MUNGU ALIMUHESHIMU FIRUNI NI KOSA KUMVUNJIA HESHIMA KIONGOZI WAKO,SHEIKH AWACHEKESHA WALINZI WA RAIS

  Рет қаралды 15,247

KHIDMA TV

KHIDMA TV

16 күн бұрын

• MUNGU ALIMUHESHIMU FIR... #KHIDMATV #raisamia #walinziwaraisamia

Пікірлер: 60
@MaimunaSaidi-tu2hs
@MaimunaSaidi-tu2hs Күн бұрын
Hivi mnafanya yote hamuogopi mwenyezi mungu hizi Aya manazitumi kwenye njaa zenu bora mngekaa kimya imsialibu jamii ya kisilam Kuna akhera nyie
@user-ly2tv5og1n
@user-ly2tv5og1n 7 сағат бұрын
Sheikh utakuja kuwa miongoni mwa viongozi wakubwa katika Dini yetu. Kando ya elimu yako una hekima na busara kubwa sana. Allah SW Akujalie sana !
@saidbakar-qo6ri
@saidbakar-qo6ri Күн бұрын
SASA KAKOSEA SHEIKH HAJAKOSEA ILA NYINYI NI UBINAFSI UNAWASUMBUA
@nassorseif7907
@nassorseif7907 Күн бұрын
Kongamano la wanawake nyinyi wansume mnafanya nini humo ndio tabia njema hizo kuangalia wake za watu Muogopeni Allah
@jamalkishangu
@jamalkishangu Күн бұрын
Ukimuona mtu anamtukana kiongozi wa nchi au kumfanyia majungu, huyo mtu mwenye tabia hiyo mbovu kwanza hawakilishi Uislamu na ni nje ya tabia njema, lakini pia atakuwa na hasani, mfitini mwenye kijicho. Na huo ni ugonjwa mbaya sana.
@AhmedAhmed-gf1rd
@AhmedAhmed-gf1rd Күн бұрын
Masheikh ubwabwa tuh
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me Күн бұрын
Demicrasia yenyewe ni mfumo wa kikafiri wao ndio wamekosea mfumo wa uongoz wangefuata misingi ya uislam ya uongoz acha watukanwe
@athumannyiddy1886
@athumannyiddy1886 Күн бұрын
Acha kujizalilisha huoni kua sehemu ulipo sio sahihi angalia unaoongea nao ni akina nani kwa wake za watu
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 Күн бұрын
Ukiona mtu haheshimiwi ujue kuna sababu..
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me Күн бұрын
Kushawahi kuona Maka viongz wanatukanwa hovyo kushawahi kuona Oman wanamtukana kiongoz
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 14 күн бұрын
Alhamdulilah 🎉
@mohamednyuni2631
@mohamednyuni2631 Күн бұрын
Jee mwisho wa Fir'aun ulikuwaje?
@AshaNtakarutimana
@AshaNtakarutimana 14 сағат бұрын
kama hamna ya kuongea simkae kimya
@KassimSalim-fi1me
@KassimSalim-fi1me Күн бұрын
Kwa mujibu wa demicrasia wako sawa wanaomtukana maana demicrasia ni uhuru usiokuwa na mipaka
@suleymanmrutu9498
@suleymanmrutu9498 Күн бұрын
Nyinyiwote mliochangia nakukosoa acheni wivu na kwanini msiendenynyi au msitwe au sio waislam nini?
@hindamir2008
@hindamir2008 Күн бұрын
Mashallah ❤
@Abdul-oc1ul
@Abdul-oc1ul Күн бұрын
Shehe unajichanganya mtume aliishi maisha ya kawaida na wao wajishushe kila uchaguzi wanauwa mtume alimuuwa nan hawajawhi kufny mzr waislamu ndo waliuwawa nchi hii wakristo wao hawakosei mbwa ww viongoz wawe wadilifu kuna mabaaa wanatowa wao lesen mgest wao lesen uadilifu wametowa wp
@salimsaleh9354
@salimsaleh9354 Күн бұрын
Mbona anarembua macho uyo shekhe
@BushDoctor-dw8el
@BushDoctor-dw8el Күн бұрын
Hiyo aya, sura annisaa 59 unayoielekezea nataka uisome vizuri kisha uielewe ndipo useme usemayo.
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 27 МЛН
Was ist im Eis versteckt? 🧊 Coole Winter-Gadgets von Amazon
00:37
SMOL German
Рет қаралды 39 МЛН
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 6 МЛН
MAZINGE ATAKA MAJIBU YA MASWALI HAYA KWA WAKRISTO
13:18
DHIKRI ONLINE TV
Рет қаралды 13 М.
SHEIKH HASSAN AHMED: KISA CHA KIJANA ALIYECHELEWA KUOWA
12:21
JAI ONLINE TV
Рет қаралды 21 М.
MISIMAMO YA MASHEIKH  DHIDI YA USHIA KUNAKO MANENO YA SHEIKH MZIWANDA
28:05
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 6 МЛН