Hongera sana Mh Msukuma,msema kweli Mpenzi wa Mungu,big Mb
@euniestherwilliam15132 ай бұрын
Tanzania yangu. Profesa watamuelewa wenye ufahamu mkubwa. Ila kwa upande wangu nampongeza Prof Janabi kwa elimu kubwa aliyotupa.
@MsafilymsafilyChaless2 ай бұрын
Sema kiongoz wetu tuko pamoja,
@neemabright36352 ай бұрын
Safi sana Dr. Mm ni mwanafunzi wa SUA umenena vyema .... Wanaotufundisha wengi hawapractice n hawafahamu vizuri kinachoendelea mjini well..... Research is everything in a developing country well said....
@Chaser24972 ай бұрын
Mbunge Msukuma kaongea point ambazo ingefaa zichukuliwe kama zilivyo kwenye utekelezaji!!!! Hapo Kuna wasomi uchwara wanajua hayo ila sjuwi nani aliyewaloga😢😢
@user-sm4jq6hq1t2 ай бұрын
Huyu mtu ni darasa la Saba lakini anapointi zilozo sheheni nondo za kutosha
@mustaphahassan5892 ай бұрын
Mkiumwa mfateni msukuma awatibu
@Chaser24972 ай бұрын
@@mustaphahassan589 ukitaka kuuua mti kata mizizi sio kukata majan na kuacha mzizi..... Mf.ukipunguza wanga halaf ukala Nyama ya Kuku aliyekuzwa mwezi au wiki kipi bora
@SimbaM2kufu2 ай бұрын
This guy is very much on point. We need to be self-reliant. We can't just sit and wait for westerners to bring us their misleading research.
@ChoroTesla2 ай бұрын
wao ndo wanaogoza research kubwa kuubwa zpte duniani research ni investment do we invest au porojo? hakuna research za kukalili lazima uingie field na uinvest wenzetu wana invest
@Soon8152 ай бұрын
Well said
@SimbaM2kufu2 ай бұрын
@@ChoroTesla Rukia kusoma comment yangu. I didn't say we have invested in research, I said we need to.
@ChoroTesla2 ай бұрын
@@SimbaM2kufu i got you sasa msukuma anataka vitu vijiiibue ajue wenzetu wanashinda maaabara sie tunashinda tiktok na instagram mama anaupiga mwingi
@tolisso42872 ай бұрын
😂😂 we jamaa
@user-kk3fp2yq2dАй бұрын
Afathari na Nyinyi Watanzania mnavyakura vyakutosha kupambana nahizo pombe feck hapa kwetu Rwanda Kigali unakuta vijyana miaka kumu na Tano wanajikojorea sababu ya hizo pembe akinywa hata asipo kunywa Asante sana Msukuma
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
😂😂😂😂😂 Msukuma yuko sahihi saana kwa Wakulima na wafanya mazoezi chakula hakikai, ushawahi muona mchezaji wa Mpira Ana kitambi , ila wakiacha mazoezi waendelee na diet
@RamadhaniJitelani2 ай бұрын
Janabi hataki mazoezi unayoyasema wewe
@agnesjohn93822 ай бұрын
@@RamadhaniJitelanikwa hiyo anataka nini
@shakurfaithАй бұрын
Anataka kuolewa@@agnesjohn9382
@shabanramadhan76322 ай бұрын
Jamaa Yuko vizuri sana
@TheresiaAndrea-hv9dgАй бұрын
Msukuma anachosema yuko sawa kwa kiasi furani. matikiti maji yanayodungwa sindano na kuku wa wiki tatu ukila vinaadhiri mwili kwa kiasi gani?? I love you Msukuma you are so geneous.
@GibsonNtamamilo2 ай бұрын
Professor Janabi kaeleza vizuri, shule yake ni kwa wale wasiofanya mazoezi au wasiokuwa na kazi nzito wasile hovyo.
@ChoroTesla2 ай бұрын
ndo wabunge wetu hao... anakuja bila tafiti chanjo hiizi hua zinakuja kutokana na idadi ya ugonjwa kwenye records za hospitali zilivyo haziiibuki kuhusu bajeti punguzeni matumizi ya serikali uanzishe maaabara na nyie mlioko bungeni mnawashambulia wataaalamu.
@jahatvonline2 ай бұрын
Dr Janabi anazungumza tafiti yupo makini sana
@reynaaalrawahi4137Ай бұрын
Dokta yupo vizuri alichosema. 🎉🎉🎉
@dominickmahela1581Ай бұрын
Huyu jamaa leo ndo kaongea pumba tu pengine anaangaliaga meme kuhusu Janabi na hajawahi kumsikiliza😂
@phakundigervas1360Ай бұрын
Kwa Mbunge huyo kila asichokipenda YEYE ni Suomi fake lakini ni mjinga wa bangi believe it.
@b1vevoАй бұрын
The leader he know how to protect the citizens, thanks Dr. msukuma
@mussakimaro55882 ай бұрын
Hii tanzania tunaweza letewa sumu na tusijue tukala na TBS ndo imepitisha tule
@misangasaidih87642 ай бұрын
Kabisaaa
@simasima80842 ай бұрын
Sbb yy ni pr..
@mussakimaro55882 ай бұрын
@@simasima8084 hasa hizi matirial ya vinywaji vikali ni hatari sana waliambiwa tuipitishe gongo bungeni ili ipikwe kiasili zaidi nadhani tungekunwa vitu original sana tusingeugua mafigo na maini tungekula vitu vya asili kabisa
@mussakimaro55882 ай бұрын
@@misangasaidih8764 Gongo haram sumu zinazotoka nje halali na TBS wanapitisha wanakwambia hii imepimwa hii nchi tunauwana wenyewe kwa wenyewe
@ChoroTesla2 ай бұрын
sio tanzania ni Tanzania
@masoudabdi60762 ай бұрын
Mungu akupe maisha Msukkuma... Hawa viongozi ni shidaa sanaaa....hatuna kiongozi anaetetea Maisha ya Mtanzania
@bakarishabani55382 ай бұрын
Kweli msukuma kuna baadhi ya mambo hayahitaji ufike hata chuo.sijui kwanini hatuwezi kutumia akili.Watoa maamuzi mtusaidie.
@martinisadru98992 ай бұрын
Mbona professor janabi anasaidia watu wengi sana, kupitia mitandao,, naomba mwacheni mzee wetu afanye kazi kuelimisha, na kuboresha afya za watanzania. Msimtengenezee kinyongo,,, serikali inapaswa kuwapa kipaumbele watu kama professor janabi. Na sio kwenda tofauti nao.
@samsonhamery38092 ай бұрын
Hujamwelewa mbunge msukuma je wewe unakula kijiko kimoja kama mlo wako wa siku?
@martinisadru98992 ай бұрын
@@samsonhamery3809 kwani dr alisema watu wale kijiko kimoja.
@ramadhanijuma41302 ай бұрын
Ukiwa hujaelewa ni vema ukanyamaza au ukaomba kueleweshwa.
@fatmaallyabdul17322 ай бұрын
Tatizo letu huwa tunapenda kuleta negativity kwenye ukweli,ni kwa vile tumetofautiana miili yetu mwingine hata ale vipi hanenepi ,mbunge hapo aametoa mfano wa mtu anayefanya kazi ngumu what about Mimi ninaeshinda ofisini??Mimi Niko pamoja na professor Janabi katika hili kwa mustakbari wa afya yangu,sina muda/nafasi ya kufanya mazoezi basi acha nifuate kanuni za ulaji bora
@farajachiwile73882 ай бұрын
Ila ni kweli ukipungua wakati wa ujana, utateseka uzeeni. Mtu akifika miaka 50 anapungua muscle na mwili unalegea. Unabaki mifupa.
@hezekiamtera35592 ай бұрын
Wabunge zungumzie bima ya afya kupitia mashuleni.Vigezo vilivyowekwa havitekelezeki.Wanafunzi wengi wana bima kupitia wazazi wao ambao ni waajiriwa.Idadi iliyowekwa haitekelezeki
@faustinombilinyi98092 ай бұрын
Hongera mh msukuma na Esther Leo mmeonggeea. Kitu chamaa maana sn kweli kunnatatizo mahala kweny vinywaji. Hivi vipo vvya ovyo vingi. Viina itwa. Smart gynni vinyywajji. Gani hivvii. Ni. Ovyo kwa kkweli
@TellaaxisTz24 күн бұрын
Noma sana❤ #tellaaxistz
@michaelmoro48012 ай бұрын
Niko pamoja na wewe mkuu wangu umesema kweli kabisa Mungu Akubariki
@user-tv8ub4fk5i2 ай бұрын
Namuelewa sana my msukuma anasema anaeishi korogwe ni kweli kabisa amewahi kuniuzia viatu,naomba Bunge limlinde na kumtunza ana maoni ya mbali atatufikisha pazuri speed nafasi zaidi
@alexdukes55472 ай бұрын
Msukuma hajuwi kumbe hii nchi inaongozwa Kwa wahisani,mmoja tu aliekataa huu upuuzi wa kufanyiwa majaribio,laeo hii hayupo tumebaki kama mbayu mbayu,janabi anatufundisha vizuri,ukitaka kuchagua tunza hela uje uzitumie kwenye matibabu au tunza Afya uje utumie afya yako vizuri...chagua we mwenyewe.
@elifariji2 ай бұрын
Da! Kweli "Bunge" halina mipaka. Hata Professor Janabi mwamsasambua? Hapana!! No! No! No. Nitafurahi Sana nikisikia mumemuomba radhi. Yaani "Wabunge" mnahitaji Sana elimu ya Dr Janabi maana mnashinda mmekaa na %kubwa mna vitamin vya kutisha. Ingekua Bora Sana Kama mngemkaribisha akawapiga darasa siku moja
@aairraahseif56482 ай бұрын
Hili jinga linatumia kipaza sauti vibaya kutukana wenye taaluma zao!haifikii hata nukta alichokisomea profesa janabi!amuombe radhi hadhi ya janabi haifii hata kwa ukucha!Toka apewe udaktari wa funza chooni basi amekua namadharau sana bungeni Lenyewe halikwenda shule sasa linataka na wengine waonekane wajinga kama yeye! Nashangaa sana kila likiongea nikuwashusha wengine utadhani yeye kafanya la maana huko jimboni kwake madudu matupu!limekuwa natabia likifika bungeni kukosoa wengine
@HalimaJuma-hz4qeАй бұрын
Hahahha akakufundishe nyumbani kwako sie tunajua
@johndeogratias8099Ай бұрын
Ukiwa na kichwa kigumu huwezi elewa kamwe alichosema msukuma
@JosephMpangala-wd5mpАй бұрын
Nikweli ukosahihi.
@innocentyusuph77622 ай бұрын
Hongera mh, Msukuma
@MojamojaMojamoja-lw2ph2 ай бұрын
Ni kweli hatiwezi kula kijiko kimoja ugali kutwa mara 3 janabi tusamee😂
@patricksebastian35932 ай бұрын
Doctor Msukuma nakubari sana kazi yako
@aairraahseif56482 ай бұрын
Kazi gani ameifanya ikaonekana na kusifiwa? tuambie nasi tumsifie
@TimotheoPeter-pr3ve2 ай бұрын
Nice speach
@rosehaule67652 ай бұрын
Ee yesu yasn msukuma umeongea mnoo mpaka nimelia uwiii😢😢safi.mnoo sijui itafatiliwa jamani
@StephenMelkizedeki-pn3usАй бұрын
Dh
@EzekiaMichael-jn5np2 ай бұрын
Janabi ni mtu ganii Kwa mjomba Sasa nimemjua Mungu akupe maisha maref Janabi tundu la sindano
@geofreykayombo401Ай бұрын
Musukuma yupo vizuri sana,kweli bhana south africa hawana hata haya machanjo,mama akitoka hospitali imetoka hiyo,ukirudi ni checking za kawaida
@juliusmartin18392 ай бұрын
Upo sahihi Pro. Janabi sijamwelewa
@ladislausmoris96382 ай бұрын
Swala la chanjo hapo mr pm mungu akubariki sana endelea kuwa muwaz na kusema bila kigugumiz maana hali n mby saanaaaa tunaumia
@ndarujames30362 ай бұрын
Bigbrain Broo msukuma
@mohamedimiraji5495Ай бұрын
Excellent argument
@saidabdallah26492 ай бұрын
😂😂aisehh sio lazima usome sana kikubwa nikujiuliza kabla ya kusema kitu jamaa anajua sana huyu
@RechoMasunga-rp9drАй бұрын
Msukuma wewe ni jembe nakuombea mungu akubariki Sana
@EmmanuelMlawa-ee3oq2 ай бұрын
Akuna Cha pointi uchaguzi umekaribia
@AbdillahiNdashwa11Ай бұрын
Allah akujalie inshallah
@hamidafundi-pw1gwАй бұрын
Hakuna kizuri mpaka mwisho wala kibaya mpaka mwisho. Mwerevu ni yule anayetambuwa uzuri kwenye kibaya pia kutambuwa ubaya kwenye kizuri. Akili ya kuambiwa, changanya na ya kwako.
@user-np4om6hz4m2 ай бұрын
Huyu mbunge elimu yake ndogo lakini anamaarifa makubwa sana
@aairraahseif56482 ай бұрын
Maarifa yake hayo umeyaona wapi? Nioneshe kitu alicho kifanya ili nikusaidie kumsifia
@KahambasDaughterTherock2 ай бұрын
chanjo kweli zimezidi😂😂😂Msukuma bwana😂😂
@JumanneKasuwiАй бұрын
Point sana
@jemaidamdengede9697Ай бұрын
Well said
@nyangiboboazi31882 ай бұрын
Msukuma una akili sna wew na unastahili kua Doctor
@aairraahseif56482 ай бұрын
Hujui kama alipewa medali ya doctor wa funza chooni?
@JonasPhilimon2 ай бұрын
Wanauza bar ndio uwezaji wamaprofessa
@GSaleh-xr3vn2 ай бұрын
Dhana tulijengewa waafrika ni kila cha mzungu ni bora
@NeemaSamson-ti8pc2 ай бұрын
Kabisa upo sahihi na hicho ndio kinachotumaliza
@ChoroTesla2 ай бұрын
wao ndo wanaongoza kwa tafiti kubwa duniani huwez wapinga km jnapinga uje na facts
@GSaleh-xr3vn2 ай бұрын
Nimekuelewa maana Hata ushoga na usagaji wameufanyia utafiti na kugundua kua hauna madhara @@ChoroTesla
@NeemaSamson-ti8pc2 ай бұрын
@@ChoroTesla kama wao wanaongoza kwa tafiti duniani kwanini na sisi tusijifunze kuwa watafiti? Tunasubiri tu wao wafanye utafiti sisi ni kupokea tu
@ChoroTesla2 ай бұрын
@@NeemaSamson-ti8pc ume invest?
@thabititv3783Ай бұрын
Msukuma da!! eti sipingani nae dada angu kwakuwa yeye ni mteja wa hvyo vitu
@DansonMtambi-fq2ffАй бұрын
Hongera sanaa musukuma
@hemedallyabdallah133Ай бұрын
Kaka uko juu Mi nakuelewa hongera sana
@LatwifSuedАй бұрын
Kwakweli msukuma uko vizuri, sana sana, ninatamani nikuone nikae na wewe angalau wiki moja, .kwakweli mungu akulipe.
@user-fi6sh5qd2p2 ай бұрын
Akılı kubwa sana
@danielndilili7525Ай бұрын
Au bass msukuma njoo nikupe ng'ombe make unanigusaga kwakwel
@African5112 ай бұрын
Alooooo msukuma umegonga kwenye mshono,hahahhaaa aloooooo❤❤❤
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Allah jaalia kila mwenye majungu allah amtie nguvu
@abudulingasa6413Ай бұрын
Mungu akupe miaka ming dunian uwatumikie wana nchi
@brotherbenetyАй бұрын
Msukuma noma sana😂😂
@user-gw8wv2zf2g2 ай бұрын
Bunge ni mara chache sana kusimamia vitu vyenye maslahi muhimu kwa nchi ila vyenye shinikizo la kutoka nje hapo kwa mzungu bado hatujachomoka chanjo hizo ndo vifo vya ghafla haviji kuisha. Msukuma Mungu akusaidie umeongea unaloweza kuongea kwa kifupi umenawa. Tanzania nani wa kuisemea nani wa kuiokoa na mikono ya mabeberu 😭😭
@immaknight44142 ай бұрын
Apooo kwenye chanzoo nomaa Sanaa ckupingi DR MSUKUMA 😂😂😂😂😂
@abdillahchikota43032 ай бұрын
Dah Tanzania yangu
@sayunimkongwa98302 ай бұрын
Kweli msukuma chanzo zimezidi Sana.
@Manase_js2 ай бұрын
Pombe nyingine ni ambiance hiyo ni moto
@jukiboy70122 ай бұрын
Iki ni kichwa dah 🙏🙏
@mmassyferguson49592 ай бұрын
👏👏👏👏
@MahmoudMohamed-gx1fk2 ай бұрын
Dr janabi amefafanuw vzr watu wanofany kaz ngumu wale vp watu wa ofisin wale vp yani zikilizen vzr ufafanuzi wa daktari ,
@pascaldomel1551Ай бұрын
Mzee unasema kweli,nani kasema msukuma siyo msomi.Mimi naona msukuma anasema ukweli wote ambao sasahivi Tz tumekuwa kama pango la kuletewa chanjo za kila aina.Kama nchi tusipoangali tunaweza kumalizwa na hawa wenzetu kutoka magharib,kwani kumekuwa na magonjwa ya kila aina,mengine hayana majina kumbe ni kwa sababu ya vyakula na chanjo zisizo thibitishwa na wataalamu wetu.
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg2 ай бұрын
Akili za Janabi changanya na zako
@user-vy9pz7sk4z2 ай бұрын
Iliswara la vinywaji cyo la mzaa lifanyiwe kaz msukuma yuko vizur sana
@kazimoto-eq2th2 ай бұрын
Ajawai kukosea msukuma baraa sana
@Juddy1017Ай бұрын
Point
@JosephMpangala-wd5mpАй бұрын
Professors yupo sahihi kabisa kulingana na mzingila na kazi ya mtu anayofanya, Mimi nimojawapo ninayemfuatilia sana, msukuma nendapole.
@SsekiddetwahaTwaha2 ай бұрын
👍👍👍👍👍🔥🔥🔥
@michaelndilima62102 ай бұрын
Wasukuma huwa wanapointi nzuri
@user-cf3fe3cu8v2 ай бұрын
Msukuma umetsha baba😂😂 hongera
@DevotaJulius-lp1mq20 күн бұрын
Msukuma nakukubali Sana. Ninakufutia tu
@emanuelnyab9872Ай бұрын
😊
@erastonyoka5021Ай бұрын
Mweshimiwa msukuma hanaga mambo ya kupinfisha maneno yuko sahihi sana
@chrismkama48892 ай бұрын
Nilichogundua Watanzania wengi tunachagua wabunge ilimradi.mliyopo kwenye jimbo la msukuma muandikieni notsi za lishe kwenye kimem chake cha bungeni.
@festokemibala58322 ай бұрын
Ubaya wa kutokuwa na wasaidizi wa kushauri na kuchambua issues kwa ajili ya uwasilishaji!
@user-zi4hx4jf3o2 ай бұрын
We nawe toka ulichogea ata akieleweki Msukuma anasema ukweli hili Taifa tunakula sumu nyingi sana tukidai tunaletewa protein kumbe sumu
@frankkajoba83722 ай бұрын
Sasa hapo hujaona alichoongea kina tija? Kwani kipi cha uongo?
@user-zi4hx4jf3o2 ай бұрын
Wewe unamatatizo inamana umeona kuwa Msukuma kaogea utumbo
@alphamenson37842 ай бұрын
Jamaa wanashindwa kuelewa Professor Janabi anachozungumzia ni issue ya mlo mmoja kwa siku, mlo unakuwa na aina zote za virutubisho yani ni mlo kamili. Hii ni moja ya tiba nzuri. Najua kuna watu wanajua zaidi yangu wanaweza kunisahihisha
@shukranisibale17392 ай бұрын
Uwezo watu wanao wa virutubisho
@ChoroTesla2 ай бұрын
uko sawaa kabisa msukuma hajaenda shule yani anakuja kulalamika wakati hata usikute hali mlo kamili
@TitoRufizi-xb2ub2 ай бұрын
Msukuma unaakili sana kuliko hata hiyo mijamaa inayojiita wasomi uchwalwa
@fatmaallyabdul17322 ай бұрын
Wivu tu eti wasomi uchara,kwani yeye ndio alikwambia uishie darasa la sita???😂
@leonardramiye82072 ай бұрын
Sema kweliii mp
@jeffreywilliams11712 ай бұрын
Hii point muhimu sana, mkiendelea kuwafingulia milango hao watu weupe huko kwa uchu natamaa za chapaa,kweli mtaisha mtakuwa mapunga mpaka mtu usiyetarajia,mpango wa hao watu ni kurithi rasilimali ambazo nyie mpaka leo hamzioni
@user-ff7hl3mh3h2 ай бұрын
Chi gwaa na shingwaa mbona kichina,duuh watanzania tunamalizwa hivi hivi,chanjo daah😢😢
@OscaJonas2 ай бұрын
Upo vzr mno
@mkakapower4022Ай бұрын
Uyu jamaa yuko vizuri sana.
@valenakomba76862 ай бұрын
TUZIKATAAE CHANJO JAMAANI. ULAYA WATU HAWALAXIMISHWI.
@ejkholdingscompany1862 ай бұрын
Si kweli tena wanakufa
@maribaisack20972 ай бұрын
Prof janab ni daktari by professional, wewe ni daktari wa heshima... heshimu shule za watu wewe mzee
@luganomwaigomole74412 ай бұрын
CCM KWA CCM MPINGANE WENYEWE. .BORA MSUKUMA.
@aairraahseif56482 ай бұрын
Wewe mwenyewe msukuma unasaratani ya ubongo, unajua kukosoa wengine yako huko vijijini yanakushinda,nguvu za mdomoni tu
@DM_152 ай бұрын
Darasa lasabu ndio linautashi kuliko digirii digirii kwenyefamiliazao wanavaa vichupi sebuleni nawatotowao halafu lasaba watoto niwatoto baba ni baba mama ni mama familia ya darasalasaba inajisitiri hakuna kubusiana baba na binti wala baba na kijana , njoohuku kwa wasomi baba ana must binti ye bilatatizo , naunga mkono darasa lasaba nangumbaluo hiz digirii hazina utashi
@ChoroTesla2 ай бұрын
na kweli naona hata kuandika kuna kushinda rudi tena shule
@wilfredywilhelm1426Ай бұрын
In Bwege's voice! Haya sasa tufanye kuwa uchaguzi ujao mnaingia bungeni ninyi wenyewe! Hakuna upinzani! Mtaanza kushikana mashati ninyi wenyewe! Mara paap wamepitishana.... wapinzani walikua wanachelewesha maendeleo.... mwaka wa nne huu hapa... wapo wenyewe... maendeleo ndio kama mnavyoona nao wananyooshana kisawasawa.. Hapa msukuma kasema watu wanaona sawa. Lakn kama kungekua na upinzani halafu mpinzani akasema hili lugha ingekua ingine kabisaaaa
@b1vevoАй бұрын
Nahisi Hata Sumu tushakula na kunywa na hazikutuua kwa sababu tushakula Sumu nyingi mpaka zishakuwa Antibiotics 😂
@ChoroTesla2 ай бұрын
Pale mwerevu mjinga anapopambana kuonesha ujinga wake hadharani
@SimbaM2kufu2 ай бұрын
Wajinga hua hawaelewi wenye akili.
@aairraahseif56482 ай бұрын
👏👏👏
@stineson20492 ай бұрын
1
@KelvinNyanduli2 ай бұрын
Kak hongera xan
@MlimaSinaiАй бұрын
Safii sana
@Hussein-cx3zt2 ай бұрын
Sawa sawa sawa
@adamkilembwe.Ай бұрын
Kweli
@MastoMasto-iy4nlАй бұрын
😢
@evancegidion9155Ай бұрын
Shida kubwa iko kwenye usumbufu wenu ninyi wanasiasa maana kila utafiti unapofanyika watu wanatumia vyeo vyao na utaalamu hamna kisa kimtu ni kiwaziri basi ni kuamlisha mambo tu ila mtajichumia laana kwa kutuangamiza wananchi kwa kuizinisha na kubariki mambo ya hovyo kuja kwa wananchi na kubishia majibu ya wataalamu mnayopewa na kutumia siasa kwenye mambo yanayohitaji utaalam kutumika
@MsetiPiusАй бұрын
Safi kiongozi huo ndio uwakilishi wengine wanaogopa kusema
@YohanaPetro-xv9tp2 ай бұрын
Tatizo Msukuma Chama Chako Ndo Tatzo yanaishia Apo Apo