With this new railway Tz is set to be a serious logistics hub in Africa . Congratulations Watanzania!
@nzizajovinpaul49555 ай бұрын
Tanzania nchi tajiri na Mama samia atasababisha wananchi wapate usafiri Mzuri. ❤❤❤ Keep Moving forward Tanzania.
@martinisadru98995 ай бұрын
Dr, Samia yupo vizuri, na hatuna shaka nae, maana alikua pacha wa jpm, shida ni Yale mafisadi yalio chini yake.
@anoldjose77935 ай бұрын
Tuyataje au tuyaache😂😂
@user-kk9jn8dp9m5 ай бұрын
Yataje
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI 💪💪💪🇹🇿 Hakika Raisi Dkt John MAGUFULI alitengeneza ALAMA icon ambayo haitasahaulika milele na Taifa 🇹🇿 na DUNIA 💪💪💪💪
@J4UPro5 ай бұрын
Hongera sana baba huko uliko
@HassanMoha-rc8oq5 ай бұрын
Hongera nchi ya Tanzania Hongera mama samia songa mbele kwa kujenga Tanzania 🇹🇿
@user-oz6zp8fr1c5 ай бұрын
Maua maua ndugu yetu Hayati Magufuli. Pumzika kwa Amani Baba
@sultansallah87725 ай бұрын
Ndio nn
@Tzflower5 ай бұрын
AMBACHO HUJAKIJUA NI KIPI@@sultansallah8772
@walidmgonja36442 ай бұрын
Machoko utayajua humu
@vero575 ай бұрын
Asante sana magufuli, ndiyo leo wamemaliza kazi ya train 🚉
@edwinmakingi36315 ай бұрын
Bado hawajamaliza, bado sana
@halunimnenwa52245 ай бұрын
Uyo dada anasema asane laisi samia kwa kulinda kibarua chake ionekane samia ndo anafanya kaz hii lakin kwenye comet ni magufuli2 we ka na uyo samia wako
@ramadhanimtetu36565 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa kazi nzuri
@ramadhanimtetu36565 ай бұрын
@@halunimnenwa5224 Na wewe nenda chato kakae na huyo Magufuli wako
@maniamba.tz_5 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa mwendelezo na Kupiga hatua mbele
@salimsaid98525 ай бұрын
Hongera sana Mama Samiha.Treni zimependeza sana ila hofu yangu ni suala La usafi sijui tumejipangaje.na Walichofeli Waandishi wa habari kwenye hii dhiara ya majaribio hawakuwauliza wakurugenzi juu ya suala la USAFI.
@davidluangisa45155 ай бұрын
Wahoooo am exceedingly humbled am profoundly honoured in My President 's leadership. Her Excellency Samia Suluhu Hassan...
@KomboHajj5 ай бұрын
Ongea kiswahili wew
@alfinmbilinyi59854 ай бұрын
Rais SH.Kazi nzuri endelea hivi hivi kuipatia maendeleo makubwa nchi yako Tanzania ndo nyumbani tutazunguka huko tutarudi nyumbani Tanzania.Big up SH,My president.
@idrisadalluc44985 ай бұрын
Kuna vingi vya kumuiga mzee wetu magufuli mungu amsamee baazi yamakosa yake🙏🙏
@J4UPro5 ай бұрын
Hakuna aliyekamilika mkuu.
@victormbagga18215 ай бұрын
Usafi please na utunzani Sio mauchafu kutupwa ovyo
@user-ir5mc7vk8b5 ай бұрын
Asante Mungu kwa neema hii ya usafiri huu hii hakika ni hatua kubwa Sana
@jkifutu79365 ай бұрын
Baba magufuri tutakukumbuka 😢😢😢 daima
@TwoBrother-tc2cu5 ай бұрын
Tusiwe wabinafsi,magufuli kweli alianzisha lkn si wapo walioendeleza!kwanini wote tusiwapongeze?
@peaceisrael81585 ай бұрын
Hakika Jembe letu baba upumzike kwa amani , amina🎉🎉🎉
@lameckmagunya70135 ай бұрын
Hongera kwa serikari
@harounkiyungi72885 ай бұрын
Hongera sana Tz hongera Mama yetu Samia hongera Watanzania wote kwa ushirikiano na mapokezi mazuri
@Calex-the-Pilot5 ай бұрын
Ningependekeza Rangi ya viti vya Bussiness ibadilishwe au ifanyiwe ubunifu ipendeze, rangi moja tu tena ya orange haiji kabisa! Viti vya Economy vina muonekano mzuri kuliko vya Bussiness!
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
PONGEZI kubwa kwa Raisi Dkt John pombe MAGUFULI
@seifwashule2745 ай бұрын
big question is! je tutaweza kuendeleza na kutunza, au itakuwa kama mabasi ya mwendokasi☹
@robertmkude82345 ай бұрын
Thanks JPM & SSH
@user-zy6vq6lz7z5 ай бұрын
Jembe Magufuli aliona mbali , iko poa sana
@mancholotrasco83505 ай бұрын
Msingemuua mwamba mpaka Leo tungekuwa mbali sana ... Rip malume Magu walikuua ili wanifanye wao ndio walioleta maendeleo
@awadhsalim26805 ай бұрын
Pole😅
@robertphilip3855 ай бұрын
Yule mjinga na yeye aliua wengi anaeua Kwa upanga nayeye atauwawa Kwa upanga kwahiyo utetee ujinga
@mancholotrasco83505 ай бұрын
@@robertphilip385 alimuua nani Kwa ujinga acha kusifia wapumbavu wanaojiita viongoz wakat wanakula rushwa tu ... Hayo maendeleo unayoyaona Leo ni mipango ya magufuri yote ... Mnasifia kiongoz anaueshindwa kubalance bei ya sukari na miunodombinu ya umeme nchi gani hiyo
@robertphilip3855 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@robertphilip3855 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@jkomedikaduli5 ай бұрын
Maguuu maua yake huko mbinguni amen
@letthedeadburythedead21485 ай бұрын
Nani kakwambia yupo mbinguni
@dullahmmebela56245 ай бұрын
Mimi nimesema!!!@@letthedeadburythedead2148
@adkajisi45365 ай бұрын
@@letthedeadburythedead2148 basi huko aliko
@piusgadau63285 ай бұрын
Kila kitu magu, magu nyie mnazani hakuna mwingine angeweza kufanya hivo...
@radhiaomary55915 ай бұрын
@@piusgadau6328kumbuka yy ndo kaanzisha
@selemanisalum76855 ай бұрын
Hasante marehemu maghufuri kwa kuanzisha treni hii na hongera mama samia kwa kukamilisha treni kufanyakazi leo
@user-yi8qv1lg5e5 ай бұрын
KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉
@evansokemwa65875 ай бұрын
kweli tanzania imendelea sana kuliko kenya pongezi wa bongo
@martinstarford62095 ай бұрын
lazima mtaje Kenya
@patrickKitambo5 ай бұрын
Magufuli hayupo kimwili lakini bado anaendelea kufanya kazi
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
PONGEZI kubwa Ziende kwa Raisi wetu DKT John pombe MAGUFULI 💪💪🇹🇿🫡
@mwinyimatopa22835 ай бұрын
Hongera Sana Kwa serikali na za kipekee Kwa magufuli huko aliko
@outzone665 ай бұрын
Huyo alikwenda kunawa kwenye fountain tap itakuwa haijui matumizi yake. Hiyo ni kwa matumizi ya kunywa maji
@TwoBrother-tc2cu5 ай бұрын
Mh!umemuona kumbe?
@user-uo8xw9kr4b5 ай бұрын
Ndio wanatakiwa wawafundishe abiria jinsi yakutumia vitu vilivyomo humo ndani bila hivyo ni shida.
@jbmaru965 ай бұрын
Much better than Kenya big up wooooohoooooo
@trophywilson72115 ай бұрын
is Coming
@user-kg2fe7dd2v5 ай бұрын
Nampongesa rais wetu samia , hakika hajatuangusha , huyu ni kiongoz kwelikwel
@ABUBAKAROMAR-vz7jl5 ай бұрын
Kusema kweli mumetushinda yetu ya kenya
@brysonkaale30035 ай бұрын
Mimi nina wasiwasi mkubwa kwenye usafi wa ndani na nje ya treni,na ubora wa huduma zote,tukifeli hapo kwa muda mfupi treni itakuwa haitamaniki kabisa!
@ismailisungura34915 ай бұрын
Tuta kukumbuka daima JPM congratulations jembe
@susanmauno82075 ай бұрын
Congratulation tanzanian thats a big step
@rasjamal98545 ай бұрын
R I P Magufukuli uliyo achaa bado na endelea Kwa wa Tanzania Allah akupe Nuru uko uliko Sleep well still remember you comred
@maftahmusa95135 ай бұрын
hili ni wazo la jakaya ndie alieanzisha maqufuli akarithi rejeeni historia
@user-fl3fb5gh6b5 ай бұрын
Atii wazo la kikwete,mbona alishindwa
@maftahmusa95135 ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6b alishindwa wapi wewe wafadhili wakwanza katika ujenzi huu wa reli ni nani aliewashauri au ulikua bado unanyoya?
@awadhsalim26805 ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6bna huyo magu wenu pia kashinda. Bisamia oyee. Magu kazi yake alikuwa ni kufilisi watu tu
@MursalLusinde5 ай бұрын
Lazma ujue kwamba sio kila mpango mkakati unapo pangwa na serikali ni lazma ufanyike kwa wakati huo huo hasa ktk miradi mikubwa ya kimkakati inahitaji umakini wa hali ya juu ikiwezekana yanakusanywa maoni juu ya kilicho wasilishwa hivyo basi wala usikatae hii miradi mikubwa ya nchi inakuwepo ila utekelezaji wake ndo huchua muda wazo linakuja awamu ya 6 ila utekelezaji unakuja awamu hata ya 8@@user-fl3fb5gh6b
@evancymassawekenya75215 ай бұрын
Tanzania congratulations and I hope magufuli alifanya makubwa walio achiwa wanatekeleza vizuri kazi iliyo bakia kongole Mama samia
@KiongoziMwandamizi5 ай бұрын
Kama lengo ni kumpongeza hayati Magu basi na Mh SSH apewe maua walikua wote.Tusisahau hio plz😂😂👏👏👏
@mamasalhat5 ай бұрын
mashaAllah kama ndege❤
@abdallahkihanza4825 ай бұрын
Ubinadamu KAZI, tayari mmeshamsahau muanzilishi wa huo mradi hazungumziwi magufuli kabisa sifa zote mnapa mtu mwingine, msiwe waizi wa fadhili, mpeni Maua yake hatakama hayupo duniani
@adkajisi45365 ай бұрын
Yani Kuna mpuuzi mwingine huko juu eti Jakaya ndo alitoa wazo
@twalebleboss96875 ай бұрын
VERY COOL..Lakini nimeshangaa kuona katika VIDEO HII kwenye dakika ya 3:32 ....UTAONA TRENI IKIWA NJIANI KWENYE MWENDO HUKU BAADHI YA MILANGO IKIWA WAZI.....Huku EUROPE HAKUNA TRENI YA UMEME INAYOWEZA KUFANYA KITUKO KAMA HICHO...#USALAMA KWANZA ... NI KOSA KUBWA HATA IKIWA NI MAJARIBIO...HAIRUHUSIWI....
@jaffjeff69125 ай бұрын
Ndio Bongo hii mzazi acha tu
@tonotvonline30705 ай бұрын
...R.I.P MAGUFULIII🙌
@piusjaphet27605 ай бұрын
Msifieni basi na JPMagufuli huyo ndio mwamba aliye tufumbua macho na kuweka kifua mbele
@BakariIssa-nx3yf5 ай бұрын
Magu hooooyeeee mungu akupunguzie adhabu uko ulipo wameaanza kujaribu miladiyako baba ila wameiijumusana Sina uakika Kama watamaliza Kama ulivyotaka iwe baba watu wanaujumusana miladiyako
@salimshuba58045 ай бұрын
160kph ni ndogo sana kwa tren ya umeme...inabid iwe kuanzia 200kph na zaid
@salmanmagwe26125 ай бұрын
Kwa namna ya usafi wa wa Tz na kutokujali mambo nina wasiwasi wa kujaa kunguni humo. Tukijengewa hata masoko mazuri ghafla utaona wengine wanauza bidhaa chini na kujipikia hovyo hovyo ktk mazingira machafu, Kwa kifupi hatupendi kulinda usafi
@ZawadianaMwangosi-is2jm3 ай бұрын
Hongera mama samia
@nassrabarwani15485 ай бұрын
Tuitunze jamani tuwache Uswahili na tuwe na nidhamu big up Tanzania!
@youngrich66615 ай бұрын
Tanzania on top
@timotheeciza15925 ай бұрын
Hongera sana président Samia na heshima kubwa sana kwa malehemu Magufuli
@awadhsalim26805 ай бұрын
Mama Samia namba one tz. Hana ubaguzi yy ni kazi kazi. Wenye roho nyeusi wabakinazo tu.
This is way better than the kenyan SGR..and for way cheap..Uhunye alituosha manze😢
@brysonkaale30035 ай бұрын
Kama Uhuru aliwaosha,Ruto atawakatakata Kama kitunguu.
@jactonmoris30345 ай бұрын
Bale kigamboni Ile Panton Kuna TV sijui Ile TV inafanya kazi gani hiii miaz kumi na Moja napita na mv hapa kazi tv Ile sijui wausika wapo kaburini😊
@amospotievents9605 ай бұрын
Itawaka kipindi cha kampen kuwa mtulivu😂😂😂😂
@boazmvellah62865 ай бұрын
Mbona za wenzetu hazipo hv au zile ni za Gesi😂😂😂😂
@whatisthetruth.87935 ай бұрын
mtumba huu 🤣🤣🤣 ulikuwa ushatupwa wao wameenda kuununua
@adkajisi45365 ай бұрын
Samahani mwenzako yupi 😂
@KiongoziMwandamizi5 ай бұрын
Mwenzako yupi? Hatuwezi kua grade moja hapa duniani labda mbinguni😂😂😂
@adkajisi45365 ай бұрын
@@KiongoziMwandamizi hata mbinguni hawezi kalia kiti cha Musa,
@saidsalum61014 ай бұрын
Magu kwanini mnashindwa kumtaja mnatufanya sisi niwajinga hatujui amewakosea nini magu jamani toka aondoke magu mambo yamekuwa nimagum sana magu aliacha kuonganishiwa umeme elfu ishirini tu toka aondoke imekuwa nizaidi yalaki tatu hamuoni utofauti nimkubwa sana
@jumashedafa5 ай бұрын
Mama fanyen kwel tok dar to arusha kabla ya afcon itakuw mmechez...watu watatak kutalii zaid kupitia tren
@KiongoziMwandamizi5 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏
@gazzomaster94625 ай бұрын
Magu angekuepo Hadi leo bongo ingekua inakalibia kufanana na South Africa
@jonijomk31075 ай бұрын
🤪🤪🤪🤪🤪🤪
@khadujifuad93605 ай бұрын
Amka ukakojoe ulale naona bado umelala
@user-py9sr5zx4v5 ай бұрын
Abilia wssije wakang"oa viti!
@HamisiMsami-ol3zk5 ай бұрын
JPM❤
@abdallahomary5155 ай бұрын
Mnajitoa ufahamu mwanzilishi hatajwi kabisa,
@khadujifuad93605 ай бұрын
Nawaza huo mgao wa umeme sasa?
@ArcadoBaliseka-yt5ox5 ай бұрын
Tren yenyewe yamwaka 70 tunataka treni ya mchongoko sio hiyo
@whatisthetruth.87935 ай бұрын
tumba hilo la kizamani
@adkajisi45365 ай бұрын
@@whatisthetruth.8793 lakini hili tumba pia hatukuwa nalo
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl5 ай бұрын
I si ya mtumba ya mtumba mabeewa yamefika yale ya gorofa bado vichwa
@Iam_mgahivevo5 ай бұрын
Ishu ni yatadumu au ndio wahusika watachukua Salio la wamiliki wa mabasi ili wayauwe ili wapate wateja kwenye mabasi
@user-uo8xw9kr4b5 ай бұрын
Hilo nalo neno na mafundi wanaojua kuyarekebisha wanao au mpaka watoke nje.
@clememallya42575 ай бұрын
MAGUFULI ❤R.I.P
@mohamedmbalazi7485 ай бұрын
Muna watu wanawaza speed tu, acheni wamalize haraka zenu mtakuja kutuua. Mlivo na maneno mengi ndo ivo ivo ivo usimamizi mdogo unuaji mwingi
@alfinmbilinyi59855 ай бұрын
Yeah! Tanzania kila la heri na maendeleo.
@exprodigitaltechtv55715 ай бұрын
ziitwe JPM rail ways hilo jina la mwendokasi limekaa kishamba sana
@Keytv2545 ай бұрын
Tanesco naye ni nani😂😂😂
@anoldjose77935 ай бұрын
Hawamjui vzr.. Ye yuko pale anawazoom tu😂😂
@anordmwesiga87175 ай бұрын
Mbona muda ni mrefu sana..dar to moro dk 90 ni nyingi sana..
@adkajisi45365 ай бұрын
Ilibidi iwe 90mn
@ngulathfundikira42055 ай бұрын
Bas tutafanya dakika 9
@betyjoseph68125 ай бұрын
@@adkajisi4536😂😂 ilibidi iwe 90 mn badala ya dk 90
@faudhiasalum72795 ай бұрын
Magu❤❤😢
@manish-fp1fb4 ай бұрын
Hizo siti za Watu watatu hapana aisee.... sijui watakuwa wanapima watu kg.....
@user-jw3gi6nn2i5 ай бұрын
Tumetoka Mbali Nakumbuka.Nimewahi Kupanda Treni Ya Makaa Yamawe Nikitoka Mombo Kwenda Arusha Nikiwa Mdogo Na Marehemu Bibi Yangu Nikaja Kupande Tofauti Na Ile Nikiwa Mkubwa Na Leo TZ Tunaingia Ya Kutumia Umeme Kweri Tumepiga Hatua IPO Siku Nahiyo Nitaipanda
@edwinmakingi36315 ай бұрын
Daima tutakukumbuka Magu, wala sikwa mabaya.
@martinstarford62095 ай бұрын
Ethiopia ndio ilikuwa nchi ya kwanza east africa kutumia reli ya umeme
@Zannah6905 ай бұрын
Ethiopia haipo east africa
@gabrielzakaria28105 ай бұрын
Bayaaa! Eti kutoka dar to moro masaa matano!! C bora Nipande abood
@user-xk8nc2ii2u5 ай бұрын
Hongera sana kazi inaendelea
@KapuliMkayala4 ай бұрын
Ongeleni sana
@user-mz2wx5dt9v5 ай бұрын
Magufur mungu akutunze pastor
@adamuselemani61735 ай бұрын
Hamna treni treni wamesha ichakachua ilitakiwa ije ya kufanana na ndege Hiyo ndio mwendo Kasi,,,Sasa hii Kama ya kwenda kigoma 😮😮😮😮😅
@Kabwela7765 ай бұрын
Tatizo watanzania wengi sio wastaarabu na wachafu wape mwezi tu treni itakuwa kama choo
@haggaiandagile62325 ай бұрын
Hapa ndio shida inapoanza ukawaida, kuchukulia vitu poa, kuharibu vitu...natamani wachapwe viboko hawa wachafuzi
@husseinallysuleiman46575 ай бұрын
Kuwe na viatu maalum vyakupandia maana navyowajua wabongo ilo kapeti litajaa mchanga wiki tu namaganda ya karanga maana mwingine atanunua mahindi asafiri huku anatafuna ainjoi safari
@salmamlokela19875 ай бұрын
😂😂😂😂
@nourannouuran35145 ай бұрын
MAGUFULI MCHAPAKAZI
@andrewmashika37565 ай бұрын
Hongera TRC. Hio full a/c ikipata hitilafu madirisha yanaweza kushushwa?
@sleifikhajjir2625 ай бұрын
Kuna watu utawakuta hongera JPM kwani unazani bila ya yeye Tungefanya.Kila kitu inawezekana bila ya JPM.Hata Rais Samia naweza kufanya
@froma37325 ай бұрын
Hii Project hakuiza Magufuli hebu tuwe wakweli ulizia Kwanzaa
@zeralucyntazimila66005 ай бұрын
Nani aliianzisha??
@froma37325 ай бұрын
@@zeralucyntazimila6600 Jibu Musimpe sifa Mtu asiostahili muwe wakweli
@ContentSmartphone-rq6po5 ай бұрын
Dada unaongea points tupu😊😊😊
@lupamwakyusa15825 ай бұрын
R I P Magufuli 💪, japo sidhan kama ndo ilikua aina ya mabehewa uliyoyakusudia na mda ulioupanga kuanza kufanyakazikwa trenii
@faudhiasalum72795 ай бұрын
Naomba kazi
@bilid41285 ай бұрын
Hiyo ya economy ina Changamoto kidogo ,mtu wa dirishani akitaka kutoka ataleta usumbufu kwa aliyekaa pembeni yake
@peninashungu66335 ай бұрын
TATIZO LA TZ NAWAZA ILE SIKU UTAKUTA RELI IMEIBIWA CHUMA KIMEENDA KUUZWA KWENYE NONDO
@user-ix4uc3et8p5 ай бұрын
Hunger sn Tanzania km alivyosema JPM Tz ni nchi Tajikistan basically ht kulipwa mshaha kwa mtu m1 m1 inawezekana. DHAHABU,ALMASI , BANDARI NA MBUGA ZA WANYAMA ,
@Kabwela7765 ай бұрын
Hongera sana Mama Samia , yeyote leo atakayekutukana Mama Samia Mimi ninaye 😊
@peaceisrael81585 ай бұрын
RIP Magufuli🎉
@fortidaskashaigili74965 ай бұрын
Mfundishe watu ustaarabu Sasa, na ninyi pia muwe wastaarabu, lkn keep nyume na hilo jata hizo meza zitakiwa viti au stand za mizigo
@user-mw3pc5vm9k4 ай бұрын
Hakika yapendeza sana
@SilaMinanda5 ай бұрын
Wifi kwa mabehewa yte, muhimu sana hyo kitu, lakn polini huko bado kuna shida ya internet labda kama mmeptisha mkongo