#Mzee

  Рет қаралды 75,013

Mzee wa upako

Mzee wa upako

3 жыл бұрын

JUMAPILI HII USIKOSE KONGAMANO KUBWA LA DUA SALA NA MAOMBEZI LITAKALO AMBATANA NA VIFUNGO KUTAKUWA NA MAJI YA UPAKO NA MAFUTA YA UPAKO KWA UTIMILIFU UTAKAYO MALIZA UCHAWI NA MASHETANI MIKOSI NUKSI NA BALAA MAJI YA UPAKO HAYA YANA UWEZO WA AJABU NA PIA MAFUTA YA UPAKO YA UWEZO WA AJABU UKIAMINI KUSAIDIKA NI LAZIMA .KUFUNGULIWA NA MIUJIZA TELE. TUTAKURUHUSU UJE NA TATIZO AMBALO UTATOKA NALO USIOFU CHIEFMWANTEMBE AMEKUWA BARAKA KWA WENGI KATIKA ARDHIZI YA TANZANIA KWA MIAKA 37 SASA KUPITIA YEYE MUNGU AMEKUSA WENGI NI MZEE WA UPAKO CHIEF MWANTEMBE BISHOP ANTONY LUSEKELO HAYAA SHIME KANYANGA TWENDE WAKATI WAKO NI SASA. HATASHUGHULIKA NA MATATIZO YAKO BILA KUCHUKUA DINI YAKO. KWA MAWASILIANO 0754606082 KABLA YA KUPIGA ANDIKA SMS UTAJIBIWA KWA WAKATI. Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za KZfaq Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

Пікірлер: 193
@Jenestabenedkitor
@Jenestabenedkitor 14 күн бұрын
naitwa mosses bingileki niko bukoba kagera mzee nakukubali sana waambiee hao matapeli mungu akupe maisha malefu katkika jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye ahi
@martinakyoo148
@martinakyoo148 Жыл бұрын
Hili la kukurupuka tu nakujiita bila kusubiri kazi ikutambulishe ,kutokutambuliwa na serikali, Mzee Wa Upako umenena vyema ubarikiwe Sana.
@shadrackpaulomabula
@shadrackpaulomabula Жыл бұрын
Hongera sana Mzee wa Upako kwa kuisema kweli yote nimekuelewa sana
@rev.asanterabi7440
@rev.asanterabi7440 Жыл бұрын
Lusekelo hongera sana. Naona umerudi sasa! Maana awali ulianza kuhubiri vitu vya ajabu. Hizi ndizo jumbe za wakati. Mungu akuwezeshe udumu katika njia sahihi.
@mactweve3353
@mactweve3353 Жыл бұрын
this servant of God has preached the truth of God, may God's blessings be upon him and his children
@neemamajana3078
@neemamajana3078 2 ай бұрын
Mzee karibu sana Kigoma ufungue huduma huku, mm nakutamani sana. Mungu amekujaria misuri ya ukweli.
@frankmwinuka3413
@frankmwinuka3413 5 ай бұрын
Ubarikiwe sana Transformer.
@rosendanshau2674
@rosendanshau2674 Жыл бұрын
Nakupenda baba Wakati wa Mungu umefika sasa
@Alex_Sesh
@Alex_Sesh 3 жыл бұрын
Mzee wa upako Mungu wa binguni akubariki sana. Watanzania wanayo bahati sana wewe kuzaliwa Tanzania. Tunaomba sana usambaze umeme hadi Kenya.
@christophermkundi5884
@christophermkundi5884 3 жыл бұрын
Lusekelo rudi kwa yesu tu freemasoni achana nao
@emanuelkitandu3076
@emanuelkitandu3076 2 жыл бұрын
Upo sawa Anton
@wisembuya7891
@wisembuya7891 Жыл бұрын
Baba ubarikiwe sana sasa unahubiri injili ya kweli hakika umebadikika sana kwa sababu nilikua nakufuatilia hakika unaipiga lnjili ya kweli na MUNGU AKUPE NGUVU UENDELEE KUHUBIRI IJILI YA KWELI.
@urbanmission3072
@urbanmission3072 Жыл бұрын
Nakukukubari SANA mzee wa upako,yaani mi kwa upande wangu tangu zamani namkubar pekes mzee wa upako
@neemamajana3078
@neemamajana3078 2 ай бұрын
❤❤❤❤ mm nakupendaga sana Mungu akutunze❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-ni8lv4nt7c
@user-ni8lv4nt7c Ай бұрын
Hapa nimekuelewa sana anthony
@yustomroki1419
@yustomroki1419 Жыл бұрын
Safisana Pastor Hakika Umenifanya niwe nakufatilia Hizi ndizo jumbe Zinazo Paswa kuhubiriwa Za kuwa Ambia wana Wa Mungu Ukweli .Safi Sana,, Hapo Nime kuelewa Vyema
@SMEDIA298
@SMEDIA298 Жыл бұрын
Hakika Mtu wa MUNGU
@seifrashid3664
@seifrashid3664 Жыл бұрын
Mzee wa upako Tabia ya kungalia pesa ukipewa mathabauni waca
@khamisjuma8501
@khamisjuma8501 2 ай бұрын
Unabi
@mkanulamajid500
@mkanulamajid500 Жыл бұрын
Jamani hamuoni hata kusikia hamsikiii manabii wa uwongo wamejaa African na Tanzania amkeni mzee kaamua kuwafunulia maneno yenye ushahidi ubarikiwe inshalaaah
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 Жыл бұрын
SWADAKTA!!!! 😂
@brezenetcomputers9081
@brezenetcomputers9081 2 ай бұрын
Nakukubali sana mungu akupe mwisho mzuri maana mwanga unauona
@neemamajana3078
@neemamajana3078 2 ай бұрын
Love you so much❤ Baba
@medsonsanga4813
@medsonsanga4813 Жыл бұрын
Ubarikiwe kwaa kuigeukia njia ya Bwana halisi maana uliteleza kunakipindi
@SleepyAlpineVillage-yp2sz
@SleepyAlpineVillage-yp2sz Ай бұрын
Nakuamini sana pasta
@godfreymaiko2126
@godfreymaiko2126 2 жыл бұрын
Barikiwe mtumishi wa Bwana.
@gregorybundala4963
@gregorybundala4963 Жыл бұрын
Huu ni uponyaji wa kifikra mkubwa sana kwa kweli ubarikiwe sana.
@gideonmphunami2448
@gideonmphunami2448 Жыл бұрын
Hongera sana Mtumishi kwa kusema kweli hakika itakuweka huru
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 Жыл бұрын
Umeongea ukweli kabisa mzee mungu akubariki mimi binafisi sijaona mtume wala nabii hukuna kabisa angalao moses kulora angalau hawa wote matapeli watupu
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 3 ай бұрын
kwa kipimo gani
@thomasbugwano5114
@thomasbugwano5114 Жыл бұрын
Umetisha
@BoniphaceMalale
@BoniphaceMalale 20 күн бұрын
Ukweli zaman ulikua mtumishi wa mungu kwelii ila saiv umemuasi mungu
@gabrielnjiapanda3710
@gabrielnjiapanda3710 Жыл бұрын
Hakika Mungu akutie nguvu mtumishi,Endelea kuihubiri injili ya kweli ya Mungu aliye hai.
@LeticiaMwalongo-qc8hb
@LeticiaMwalongo-qc8hb Жыл бұрын
Mzee wa upako unaongea kwelikweli tupu, naomba unifafanulie maana ya hiyo alama hapo ukutani
@sebastianzongoro8915
@sebastianzongoro8915 Жыл бұрын
Asante kwa kusema ukweli
@Victor-qu5nz
@Victor-qu5nz Жыл бұрын
Amen from Kenya
@peterndumbalo6637
@peterndumbalo6637 Жыл бұрын
Amina 🙏🏿
@mpokimwakaje8178
@mpokimwakaje8178 2 жыл бұрын
Amina mwantembe
@nyandasalasi2271
@nyandasalasi2271 Жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji kwa kusema ukwel
@WILLIAMCHINA
@WILLIAMCHINA Жыл бұрын
Mungu Akubariki
@apostlepeterdan2336
@apostlepeterdan2336 2 жыл бұрын
🙏🙏 Amen
@samuelinnocent953
@samuelinnocent953 2 жыл бұрын
Amina amina chief
@fredrickmapunda3110
@fredrickmapunda3110 Жыл бұрын
Unateseka sana nahuduma zawenzako mbona wewe unamadudumengi wenzio hawakusemi umejaribu kujiita nabii umechemka uliuza mifagio na miti umeiwwekea upako umechemka kweri Dunia inamambo.
@melaniazacharia3357
@melaniazacharia3357 3 жыл бұрын
Amen
@martinsimtenda5990
@martinsimtenda5990 Жыл бұрын
Naipenda Sana huduma yako
@alexmasea2425
@alexmasea2425 2 жыл бұрын
We mwenyew nabii wa uongo
@johnlightmkose4723
@johnlightmkose4723 Жыл бұрын
Sasaivi nakuelewa ila huko nyuma ulikuwa umepotea njia Ubarikiwe sana
@patrickraymond729
@patrickraymond729 2 жыл бұрын
Amina
@fundiwamoldzapevingblock6378
@fundiwamoldzapevingblock6378 Жыл бұрын
The had master
@Elimunamalezi
@Elimunamalezi Жыл бұрын
Nakuelewa pastor
@JamesIbrahim-el4zw
@JamesIbrahim-el4zw Жыл бұрын
Nawepi
@mohamedmahmudali9346
@mohamedmahmudali9346 Жыл бұрын
Ipo siku ya Mungu utakuja shahadia na kubadili dini ,kwani nishakufatilia clip zako kama7 nahisi uko ukweli unaujua ,,zaidi Mungu akufanyie wepesi inshallah 🙏
@jonasimwanzi3632
@jonasimwanzi3632 Жыл бұрын
Unafikilia uo ugaga wako aufanyi kazi kwa jina la yesu
@tazbernardmanda5176
@tazbernardmanda5176 Жыл бұрын
naona uamsho umekufikia sasa barikiwa
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 Жыл бұрын
BIG UP MZEE WANGU ANTHONY
@kamarajoshua8719
@kamarajoshua8719 2 жыл бұрын
Ameni
@bampirenema9871
@bampirenema9871 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
@giftuiso3489
@giftuiso3489 Жыл бұрын
Hakika mtumishi Mungu amekutumia kuwaokoa Wakristo wanaopotea Mungu akupe kusema vyema kila wakati
@abeidkhamis6130
@abeidkhamis6130 Жыл бұрын
Usijichanganye huyu mtu anaye mwita Paulo kua nabii naye amepotea pia
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
@@abeidkhamis6130 Aya nabii khamis
@thomaswegoro4331
@thomaswegoro4331 2 жыл бұрын
Moja Kati ya hotuba Bora zaidi. Amina. Naongezea Matendo ya mitume 1 tunaona watu 120 waliitwa Katika interview ya kumpata mbadala wa Yuda iskariot na wakapatikana 2 yaani Yusto na Mathia Kisha Mathia kua mshidi. Kama Katika kipindi kile walipatikana 2 wenye sifa, vipi Sasa????? Tusome biblia
@Elecovid
@Elecovid 2 ай бұрын
Ww shetani mungu anakuona unavyofanya maigizo
@nelsonbreidon6600
@nelsonbreidon6600 Жыл бұрын
Nikweli mtumishi wa Mungu saiz waongo wengi wana jiita mitume na nabii
@UfunuoSt
@UfunuoSt Жыл бұрын
Kuna ukweli fulani umeongea, ubarikiwe kwa hilo.
@oscarjackson2973
@oscarjackson2973 3 жыл бұрын
Balikiwa mtumishi
@petermgaya9693
@petermgaya9693 2 ай бұрын
Ww ndio unayeijua dini wengine wezi tu
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 2 жыл бұрын
Huyu jamaa alivyo anza ufreemason wake alikua anatembea n Mabodiga kibao saizi sijui kakosea Masharti hakuna Bordigard wala upako aliojifanya kaupata na hawa waumini sijui wametoka vijiji gani kwani hata mimi nilisha ingia chaka
@tazbernardmanda5176
@tazbernardmanda5176 Жыл бұрын
sound awa
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 ай бұрын
Kweli Kabisa Yesu Alisema. Atakuja Nabii Lakini Sasa Siku Izi Manabii Kila Kanisa Cha Ajabu Wanamuubili Yesu Wakati Wao Manabii Siku Izi Vituko
@fundiwamoldzapevingblock6378
@fundiwamoldzapevingblock6378 Жыл бұрын
Nimeupenda ujumbe niujumbe mzur maana unafundisha
@sifamanyori-kf9vq
@sifamanyori-kf9vq Жыл бұрын
Kumbuka rusekerwa wasingeku manambii husingehishi mungu anakuona
@luisdamianojekapu7136
@luisdamianojekapu7136 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@muhammedsuleiman2137
@muhammedsuleiman2137 2 жыл бұрын
You are one of them.
@deusdatuschristian9127
@deusdatuschristian9127 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akubariki mzee wa upako unasemaga ukweli
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 Жыл бұрын
Ameeni 🙏 Mungu akutunze mchungaji Roho mtakatifu asidikukuwapaka mafuta yake.maana manabii wengi niwaongo.wanatafuta pesa manabii niwanganga wa kinyeji wanamizimu ya utambuzi .maana makanisa Yao wanatabili.
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 Жыл бұрын
Ameeni 🙏 Mungu akutunze mchungaji Roho mtakatifu asidikukuwapaka mafuta yake.maana manabii wengi niwaongo.wanatafuta pesa manabii niwanganga wa kinyeji wanamizimu ya utambuzi .maana makanisa Yao wanatabili.
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 Жыл бұрын
Ameeni 🙏 Mungu akutunze mchungaji Roho mtakatifu asidikukuwapaka mafuta yake.maana manabii wengi niwaongo.wanatafuta pesa manabii niwanganga wa kinyeji wanamizimu ya utambuzi .maana makanisa Yao wanatabili.
@benardwankoka3447
@benardwankoka3447 Жыл бұрын
Uko sahihi mkuu
@mnolamanyendi4956
@mnolamanyendi4956 Жыл бұрын
Msipokuwa waislam hamtaamini mtakachoenda kuona
@Elecovid
@Elecovid 2 ай бұрын
Hata we mchungaji wa uwongo tu
@reginamarwa8636
@reginamarwa8636 Жыл бұрын
Sauti ya MTU aliaye nyikani...itengenezeni njia ya Mungu yanyoosheni Maputo yake
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 6 ай бұрын
Huna lolote mzee wa bapa konyagi KUUBWA!!
@WilsonJohn-or6rl
@WilsonJohn-or6rl Жыл бұрын
Tuache wivu tupige kazi ya Mungu. Kwani mzee wewe uko juu ya Bibilia inayotambua fivefold ministries in Ephesians 4:11 kama kuna feki manake ilianza kuwepo original.
@NicholausNkumira-ue8fe
@NicholausNkumira-ue8fe 2 ай бұрын
Manabii WA uongo wako wengi Sana, mtawatambua Kwa matendo Yao. Hata Lusekelo akisema Yesu SIYO Mwana WA Mungu yaani Mungu mwana, jua na yeye atakuwa Nabii wa Uongo. Maana imeandikwa kila roho isiyokiri kuwa Yesu NI Mwana WA Mungu NI ya uongo. Hata akisema Yesu SIYO Kristo na wafuasi wake NI WA Kristo atakuwa Nabii wa Uongo na mpinga Kristo. Wakristo tuwe makini Sana, Bwana Yesu alitutahadharisha Sana.
@johnsonbernald11
@johnsonbernald11 2 ай бұрын
lusekelo anaongea kupitia biblia, biblia inasema yesu ni mwana wa mungu na sio kama wachungaji wanavyotudanganya eti yesu ni mungu, je mungu alitahiliwa? mungu alikuwa na ndevu?
@neemamajana3078
@neemamajana3078 2 ай бұрын
Lusekero kwa mjibu wa maandiko ni mkweli
@jumanneselemani2172
@jumanneselemani2172 3 ай бұрын
SILIMUNI MJE KWENYE UISLAM
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 3 ай бұрын
kuslim ni kufanya nn
@georgembise7234
@georgembise7234 Жыл бұрын
Unasema wewe ndo muhubili mwenye nguvu kiliko wote !!!😂😂😂😂!!!mungu atusaidie,lkn mm nawaeshim watumishi wote nawapenda nawaeshim
@michaelgilbert1531
@michaelgilbert1531 Жыл бұрын
Uchief mwantebe umeupata wapi
@chachamturi259
@chachamturi259 3 ай бұрын
Mnajua jaman maneno yasiwafanye mkatekewa tatizo lawatanzania tunapenda kuangalia hapa hatuangalii nyuma huyu mzee anamaneno matam lakini life style yake ndo inatia mashakaa
@dorcasnsemwa411
@dorcasnsemwa411 Жыл бұрын
Kila kitu kina feki na original, kikubwa watu wa mungu kila kitu tukipime kwa neno la mungu
@charlessigunga
@charlessigunga Жыл бұрын
Nikelu transifoma
@StevenCredoMTV
@StevenCredoMTV Жыл бұрын
Tunahitaji injili kama hizi
@rambostalon2888
@rambostalon2888 2 жыл бұрын
Iyo peramidi vp
@aloycesilwela3485
@aloycesilwela3485 Жыл бұрын
Ktk Siku umeongea basi ni leo
@raymondsekabigwa5907
@raymondsekabigwa5907 2 ай бұрын
Wewe kama kimya bwana, kwanza kujiita Mzee WA upako ni kunifananaisha na Mungu. Kufuru wewe
@gideonmwaweza8177
@gideonmwaweza8177 Жыл бұрын
Neno la Mungu niukweli huyo ndo MUNGU
@mjumbewaaganoduniani
@mjumbewaaganoduniani Жыл бұрын
Acheni kudanganya watu manabii wengi ni wa uongo hunena mambo ya duniani wa kweli hunena maneno ya ufalme wa mbinguni. Alisema Yesu watatokea wengi hao wote ni wa dunia hunena mambo ya duniani hayo ndio matunda yao.
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 2 ай бұрын
Hahahaa nabii masanja unasikia
@sebastianungimba4676
@sebastianungimba4676 2 жыл бұрын
Waambie wapuuzi hao
@sebastianzongoro8915
@sebastianzongoro8915 Жыл бұрын
Nakuelewa unatoa mafundisho unaelewesha kupitia maandiko matakatifu wengine ni kelele tuu
@NicholausNkumira-ue8fe
@NicholausNkumira-ue8fe 2 ай бұрын
Wakristo waweje waislamu wakati wanamfuata na kumwamini Yesu Kristo kuwa yeye ndo njia na kweli na uzima mtu hawezi kwenda Kwa Baba bila kupitia njia yake? Mwaminini Yesu kuwa Bwana na mwokozi WA Maisha yenu ili na nyie mje mfike mbinguni Kwa Mungu Baba.
@arnoldethan8699
@arnoldethan8699 Жыл бұрын
Wivu unatesa Kanisa la Bwana la Bwana.
@user-qs8vi4fd6m
@user-qs8vi4fd6m Жыл бұрын
Hakika kwa maneno yako pekeee tunabalikiwa
@modestshikilana4610
@modestshikilana4610 Жыл бұрын
Sioni sababu ya kulumbana, fundisheni neno acheni kulumbana. Mbona hata wewe ulipiga wengi tu.
@clemencemillanzi6750
@clemencemillanzi6750 Жыл бұрын
Umemaliza mzee huna deni tena, na maneno yako, watu wenye akili yataishi mioyoni mwao daima.
@solomonlaizer9213
@solomonlaizer9213 2 жыл бұрын
Ni kweli tumtegemee Mungu mwenyewe
@user-qp7ym1lb8y
@user-qp7ym1lb8y Ай бұрын
Tatizo unakunywa pombe
@ramadhanzengwe3876
@ramadhanzengwe3876 2 жыл бұрын
Upo sawa mzee wa upako mitume yote ni ya uongo hakuna mitume sasahivi mtume wa mwisho alikuwa mtume muhamad s.a .w
@davidbochela1441
@davidbochela1441 Жыл бұрын
Alifanya muujiza gani.
@davidbochela1441
@davidbochela1441 Жыл бұрын
Muhamad alifanya muujiza gani.
@fredynjige5663
@fredynjige5663 Жыл бұрын
Muhammad hakujua kusoma
@fredynjige5663
@fredynjige5663 Жыл бұрын
Saa mbovu kuna kipindi inasema ukweli big up Mzee wa upako
@mtakatifubony5525
@mtakatifubony5525 2 ай бұрын
Mohamad tena, alikuwa malaya yule jamaaaaa
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 Жыл бұрын
MITUME NA MANABII, WATA JIJU!
@Ronaldojr_on7
@Ronaldojr_on7 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@JamesIbrahim-el4zw
@JamesIbrahim-el4zw Жыл бұрын
Je? Wewe Nina I
@JamesIbrahim-el4zw
@JamesIbrahim-el4zw Жыл бұрын
Je? Nina I
@lwihokajigili24
@lwihokajigili24 Жыл бұрын
HAMMA KITU HAPA...NJIA UNAYOTUMIA KUKOSOA WENGINE ILI UONEKANE MZURI WAKATI NIWALEWALE....NI NJIA ZURI YA KUJIPATIA WAUMINI WENGI NA KUJISAFISHA KWA JAMII...TUBU RUDI KATIKA NJIA YA KWELI
@katabanyamasala7943
@katabanyamasala7943 3 жыл бұрын
Ubarikiwe
@MzeewaupakoTz
@MzeewaupakoTz 3 жыл бұрын
Amina
@josephemmanuel388
@josephemmanuel388 Жыл бұрын
muchungaji nilikuwa ckupendi lakini sasa nakupenda sana nanitakuja kanisani kwako kusali
@josephemmanuel388
@josephemmanuel388 Жыл бұрын
@@MzeewaupakoTz nilikuwa ckupendi lakini sasa nakupenda sana nanitakuja kanisani kwako kusali.🙏🙏🙏🙏
@damasipipingo271
@damasipipingo271 3 жыл бұрын
Ubalikiwe mzeee
@Alex_Sesh
@Alex_Sesh 3 жыл бұрын
Asante sana.
@emanuelkitandu3076
@emanuelkitandu3076 2 жыл бұрын
Anton amegudua jambo
@eliyamashauri3317
@eliyamashauri3317 2 жыл бұрын
Mhuuuu labda?
@frankjohn8706
@frankjohn8706 2 жыл бұрын
KWANI MBONA MITUME TU NA MANABII WANAOTENDA MIUJIZA NA ISHARA JE HAO WA VINYAGO NA NYOTA NA MWEZI WAKO JE
@andrew29468
@andrew29468 2 жыл бұрын
Kuna ukweli mkubwa alichoongea no matter what!
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 Жыл бұрын
Mzewaupako maubiriyako nimatam yanaraza tumbua majipu kuuza maji yamia 500 Hadi 10000 mwaipopo Hadi udingo kijiko 500
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 55 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 10 МЛН
UCHAWI WA KISUKUMA UKO HIVI-REV MOSES MAGEMBE
11:25
NY TV
Рет қаралды 76 М.
HISTORIA YA VITA VYA WAYAHUDI NA WAPALESTINA
21:53
Mzee wa upako
Рет қаралды 36 М.
SIRI YA FICHULIWA UONGO WA MIUJIZA WANAYO IFANYA EV PASCHAL CASSIAN
17:24
PASCHAL CASSIAN OFFICIAL YOUTUBE
Рет қаралды 171 М.
KUOMBA NA KUABUDU
17:29
Mzee wa upako
Рет қаралды 2,3 М.
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 55 МЛН