MUSUKUMA AMCHANA PROF JANABI BUNGENI" USHIKE BREKI, MIMI DAKTARI MWENZIO, ANAHESHIMIKA SANA AJIELEWE

  Рет қаралды 204,516

Millard Ayo

Millard Ayo

2 ай бұрын

Пікірлер: 438
@JoyceAlfred-dv6cw
@JoyceAlfred-dv6cw Ай бұрын
Hongera sana Mh Msukuma,msema kweli Mpenzi wa Mungu,big Mb
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 2 ай бұрын
Tanzania yangu. Profesa watamuelewa wenye ufahamu mkubwa. Ila kwa upande wangu nampongeza Prof Janabi kwa elimu kubwa aliyotupa.
@MsafilymsafilyChaless
@MsafilymsafilyChaless 2 ай бұрын
Sema kiongoz wetu tuko pamoja,
@neemabright3635
@neemabright3635 2 ай бұрын
Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....
@Chaser2497
@Chaser2497 2 ай бұрын
Mbunge Msukuma kaongea point ambazo ingefaa zichukuliwe kama zilivyo kwenye utekelezaji!!!! Hapo Kuna wasomi uchwara wanajua hayo ila sjuwi nani aliyewaloga😢😢
@user-sm4jq6hq1t
@user-sm4jq6hq1t 2 ай бұрын
Huyu mtu ni darasa la Saba lakini anapointi zilozo sheheni nondo za kutosha
@mustaphahassan589
@mustaphahassan589 2 ай бұрын
Mkiumwa mfateni msukuma awatibu
@Chaser2497
@Chaser2497 2 ай бұрын
@@mustaphahassan589 ukitaka kuuua mti kata mizizi sio kukata majan na kuacha mzizi..... Mf.ukipunguza wanga halaf ukala Nyama ya Kuku aliyekuzwa mwezi au wiki kipi bora
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 2 ай бұрын
This guy is very much on point. We need to be self-reliant. We can't just sit and wait for westerners to bring us their misleading research.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest
@Soon815
@Soon815 2 ай бұрын
Well said
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 2 ай бұрын
@@ChoroTesla Rukia kusoma comment yangu. I didn't say we have invested in research, I said we need to.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
@@SimbaM2kufu i got you sasa msukuma anataka vitu vijiiibue ajue wenzetu wanashinda maaabara sie tunashinda tiktok na instagram mama anaupiga mwingi
@tolisso4287
@tolisso4287 2 ай бұрын
😂😂 we jamaa
@user-kk3fp2yq2d
@user-kk3fp2yq2d Ай бұрын
Afathari na Nyinyi Watanzania mnavyakura vyakutosha kupambana nahizo pombe feck hapa kwetu Rwanda Kigali unakuta vijyana miaka kumu na Tano wanajikojorea sababu ya hizo pembe akinywa hata asipo kunywa Asante sana Msukuma
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Msukuma yuko sahihi saana kwa Wakulima na wafanya mazoezi chakula hakikai, ushawahi muona mchezaji wa Mpira Ana kitambi , ila wakiacha mazoezi waendelee na diet
@RamadhaniJitelani
@RamadhaniJitelani 2 ай бұрын
Janabi hataki mazoezi unayoyasema wewe
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 2 ай бұрын
​@@RamadhaniJitelanikwa hiyo anataka nini
@shakurfaith
@shakurfaith Ай бұрын
Anataka kuolewa​@@agnesjohn9382
@shabanramadhan7632
@shabanramadhan7632 2 ай бұрын
Jamaa Yuko vizuri sana
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg Ай бұрын
Msukuma anachosema yuko sawa kwa kiasi furani. matikiti maji yanayodungwa sindano na kuku wa wiki tatu ukila vinaadhiri mwili kwa kiasi gani?? I love you Msukuma you are so geneous.
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 ай бұрын
Professor Janabi kaeleza vizuri, shule yake ni kwa wale wasiofanya mazoezi au wasiokuwa na kazi nzito wasile hovyo.
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.
@jahatvonline
@jahatvonline 2 ай бұрын
Dr Janabi anazungumza tafiti yupo makini sana
@reynaaalrawahi4137
@reynaaalrawahi4137 Ай бұрын
Dokta yupo vizuri alichosema. 🎉🎉🎉
@dominickmahela1581
@dominickmahela1581 Ай бұрын
Huyu jamaa leo ndo kaongea pumba tu pengine anaangaliaga meme kuhusu Janabi na hajawahi kumsikiliza😂
@phakundigervas1360
@phakundigervas1360 Ай бұрын
Kwa Mbunge huyo kila asichokipenda YEYE ni Suomi fake lakini ni mjinga wa bangi believe it.
@b1vevo
@b1vevo Ай бұрын
The leader he know how to protect the citizens, thanks Dr. msukuma
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 ай бұрын
Hii tanzania tunaweza letewa sumu na tusijue tukala na TBS ndo imepitisha tule
@misangasaidih8764
@misangasaidih8764 2 ай бұрын
Kabisaaa
@simasima8084
@simasima8084 2 ай бұрын
Sbb yy ni pr..
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 ай бұрын
@@simasima8084 hasa hizi matirial ya vinywaji vikali ni hatari sana waliambiwa tuipitishe gongo bungeni ili ipikwe kiasili zaidi nadhani tungekunwa vitu original sana tusingeugua mafigo na maini tungekula vitu vya asili kabisa
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 2 ай бұрын
@@misangasaidih8764 Gongo haram sumu zinazotoka nje halali na TBS wanapitisha wanakwambia hii imepimwa hii nchi tunauwana wenyewe kwa wenyewe
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
sio tanzania ni Tanzania
@masoudabdi6076
@masoudabdi6076 2 ай бұрын
Mungu akupe maisha Msukkuma... Hawa viongozi ni shidaa sanaaa....hatuna kiongozi anaetetea Maisha ya Mtanzania
@bakarishabani5538
@bakarishabani5538 2 ай бұрын
Kweli msukuma kuna baadhi ya mambo hayahitaji ufike hata chuo.sijui kwanini hatuwezi kutumia akili.Watoa maamuzi mtusaidie.
@martinisadru9899
@martinisadru9899 2 ай бұрын
Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 2 ай бұрын
Hujamwelewa mbunge msukuma je wewe unakula kijiko kimoja kama mlo wako wa siku?
@martinisadru9899
@martinisadru9899 2 ай бұрын
@@samsonhamery3809 kwani dr alisema watu wale kijiko kimoja.
@ramadhanijuma4130
@ramadhanijuma4130 2 ай бұрын
Ukiwa hujaelewa ni vema ukanyamaza au ukaomba kueleweshwa.
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 2 ай бұрын
Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora
@farajachiwile7388
@farajachiwile7388 2 ай бұрын
Ila ni kweli ukipungua wakati wa ujana, utateseka uzeeni. Mtu akifika miaka 50 anapungua muscle na mwili unalegea. Unabaki mifupa.
@hezekiamtera3559
@hezekiamtera3559 2 ай бұрын
Wabunge zungumzie bima ya afya kupitia mashuleni.Vigezo vilivyowekwa havitekelezeki.Wanafunzi wengi wana bima kupitia wazazi wao ambao ni waajiriwa.Idadi iliyowekwa haitekelezeki
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 ай бұрын
Hongera mh msukuma na Esther Leo mmeonggeea. Kitu chamaa maana sn kweli kunnatatizo mahala kweny vinywaji. Hivi vipo vvya ovyo vingi. Viina itwa. Smart gynni vinyywajji. Gani hivvii. Ni. Ovyo kwa kkweli
@TellaaxisTz
@TellaaxisTz 24 күн бұрын
Noma sana❤ #tellaaxistz
@michaelmoro4801
@michaelmoro4801 2 ай бұрын
Niko pamoja na wewe mkuu wangu umesema kweli kabisa Mungu Akubariki
@user-tv8ub4fk5i
@user-tv8ub4fk5i 2 ай бұрын
Namuelewa sana my msukuma anasema anaeishi korogwe ni kweli kabisa amewahi kuniuzia viatu,naomba Bunge limlinde na kumtunza ana maoni ya mbali atatufikisha pazuri speed nafasi zaidi
@alexdukes5547
@alexdukes5547 2 ай бұрын
Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.
@elifariji
@elifariji 2 ай бұрын
Da! Kweli "Bunge" halina mipaka. Hata Professor Janabi mwamsasambua? Hapana!! No! No! No. Nitafurahi Sana nikisikia mumemuomba radhi. Yaani "Wabunge" mnahitaji Sana elimu ya Dr Janabi maana mnashinda mmekaa na %kubwa mna vitamin vya kutisha. Ingekua Bora Sana Kama mngemkaribisha akawapiga darasa siku moja
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
Hili jinga linatumia kipaza sauti vibaya kutukana wenye taaluma zao!haifikii hata nukta alichokisomea profesa janabi!amuombe radhi hadhi ya janabi haifii hata kwa ukucha!Toka apewe udaktari wa funza chooni basi amekua namadharau sana bungeni Lenyewe halikwenda shule sasa linataka na wengine waonekane wajinga kama yeye! Nashangaa sana kila likiongea nikuwashusha wengine utadhani yeye kafanya la maana huko jimboni kwake madudu matupu!limekuwa natabia likifika bungeni kukosoa wengine
@HalimaJuma-hz4qe
@HalimaJuma-hz4qe Ай бұрын
Hahahha akakufundishe nyumbani kwako sie tunajua
@johndeogratias8099
@johndeogratias8099 Ай бұрын
Ukiwa na kichwa kigumu huwezi elewa kamwe alichosema msukuma
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp Ай бұрын
Nikweli ukosahihi.
@innocentyusuph7762
@innocentyusuph7762 2 ай бұрын
Hongera mh, Msukuma
@MojamojaMojamoja-lw2ph
@MojamojaMojamoja-lw2ph 2 ай бұрын
Ni kweli hatiwezi kula kijiko kimoja ugali kutwa mara 3 janabi tusamee😂
@patricksebastian3593
@patricksebastian3593 2 ай бұрын
Doctor Msukuma nakubari sana kazi yako
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
Kazi gani ameifanya ikaonekana na kusifiwa? tuambie nasi tumsifie
@TimotheoPeter-pr3ve
@TimotheoPeter-pr3ve 2 ай бұрын
Nice speach
@rosehaule6765
@rosehaule6765 2 ай бұрын
Ee yesu yasn msukuma umeongea mnoo mpaka nimelia uwiii😢😢safi.mnoo sijui itafatiliwa jamani
@StephenMelkizedeki-pn3us
@StephenMelkizedeki-pn3us Ай бұрын
Dh
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 2 ай бұрын
Janabi ni mtu ganii Kwa mjomba Sasa nimemjua Mungu akupe maisha maref Janabi tundu la sindano
@geofreykayombo401
@geofreykayombo401 Ай бұрын
Musukuma yupo vizuri sana,kweli bhana south africa hawana hata haya machanjo,mama akitoka hospitali imetoka hiyo,ukirudi ni checking za kawaida
@juliusmartin1839
@juliusmartin1839 2 ай бұрын
Upo sahihi Pro. Janabi sijamwelewa
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 2 ай бұрын
Swala la chanjo hapo mr pm mungu akubariki sana endelea kuwa muwaz na kusema bila kigugumiz maana hali n mby saanaaaa tunaumia
@ndarujames3036
@ndarujames3036 2 ай бұрын
Bigbrain Broo msukuma
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 Ай бұрын
Excellent argument
@saidabdallah2649
@saidabdallah2649 2 ай бұрын
😂😂aisehh sio lazima usome sana kikubwa nikujiuliza kabla ya kusema kitu jamaa anajua sana huyu
@RechoMasunga-rp9dr
@RechoMasunga-rp9dr Ай бұрын
Msukuma wewe ni jembe nakuombea mungu akubariki Sana
@EmmanuelMlawa-ee3oq
@EmmanuelMlawa-ee3oq 2 ай бұрын
Akuna Cha pointi uchaguzi umekaribia
@AbdillahiNdashwa11
@AbdillahiNdashwa11 Ай бұрын
Allah akujalie inshallah
@hamidafundi-pw1gw
@hamidafundi-pw1gw Ай бұрын
Hakuna kizuri mpaka mwisho wala kibaya mpaka mwisho. Mwerevu ni yule anayetambuwa uzuri kwenye kibaya pia kutambuwa ubaya kwenye kizuri. Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.
@user-np4om6hz4m
@user-np4om6hz4m 2 ай бұрын
Huyu mbunge elimu yake ndogo lakini anamaarifa makubwa sana
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
Maarifa yake hayo umeyaona wapi? Nioneshe kitu alicho kifanya ili nikusaidie kumsifia
@KahambasDaughterTherock
@KahambasDaughterTherock 2 ай бұрын
chanjo kweli zimezidi😂😂😂Msukuma bwana😂😂
@JumanneKasuwi
@JumanneKasuwi Ай бұрын
Point sana
@jemaidamdengede9697
@jemaidamdengede9697 Ай бұрын
Well said
@nyangiboboazi3188
@nyangiboboazi3188 2 ай бұрын
Msukuma una akili sna wew na unastahili kua Doctor
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
Hujui kama alipewa medali ya doctor wa funza chooni?
@JonasPhilimon
@JonasPhilimon 2 ай бұрын
Wanauza bar ndio uwezaji wamaprofessa
@GSaleh-xr3vn
@GSaleh-xr3vn 2 ай бұрын
Dhana tulijengewa waafrika ni kila cha mzungu ni bora
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 2 ай бұрын
Kabisa upo sahihi na hicho ndio kinachotumaliza
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
wao ndo wanaongoza kwa tafiti kubwa duniani huwez wapinga km jnapinga uje na facts
@GSaleh-xr3vn
@GSaleh-xr3vn 2 ай бұрын
Nimekuelewa maana Hata ushoga na usagaji wameufanyia utafiti na kugundua kua hauna madhara ​@@ChoroTesla
@NeemaSamson-ti8pc
@NeemaSamson-ti8pc 2 ай бұрын
@@ChoroTesla kama wao wanaongoza kwa tafiti duniani kwanini na sisi tusijifunze kuwa watafiti? Tunasubiri tu wao wafanye utafiti sisi ni kupokea tu
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc ume invest?
@thabititv3783
@thabititv3783 Ай бұрын
Msukuma da!! eti sipingani nae dada angu kwakuwa yeye ni mteja wa hvyo vitu
@DansonMtambi-fq2ff
@DansonMtambi-fq2ff Ай бұрын
Hongera sanaa musukuma
@hemedallyabdallah133
@hemedallyabdallah133 Ай бұрын
Kaka uko juu Mi nakuelewa hongera sana
@LatwifSued
@LatwifSued Ай бұрын
Kwakweli msukuma uko vizuri, sana sana, ninatamani nikuone nikae na wewe angalau wiki moja, .kwakweli mungu akulipe.
@user-fi6sh5qd2p
@user-fi6sh5qd2p 2 ай бұрын
Akılı kubwa sana
@danielndilili7525
@danielndilili7525 Ай бұрын
Au bass msukuma njoo nikupe ng'ombe make unanigusaga kwakwel
@African511
@African511 2 ай бұрын
Alooooo msukuma umegonga kwenye mshono,hahahhaaa aloooooo❤❤❤
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt Ай бұрын
Allah jaalia kila mwenye majungu allah amtie nguvu
@abudulingasa6413
@abudulingasa6413 Ай бұрын
Mungu akupe miaka ming dunian uwatumikie wana nchi
@brotherbenety
@brotherbenety Ай бұрын
Msukuma noma sana😂😂
@user-gw8wv2zf2g
@user-gw8wv2zf2g 2 ай бұрын
Bunge ni mara chache sana kusimamia vitu vyenye maslahi muhimu kwa nchi ila vyenye shinikizo la kutoka nje hapo kwa mzungu bado hatujachomoka chanjo hizo ndo vifo vya ghafla haviji kuisha. Msukuma Mungu akusaidie umeongea unaloweza kuongea kwa kifupi umenawa. Tanzania nani wa kuisemea nani wa kuiokoa na mikono ya mabeberu 😭😭
@immaknight4414
@immaknight4414 2 ай бұрын
Apooo kwenye chanzoo nomaa Sanaa ckupingi DR MSUKUMA 😂😂😂😂😂
@abdillahchikota4303
@abdillahchikota4303 2 ай бұрын
Dah Tanzania yangu
@sayunimkongwa9830
@sayunimkongwa9830 2 ай бұрын
Kweli msukuma chanzo zimezidi Sana.
@Manase_js
@Manase_js 2 ай бұрын
Pombe nyingine ni ambiance hiyo ni moto
@jukiboy7012
@jukiboy7012 2 ай бұрын
Iki ni kichwa dah 🙏🙏
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 2 ай бұрын
👏👏👏👏
@MahmoudMohamed-gx1fk
@MahmoudMohamed-gx1fk 2 ай бұрын
Dr janabi amefafanuw vzr watu wanofany kaz ngumu wale vp watu wa ofisin wale vp yani zikilizen vzr ufafanuzi wa daktari ,
@pascaldomel1551
@pascaldomel1551 Ай бұрын
Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 2 ай бұрын
Akili za Janabi changanya na zako
@user-vy9pz7sk4z
@user-vy9pz7sk4z 2 ай бұрын
Iliswara la vinywaji cyo la mzaa lifanyiwe kaz msukuma yuko vizur sana
@kazimoto-eq2th
@kazimoto-eq2th 2 ай бұрын
Ajawai kukosea msukuma baraa sana
@Juddy1017
@Juddy1017 Ай бұрын
Point
@JosephMpangala-wd5mp
@JosephMpangala-wd5mp Ай бұрын
Professors yupo sahihi kabisa kulingana na mzingila na kazi ya mtu anayofanya, Mimi nimojawapo ninayemfuatilia sana, msukuma nendapole.
@SsekiddetwahaTwaha
@SsekiddetwahaTwaha 2 ай бұрын
👍👍👍👍👍🔥🔥🔥
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 2 ай бұрын
Wasukuma huwa wanapointi nzuri
@user-cf3fe3cu8v
@user-cf3fe3cu8v 2 ай бұрын
Msukuma umetsha baba😂😂 hongera
@DevotaJulius-lp1mq
@DevotaJulius-lp1mq 20 күн бұрын
Msukuma nakukubali Sana. Ninakufutia tu
@emanuelnyab9872
@emanuelnyab9872 Ай бұрын
😊
@erastonyoka5021
@erastonyoka5021 Ай бұрын
Mweshimiwa msukuma hanaga mambo ya kupinfisha maneno yuko sahihi sana
@chrismkama4889
@chrismkama4889 2 ай бұрын
Nilichogundua Watanzania wengi tunachagua wabunge ilimradi.mliyopo kwenye jimbo la msukuma muandikieni notsi za lishe kwenye kimem chake cha bungeni.
@festokemibala5832
@festokemibala5832 2 ай бұрын
Ubaya wa kutokuwa na wasaidizi wa kushauri na kuchambua issues kwa ajili ya uwasilishaji!
@user-zi4hx4jf3o
@user-zi4hx4jf3o 2 ай бұрын
We nawe toka ulichogea ata akieleweki Msukuma anasema ukweli hili Taifa tunakula sumu nyingi sana tukidai tunaletewa protein kumbe sumu
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 2 ай бұрын
Sasa hapo hujaona alichoongea kina tija? Kwani kipi cha uongo?
@user-zi4hx4jf3o
@user-zi4hx4jf3o 2 ай бұрын
Wewe unamatatizo inamana umeona kuwa Msukuma kaogea utumbo
@alphamenson3784
@alphamenson3784 2 ай бұрын
Jamaa wanashindwa kuelewa Professor Janabi anachozungumzia ni issue ya mlo mmoja kwa siku, mlo unakuwa na aina zote za virutubisho yani ni mlo kamili. Hii ni moja ya tiba nzuri. Najua kuna watu wanajua zaidi yangu wanaweza kunisahihisha
@shukranisibale1739
@shukranisibale1739 2 ай бұрын
Uwezo watu wanao wa virutubisho
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
uko sawaa kabisa msukuma hajaenda shule yani anakuja kulalamika wakati hata usikute hali mlo kamili
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 2 ай бұрын
Msukuma unaakili sana kuliko hata hiyo mijamaa inayojiita wasomi uchwalwa
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 2 ай бұрын
Wivu tu eti wasomi uchara,kwani yeye ndio alikwambia uishie darasa la sita???😂
@leonardramiye8207
@leonardramiye8207 2 ай бұрын
Sema kweliii mp
@jeffreywilliams1171
@jeffreywilliams1171 2 ай бұрын
Hii point muhimu sana, mkiendelea kuwafingulia milango hao watu weupe huko kwa uchu natamaa za chapaa,kweli mtaisha mtakuwa mapunga mpaka mtu usiyetarajia,mpango wa hao watu ni kurithi rasilimali ambazo nyie mpaka leo hamzioni
@user-ff7hl3mh3h
@user-ff7hl3mh3h 2 ай бұрын
Chi gwaa na shingwaa mbona kichina,duuh watanzania tunamalizwa hivi hivi,chanjo daah😢😢
@OscaJonas
@OscaJonas 2 ай бұрын
Upo vzr mno
@mkakapower4022
@mkakapower4022 Ай бұрын
Uyu jamaa yuko vizuri sana.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 ай бұрын
TUZIKATAAE CHANJO JAMAANI. ULAYA WATU HAWALAXIMISHWI.
@ejkholdingscompany186
@ejkholdingscompany186 2 ай бұрын
Si kweli tena wanakufa
@maribaisack2097
@maribaisack2097 2 ай бұрын
Prof janab ni daktari by professional, wewe ni daktari wa heshima... heshimu shule za watu wewe mzee
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 2 ай бұрын
CCM KWA CCM MPINGANE WENYEWE. .BORA MSUKUMA.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
Wewe mwenyewe msukuma unasaratani ya ubongo, unajua kukosoa wengine yako huko vijijini yanakushinda,nguvu za mdomoni tu
@DM_15
@DM_15 2 ай бұрын
Darasa lasabu ndio linautashi kuliko digirii digirii kwenyefamiliazao wanavaa vichupi sebuleni nawatotowao halafu lasaba watoto niwatoto baba ni baba mama ni mama familia ya darasalasaba inajisitiri hakuna kubusiana baba na binti wala baba na kijana , njoohuku kwa wasomi baba ana must binti ye bilatatizo , naunga mkono darasa lasaba nangumbaluo hiz digirii hazina utashi
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
na kweli naona hata kuandika kuna kushinda rudi tena shule
@wilfredywilhelm1426
@wilfredywilhelm1426 Ай бұрын
In Bwege's voice! Haya sasa tufanye kuwa uchaguzi ujao mnaingia bungeni ninyi wenyewe! Hakuna upinzani! Mtaanza kushikana mashati ninyi wenyewe! Mara paap wamepitishana.... wapinzani walikua wanachelewesha maendeleo.... mwaka wa nne huu hapa... wapo wenyewe... maendeleo ndio kama mnavyoona nao wananyooshana kisawasawa.. Hapa msukuma kasema watu wanaona sawa. Lakn kama kungekua na upinzani halafu mpinzani akasema hili lugha ingekua ingine kabisaaaa
@b1vevo
@b1vevo Ай бұрын
Nahisi Hata Sumu tushakula na kunywa na hazikutuua kwa sababu tushakula Sumu nyingi mpaka zishakuwa Antibiotics 😂
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 ай бұрын
Pale mwerevu mjinga anapopambana kuonesha ujinga wake hadharani
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 2 ай бұрын
Wajinga hua hawaelewi wenye akili.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 2 ай бұрын
👏👏👏
@stineson2049
@stineson2049 2 ай бұрын
1
@KelvinNyanduli
@KelvinNyanduli 2 ай бұрын
Kak hongera xan
@MlimaSinai
@MlimaSinai Ай бұрын
Safii sana
@Hussein-cx3zt
@Hussein-cx3zt 2 ай бұрын
Sawa sawa sawa
@adamkilembwe.
@adamkilembwe. Ай бұрын
Kweli
@MastoMasto-iy4nl
@MastoMasto-iy4nl Ай бұрын
😢
@evancegidion9155
@evancegidion9155 Ай бұрын
Shida kubwa iko kwenye usumbufu wenu ninyi wanasiasa maana kila utafiti unapofanyika watu wanatumia vyeo vyao na utaalamu hamna kisa kimtu ni kiwaziri basi ni kuamlisha mambo tu ila mtajichumia laana kwa kutuangamiza wananchi kwa kuizinisha na kubariki mambo ya hovyo kuja kwa wananchi na kubishia majibu ya wataalamu mnayopewa na kutumia siasa kwenye mambo yanayohitaji utaalam kutumika
@MsetiPius
@MsetiPius Ай бұрын
Safi kiongozi huo ndio uwakilishi wengine wanaogopa kusema
@YohanaPetro-xv9tp
@YohanaPetro-xv9tp 2 ай бұрын
Tatizo Msukuma Chama Chako Ndo Tatzo yanaishia Apo Apo
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 ай бұрын
HAPO HAPO AKAE AWACHANE AKIWA UPINZANI HATOWEZA
@MikidadiMchawi
@MikidadiMchawi 2 ай бұрын
Safi msukuma
ALLY KAMWE: BALEKE ALIKUWA ANALISHWA MADAFU 😂
13:18
Millard Ayo
Рет қаралды 12 М.
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 26 МЛН