HASHIMU RUNGWE 'Mzee wa Ubwabwa' aingilia Uteuzi wa RAIS SAMIA, "hatukulaumu wewe huwajui hao CCM

  Рет қаралды 7,253

MwanaHALISI TV

MwanaHALISI TV

24 күн бұрын

HASHIMU RUNGWE 'Mzee wa Ubwabwa' aingilia Uteuzi wa RAIS SAMIA, "hatukulaumu wewe huwajui hao CCM
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Пікірлер: 16
@StephanoMbwambo
@StephanoMbwambo 19 күн бұрын
asante sana mzee wetu hashimu bora na wewe umewaona hawa wezi wakitanzania.
@gerevasliyunga9831
@gerevasliyunga9831 22 күн бұрын
Hekima nyingi sana kwa Mzee Rungwe
@StephanoMbwambo
@StephanoMbwambo 19 күн бұрын
na wanafanya hivyo ili kutukomoa sisi wananchi wa hali za chini. lakini mungu atawaona na kuwatembelea wakati wowote wasioujua wao. waendelee tu kutukomoa sisi wananchi kiasi hicho.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 22 күн бұрын
Kwa Sababu alifanya uchawa. Ukifanya uchawa tu umeisha pata kuteuliwa tayari. Na hizo pesa wanakopa wakikopa wanakuja kugawana ili waweze kuteuluwa na wakubwa wanahonga ili wawezeshe kupata kuiba kura mwaka kesho.
@hemedmselem4889
@hemedmselem4889 22 күн бұрын
Sijamuelewa kabisa
@issamangapi5486
@issamangapi5486 20 күн бұрын
Akili kubwa
@knight6757
@knight6757 22 күн бұрын
" KILA MTU ALE NA UREFU WA KAMBA YAKE "
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 22 күн бұрын
Wananchi wanabanwa na kodi kwa sababu mipango inayotumia bajeti siyo shirikishi na haiibuliwi na wafaidika wa mipango hiyo.Mipango inaibuliwa na serkali na bajeti ni ya serkali.Wananchi bajeti yao na mipango yao inatofautiana na ya serkali.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 22 күн бұрын
Watawala wa CCM ni laana tu siku moja watakuja kujuta kweli. CCM siyo kuwa wamechoka bali wanajuwa wanatawala wajinga. Kwahiyo wanatufanyia sisi wajinga. Na vijana qetu wamekubalikywa wachawa wa CCM na CCM watawakomesha kama hawajifahamu unadhani nani atawahurumia wakati huyo anayekuhumiza unamusifia?
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 22 күн бұрын
Hiyo ndiyo kauli mbiu aliyo aliyesema Mama kila mtu ale urefu wa kamba yake na kuwajaza watu mapesa mifukoni Mungu atatoa jibu tu
@JosefuSwai
@JosefuSwai 22 күн бұрын
Iko wazi baba
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 22 күн бұрын
Mzee wa Ubwabwa kazi unayo
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 22 күн бұрын
Mama yao amewambia wale kwa urefu wa kamba yao. Na sijui kwa ninyi waacha kugoma kabla hata hawajapunguza. Sasa hivi hali ni mbaya zaidi kuliko Ukoloni
@judicalosika7642
@judicalosika7642 17 күн бұрын
Hebu niambie ukoloni maisha yalikuwa tight sana!!!
@Mkemia..Kirigiti
@Mkemia..Kirigiti 18 күн бұрын
😆😆ki ukweli huyu mzee napendaga sana kusikiliza interview zake, eti wewe vipiii..😅
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 15 МЛН
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 491 М.
TOZO ZAMUIBUA HASHIMU RUNGWE/AMPA NENO ZITO MWIGULU
8:38
MwanaHALISI TV
Рет қаралды 44 М.
UCHAGUZI 2025 UMEANZA KUJADILIWA JESHI LA WANANCHI TZ.
27:34
huduma ya kristo
Рет қаралды 13 М.
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН