MWIJAKU KWA UNYONGE AMWOMBA MSAMAHA MASOUD KIPANYA/NILIYO YAONGEA NI UWONGO NAOMBA ANISAMEHE #MWIJAKU #MWIJAKUMASOUDKIPANYA #MASOUDKIPANYA #MWIJAKUMSAMAHA #MSAMAHAMASOUDKIPANYA #carrymastorytv
Пікірлер: 42
@OnlyRuky28 күн бұрын
Safi Saan KP otherwise sheria ichukuwe.. mkondo wake nilishangaa saana why amekuchafua vile for no reason. Tena usimchekee hata kidogo wala usiruhusu akusogelee hata kwa bahati mbaya na kukuzoee km alivyo zoweya wengineee...Ahahhahahah umejua kunifurahisha kaka Kp big up👊👊👊👊 ikiwezekekana mburuze kotini huu msamaha wake wakinafiiii ili sikunyingine asirudie kwa wengine
@Swahili_land00127 күн бұрын
Unaropoka sana mzee Mwijaku
@janechacky381018 күн бұрын
Hana adabu huyu mjinga. Kaka Massoud usimchekee amezoea kuchafua watu.
@evancpeter814925 күн бұрын
Brother Kp, tafadhari sana ebu kula kichwa hii ng'ombe. Pls usisamehee hii kitu😂😂😂. Kula kichwa... angekula B baba Levo tungemwombia msamaha lkn huyu no! Pita nae plz.
@mmassyferguson495928 күн бұрын
Saf sana mr mwijaku kuomba msamaha ni busara mtu wa maana kabisa ww ❤
@martinmendrad353126 күн бұрын
Huyo kaomba msamaha wakinguvu sio ridhaa yake, hapo kwakuwa katishwa mambo yakisheria walimtaka aombe radhi sio dhamira yake
Kiarabu kingiiii, ulizani unamwambia dotto kumbuka Kp is very educated na anainfluence watu kama mm,...mzee umeyatimba
@BarbaraPatience-qt9cc27 күн бұрын
😂😂😂😂kumbe umeona!!!!! Wacha alikute
@dominickmahela158127 күн бұрын
Kuonywa alishaonywa sana lkn sio wa kujifunza sasa ashughulikiwe inavyostahili kiukweli Masoud akanyagie apoapo mafuta mengi
@BarbaraPatience-qt9cc27 күн бұрын
Utakumbana Na mahakama!!!! Hutaamini
@hamynas27 күн бұрын
huyu punga anafanya masihara na dini ya kiislamu katika mambo yake ya upuuzi upuuzi hada adabu kabisa huyu bwege
@danieledward229428 күн бұрын
Hapo nkupongeze umejiongeza vzr,Mungu akusaidie ktk maisha
@BarbaraPatience-qt9cc27 күн бұрын
Na mahakama
@emmanuelnkwabi861025 күн бұрын
Hujaomba msamaha zaidi unajigamba
@boraimanijumamahenge755424 күн бұрын
Kuomba msamaha wala sio jambo baya lkn natamani sana Mwijaku utiwe adabu japo kidogo ili unyooke😂😂 Naongea hivi kwasababu wewe umekuwa mtu usiyetumia hekima na busara...Mara nyingi unaongelea mambo kwa mihemko...Chuki na Roho mbaya bila kuzingatia utu na binaaadamu...Sasa umekutana na wataalamu wanaojua kurekebisha watu wa aina yenu..Ulidhani Masoud Kipanya ni Diamond Platinum?😂😂😂. Pambana Mzee
@khalifamilulu910923 күн бұрын
Huyu sio wakusamehewa kabisaaa.
@user-zb2mj5nd5g18 күн бұрын
KP tafadhaliniko chini yamiguu yako hii nguruwe iburuze kwapilato hicho anafanya hapo wala hakuombi rwadhi , bali akudhihaki tu, mfundishe adabu huyu kjenge kazoea watu sana mshamba wa Kazulamimba huyu
@hamidabarraball316226 күн бұрын
Jela tu wewe, usilete dini hapa, Wakati ukiwasrma watu vibaya Uliona sifa sasa leo umekutana na mwamba ,
@jumabuckary769825 күн бұрын
Asisamehewe bwege wakuja huyo B zetu tano uzitoe kama auna jela mjinga wee
@severinemabirika224926 күн бұрын
Acha kutumia maneno ya Mungu kulinda uropokaji wako ....
@RomanMwinyi26 күн бұрын
Co we unataka amuombe shetani sioo
@mswadickbushumbiro692327 күн бұрын
Ngoma ikilia Sana?,,,,,,,
@floridakagemulo318320 күн бұрын
Punguza mdomo mwijaku..unaongea kama umemeza betri
@hassankongolilo840825 күн бұрын
unaleta masiala we fala. umeambiwa utoe maelezo ya kina unaishia kulamba lamba lifsi. ngoja mara hii utapanda kizimbani
@hanspop696127 күн бұрын
Sheikh Masud Msamehe mdogo wako amekosa
@BarbaraPatience-qt9cc27 күн бұрын
No huyu amezidi! Umesahau akimtukana bi kopa
@ibrahimpatrick587125 күн бұрын
Kwan hii inshu ilikuaje wakuu??
@hamynas26 күн бұрын
kipanga endelea na kesi hili dubwana likaozee jela kelele zipungue mtaani
@fatmamasafu860625 күн бұрын
😂😂😂
@ambroceharouna161225 күн бұрын
Punguza sifa kidogo mzee
@RebecaMackenzi27 күн бұрын
Mnafiki mkubwa wewe, hayo yote ya kwamba ni kaka yako sijui ni legend hukuyajua mwanzo. Unajifanya kiarabu kingi sasa hivi. Acha usekwe mahakamani ili upunguze mihemko
@willenmtafungwa192024 күн бұрын
Kwakweli huyu Mwijaku linakera sana! Linaleta ujuaji wa kiha
@GibsonNtamamilo26 күн бұрын
KP kuka kichwa huyu ili asisahau hadi anaingia kaburini
@user-rj5cz8og6f24 күн бұрын
Pungunza mdomo we muha wa kigoma
@user-zb2mj5nd5g18 күн бұрын
Kudadadeki safari hii umekutana na KP mtoto wamjini kakutia roba kwenye kona hufurukuti nakujamba juu kenge wewe
@issajambi241728 күн бұрын
nataka kucheka kabda cjasikiliza mpkak mwisho
@chancedallas907727 күн бұрын
Itakuwa ilijinga Alina hata mwana cheria Ili yani kaingizwa Chaka aombe msamaha Ili azidi kuwa nakosa zaidi
@hassankongolilo840825 күн бұрын
bado ujasema mbuzi wewe
@BarbaraPatience-qt9cc27 күн бұрын
Huyu hajapmba msamaha!! Anajigamba anajua quran na kiarabu!! Anajifanya mjanja tuu!!! Amesema ujinga.. sijaona msamaha hapo