No video

MUONEKANO WA NDANI NA NJE WA TRENI ZA MWENDOKASI "INTERNET NI BURE, SPEED NI KASI"

  Рет қаралды 78,086

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 340
@_born84
@_born84 5 ай бұрын
With this new railway Tz is set to be a serious logistics hub in Africa . Congratulations Watanzania!
@nzizajovinpaul4955
@nzizajovinpaul4955 5 ай бұрын
Tanzania nchi tajiri na Mama samia atasababisha wananchi wapate usafiri Mzuri. ❤❤❤ Keep Moving forward Tanzania.
@martinisadru9899
@martinisadru9899 5 ай бұрын
Dr, Samia yupo vizuri, na hatuna shaka nae, maana alikua pacha wa jpm, shida ni Yale mafisadi yalio chini yake.
@anoldjose7793
@anoldjose7793 5 ай бұрын
Tuyataje au tuyaache😂😂
@user-kk9jn8dp9m
@user-kk9jn8dp9m 5 ай бұрын
Yataje
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 5 ай бұрын
MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI 💪💪💪🇹🇿 Hakika Raisi Dkt John MAGUFULI alitengeneza ALAMA icon ambayo haitasahaulika milele na Taifa 🇹🇿 na DUNIA 💪💪💪💪
@J4UPro
@J4UPro 5 ай бұрын
Hongera sana baba huko uliko
@HassanMoha-rc8oq
@HassanMoha-rc8oq 5 ай бұрын
Hongera nchi ya Tanzania Hongera mama samia songa mbele kwa kujenga Tanzania 🇹🇿
@user-oz6zp8fr1c
@user-oz6zp8fr1c 5 ай бұрын
Maua maua ndugu yetu Hayati Magufuli. Pumzika kwa Amani Baba
@sultansallah8772
@sultansallah8772 5 ай бұрын
Ndio nn
@Tzflower
@Tzflower 5 ай бұрын
AMBACHO HUJAKIJUA NI KIPI@@sultansallah8772
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 ай бұрын
Machoko utayajua humu
@vero57
@vero57 5 ай бұрын
Asante sana magufuli, ndiyo leo wamemaliza kazi ya train 🚉
@edwinmakingi3631
@edwinmakingi3631 5 ай бұрын
Bado hawajamaliza, bado sana
@halunimnenwa5224
@halunimnenwa5224 5 ай бұрын
Uyo dada anasema asane laisi samia kwa kulinda kibarua chake ionekane samia ndo anafanya kaz hii lakin kwenye comet ni magufuli2 we ka na uyo samia wako
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 5 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa kazi nzuri
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 5 ай бұрын
​@@halunimnenwa5224 Na wewe nenda chato kakae na huyo Magufuli wako
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 5 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa mwendelezo na Kupiga hatua mbele
@salimsaid9852
@salimsaid9852 5 ай бұрын
Hongera sana Mama Samiha.Treni zimependeza sana ila hofu yangu ni suala La usafi sijui tumejipangaje.na Walichofeli Waandishi wa habari kwenye hii dhiara ya majaribio hawakuwauliza wakurugenzi juu ya suala la USAFI.
@davidluangisa4515
@davidluangisa4515 5 ай бұрын
Wahoooo am exceedingly humbled am profoundly honoured in My President 's leadership. Her Excellency Samia Suluhu Hassan...
@KomboHajj
@KomboHajj 5 ай бұрын
Ongea kiswahili wew
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 4 ай бұрын
Rais SH.Kazi nzuri endelea hivi hivi kuipatia maendeleo makubwa nchi yako Tanzania ndo nyumbani tutazunguka huko tutarudi nyumbani Tanzania.Big up SH,My president.
@idrisadalluc4498
@idrisadalluc4498 5 ай бұрын
Kuna vingi vya kumuiga mzee wetu magufuli mungu amsamee baazi yamakosa yake🙏🙏
@J4UPro
@J4UPro 5 ай бұрын
Hakuna aliyekamilika mkuu.
@victormbagga1821
@victormbagga1821 5 ай бұрын
Usafi please na utunzani Sio mauchafu kutupwa ovyo
@user-ir5mc7vk8b
@user-ir5mc7vk8b 5 ай бұрын
Asante Mungu kwa neema hii ya usafiri huu hii hakika ni hatua kubwa Sana
@jkifutu7936
@jkifutu7936 5 ай бұрын
Baba magufuri tutakukumbuka 😢😢😢 daima
@TwoBrother-tc2cu
@TwoBrother-tc2cu 5 ай бұрын
Tusiwe wabinafsi,magufuli kweli alianzisha lkn si wapo walioendeleza!kwanini wote tusiwapongeze?
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 5 ай бұрын
Hakika Jembe letu baba upumzike kwa amani , amina🎉🎉🎉
@lameckmagunya7013
@lameckmagunya7013 5 ай бұрын
Hongera kwa serikari
@harounkiyungi7288
@harounkiyungi7288 5 ай бұрын
Hongera sana Tz hongera Mama yetu Samia hongera Watanzania wote kwa ushirikiano na mapokezi mazuri
@Calex-the-Pilot
@Calex-the-Pilot 5 ай бұрын
Ningependekeza Rangi ya viti vya Bussiness ibadilishwe au ifanyiwe ubunifu ipendeze, rangi moja tu tena ya orange haiji kabisa! Viti vya Economy vina muonekano mzuri kuliko vya Bussiness!
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 5 ай бұрын
PONGEZI kubwa kwa Raisi Dkt John pombe MAGUFULI
@seifwashule274
@seifwashule274 5 ай бұрын
big question is! je tutaweza kuendeleza na kutunza, au itakuwa kama mabasi ya mwendokasi☹
@robertmkude8234
@robertmkude8234 5 ай бұрын
Thanks JPM & SSH
@user-zy6vq6lz7z
@user-zy6vq6lz7z 5 ай бұрын
Jembe Magufuli aliona mbali , iko poa sana
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 5 ай бұрын
Msingemuua mwamba mpaka Leo tungekuwa mbali sana ... Rip malume Magu walikuua ili wanifanye wao ndio walioleta maendeleo
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 ай бұрын
Pole😅
@robertphilip385
@robertphilip385 5 ай бұрын
Yule mjinga na yeye aliua wengi anaeua Kwa upanga nayeye atauwawa Kwa upanga kwahiyo utetee ujinga
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 5 ай бұрын
@@robertphilip385 alimuua nani Kwa ujinga acha kusifia wapumbavu wanaojiita viongoz wakat wanakula rushwa tu ... Hayo maendeleo unayoyaona Leo ni mipango ya magufuri yote ... Mnasifia kiongoz anaueshindwa kubalance bei ya sukari na miunodombinu ya umeme nchi gani hiyo
@robertphilip385
@robertphilip385 5 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@robertphilip385
@robertphilip385 5 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@jkomedikaduli
@jkomedikaduli 5 ай бұрын
Maguuu maua yake huko mbinguni amen
@letthedeadburythedead2148
@letthedeadburythedead2148 5 ай бұрын
Nani kakwambia yupo mbinguni
@dullahmmebela5624
@dullahmmebela5624 5 ай бұрын
Mimi nimesema!!!​@@letthedeadburythedead2148
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 ай бұрын
@@letthedeadburythedead2148 basi huko aliko
@piusgadau6328
@piusgadau6328 5 ай бұрын
Kila kitu magu, magu nyie mnazani hakuna mwingine angeweza kufanya hivo...
@radhiaomary5591
@radhiaomary5591 5 ай бұрын
@@piusgadau6328kumbuka yy ndo kaanzisha
@selemanisalum7685
@selemanisalum7685 5 ай бұрын
Hasante marehemu maghufuri kwa kuanzisha treni hii na hongera mama samia kwa kukamilisha treni kufanyakazi leo
@user-yi8qv1lg5e
@user-yi8qv1lg5e 5 ай бұрын
KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉
@evansokemwa6587
@evansokemwa6587 5 ай бұрын
kweli tanzania imendelea sana kuliko kenya pongezi wa bongo
@martinstarford6209
@martinstarford6209 5 ай бұрын
lazima mtaje Kenya
@patrickKitambo
@patrickKitambo 5 ай бұрын
Magufuli hayupo kimwili lakini bado anaendelea kufanya kazi
@user-de2rg9kk7u
@user-de2rg9kk7u 5 ай бұрын
PONGEZI kubwa Ziende kwa Raisi wetu DKT John pombe MAGUFULI 💪💪🇹🇿🫡
@mwinyimatopa2283
@mwinyimatopa2283 5 ай бұрын
Hongera Sana Kwa serikali na za kipekee Kwa magufuli huko aliko
@outzone66
@outzone66 5 ай бұрын
Huyo alikwenda kunawa kwenye fountain tap itakuwa haijui matumizi yake. Hiyo ni kwa matumizi ya kunywa maji
@TwoBrother-tc2cu
@TwoBrother-tc2cu 5 ай бұрын
Mh!umemuona kumbe?
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 5 ай бұрын
Ndio wanatakiwa wawafundishe abiria jinsi yakutumia vitu vilivyomo humo ndani bila hivyo ni shida.
@jbmaru96
@jbmaru96 5 ай бұрын
Much better than Kenya big up wooooohoooooo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 5 ай бұрын
is Coming
@user-kg2fe7dd2v
@user-kg2fe7dd2v 5 ай бұрын
Nampongesa rais wetu samia , hakika hajatuangusha , huyu ni kiongoz kwelikwel
@ABUBAKAROMAR-vz7jl
@ABUBAKAROMAR-vz7jl 5 ай бұрын
Kusema kweli mumetushinda yetu ya kenya
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 5 ай бұрын
Mimi nina wasiwasi mkubwa kwenye usafi wa ndani na nje ya treni,na ubora wa huduma zote,tukifeli hapo kwa muda mfupi treni itakuwa haitamaniki kabisa!
@ismailisungura3491
@ismailisungura3491 5 ай бұрын
Tuta kukumbuka daima JPM congratulations jembe
@susanmauno8207
@susanmauno8207 5 ай бұрын
Congratulation tanzanian thats a big step
@rasjamal9854
@rasjamal9854 5 ай бұрын
R I P Magufukuli uliyo achaa bado na endelea Kwa wa Tanzania Allah akupe Nuru uko uliko Sleep well still remember you comred
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 5 ай бұрын
hili ni wazo la jakaya ndie alieanzisha maqufuli akarithi rejeeni historia
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b 5 ай бұрын
Atii wazo la kikwete,mbona alishindwa
@maftahmusa9513
@maftahmusa9513 5 ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6b alishindwa wapi wewe wafadhili wakwanza katika ujenzi huu wa reli ni nani aliewashauri au ulikua bado unanyoya?
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 ай бұрын
​@@user-fl3fb5gh6bna huyo magu wenu pia kashinda. Bisamia oyee. Magu kazi yake alikuwa ni kufilisi watu tu
@MursalLusinde
@MursalLusinde 5 ай бұрын
Lazma ujue kwamba sio kila mpango mkakati unapo pangwa na serikali ni lazma ufanyike kwa wakati huo huo hasa ktk miradi mikubwa ya kimkakati inahitaji umakini wa hali ya juu ikiwezekana yanakusanywa maoni juu ya kilicho wasilishwa hivyo basi wala usikatae hii miradi mikubwa ya nchi inakuwepo ila utekelezaji wake ndo huchua muda wazo linakuja awamu ya 6 ila utekelezaji unakuja awamu hata ya 8​@@user-fl3fb5gh6b
@evancymassawekenya7521
@evancymassawekenya7521 5 ай бұрын
Tanzania congratulations and I hope magufuli alifanya makubwa walio achiwa wanatekeleza vizuri kazi iliyo bakia kongole Mama samia
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 5 ай бұрын
Kama lengo ni kumpongeza hayati Magu basi na Mh SSH apewe maua walikua wote.Tusisahau hio plz😂😂👏👏👏
@mamasalhat
@mamasalhat 5 ай бұрын
mashaAllah kama ndege❤
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 5 ай бұрын
Ubinadamu KAZI, tayari mmeshamsahau muanzilishi wa huo mradi hazungumziwi magufuli kabisa sifa zote mnapa mtu mwingine, msiwe waizi wa fadhili, mpeni Maua yake hatakama hayupo duniani
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 ай бұрын
Yani Kuna mpuuzi mwingine huko juu eti Jakaya ndo alitoa wazo
@twalebleboss9687
@twalebleboss9687 5 ай бұрын
VERY COOL..Lakini nimeshangaa kuona katika VIDEO HII kwenye dakika ya 3:32 ....UTAONA TRENI IKIWA NJIANI KWENYE MWENDO HUKU BAADHI YA MILANGO IKIWA WAZI.....Huku EUROPE HAKUNA TRENI YA UMEME INAYOWEZA KUFANYA KITUKO KAMA HICHO...#USALAMA KWANZA ... NI KOSA KUBWA HATA IKIWA NI MAJARIBIO...HAIRUHUSIWI....
@jaffjeff6912
@jaffjeff6912 5 ай бұрын
Ndio Bongo hii mzazi acha tu
@tonotvonline3070
@tonotvonline3070 5 ай бұрын
...R.I.P MAGUFULIII🙌
@piusjaphet2760
@piusjaphet2760 5 ай бұрын
Msifieni basi na JPMagufuli huyo ndio mwamba aliye tufumbua macho na kuweka kifua mbele
@BakariIssa-nx3yf
@BakariIssa-nx3yf 5 ай бұрын
Magu hooooyeeee mungu akupunguzie adhabu uko ulipo wameaanza kujaribu miladiyako baba ila wameiijumusana Sina uakika Kama watamaliza Kama ulivyotaka iwe baba watu wanaujumusana miladiyako
@salimshuba5804
@salimshuba5804 5 ай бұрын
160kph ni ndogo sana kwa tren ya umeme...inabid iwe kuanzia 200kph na zaid
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 5 ай бұрын
Kwa namna ya usafi wa wa Tz na kutokujali mambo nina wasiwasi wa kujaa kunguni humo. Tukijengewa hata masoko mazuri ghafla utaona wengine wanauza bidhaa chini na kujipikia hovyo hovyo ktk mazingira machafu, Kwa kifupi hatupendi kulinda usafi
@ZawadianaMwangosi-is2jm
@ZawadianaMwangosi-is2jm 3 ай бұрын
Hongera mama samia
@nassrabarwani1548
@nassrabarwani1548 5 ай бұрын
Tuitunze jamani tuwache Uswahili na tuwe na nidhamu big up Tanzania!
@youngrich6661
@youngrich6661 5 ай бұрын
Tanzania on top
@timotheeciza1592
@timotheeciza1592 5 ай бұрын
Hongera sana président Samia na heshima kubwa sana kwa malehemu Magufuli
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 ай бұрын
Mama Samia namba one tz. Hana ubaguzi yy ni kazi kazi. Wenye roho nyeusi wabakinazo tu.
@miltonjohn9779
@miltonjohn9779 5 ай бұрын
Samia kafanya Nini wew boya!
@awadhsalim2680
@awadhsalim2680 5 ай бұрын
@@miltonjohn9779 boya mwenyewe mkundu mweusi kama nyani. Ww huwezi kuona kafanya nini kwani roho yako inachuki binafsi. Chuki zinamfanya mtu awe kipofu.
@QueenMushi
@QueenMushi 5 ай бұрын
Tunaomba ifike na kilimanjaro arusha jamani 😊
@thedaveiknow.
@thedaveiknow. 5 ай бұрын
This is way better than the kenyan SGR..and for way cheap..Uhunye alituosha manze😢
@brysonkaale3003
@brysonkaale3003 5 ай бұрын
Kama Uhuru aliwaosha,Ruto atawakatakata Kama kitunguu.
@jactonmoris3034
@jactonmoris3034 5 ай бұрын
Bale kigamboni Ile Panton Kuna TV sijui Ile TV inafanya kazi gani hiii miaz kumi na Moja napita na mv hapa kazi tv Ile sijui wausika wapo kaburini😊
@amospotievents960
@amospotievents960 5 ай бұрын
Itawaka kipindi cha kampen kuwa mtulivu😂😂😂😂
@boazmvellah6286
@boazmvellah6286 5 ай бұрын
Mbona za wenzetu hazipo hv au zile ni za Gesi😂😂😂😂
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 5 ай бұрын
mtumba huu 🤣🤣🤣 ulikuwa ushatupwa wao wameenda kuununua
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 ай бұрын
Samahani mwenzako yupi 😂
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 5 ай бұрын
Mwenzako yupi? Hatuwezi kua grade moja hapa duniani labda mbinguni😂😂😂
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 ай бұрын
@@KiongoziMwandamizi hata mbinguni hawezi kalia kiti cha Musa,
@saidsalum6101
@saidsalum6101 4 ай бұрын
Magu kwanini mnashindwa kumtaja mnatufanya sisi niwajinga hatujui amewakosea nini magu jamani toka aondoke magu mambo yamekuwa nimagum sana magu aliacha kuonganishiwa umeme elfu ishirini tu toka aondoke imekuwa nizaidi yalaki tatu hamuoni utofauti nimkubwa sana
@jumashedafa
@jumashedafa 5 ай бұрын
Mama fanyen kwel tok dar to arusha kabla ya afcon itakuw mmechez...watu watatak kutalii zaid kupitia tren
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi 5 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏
@gazzomaster9462
@gazzomaster9462 5 ай бұрын
Magu angekuepo Hadi leo bongo ingekua inakalibia kufanana na South Africa
@jonijomk3107
@jonijomk3107 5 ай бұрын
🤪🤪🤪🤪🤪🤪
@khadujifuad9360
@khadujifuad9360 5 ай бұрын
Amka ukakojoe ulale naona bado umelala
@user-py9sr5zx4v
@user-py9sr5zx4v 5 ай бұрын
Abilia wssije wakang"oa viti!
@HamisiMsami-ol3zk
@HamisiMsami-ol3zk 5 ай бұрын
JPM❤
@abdallahomary515
@abdallahomary515 5 ай бұрын
Mnajitoa ufahamu mwanzilishi hatajwi kabisa,
@khadujifuad9360
@khadujifuad9360 5 ай бұрын
Nawaza huo mgao wa umeme sasa?
@ArcadoBaliseka-yt5ox
@ArcadoBaliseka-yt5ox 5 ай бұрын
Tren yenyewe yamwaka 70 tunataka treni ya mchongoko sio hiyo
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 5 ай бұрын
tumba hilo la kizamani
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 ай бұрын
@@whatisthetruth.8793 lakini hili tumba pia hatukuwa nalo
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 5 ай бұрын
I si ya mtumba ya mtumba mabeewa yamefika yale ya gorofa bado vichwa
@Iam_mgahivevo
@Iam_mgahivevo 5 ай бұрын
Ishu ni yatadumu au ndio wahusika watachukua Salio la wamiliki wa mabasi ili wayauwe ili wapate wateja kwenye mabasi
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 5 ай бұрын
Hilo nalo neno na mafundi wanaojua kuyarekebisha wanao au mpaka watoke nje.
@clememallya4257
@clememallya4257 5 ай бұрын
MAGUFULI ❤R.I.P
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 5 ай бұрын
Muna watu wanawaza speed tu, acheni wamalize haraka zenu mtakuja kutuua. Mlivo na maneno mengi ndo ivo ivo ivo usimamizi mdogo unuaji mwingi
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 5 ай бұрын
Yeah! Tanzania kila la heri na maendeleo.
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 5 ай бұрын
ziitwe JPM rail ways hilo jina la mwendokasi limekaa kishamba sana
@Keytv254
@Keytv254 5 ай бұрын
Tanesco naye ni nani😂😂😂
@anoldjose7793
@anoldjose7793 5 ай бұрын
Hawamjui vzr.. Ye yuko pale anawazoom tu😂😂
@anordmwesiga8717
@anordmwesiga8717 5 ай бұрын
Mbona muda ni mrefu sana..dar to moro dk 90 ni nyingi sana..
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 ай бұрын
Ilibidi iwe 90mn
@ngulathfundikira4205
@ngulathfundikira4205 5 ай бұрын
Bas tutafanya dakika 9
@betyjoseph6812
@betyjoseph6812 5 ай бұрын
​@@adkajisi4536😂😂 ilibidi iwe 90 mn badala ya dk 90
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 5 ай бұрын
Magu❤❤😢
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 4 ай бұрын
Hizo siti za Watu watatu hapana aisee.... sijui watakuwa wanapima watu kg.....
@user-jw3gi6nn2i
@user-jw3gi6nn2i 5 ай бұрын
Tumetoka Mbali Nakumbuka.Nimewahi Kupanda Treni Ya Makaa Yamawe Nikitoka Mombo Kwenda Arusha Nikiwa Mdogo Na Marehemu Bibi Yangu Nikaja Kupande Tofauti Na Ile Nikiwa Mkubwa Na Leo TZ Tunaingia Ya Kutumia Umeme Kweri Tumepiga Hatua IPO Siku Nahiyo Nitaipanda
@edwinmakingi3631
@edwinmakingi3631 5 ай бұрын
Daima tutakukumbuka Magu, wala sikwa mabaya.
@martinstarford6209
@martinstarford6209 5 ай бұрын
Ethiopia ndio ilikuwa nchi ya kwanza east africa kutumia reli ya umeme
@Zannah690
@Zannah690 5 ай бұрын
Ethiopia haipo east africa
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 5 ай бұрын
Bayaaa! Eti kutoka dar to moro masaa matano!! C bora Nipande abood
@user-xk8nc2ii2u
@user-xk8nc2ii2u 5 ай бұрын
Hongera sana kazi inaendelea
@KapuliMkayala
@KapuliMkayala 4 ай бұрын
Ongeleni sana
@user-mz2wx5dt9v
@user-mz2wx5dt9v 5 ай бұрын
Magufur mungu akutunze pastor
@adamuselemani6173
@adamuselemani6173 5 ай бұрын
Hamna treni treni wamesha ichakachua ilitakiwa ije ya kufanana na ndege Hiyo ndio mwendo Kasi,,,Sasa hii Kama ya kwenda kigoma 😮😮😮😮😅
@Kabwela776
@Kabwela776 5 ай бұрын
Tatizo watanzania wengi sio wastaarabu na wachafu wape mwezi tu treni itakuwa kama choo
@haggaiandagile6232
@haggaiandagile6232 5 ай бұрын
Hapa ndio shida inapoanza ukawaida, kuchukulia vitu poa, kuharibu vitu...natamani wachapwe viboko hawa wachafuzi
@husseinallysuleiman4657
@husseinallysuleiman4657 5 ай бұрын
Kuwe na viatu maalum vyakupandia maana navyowajua wabongo ilo kapeti litajaa mchanga wiki tu namaganda ya karanga maana mwingine atanunua mahindi asafiri huku anatafuna ainjoi safari
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@nourannouuran3514
@nourannouuran3514 5 ай бұрын
MAGUFULI MCHAPAKAZI
@andrewmashika3756
@andrewmashika3756 5 ай бұрын
Hongera TRC. Hio full a/c ikipata hitilafu madirisha yanaweza kushushwa?
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 5 ай бұрын
Kuna watu utawakuta hongera JPM kwani unazani bila ya yeye Tungefanya.Kila kitu inawezekana bila ya JPM.Hata Rais Samia naweza kufanya
@froma3732
@froma3732 5 ай бұрын
Hii Project hakuiza Magufuli hebu tuwe wakweli ulizia Kwanzaa
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 5 ай бұрын
Nani aliianzisha??
@froma3732
@froma3732 5 ай бұрын
@@zeralucyntazimila6600 Jibu Musimpe sifa Mtu asiostahili muwe wakweli
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 5 ай бұрын
Dada unaongea points tupu😊😊😊
@lupamwakyusa1582
@lupamwakyusa1582 5 ай бұрын
R I P Magufuli 💪, japo sidhan kama ndo ilikua aina ya mabehewa uliyoyakusudia na mda ulioupanga kuanza kufanyakazikwa trenii
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 5 ай бұрын
Naomba kazi
@bilid4128
@bilid4128 5 ай бұрын
Hiyo ya economy ina Changamoto kidogo ,mtu wa dirishani akitaka kutoka ataleta usumbufu kwa aliyekaa pembeni yake
@peninashungu6633
@peninashungu6633 5 ай бұрын
TATIZO LA TZ NAWAZA ILE SIKU UTAKUTA RELI IMEIBIWA CHUMA KIMEENDA KUUZWA KWENYE NONDO
@user-ix4uc3et8p
@user-ix4uc3et8p 5 ай бұрын
Hunger sn Tanzania km alivyosema JPM Tz ni nchi Tajikistan basically ht kulipwa mshaha kwa mtu m1 m1 inawezekana. DHAHABU,ALMASI , BANDARI NA MBUGA ZA WANYAMA ,
@Kabwela776
@Kabwela776 5 ай бұрын
Hongera sana Mama Samia , yeyote leo atakayekutukana Mama Samia Mimi ninaye 😊
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 5 ай бұрын
RIP Magufuli🎉
@fortidaskashaigili7496
@fortidaskashaigili7496 5 ай бұрын
Mfundishe watu ustaarabu Sasa, na ninyi pia muwe wastaarabu, lkn keep nyume na hilo jata hizo meza zitakiwa viti au stand za mizigo
@user-mw3pc5vm9k
@user-mw3pc5vm9k 4 ай бұрын
Hakika yapendeza sana
@SilaMinanda
@SilaMinanda 5 ай бұрын
Wifi kwa mabehewa yte, muhimu sana hyo kitu, lakn polini huko bado kuna shida ya internet labda kama mmeptisha mkongo
@FloraIkwabe-qy3yb
@FloraIkwabe-qy3yb 5 ай бұрын
Manno ya Magufuri haya
EP #12 🇯🇵 Underwater Bullet Train in Japan | Hayabusa from Tokyo to Hokkaido, 1000 Kms in 4 Hours
32:21
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 86 МЛН
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 35 МЛН
Parenting hacks and gadgets against mosquitoes 🦟👶
00:21
Let's GLOW!
Рет қаралды 12 МЛН
MADEREVA WA TRENI KICHWA MCHONGOKO WAIVA
6:44
TRC RELI TV
Рет қаралды 23 М.
TRAIN EZZEEMU OKUKOLA :Waliwo abasaabaze abakukkulumye
3:53
Akawungeezi
Рет қаралды 13 М.
#TBC: SAFARI YA KWANZA TRENI YA SGR KUTOKA DAR - DOM
1:14
TBConline
Рет қаралды 9 М.
NJE MPAKA NDANI YA MABEHEWA YA KISASA YA GHOROFA YA SGR
6:23
TRC RELI TV
Рет қаралды 37 М.
天使救了路飞!#天使#小丑#路飞#家庭
00:35
家庭搞笑日记
Рет қаралды 86 МЛН