgedzi
@MaliseliniMgedzi Ай бұрын
Mheshimiwa uishi miaka mingi
@rithaurassa
@rithaurassa 2 ай бұрын
MSUKUMA WEW UNAFAA KUWA MTETEZI WAWA TANZANIA
@rithaurassa
@rithaurassa 2 ай бұрын
Msukuma unafaa kuwa Raisi
@chagunghabi3261
@chagunghabi3261 7 ай бұрын
Waliotuuzia niwakina mpina et asaiv ameanza kukumbuka waAmbie haoo
@WamburaJomu-xy2is
@WamburaJomu-xy2is Жыл бұрын
Msuma samutaimu unahakili Sana
@user-nq9is9me7z
@user-nq9is9me7z 11 ай бұрын
Mbunge.
@stevendevid
@stevendevid 2 ай бұрын
huyu jamaa msukuma Kama magufuli wapil hatari sana
@bahatiangle4424
@bahatiangle4424 3 ай бұрын
Kaza buti msukuma nakuaminia
@AyubuNtomoka
@AyubuNtomoka 3 ай бұрын
Ww n mwamba aseee
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 5 ай бұрын
Tutawaroga mali inauma kuitafuta tutawaroga wote wapate tezi dume na wanawake wapate festula
@MasumbukoZacharia
@MasumbukoZacharia Ай бұрын
😂
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
Hii mambo ya kuitana uheshimiwa myanaleta matabaka Tanzania na ndiyo chanzo cha wengi walioko madarakani kujiona wao ni tofauti na wanaowawakilisha. Baba wa taifa hakuwa mjinga kwa kutuambia tuitane Ndugu na ndiyo iliyotusaidia kuleta umoja wa nchi yetu. Leo hii baadhi wanadai kuitwa waheshimiwa!
@user-yr5nx2nw8r
@user-yr5nx2nw8r 7 ай бұрын
acha wivu weeee
@user-lz7fy4od4s
@user-lz7fy4od4s Жыл бұрын
Kagombee jimbo la bukoba mjini mzee kazikazi
@bahatiangle4424
@bahatiangle4424 3 ай бұрын
Jembe wewe
@sofiaantonioantonio7265
@sofiaantonioantonio7265 6 ай бұрын
Msukuma ni mbunge waTaifa anatetea watu wa chini sana na Anaongea kwa uchungu sana!
@JosephatBaraka
@JosephatBaraka 3 ай бұрын
Ongela sana mbunge wa geita
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 12 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 12 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 37 МЛН
Matukio MATANO YALIYOTIKISA Mkutano wa JPM na WAFANYABIASHARA
27:07
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
MBUNGE WA MBULU VIJIJINI ARUKA SARAKASI BUNGENI, AKIDAI BUNGENI.
10:48
"RPC ni Mtu mdogo siwezi kuzungumza nae, nimempa siku 3' - MSUKUMA
10:05
لااا! هذه البرتقالة مزعجة جدًا #قصير
00:15
One More Arabic
Рет қаралды 12 МЛН