@Mziwanda Bakers Unga/flour 500g Sukari/Sugar 100g Yeast/Hamira 11g/1Tbsp Baking Powder 1tsp Cardamon/Hiliki 1tsp Milk Powder 2Tbsp Nazi 1 Tui/coconut milk 1 and 1/4 cup @mziwanda Bakers
Пікірлер: 161
@aminasultani767012 күн бұрын
Asante sana nimepika maandazi laini kama sufi asante sana
@azminawanyika6201 Жыл бұрын
We dada ubarikiwe sana sana .mm sikuwah pula mandazi ndo mara ya kwanza nimefata vipimo vyako .wee yametoka mazuri malaini Matamu sana yan mpaka siku ya pili andaz lainiiii .ivi navyokwambia juzi nimepika nimeuza andaz miatano moja na yamegombaniwa hatar 😂❤love you
@aminamarika76013 ай бұрын
Mashallah nimefatisha andaz limetoka amazingi
@d.p735310 ай бұрын
Am Ugandan, i confirm Tanzanians make the best filled mandazi
@user-ku5hy5nc8n3 ай бұрын
Nitaifanyia kazi ni kupe jibu Asante kwa somo
@demmytricia5071 Жыл бұрын
Waoooh 🙏🙏nimejifinza
@wanjikujohnson1958 Жыл бұрын
Amazing recipe!
@user-vo4rc1vd4d3 ай бұрын
Nitapika Asante unafundisha taladltibu mtu anakuelew vizuri❤
@user-hw5wu4tn1h2 ай бұрын
Asnte kwa somo nafanyia kazi
@JovithaUsichoke20 күн бұрын
Congrats 🎉🎉unajua sana sister
@user-np3ny9le7m5 ай бұрын
Kaz nzur mafuta ya mot au ya barid
@NaahBoniphaceАй бұрын
Daah!! Nzurii sana nimepend mpk nameza mate❤❤
@agnesskway8180Ай бұрын
Mmmmh maandazi mazuri
@user-wc4gr6mj9o2 ай бұрын
Ahsante dad mungu akubark San
@Juliandila Жыл бұрын
How can I like this video a million times
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Just a smile ❤❤❤
@radugabriel6103 Жыл бұрын
Asante upovizur mama nimeipenda iyo
@josephinealex8966 Жыл бұрын
Asante Mziwanda Bakars ,nashukuru sana nimekuelewa.
@beatriceuisso83642 ай бұрын
Hongera zako my. Nimekuelewa Sana ❤.
@user-cc6wo4bp2p8 ай бұрын
🙏🙏 barikiwa
@emanuelnyab98722 жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@user-vl2rc5zi2r3 ай бұрын
Waoo maamdaz matam sana❤❤❤ ubarikiw
@drinahmwakio49293 ай бұрын
Asante Kwa somo yangu huwa ni ngumu
@IreneMtavangu2 ай бұрын
Ubarikiwe
@cralaKolle2 ай бұрын
Nmeipenda
@mwaliashakashindi-hg8wu4 ай бұрын
Kazi nzuri
@hasinarashid50592 жыл бұрын
Nimesikiaa njaa ghafla😋😋
@mziwandabakers82972 жыл бұрын
😉😉
@Bhokemotenyamuhanga2 ай бұрын
Asante dada kwa somo ila Mimi nikipika yanakuwa na ugali katikati namba unisaidie
@yasminmohamed89464 ай бұрын
Just subscribed🌷🌷🌷
@yasminmohamed89464 ай бұрын
I like your channel, because it has English ingredients🌷🌷🌷
@sofiarajabu12102 ай бұрын
Asante
@SurprisedCakeSlice-go1iiАй бұрын
Masaala
@user-qi4ph1gh7w7 ай бұрын
Yanamuinekano mzuri
@salmaalnaamani27862 жыл бұрын
Mansha'Allah matamu😋😋
@ainekishasamwel124811 ай бұрын
Dada mandaz yang yanakua hayn nyama ndan nini tatizo
@bingasamali80546 ай бұрын
Ahsante
@doramgaya467 Жыл бұрын
Asante sana dada nitajaribu na mimi
@zawadimalyagili5833 Жыл бұрын
Vzr sana
@paschalimaduka5589 Жыл бұрын
Naomba njifunze toka kwako kukanda mandazi vzul
@GitauMuiruri-qw9bwАй бұрын
Do we have flour with out gruttain ??? watching in Mombasa,
@ruthotanga29604 ай бұрын
I need to learn for bsnz
@Usercintahcin Жыл бұрын
Asante sana mziwanda Bakers
@devothafesto9853 Жыл бұрын
Mazuri sn
@MakwiriMabulaАй бұрын
nimekuelewa nafaniakazi ubarikiwena bwana 2:15
@salmanamulwa4390 Жыл бұрын
Asata.mama
@user-ty2wz6un5o4 ай бұрын
Asante nimependa upishi wako wa maandazi na Mimi nitajaribu kipika
@vero5710 ай бұрын
Mie napima na kikombe au macho
@nahyialetomia92845 ай бұрын
Safi
@zilpamgeta9031 Жыл бұрын
Na mm napenda kujifunza
@wedielmbaga1489 Жыл бұрын
Mm nikipika madazi juu yanakua na ugumu sijui kwann
Mm nimgwn hapo ila nimekupenda Bure je hufundishi Kwa vitendo nje ya simu kipenzi
@Fatma-to6rq3 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@user-qo3ni2yl6d26 күн бұрын
Kangu mimi shida kubwa mandazi yanakunywa mafuta
@happymcharo905923 күн бұрын
moto mdogo
@priscillaobadiah-eg6id3 ай бұрын
Habar dada, naomba utufundishe jinsi yakupik mandazi yale makubwa sana ya biashara,yanakua manene alafu yamejaa ,yanapikwaje? Na pia shida yangu ni asubh mandaz yanakua magum.
@user-dr3et1gg7t8 ай бұрын
Ngoja niingie jikoni na mmi naleta majibu madam
@nulkhafahud2 жыл бұрын
Sante love
@EManuelyKiyao2 ай бұрын
🎉
@SaidyMhamedy11 ай бұрын
Mm nimgenyi wa mdanzi ya biashala
@devothakatuba15887 ай бұрын
Njia nzur
@devothakatuba15887 ай бұрын
Kwan blubend hujaweka
@miner_online732311 ай бұрын
❤❤❤❤
@dinahkimario3361 Жыл бұрын
Thank you
@jamilabakari9260Ай бұрын
Kama sina mzanj
@jacquelinemauq9893 Жыл бұрын
🙏
@veronicajelome9126Ай бұрын
Mimi naomba kuuliza nazi aichemshwi inakandwa ivyo ivyo ya baridi unakandia
@estheremanuel9806 Жыл бұрын
Shida yangu ngozi ya andazi inakuwa mgumu ila ndani imeiva vizuriiiii Sana sasa sijui nakosea wap
@mziwandabakers8297 Жыл бұрын
Moto umekuwa mkali zaidi jaribu kuchomea moto wa kiasi
@vivianmshomi997510 күн бұрын
Hapo kwenye maandishi ( recipe) hukuandika chumvi na mafuta ya kukandia japo umeelezea wakati wa kuongea.
@user-lp1md4mw3q9 ай бұрын
Nataka kujua kupika afkeki jeeunaweza kunipa darasa hilo
@elesrobert7642 Жыл бұрын
Na pia maandazi yangu yanakua hayana kitu ndani
@gudillamarandu6792 жыл бұрын
Ingekuwa kilo moja hamira kiasi gani na baking powder kiasi gani
@Alliyhemed-gs6oz11 ай бұрын
Mm naponda unga nayakata mandazi ila ukat wAkuchoma yanazama mpaka bade yanakuja ju tatzonn ala yana paxuka