I like how our tanzania neighbor are doing things,hapa kenya watu wauwawa juu ya hizi kesi za ardhi nkt
@liverpoolfootballclub99854 жыл бұрын
Huyo kapewa laki tano. Gonga like ya babu
@esabelfadhili84324 жыл бұрын
Hebuuu msaidieni mzee wa watu...Lukuvi usijisahau kalia kiti vizuri hicho usijione umefika ukaanza kudharau babu wa watu
@salimharrasy70474 жыл бұрын
Mzee wetu alihitaji maneno na sauti ya upole. Mzee ni mzee tu japo ni baba wa mwenzako.
@fabianayubu67382 жыл бұрын
Anafika mbari na kumwambia tutakushauri namna ya kukata rufaa
@Emedroadtocanada2 жыл бұрын
eti umeskia we bwana
@jeremiahzacharia76552 жыл бұрын
Mh. Waziri siku hizi asahidii kabisa wananchi zaidi ya kutumia sauti kali, Kwa wenye shida
@raymonadsaliboko30682 жыл бұрын
Nakukubali sana sana ofisi za ardhi hakuna foleni Mungu akupe wepesi
@nafaelirubango29044 жыл бұрын
Life is go tunakufa tunzaliwa tuwe na rispecti na anteion na wazee wetu bless
@ramamtetu23274 жыл бұрын
Lukuvi Namkubali ila Kwa Hapa Mmmmh Kwanza Kaongea Kwa Ukali Mno Wakati Akimuuliza yule Mzee. Kana Kwamba Amekerwa Kabla Na Yule Babu.
@abdallahmakombo38664 жыл бұрын
Hujui tu hizo kesi noouuma Sana!! Kesi ya 1965 na maamuzi yalipita halafu mtu anaanzisha kila kiongozi mpya akija!!!
@sistertrashid24882 жыл бұрын
Yaani mimi nampendaga yule kiongozi anaitwa Ally happy bwana anazungumzaga vizuri Sana na wananchi
@fabianayubu67382 жыл бұрын
Kabisa yan nakupongeza sana kwa point yako na huo ndio ukwer
@salehsuleiman85192 жыл бұрын
Kabisa yan aliy happy yupo vzr lkn huyu lukuvi limekaa kama dikteta ya jeuri hatar
@yasinishekallahakusaidi87664 жыл бұрын
Binafsi nimeshikwa na fadhaa kweli kwa huyu lukuvi maana anaonekana sio mtoto Ila kiburi kimemjaa na majivuno
@nusulaally63794 жыл бұрын
Jmn tuwaheshimun wakubwa ht km kipto chao kidogo
@shayopaterini86784 жыл бұрын
Nidhamu kdgo kwa wazee wetu inahitajika ndio waliotuzaaa jaman wao hawakusoma ila wametusimesha cc sasa usiwe unamwuliza maswali ambayo hajui hata mchoro ni nn
@nessmwambogolo25454 жыл бұрын
Kweli umenena eti aje na makaratasi atayatoa wapi ya mwaka 61 no fear
@shehemnazi1274 жыл бұрын
Ila tuwe na eshima maana Ni maisha tu,unapokea kwa mkono wa kushoto.
@asayubeejr11994 жыл бұрын
Shehe Mnazi kweli bro yani cheo ni kitu kibaya sana
@shehemnazi1274 жыл бұрын
@@asayubeejr1199 umeona broo lakini sote Ni wa mungu .
@annamwakibinga5272 жыл бұрын
Kabisa anaonyesha dharau sana Lukuvi.
@wachapakazimedia43534 жыл бұрын
Mimi huwa nasemaga rais magufuli Hana wasaidizi anafanya kazi mwenyewe huyu waziri ajamuuliza hata huyo Jamaa kuusu laki 5 hawa mawaziri wangekuwa Kama JPM nawaambia TZ ingekuwa Kama ulaya na hawafanyi kazi Kwa Moyo Kama JPM huyu waziri sijamuelewa kabisa mungu mpe maisha malefu JPM.
@allyasia36624 жыл бұрын
Watu wengine wanatia hasira huyu sio wazur kabisa Bali anajijali yy na tumbo lake wallah
@florampewa80852 жыл бұрын
Wanabebana tu,na waziri anahusika,si umesikia Kuna barua moleli alipata kwa waziri!ni uonevu tu,nchi Hii,mtetezi alikuwa marehemu magufuli pekee,na alisema,tutamkumbuka kwa mema,mungu ailaze roho yake mahali pema peponi,hapo Leo mtu laki Yani ingemtokea puani
Huna adabu ata kidogo shenzi kabisa huyo sawa na baba yko cheo ni dhamana2 umeni kwanza sura mbaya km mgali wa juzi
@gabrielisack77864 жыл бұрын
Ardhi inamrorongo sana,yaani mzee amekaa Hapo tangu 1962 lakini leo hii anakuja kupoteza kila kitu hata kuachiwa tu ekari 1 inashindikana dah!duniani upo uonevu mkubwa sana ila Mungu atakuja kulipa kila chozi la mtu anayelia kwa sababu ya unyonge.
@raphaeldayos91882 жыл бұрын
Waziri lukuvi kiongozi mzuri lakini kauli zake na jinsi anavopokea kero za watu anawaharas watu hususan wazee
@elianifaaluka47902 жыл бұрын
Mungu watete watanzania wasio na vyeo na watetezi mzee Mungu atakusaidia wanajua huna kumbukumbu kwa sababu ya wenye fedha
@aminaosman33152 ай бұрын
,wanaopokea hongo kudhulumu wañyonge mungu anawaona
@ramadhanitoba76214 жыл бұрын
mwananchi wa kawaida ukimuuliza mambo ya michoro ya ardhi unakosea yeye anachofahamu ni kwamba ni shamba lake analima hapo toka kitambo... uje kukuta hata hajui kama kulikua na mpango wa mradi wa maji.
@elizabethmose64364 жыл бұрын
Huyu waziri anadharau inamaana huyo mzee kama aliwauzia halmashauri asingeweza kudai kwa mara nyingine anashindwa kumsaidia babu
@salumjumaruhaga25132 жыл бұрын
Safi Sana lukuvi ,alipataje Ardhi,iyo ndio hoja
@yahayamaulanaworldwide60363 жыл бұрын
Kirukuvi kinadharau sana mbav sana tenahufai kushika mamlaka yoyote kwataifa letu kwakua mnapeana vyeo bilahivyo hukupaswa kupewa nafas yoyote
@julianarobert98154 жыл бұрын
Huyu waziri atumbuliwe anadharau sana pia hana hekima 😏
@archbordygodfrey77704 жыл бұрын
Juliana Robert kweli
@julianarobert98154 жыл бұрын
@@phillipmbuligwe6033 upo sahihi, nilichokizungumzia mimi ni waziri kuwa na hekima na busara pindi anapotatua shida za wananchi
@dawiamussa57874 жыл бұрын
Ī
@samirashariph58564 жыл бұрын
huyu waziri ni bure kbc amuachiee hii kaz wengin
@kadogoomushadi54094 жыл бұрын
Muheshimiwa. Wanamdhulum hu yo babu msaidiye mzee
@ndogoroedson94382 жыл бұрын
Mh wazir hiyo 2005 ndyo watu walikuwa wanazurumiwa Sana viwanja ndyo miaka ambayo mwenyeye pesa aliweza kumfanya kumfanya chochote asiyepesa Hali hiyo ilidumu mpaka 2015 kabla ya mzalendo kuingia na kugeuza kitabu na Sasa baada ya mzalendo kuondoka, mambo yameanza kurudi hususa ni Kijiji Cha kapunga mwekezaji kaanza kuchukua ardhi ambayo Magufuli alishairudisha kwa wananchi na viongozi wa wilaya wanabariki kwa kuwa wao ni wanufaika wa migogoro hiyo! Hekta 5500 alizouziwa na serikal Sasa zimeenda mpaka Kijiji jirani Cha Iyala huu ni uonevu mkubwa sana!
@zubeidaomary13312 жыл бұрын
Tumemkumbuka kweli baba yetu hayati magufuli aliongea na sisi kwa upole na unyenyekev umtu hadi unapata uhuru na amani anapota malalamiko yako kwake pumzika kwa amani baba yetu
@biggestnasritv26013 жыл бұрын
THE BIGGEST BOSS NASRI
@feyzungu6332 жыл бұрын
Nyinyi werekali ardhi yote ni yakwenu siyo ya mungu tuoneeni tu ivyo ivyo mungu yupo hakuna mwanzo usokua na mwisho
@jeremymakokha47974 жыл бұрын
RC Hapi ...nawish ungekuwa hapa
@feisalomar-hr3hq3 ай бұрын
Tanzania maskini ndo tunao nyanyasika ila ipo sku mungu atatuokowa
@martinesizya2342 жыл бұрын
Namkumbuka jpm, hapo huyo mzee angepata haki yk kama kweli alikuwa nayo, lkn kwa waziri anavyoonyesha hana adabu kwa wazee naona mwenye nacho ataendelea kuwa nacho, na asiye nacho atanyang'anywa hata kidogo alichonacho!!
@gilbertluwe81614 жыл бұрын
Jamani jamani mzee wa watu hapo angekua raisi amgepata haki yaki mara moja. Mawaziri kweli mnafanyaje hivyo
@stumay-wx9rp2 жыл бұрын
Kauli ya waziri inakera ss hapo anasuluhish nn nayeye ndowalewale wakupew laki tano mtu unafokey watu kweli huy mzee ni wakumfokey subuhannah llah daah watu hawaangalii kesho yao
@danielfrank8734 жыл бұрын
Hapa raisi atutafutie waziri mwingine , huyu atufai au mnaonaje waungwana , mana hiyo keshokutwa mtakutana maofisin mtamdhulumu tyu mzee wa watu . waziri hatuna hapa
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
hapana huyu wazir anajitahid kwa maoni yangu
@sabinaluyego44083 жыл бұрын
Kweli haki ipo mbinguni tu. Ina maana waziri hajui kwamba selikari ilikuwa inapima na kuchukua maeneo bila kuwafidishia wananchi?
@subrynerysegerow13234 жыл бұрын
Huyu baba nimemchukia ghafla msyuuuuu
@muftiachuu66764 жыл бұрын
Kisa kudai haki yake?
@daudisalumu27254 жыл бұрын
Duuh eti wazir anapokea karatasi kwa mkono wa kushoto hii dharau Sana, Tz kuna raisi2 ila walioko chini yke hakuna ki2
@jacksonmathayo65104 жыл бұрын
Kweli kabisa Kaka
@nsiamassawe30754 жыл бұрын
Mhe. Rais ni mfano mwema. Akiwa anaongea Na wazee kama Hawa huwa anatumia lugha ya unyenyekevu sana. Sasa unapomuhoji Kwa ukali unamtisha na unamvuruga. Ameshakuambia hajui kusoma, unamuliza michoro ataijuaje! Uwe na hekima.
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Mh! Waziri hasomi mwenyewe!!!!!
@adikitweve70904 жыл бұрын
Thanks
@mashamstaphajuma77412 жыл бұрын
m ziki mpiy
@celestialedward61234 жыл бұрын
Waziri hekima 0
@paschalearbert36304 жыл бұрын
Jamani uyu jamaa mbona anatharau sana
@fabianayubu67382 жыл бұрын
Hajaanza Leo na simkubari sio Siri
@mako3314 жыл бұрын
Lukuvi kuwa na sauti ya upole kidogo wasaidie watu hawa wameonewa sana
@mukhsinsalum46774 жыл бұрын
wazir unapokea karatas kwa mkono wa kushoto mtu kakupa kwa mkono wa kulia daaaaaaaaaaa......
@zechariahhizza77554 жыл бұрын
Dooh!!
@klaragreen79994 жыл бұрын
Hapo angekuwa majaliwa. Wangeisoma no
@mamachris68114 жыл бұрын
Hivyo vitambi vya rushwa lazma vipukutike Hii awamu nyingine bhana !!!!!
@ebenezery12sarakikya854 жыл бұрын
Daah nikweli asee
@blandinamwarabu50254 жыл бұрын
Sasa walibadilisha matumizi ya Ardhi pawe mradi wa maji kisha mradi wa maji ukashindikana wakampa mtu mwingine hapo kuna kitu Mh Waziri masaidie huyu mzee. Kwa nini hawakumrudishia mazee akamuuzia anayemtaka kuna kitu hapo.
@jamali00174 жыл бұрын
Waziri,na huyo molini sijui wote Ni viazi huezi chukua shamba la mzee na kumuuliza maswali ya kijinga Kama hayo kisa hakusoma srupid
@saynabmohammed62632 жыл бұрын
Mana umiy msaidie huyu Babu samia mfanyien hisan msada Anasema hajui chochote maskin Dhulma vile ni mzee
@stamilimsabaha38824 жыл бұрын
Sasa heka zote 6hata kama ni mradi wa serikali kwann wasimlipe fidia wanyonge tunaonewa sana magufuli aje atumbue majipu huku
@leontaylor60113 жыл бұрын
A tip: you can watch movies at flixzone. Been using it for watching a lot of movies recently.
@chadlanden37643 жыл бұрын
@Leon Taylor Yup, been using flixzone for months myself :D
@yaelmilo703 жыл бұрын
@Leon Taylor yea, I have been using Flixzone for since november myself :)
@dakotastephen52733 жыл бұрын
@Leon Taylor Yup, been watching on flixzone for since november myself :D
@aishamkomwa61254 жыл бұрын
Hapo hekma.hakuna babu anatia.huruma
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Huyo waziri Hamna kitu
@bockernyarusahi36554 жыл бұрын
Iffah Bahet Ndiyo Mawaziri tulionao kwa sasa
@iffahbahet14994 жыл бұрын
Huyo mzee hawezi kukurupuka tu kudai haki yake
@jeannetteholbrook69584 жыл бұрын
Kweli bro
@mwanajumaomahundumla65044 жыл бұрын
Enzi hizo na miaka hiyo kalatasi zinatoka wapi au Mnataka kumuumiza zaidi jamani daah umaskini mbaya sana hata baba yangu amezurumiwa eneo kama hivi
@amribudi78704 жыл бұрын
Iwapo mmeshindwa kutumia eneo ni busara kuwarudishia wenyewe mliowanyang'anya.
@rehemajuma22022 жыл бұрын
Dah!
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
Ai masikini inaskitisha mzee kusimama hivi ati anadai haki yake nawakati hata kama ardhi sio yake angepewa bure kwakua ni mzee? Dhambi jamani v
@solomonmbuna72292 жыл бұрын
Lukuvi Safi KABISA itafute haki ipo wapi .asanteeee.
@msomimosomy98122 жыл бұрын
Hiyo nienzi za hayati jpm sasa kimyaaa kanakwamba Shelia hazipo nawanyonge hawaonewi
@abdiabdi42992 жыл бұрын
Dhuluma ardhi imezidi Lukuvi pangua wote
@doricajosiah10753 жыл бұрын
Kwanza huyo wazili hananizam anaongea na mzee kakaa bila hata aibu rais mwenyewe anaongea nawatu kwanizam
@sammycharomwalili67282 жыл бұрын
Kuzulumu wazeee hii ni lana kubwa
@yasinishekallahakusaidi87664 жыл бұрын
Dharau kubwa jamani mbona kiongozi umekua hivi
@austinegona14154 жыл бұрын
Huyu jamaa anayeongea hana hekma na wazee
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Austine Gona kweli kabisa
@evaristerelias73734 жыл бұрын
dah waziri amezngua hapa,kwanza sikia jaman hata anavoongea,huyo ni mzee jaman
@chiefndatu18954 жыл бұрын
Imekuwa Kam ule mchezo akija baba ntakusemea
@theroots27434 жыл бұрын
Lukuvi hawezi kumsaidia huyo mzee ni muislam na lukuvi hawapendi madhehebu ya dini hio
@salmahamoud61344 жыл бұрын
Jamani mm nimezulimiwa ardhi tanga raskazoni na waziri a najuwaa nimezulimiwa na tonii tangaa akini hakufanya lolotee Leo hii nashaa ngaa anasaidiya wenginee
@MohamedAli-ho5fq2 жыл бұрын
Uyu lukuvi anadharauv Sana Anazani atakuwa wazari mile That is wrong bro lukuvi
Uyu lukuvi hiz dharau na kiburi amezitoa wapi? Mbona anaonesha dharau sana. Mmeona alivokabidhi iyo sijui hukumu. Dah. Au yupo pale kwashingo upande?
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Steven msaaada. Msaada. yani km vile yy hajui kusoma mpk ampe mtu sio haki kabisa
@poulvevo43154 жыл бұрын
mtakoma mwaka huu wapenda rushwa
@chrismbut49902 жыл бұрын
Huu uwajibikaji ndio tunaoutaka ss sio kukimbilia marekani.
@ayoubchacha90904 жыл бұрын
Waziri lukuvi nakuamini lakini Leo ziro sana, 84 ya nn? Babu apewe haki yake
@polycarpmicky41513 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/i72SqNOhsMXUZ2w.html kwa heshima kubwa Karibu utazame wimbo huu neem ya tosha tunaomba USUBSCRIBE ASANTE
@fatmaone11524 жыл бұрын
Huyu waziru anarau sn huyo baba kama mzee wako hajui hata kuongea na wakubwa kisa yeye waziri basi dunia yake kwann hamuigi rais wetu anavyo nyenyekea wanyonge
@amoneliakunda69784 жыл бұрын
Tujifunze kutenga hisia zetu na kuitafuta kweli. Waziri yuko sawa maana hawezi tegemea maelezo ya MZEE tu na kutoa maamuzi, kama kiongozi lazima ajiridhishe so ngoja tumsubiri Mollel na vielelezo vyake
@jacksonmathayo65104 жыл бұрын
Amon Eliakunda sasa ndiyo aongeee kwa ukali aelewe huyo ni mzee kama Baba ake eti mbona Mheshimiwa Raisi yupo simple sana kuliko hata hao baadhi ya viongozi Duh
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
ishu ni jins anavyopiga na huyo mzee nikama anaongea na mtt wake
@merinaibrahimnampendayukov70074 жыл бұрын
Angekuwa Rais au Majariwa mwafaka ungepatikana hapohap, lakin kwa hapo Hadi huruma kwa huyo mzee.!
@leonardmayunganyamfanka96232 жыл бұрын
Mzee naona km kunataka kuingia kautapel apo zimesha anza michoro kwaukal Nina shaka
@elesiaelia52804 жыл бұрын
Haki yake apewe
@husseinkonz51924 жыл бұрын
Jaman hzi dhuluma had lin
@amoneliakunda69784 жыл бұрын
Sasa ukisema umpe haki MZEE tu bila kusikiliza upande Wa pili utakuwa hutendi haki. Lazima usikilize pande zote na ndo utoe maamuzi
@saynabmohammed62632 жыл бұрын
Anamdhurumiwa Tu Babu
@auntdorah91414 жыл бұрын
Sijaelewa!!!
@saynabmohammed62632 жыл бұрын
Huyo anajibu vile ameona we umeregea
@kagamedimaria47874 жыл бұрын
Tanzania kuna shida kweli
@ashamganga66364 жыл бұрын
Mm kwa upande wangu sipendi huyu wazili anavyomjibu mzee huyu
@abdallahmakombo38664 жыл бұрын
Wee ungemjibu VP?
@raymondkaswaga83344 жыл бұрын
umejitokeza kueleza mzee kakuumbua.....ungetulia tu na ww
@manbanshaban92534 жыл бұрын
Huyu waziri ana madharau..
@halimarashidi58562 жыл бұрын
Sana tena ana adabu anarusha barua kwa dharau
@rajabukazi31532 жыл бұрын
Hayo madalaka yenu yasiwe fimbo kwawezenu. Huwezi kumtwanga maswali makali kama ayooooo. Hiyo mihaka halihe pata kiwanja mzee wewe hata shule umemaliza
@samuelmanunu15434 жыл бұрын
Mmmmmmh, waziri think twice utapeli ni mwingi sana na mbaya wananchi walio wengi hawajui mambo ya sheria kama huyo Mzee na michoro wapi na wapi! Nyie wasomi ndiyo muwe zaidi kuelekeza na kuchunguza kama magufuli tunakukubali lukuvi but raia wapunguzie pressure hawajui nenda nao taratibu kaka matapeli yamejaa kuliko watenda haki ukitaka kuamini mfano mzuri kule Iringa Kwa mh ally Hapi anavyoyabana majitu ya ovyo kabsa ni utapeli tu watu wanaonewa anawasaidia sana huyu mh mungu ambariki sana kaka Hapi!
@blandinamwarabu50254 жыл бұрын
Hapo kilichofanyika ni baada ya kuliona hilo eneo walibadilisha matumizi ya ardhi haraka haraka na vikao vikakaa madiwani wanaitwa fasta wanapewa posho yao bila kujua eneo ni pa nani. Huyu ningelikuwa karibu naye nampa nauli anenda kwenye vyombo vya habari anaunguruma Magu angemsikia tu.
@winifridaeliasi42212 жыл бұрын
Lukuvi fanya kazi kama magufuli kumbuka fadhila huyo mzee apewe haki yake na umesikia kuna rushwa
@allyally74224 жыл бұрын
Waziri anazarau sana anaipokea ile karatasi kwa mkono wa wa kushoto hii dharau sana
@gedionmario90094 жыл бұрын
Kiboko Yao magufuli hawawengine Hiz kaz hawa ziwezi
@jacksonmathayo65104 жыл бұрын
Kweli kabsa
@mydearothman96934 жыл бұрын
Mi nimeshadhulumiwa kwa njia hizo hizo
@salamasefu94344 жыл бұрын
Sikh zote haki ya MTU aipotei umeula wa chuya
@salehkippy82324 жыл бұрын
Huyu lukuvi anajibu short? Hajui kuongea
@sebastiansalamba3132 жыл бұрын
Rais mtarajiwa
@popekatalango94094 жыл бұрын
Waziri anamuita mzee 'we bwana ' wakata hata rais huwa anawaita wazee. Acha dharau We Muhehe
@saynabmohammed62632 жыл бұрын
Serikal ilimzulum
@sylvestercharles35854 жыл бұрын
Duh... Nyie viongozi vijana muwe na adabu mnapokuwa mnahojiana na wazee, hao ni baba zenu viburi vyenu vya cheo muwe mnaviweka pembeni. Duh ... You young leaders be polite as you interview the elders, these are your fathers so it's very better to show respect to them.
@mamamanka13102 жыл бұрын
Kuweni na Woga Mungu hapendi dhuruma Malipo Duniani
@clementinamsakwa38024 жыл бұрын
Mzee yupo sawa
@catherineshirima39064 жыл бұрын
Apewe haki yake
@user-eg1dr6so4c4 жыл бұрын
TENA HALAFU KAMRUSHIA
@emmanuelyusufu65684 жыл бұрын
Jamani
@emmanuelyusufu65684 жыл бұрын
Msaidien uyo mzee ajui ata kusoma
@clementinamsakwa38024 жыл бұрын
yaani hapo waziri nae anamrusha huyo Mzee hapo hakuna kitakachofanyika wanatafuta Kiki tu front page kwenye magazeti