MAANDAZI YA NAZI

  Рет қаралды 90,054

Mziwanda Bakers

Mziwanda Bakers

2 жыл бұрын

@Mziwanda Bakers
Unga/flour 500g
Sukari/Sugar 100g
Yeast/Hamira 11g/1Tbsp
Baking Powder 1tsp
Cardamon/Hiliki 1tsp
Milk Powder 2Tbsp
Nazi 1
Tui/coconut milk 1 and 1/4 cup
@mziwanda Bakers

Пікірлер: 161
@aminasultani7670
@aminasultani7670 12 күн бұрын
Asante sana nimepika maandazi laini kama sufi asante sana
@azminawanyika6201
@azminawanyika6201 Жыл бұрын
We dada ubarikiwe sana sana .mm sikuwah pula mandazi ndo mara ya kwanza nimefata vipimo vyako .wee yametoka mazuri malaini Matamu sana yan mpaka siku ya pili andaz lainiiii .ivi navyokwambia juzi nimepika nimeuza andaz miatano moja na yamegombaniwa hatar 😂❤love you
@aminamarika7601
@aminamarika7601 3 ай бұрын
Mashallah nimefatisha andaz limetoka amazingi
@d.p7353
@d.p7353 10 ай бұрын
Am Ugandan, i confirm Tanzanians make the best filled mandazi
@user-ku5hy5nc8n
@user-ku5hy5nc8n 3 ай бұрын
Nitaifanyia kazi ni kupe jibu Asante kwa somo
@demmytricia5071
@demmytricia5071 Жыл бұрын
Waoooh 🙏🙏nimejifinza
@wanjikujohnson1958
@wanjikujohnson1958 Жыл бұрын
Amazing recipe!
@user-vo4rc1vd4d
@user-vo4rc1vd4d 3 ай бұрын
Nitapika Asante unafundisha taladltibu mtu anakuelew vizuri❤
@user-hw5wu4tn1h
@user-hw5wu4tn1h 2 ай бұрын
Asnte kwa somo nafanyia kazi
@JovithaUsichoke
@JovithaUsichoke 20 күн бұрын
Congrats 🎉🎉unajua sana sister
@user-np3ny9le7m
@user-np3ny9le7m 5 ай бұрын
Kaz nzur mafuta ya mot au ya barid
@NaahBoniphace
@NaahBoniphace Ай бұрын
Daah!! Nzurii sana nimepend mpk nameza mate❤❤
@agnesskway8180
@agnesskway8180 Ай бұрын
Mmmmh maandazi mazuri
@user-wc4gr6mj9o
@user-wc4gr6mj9o 2 ай бұрын
Ahsante dad mungu akubark San
@Juliandila
@Juliandila Жыл бұрын
How can I like this video a million times
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Just a smile ❤❤❤
@radugabriel6103
@radugabriel6103 Жыл бұрын
Asante upovizur mama nimeipenda iyo
@josephinealex8966
@josephinealex8966 Жыл бұрын
Asante Mziwanda Bakars ,nashukuru sana nimekuelewa.
@beatriceuisso8364
@beatriceuisso8364 2 ай бұрын
Hongera zako my. Nimekuelewa Sana ❤.
@user-cc6wo4bp2p
@user-cc6wo4bp2p 8 ай бұрын
🙏🙏 barikiwa
@emanuelnyab9872
@emanuelnyab9872 2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@user-vl2rc5zi2r
@user-vl2rc5zi2r 3 ай бұрын
Waoo maamdaz matam sana❤❤❤ ubarikiw
@drinahmwakio4929
@drinahmwakio4929 3 ай бұрын
Asante Kwa somo yangu huwa ni ngumu
@IreneMtavangu
@IreneMtavangu 2 ай бұрын
Ubarikiwe
@cralaKolle
@cralaKolle 2 ай бұрын
Nmeipenda
@mwaliashakashindi-hg8wu
@mwaliashakashindi-hg8wu 4 ай бұрын
Kazi nzuri
@hasinarashid5059
@hasinarashid5059 2 жыл бұрын
Nimesikiaa njaa ghafla😋😋
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
😉😉
@Bhokemotenyamuhanga
@Bhokemotenyamuhanga 2 ай бұрын
Asante dada kwa somo ila Mimi nikipika yanakuwa na ugali katikati namba unisaidie
@yasminmohamed8946
@yasminmohamed8946 4 ай бұрын
Just subscribed🌷🌷🌷
@yasminmohamed8946
@yasminmohamed8946 4 ай бұрын
I like your channel, because it has English ingredients🌷🌷🌷
@sofiarajabu1210
@sofiarajabu1210 2 ай бұрын
Asante
@SurprisedCakeSlice-go1ii
@SurprisedCakeSlice-go1ii Ай бұрын
Masaala
@user-qi4ph1gh7w
@user-qi4ph1gh7w 7 ай бұрын
Yanamuinekano mzuri
@salmaalnaamani2786
@salmaalnaamani2786 2 жыл бұрын
Mansha'Allah matamu😋😋
@ainekishasamwel1248
@ainekishasamwel1248 11 ай бұрын
Dada mandaz yang yanakua hayn nyama ndan nini tatizo
@bingasamali8054
@bingasamali8054 6 ай бұрын
Ahsante
@doramgaya467
@doramgaya467 Жыл бұрын
Asante sana dada nitajaribu na mimi
@zawadimalyagili5833
@zawadimalyagili5833 Жыл бұрын
Vzr sana
@paschalimaduka5589
@paschalimaduka5589 Жыл бұрын
Naomba njifunze toka kwako kukanda mandazi vzul
@GitauMuiruri-qw9bw
@GitauMuiruri-qw9bw Ай бұрын
Do we have flour with out gruttain ??? watching in Mombasa,
@ruthotanga2960
@ruthotanga2960 4 ай бұрын
I need to learn for bsnz
@Usercintahcin
@Usercintahcin Жыл бұрын
Asante sana mziwanda Bakers
@devothafesto9853
@devothafesto9853 Жыл бұрын
Mazuri sn
@MakwiriMabula
@MakwiriMabula Ай бұрын
nimekuelewa nafaniakazi ubarikiwena bwana 2:15
@salmanamulwa4390
@salmanamulwa4390 Жыл бұрын
Asata.mama
@user-ty2wz6un5o
@user-ty2wz6un5o 4 ай бұрын
Asante nimependa upishi wako wa maandazi na Mimi nitajaribu kipika
@vero57
@vero57 10 ай бұрын
Mie napima na kikombe au macho
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 5 ай бұрын
Safi
@zilpamgeta9031
@zilpamgeta9031 Жыл бұрын
Na mm napenda kujifunza
@wedielmbaga1489
@wedielmbaga1489 Жыл бұрын
Mm nikipika madazi juu yanakua na ugumu sijui kwann
@johnanaclet9203
@johnanaclet9203 6 ай бұрын
Sawa
@hiltrudemtalo9294
@hiltrudemtalo9294 2 ай бұрын
Asante sana
@siriyangu4724
@siriyangu4724 2 жыл бұрын
Mashallah ilo nipate na mbaazi weeh shukran daa
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
😉😉👌👌
@AliethAbela
@AliethAbela 2 ай бұрын
Dalasa inakuwaje
@juliethmukulasi7365
@juliethmukulasi7365 4 ай бұрын
Nice
@edithndungulu5251
@edithndungulu5251 2 жыл бұрын
😋😋🔥🔥
@Salumtatu
@Salumtatu Ай бұрын
Asante dada
@user-qi4ph1gh7w
@user-qi4ph1gh7w 7 ай бұрын
Matamu sanaa
@sophiewawasi7529
@sophiewawasi7529 2 жыл бұрын
Nashukuru nilipika yakatokea vizuri.Shukurani.Naomba kujuwa kutengeza icing sugar
@Alliyhemed-gs6oz
@Alliyhemed-gs6oz 11 ай бұрын
Nambie ebu
@RoseMelkiory-ci1or
@RoseMelkiory-ci1or Жыл бұрын
Mm nimgwn hapo ila nimekupenda Bure je hufundishi Kwa vitendo nje ya simu kipenzi
@Fatma-to6rq
@Fatma-to6rq 3 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@user-qo3ni2yl6d
@user-qo3ni2yl6d 26 күн бұрын
Kangu mimi shida kubwa mandazi yanakunywa mafuta
@happymcharo9059
@happymcharo9059 23 күн бұрын
moto mdogo
@priscillaobadiah-eg6id
@priscillaobadiah-eg6id 3 ай бұрын
Habar dada, naomba utufundishe jinsi yakupik mandazi yale makubwa sana ya biashara,yanakua manene alafu yamejaa ,yanapikwaje? Na pia shida yangu ni asubh mandaz yanakua magum.
@user-dr3et1gg7t
@user-dr3et1gg7t 8 ай бұрын
Ngoja niingie jikoni na mmi naleta majibu madam
@nulkhafahud
@nulkhafahud 2 жыл бұрын
Sante love
@EManuelyKiyao
@EManuelyKiyao 2 ай бұрын
🎉
@SaidyMhamedy
@SaidyMhamedy 11 ай бұрын
Mm nimgenyi wa mdanzi ya biashala
@devothakatuba1588
@devothakatuba1588 7 ай бұрын
Njia nzur
@devothakatuba1588
@devothakatuba1588 7 ай бұрын
Kwan blubend hujaweka
@miner_online7323
@miner_online7323 11 ай бұрын
❤❤❤❤
@dinahkimario3361
@dinahkimario3361 Жыл бұрын
Thank you
@jamilabakari9260
@jamilabakari9260 Ай бұрын
Kama sina mzanj
@jacquelinemauq9893
@jacquelinemauq9893 Жыл бұрын
🙏
@veronicajelome9126
@veronicajelome9126 Ай бұрын
Mimi naomba kuuliza nazi aichemshwi inakandwa ivyo ivyo ya baridi unakandia
@estheremanuel9806
@estheremanuel9806 Жыл бұрын
Shida yangu ngozi ya andazi inakuwa mgumu ila ndani imeiva vizuriiiii Sana sasa sijui nakosea wap
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Moto umekuwa mkali zaidi jaribu kuchomea moto wa kiasi
@vivianmshomi9975
@vivianmshomi9975 10 күн бұрын
Hapo kwenye maandishi ( recipe) hukuandika chumvi na mafuta ya kukandia japo umeelezea wakati wa kuongea.
@user-lp1md4mw3q
@user-lp1md4mw3q 9 ай бұрын
Nataka kujua kupika afkeki jeeunaweza kunipa darasa hilo
@elesrobert7642
@elesrobert7642 Жыл бұрын
Na pia maandazi yangu yanakua hayana kitu ndani
@gudillamarandu679
@gudillamarandu679 2 жыл бұрын
Ingekuwa kilo moja hamira kiasi gani na baking powder kiasi gani
@Alliyhemed-gs6oz
@Alliyhemed-gs6oz 11 ай бұрын
Mm naponda unga nayakata mandazi ila ukat wAkuchoma yanazama mpaka bade yanakuja ju tatzonn ala yana paxuka
@beatriceakirwa7379
@beatriceakirwa7379 Жыл бұрын
Mimi nimetoa yanaumuka upya ndan yaan ngano kabisa🥺
@user-np3ny9le7m
@user-np3ny9le7m 5 ай бұрын
Mbn hutujibu
@solomoniswilla8441
@solomoniswilla8441 Жыл бұрын
Amira vip
@user-fj2wv9ou9y
@user-fj2wv9ou9y 3 ай бұрын
Nataka kujua hamuweki baking powder
@user-lp1md4mw3q
@user-lp1md4mw3q 9 ай бұрын
Shidayangu kilanipika yanakua mahewa ndani
@loisagracesamuelmpangala5429
@loisagracesamuelmpangala5429 2 жыл бұрын
Maandazi kuwa na mafuta ndani na ngozi ngumu
@USHINDIPETER-fl3ov
@USHINDIPETER-fl3ov Жыл бұрын
Yana uwezo wa kukaa kwa siku ngapi?
@evalinemalole6709
@evalinemalole6709 Ай бұрын
😢 mimi shida yangu ni mandaz yanakua magumu nahisi nakosea kwenye kukanda, natakiwa kukanda unga kwa muda gani?
@queentz8314
@queentz8314 2 жыл бұрын
Mashaalah missing you mamii. Tofauti ya mandazi na mahamri ni ipi?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Sijajua tofauti yake ntachunguza au ni jina tu ??
@paulalove1223
@paulalove1223 6 ай бұрын
Nahisi nikitu kimoja lugha tofauti
@shaheroselalji9890
@shaheroselalji9890 11 ай бұрын
You have forgotten to list oil in the list of ingredients
@rehemamvungi5514
@rehemamvungi5514 2 жыл бұрын
Mimi yangu yanakuwa na nyama nyingi kwanini naomba nijuze
@elijahgeorge4808
@elijahgeorge4808 10 ай бұрын
Mandazi mazuri me nikipika ngozi yake inakuwa ngumu naomba uniambae nakosea wap
@growngrowingdorry7985
@growngrowingdorry7985 Жыл бұрын
Changamoto kubwa ni kukanda na kupimia baking powder
@lailaahmed8399
@lailaahmed8399 2 жыл бұрын
Mie vidole jamani vinajichora.. asante kwa video nzuri
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Vidole vinajichora wapi mpendwa?
@charlesmudson1470
@charlesmudson1470 2 жыл бұрын
Mbona nikipika maandanzi yabiashara kilo 4 yanakua dry baadae kama yajana
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Tutaleta ufumbuzi
@jescabandi
@jescabandi 3 ай бұрын
Mambo naomba nisaidie kwa nn nikipika andazi linakua na ngoz ngum nifanyaj
@elesrobert7642
@elesrobert7642 Жыл бұрын
Nina swali mm maandazi yangu yanakua malaini sana sababu nn?
@sharifaswai6060
@sharifaswai6060 2 жыл бұрын
yanakuwa magumu
@prisikachande
@prisikachande 2 ай бұрын
minkipika yanakua magumu
@esterhezron9939
@esterhezron9939 2 жыл бұрын
Ninaswali jamani unaweza ukatumia maziwa ya unga na blue band kwa wakat mmoja?
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
Unaweza
@vumiliasimon1789
@vumiliasimon1789 3 ай бұрын
Jamn unga kilo 3 viungo saizi yake
@MASTULAMOHAMED-ug5on
@MASTULAMOHAMED-ug5on 10 ай бұрын
Shida yangu nilikuwa naomba vipimo vya kila hitaji la maandazi
@MfaumeMfaume-kb8vf
@MfaumeMfaume-kb8vf 9 ай бұрын
nime yapenda piya natamani nifanye biashara hiyo lakini siwezi kuyapika diy
@julyjoyce566
@julyjoyce566 2 жыл бұрын
Nikipika maandazi yangu yanakuwa na chumba na seble😆😆😆😆😆nikaambiwa wanayapenda watu wa tanga
@kutailadifi2854
@kutailadifi2854 2 жыл бұрын
😀😀😀Jmn Ety chumba NA sebule
@mziwandabakers8297
@mziwandabakers8297 2 жыл бұрын
😂😂😂
Jinsi ya kupika maandazi/mahamri laini na mambo ya kuzingatia
10:03
Shuna's Kitchen
Рет қаралды 1,7 МЛН
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 21 МЛН
When someone reclines their seat ✈️
00:21
Adam W
Рет қаралды 24 МЛН
New Gadgets! Bycycle 4.0 🚲 #shorts
00:14
BongBee Family
Рет қаралды 16 МЛН
Универ. 13 лет спустя - ВСЕ СЕРИИ ПОДРЯД
9:07:11
Комедии 2023
Рет қаралды 3 МЛН
JINSI YAKUPIKA DONUTS RAHISI SANA/HOW TO MAKE  SOFT DONUTS AT HOME
10:36
Mziwanda Bakers
Рет қаралды 172 М.
jinsi  ya kupika maandazi ya nazi na hiliki matam sana
8:17
Asha Yummy
Рет қаралды 22 М.
MAANDAZI YA KISHUA YANAPIKWA HIVI
4:22
keki plus
Рет қаралды 207 М.
Jinsi ya kupika Chapati  za kusukuma kwa Urahisi.... S01E10
11:56
B's Magic Kitchen
Рет қаралды 88 М.
KUPIKA MAANDAZI/ BIASHARA YA MAANDAZI /mapishi/ ika malle
9:28
Jinsi ya kupika VITUMBUA vitamu kwaajili ya FAMILIA yako | Pika na Babysky
25:28
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 21 МЛН