MAKONDA AKASIRIKA-"MWEKAHAZINA NI NINAOMBA UNIAMBIE BILIONI 4 Za MRADI Ziko WAPI NAWAPIGA SPANA"

  Рет қаралды 34,607

Wasafi Media

Wasafi Media

Ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 72
@dubariz_mic_killa
@dubariz_mic_killa Ай бұрын
Mji wa Arusha umepata mganga wake wagonjwa wapo kibaaao,Mungu amlinde kwenye utatuzi wa kero za wananch wake Makonda ni mwamba❤❤❤❤❤🇹🇿🎤
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
Makonda be blessed,wakuu wa mikoa mingine waige mfano wa makonda,
@Ericomtz5
@Ericomtz5 27 күн бұрын
huyu jamaa anahofu ya Mungu ameisha nusurika kifo kutoka kwa watu wasiyo wema
@CikeTanzania
@CikeTanzania Ай бұрын
Yaan Makonda utanimalizia pesa muda wote natamani nikuckilize
@BuruhaniKitomozi-gb7fb
@BuruhaniKitomozi-gb7fb Ай бұрын
Asee mimi ni wakwanza mwenyewe kanimalizianyingisana kilamuda niponaenafyatilia
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 Ай бұрын
Hata mimi sijui nifanyeje maana nashindwa kujizuia
@laurian27
@laurian27 Ай бұрын
Nimeingia mkataba na mwarabh mmoja jirani mwisho wa mwez namlipa elfu 28 kwaajil ya WI-FI, kisa makonda ayseee daaaah?!
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Ай бұрын
Hata mimi bando langu linaishia kwake.
@babalevinerlameki5425
@babalevinerlameki5425 Ай бұрын
Makonda the future president from god, makonda I see you fare we are waiting you one day
@faustinaurio3703
@faustinaurio3703 Ай бұрын
Me too 🤲🙏
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Akiwa rais hataweza haya Watendaji watamuangusha
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Ай бұрын
Huyu anatakiwa aende kwenye majiji yote Kwanza
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 Ай бұрын
Muongo huyo hawakuombei, sisi wa hali ya chini ndio tunakuombea makonda wetu
@sosmakanya4901
@sosmakanya4901 Ай бұрын
RAIS NAKUOMBA MAKONDA AWE MKUU WA MIKOA YOTE YA TANZANIA ILI AWEZE KUKUSAIDIA KAZI
@ernestaassenga9646
@ernestaassenga9646 Ай бұрын
Mh,Mama Samia Raisi wetu umetishaaa!! Tutafutie makonda wengine kama huyu mama plse
@EmanuelMinja-fv9dn
@EmanuelMinja-fv9dn Ай бұрын
Tunakuomba makonda wew ni role model wa magufuli usiwe chawa wa yeyote
@jbdedon
@jbdedon Ай бұрын
Wasafi bana kila mnachokiandika sicho kinachozungumzwa daaah mnaboa
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa Ай бұрын
Yaan hawa wana asiri ya kaumbea mbea tu
@Mpendahaki
@Mpendahaki Ай бұрын
Huyu rais makonda anachapa kazi vizuri sana
@furahinimbise7969
@furahinimbise7969 Ай бұрын
Makonda unanimalizia bando👏👏
@estermpare4078
@estermpare4078 10 күн бұрын
Daah yaani makonda utanimalizia bando langu kila nikiingia youtube nikiona tu hotuba yakoo hata ya miaka 2 lzm niangaaliiee😂🎉🎉
@Damian-tt8fv
@Damian-tt8fv Ай бұрын
Wote wanaohusika kuanzia Mkurugenzi na wa chini yake wachukuliwe hatua akili zao zimeganda zimedumaa haziwezi kuchakata mambo. Wanapwaya kwenye nafasi zao wakachunge ng'ombe
@bizzyjunior_tz
@bizzyjunior_tz Ай бұрын
🌟🌟🌟
@ipepeetube449
@ipepeetube449 Ай бұрын
Njoo Nyamongo utusaidie tukwisha kaka tarime
@jacobletema3681
@jacobletema3681 Ай бұрын
Mh. Makonda tunaomba utuazime na sisi hizo spana huku kwetu kwa angalau wiki mbili
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Ай бұрын
Wapigaji hao nakumbuka magufuli wetu arkuwa haxhereweshi
@JosephMargareth
@JosephMargareth Ай бұрын
Spana, Spana, naona Ndita kwenye nyuso!
@mohamedali7544
@mohamedali7544 Ай бұрын
Hela iko fix deposit wanakula
@lilianmosha-ph3mp
@lilianmosha-ph3mp Ай бұрын
Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia
@selinakatega6691
@selinakatega6691 Ай бұрын
Niko napanga mabegi apa niende zangu arusha Uko ela ipo jamani 😂😂
@irenembise541
@irenembise541 Ай бұрын
😃😃 karibu
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅sawa mm nyuma❤❤❤❤
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala Ай бұрын
Mm nabeba na godoro😂😂😂😂😂😂😂
@DeboraNyari
@DeboraNyari Ай бұрын
Mtego una andaliwa
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 Ай бұрын
Dhu pitia na vyeti vyao mkuu
@user-ij2lp1om6i
@user-ij2lp1om6i Ай бұрын
Huyu awe waziri mkuu hata kwa miezi mi3
@mohamedali7544
@mohamedali7544 Ай бұрын
Hawa wanahujumu chamaa cha CCM mjini Arusha
@EmanuelMinja-fv9dn
@EmanuelMinja-fv9dn Ай бұрын
Makonda Kuna waliosoma huku mtaan achana hao wababaishaji
@kelvinmboya5846
@kelvinmboya5846 Ай бұрын
😢😢
@rajabmwasangala5472
@rajabmwasangala5472 Ай бұрын
Walio wengi wana chukina hao ndio wezi wakubwa wa Nchi hii,na hawawezi wakampenda Makonda na ndio maana wanamtafutia kila chanzo ili wamg'oe sehemu hiyo ya Mkuu wa Mkoa, nawaomba wana Arusha msikubali kuipoteza baati hiyo.
@mybrain8940
@mybrain8940 Ай бұрын
Shida ya sabaya ni mafujo but good central forward 😂😂
@RafaelNelson-ye3jk
@RafaelNelson-ye3jk Ай бұрын
Hizo bila Makonda zingepigwa
@mohamedali7544
@mohamedali7544 Ай бұрын
Wanaweka fix deposit wakila interest
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 Ай бұрын
Mheshimiwa makonda nakwambia ondoeni wote ajirini wengine Kuna wasomomi wengine jamani wapeni na wototo wetu hao wamwsharidhika
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 Ай бұрын
😂😂😂😂....Nimecheka hapo kwenye maombi😂😂😂😂
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa Ай бұрын
Apooo moyoni wanajua waoo na mungu wao!
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 Ай бұрын
Dhu pitia na vyeti vyao vipo sawa kwanza wengine wamezeeka anagalia mkuu kagua hivyo vyeti jamani
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h Ай бұрын
Asituchanganye. Ndiyo maana kila mwaka wa serikali kuna Budget yake. Kama pesa ipo kwa nini kazi isifanyike?
@fulgenceoswald3866
@fulgenceoswald3866 Ай бұрын
Kuna mda hata hao wakuu wa Wilaya wanazingua Mama Samia tumbua hawa wapo kwenye mamlaka yako
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 Ай бұрын
Hela hizo mkuu, huwa wanaziweka fiksi akaunti zinazalishwa kisha faida wanachukuwa wao pumbavu hawa.
@FedyKafyulilo-iz2nw
@FedyKafyulilo-iz2nw Ай бұрын
Cku hizi bando anakula makonda hasa zangu maana cwez lala bila kumfuatilia
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 Ай бұрын
Ni hatari
@eleonorashirima1604
@eleonorashirima1604 Ай бұрын
Hawa watu wanapeana kijiti Kwa mtu aliyesoma hawezi kufanya hayo madudu
@SofiaMvungi-zu5tg
@SofiaMvungi-zu5tg Ай бұрын
Watumishi wenye roho mbaya wanakalia pesa kisa uzembe tu kujichubua tu hata sura haing,ai
@Doki_media
@Doki_media Ай бұрын
NANI KASIKIA WATUKOPESHE 😂😂😂
@yothamgwanika9530
@yothamgwanika9530 Ай бұрын
Kuna ubaya wengine kuigaaa hivi. Et wakuu wa mikoa
@baishibybaishi5782
@baishibybaishi5782 Ай бұрын
Mshimiwa raisi nakuomba ikikupedeza mchague makonda awe mkuu wamiko ya Tanzania yote Huku chini kunamadudu megi sana
@WilsonOmbati-jc6ll
@WilsonOmbati-jc6ll Ай бұрын
Tunataka mtu kama uyo Kenya
@josphatnduati7868
@josphatnduati7868 Ай бұрын
makonda siku moja awe raisi wa watazania.
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 Ай бұрын
😅😅😅😅ilo dua siyo mkuu 😂
@godfreymasanja354
@godfreymasanja354 Ай бұрын
Haya ni matatizo ya halmashauri zote janjajanja nyingi
@saadatiyahyashabani-yg2xy
@saadatiyahyashabani-yg2xy Ай бұрын
Muwekeni sabaya awe mkuu wa wilaya
@Happizo
@Happizo Ай бұрын
😢Arusha inanuka rushwa na ni jiji la kitalii..
@josephatemmanuel458
@josephatemmanuel458 Ай бұрын
Walikuwa wajiandaa kuzipiga
@gracemima5234
@gracemima5234 Ай бұрын
Wapigaji na wala rushwa wameiteka Arusha.
@user-fu3hn1ms2j
@user-fu3hn1ms2j Ай бұрын
Lakini nani anawateuwa Hawa watu
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 Ай бұрын
Bro Kila mtu ale Kwa urefu WA kamba Yake huko juu tunaliwa vibaya pia Samia anaweka pesa nje yote Bandar imetolewa
@lilianmosha-ph3mp
@lilianmosha-ph3mp Ай бұрын
Makonda anafaa kuwa raisi anawanyoosha mafisad
@raymondmbassa1247
@raymondmbassa1247 Ай бұрын
😅😅😅😅😅
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Ай бұрын
Wajinga wengi wako kundi la wasomi
@eliasinnocent6229
@eliasinnocent6229 Ай бұрын
Hiv kweli jaman mbn sisi tukiwa tunatoa Hela zetu za Kodi hawasikilizi kelo tukavumiliwa iweje wao Hela zetu ziwe na changamoto za kimfumo
@lilianmosha-ph3mp
@lilianmosha-ph3mp Ай бұрын
Huyu no mtetez was wanyonge Sina chakukupa Ila nakuombea Manisha marefu uzid kutusaidia
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 51 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 176 МЛН
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 61 МЛН
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 39 МЛН
MAKONDA AWATUMBUA WATUMISHI WA JIJI LA ARUSHA WAJIKOROGA
33:34
ToRung short film: the robber pretended to be a statue😬
0:30
😱ВСЕМ БЫ ТАКИЕ СТАЛЬНЫЕ НЕРВЫ
0:18
MEXANIK_CHANNEL
Рет қаралды 10 МЛН
He understood the assignment 💯 slide with caution x2
0:20
Carlwinz_Official
Рет қаралды 28 МЛН
The thieves pulled a prank on the Policeman ! 😬👮🤣
0:38
BOGDANCHIKI
Рет қаралды 9 МЛН