• MUNGU ALIMUHESHIMU FIR... #KHIDMATV #raisamia #walinziwaraisamia
Пікірлер: 60
@MaimunaSaidi-tu2hsКүн бұрын
Hivi mnafanya yote hamuogopi mwenyezi mungu hizi Aya manazitumi kwenye njaa zenu bora mngekaa kimya imsialibu jamii ya kisilam Kuna akhera nyie
@user-ly2tv5og1n7 сағат бұрын
Sheikh utakuja kuwa miongoni mwa viongozi wakubwa katika Dini yetu. Kando ya elimu yako una hekima na busara kubwa sana. Allah SW Akujalie sana !
@saidbakar-qo6riКүн бұрын
SASA KAKOSEA SHEIKH HAJAKOSEA ILA NYINYI NI UBINAFSI UNAWASUMBUA
@nassorseif7907Күн бұрын
Kongamano la wanawake nyinyi wansume mnafanya nini humo ndio tabia njema hizo kuangalia wake za watu Muogopeni Allah
@jamalkishanguКүн бұрын
Ukimuona mtu anamtukana kiongozi wa nchi au kumfanyia majungu, huyo mtu mwenye tabia hiyo mbovu kwanza hawakilishi Uislamu na ni nje ya tabia njema, lakini pia atakuwa na hasani, mfitini mwenye kijicho. Na huo ni ugonjwa mbaya sana.
@AhmedAhmed-gf1rdКүн бұрын
Masheikh ubwabwa tuh
@KassimSalim-fi1meКүн бұрын
Demicrasia yenyewe ni mfumo wa kikafiri wao ndio wamekosea mfumo wa uongoz wangefuata misingi ya uislam ya uongoz acha watukanwe
@athumannyiddy1886Күн бұрын
Acha kujizalilisha huoni kua sehemu ulipo sio sahihi angalia unaoongea nao ni akina nani kwa wake za watu
@rkcomercialenterprises3209Күн бұрын
Ukiona mtu haheshimiwi ujue kuna sababu..
@KassimSalim-fi1meКүн бұрын
Kushawahi kuona Maka viongz wanatukanwa hovyo kushawahi kuona Oman wanamtukana kiongoz
@noorbazaar906314 күн бұрын
Alhamdulilah 🎉
@mohamednyuni2631Күн бұрын
Jee mwisho wa Fir'aun ulikuwaje?
@AshaNtakarutimana14 сағат бұрын
kama hamna ya kuongea simkae kimya
@KassimSalim-fi1meКүн бұрын
Kwa mujibu wa demicrasia wako sawa wanaomtukana maana demicrasia ni uhuru usiokuwa na mipaka
@suleymanmrutu9498Күн бұрын
Nyinyiwote mliochangia nakukosoa acheni wivu na kwanini msiendenynyi au msitwe au sio waislam nini?
@hindamir2008Күн бұрын
Mashallah ❤
@Abdul-oc1ulКүн бұрын
Shehe unajichanganya mtume aliishi maisha ya kawaida na wao wajishushe kila uchaguzi wanauwa mtume alimuuwa nan hawajawhi kufny mzr waislamu ndo waliuwawa nchi hii wakristo wao hawakosei mbwa ww viongoz wawe wadilifu kuna mabaaa wanatowa wao lesen mgest wao lesen uadilifu wametowa wp
@salimsaleh9354Күн бұрын
Mbona anarembua macho uyo shekhe
@BushDoctor-dw8elКүн бұрын
Hiyo aya, sura annisaa 59 unayoielekezea nataka uisome vizuri kisha uielewe ndipo useme usemayo.