dunuia imetoka mbali sana jaman ..........kama mnanikubali gongeeni like kwenye huu wimbo jaman ............mbarikiwe wote mnaosikiliiza huu wimbo
@faustinesimon12404 жыл бұрын
Huu wimbo una upako wa ajabu sana yaani ukiwa na shida unakufariji mpaka
@user-rb8dq6pj4s4 ай бұрын
Tumaini shangilieni mungu awabariki sana mnaimba vizuri sana
@TumainiShangilieniChoir2 ай бұрын
Amen Amen, Sifa na Utukufu ni kwa Bwana Yesu
@rahabujulius45953 ай бұрын
nakulilia wewe pekee mungu toka 1992 mpaka Sasa 2024,jitukuze kwangu mungu
@arnoldvictor87633 жыл бұрын
Pongezi zenu nyingi toka kwangu. Mlitia fora sana pale Kifula, Ugweno wilayani Mwanga mlipokesha mkiimba katika harusi yangu JULAI 11, 1992!!! SITAWASAHAU!
@TumainiShangilieniChoir3 жыл бұрын
Amen Amen. Ahsante sana; Mungu akubariki.
@paulmango_ke Жыл бұрын
Nakutolea Mwokozi mali na maisha yangu, nikutukuze we Mungu; Ulimwengu navyo vyote viijazavyo dunia vyote ni mali yako Bwana. Maisha, napita; najiwekea hazina kwako ee Baba.
@anthonymbise190310 ай бұрын
Ni wimbo ambao kiukweli unatafakarisha sn ee MWENYENZI UTUPE MWISHO MWEMA AMEEEEEEEEEEEEEEN
@DativaMboweАй бұрын
Jeshi lijapo pigana nami sitoogopa maana upo jeova❤❤
@julithamuhale727110 ай бұрын
Jeshi linapojipanga kupigana nami sintaogopa! Mbarikiwe wote mlioshikiri kuimba Wimbo mzuri huu!
@julianaharrison4356 Жыл бұрын
2023 niko hapa nakulilia Jehovah
@user-vm4yb1em4p3 ай бұрын
Same here
@josephkiteleja5102 Жыл бұрын
MUNGU awatangulie sana nabarikiwa kupitia nyimbo hii sifa na utukufu ni kwako bwana🙏Asanten wazazi wangu Patrick Kiteleja na selina mkinga
@elibarikimushi32644 жыл бұрын
Enzi hizo za Albamu ya SHANGILIENI, hadi tukawaita "kwaya ya shangilieni". Hakika waimbaji wakitulia na Mungu, kazi zao huwa zinaishi hazichuji.
@georgemzuli34224 жыл бұрын
Hakika hakika
@georgemzuli34224 жыл бұрын
Sitaogopa sababu ww upo Nakutegemea eweeh bwana wangu Katika shida zangu zoteee
@cristianoprincegabrielles39513 жыл бұрын
Wallahi Bro Hii Choir unikumbusha mbali sana yaani, Marehemu Babangu aliipenda sana nasi kama watoto wake tukafata mkondo huo na tuliita jina hilo pia,,,, "Shangilieni Choir"
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Ni maombi yetu kwamba Mungu aendelee kuwatunza na kuwahudumia mwilini na rohoni
@cristianoprincegabrielles39512 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir Amen 🙏. Nawapenda sana Choir inayoubariki Moyo wangu ♥️🤗🤗🤗
@vicentmeshack7612 Жыл бұрын
Nakumbuka mengi na wengi,lakini katika hayo yote MUNGU utukuzwe,kwani ni mapenzi yako,naupenda sana sana huu wimbo.
@user-nz8wr5rx8g11 ай бұрын
Nilikuwa mdogo sana enzi hizo lakin Kwa uimbaji wao sijawah kuwasahau jaman mungu awabariki sana hata kama wapo ambao wachatutangulia najua mungu ashawappokea
@philipomponeja2457Ай бұрын
aisee hizi nyimbo hizi😢 MUNGU aturehemu tu tuendelee kuwa wazma! popote alipo mama yangu mama ngoro! mlitubaliki sana
@ChrisperMalamshacrispaseve2 жыл бұрын
Kila mwaka napitia huku time hizi, Udogo wangu ulikwenda poa sana enzi hizi ... Mungu awabariki wote kwa namna yake aisee!!
@user-pg5ol1xe7x4 ай бұрын
Akika mulihimba vizuli mungu awabariki❤
@JohnThadayo2 ай бұрын
Mungu awabariki sana,naposikiliza huu wimbo naona utukufu wa mungu kwakweli
@TumainiShangilieniChoir2 ай бұрын
Amen, Endelea Kubarikiwa
@VickyTarimo-vx9fi11 ай бұрын
Nakumbuka mbali nahisi kulia kwa kweli (nakutegemea ewe bwana wangu katoka shida zangu zote) kama kuna walio tangulia mbele za haki kati yao mungu awafanyie wepesi .
@josephkiteleja510211 ай бұрын
Amina kwa kweli utoto wetu ulikuwa mzuri sana
@devidpanja1153 жыл бұрын
Furaha ilioje kuslikiza tena nyimbo zangu za utotoni asante Yesu
@mussamohamedi8581 Жыл бұрын
Nawakumbuka Sana wapendwa karibuni Tena singida.niliwaona nikiwa umri mdogo bt now 2022 nyimbo zenu bado zinaishi moyoni mwangu.mungu awape maisha marefu mzidi kumtangaza bwana kwa nyimbo zenu.
@mtawali20022 жыл бұрын
Naupenda sana wimbo huu. Unanikumbusha Radio Habari Maalum
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen
@amanindoveni72033 жыл бұрын
Huu wimbo...is one of the best songs I've heard when I was a little child. Naupenda sana na unanikumbusha mbali sana wakati nikiwa mtoto
Nakutegemea wew Bwana wangu katika shida zangu zote. 🙏🙏😭😭😭😭
@TumainiShangilieniChoir2 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni Akubariki
@newtonsimba79302 жыл бұрын
Amen. Nimebarikiwa nikakumbuka nyakati za DVD. Be blessed. Wonderful song ❤️🌹🇰🇪.
@luckypmsambaa49128 ай бұрын
jamani BWANA YESU ASIFIWE naombeni niurudie huu wimbo niufanyue kava nimeupenda sana umekua ukiutesa ufahamu wangu siku nyingi japo sina cha kuwapa niombi tu
@rodriguendoole96759 ай бұрын
I have goose bumps whenever I listenen to this tumaini's songs, those were the days where people used to let the spirit of God takes the first place.
@officialidayo2 жыл бұрын
Still sweet in 2021 kama wasikiza Bado in 2021 drop your like
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Blessings
@newtonsimba79306 ай бұрын
2024 here. Blessed.
@shilarida36464 жыл бұрын
2020 February much love from Kenya. Since 1996 till now. Thank you God for everything
@newtonsimba79306 ай бұрын
Amen ❤️.
@josepharunga46146 жыл бұрын
Tangu ujana wenu m'enibariki kwa nyimbo zenu. Nawaombea neema zake Mwenyezi Mungu. M'eimba nyimbo nyingi nzuri, lakini huu mkanda ndio my favorite! Be blessed
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen AMen; Ahsante sana kwa maombi
@hugongokoko7946 Жыл бұрын
Hakika Mungu alikuwepo karibu enzi hizo
@newtonsimba79306 ай бұрын
Still so touching, 2024Jan1.Sitaogopa, nitamtegemea Bwana. Amen❤️🇰🇪.
@fridahmandawa177911 ай бұрын
Nabarikiwa mnoo na hii nyimbo.
@mercyombego96743 жыл бұрын
This song reminds me of my late mum she used to love it
@TumainiShangilieniChoir3 жыл бұрын
May her precious soul rest in eternal peace
@josphenenezerine26856 ай бұрын
Amen , nakutengemeya wewe Mungu wangu katika shida zangu zote na maitaji yangu yote🙏🙏🙏🙏
@juliussonga64737 жыл бұрын
Tumaini hapana lingana Na kwaya yeyote,mko Na upako wa tofauti sanaaaa. Mbarikiwe mpaka mshangae.
@listonmassao51304 жыл бұрын
the best choir of all time...Cjawah zichoka hizi nyimbo Tangu enz hizo mpka mda huu...Mungu azid kuwatangulia na hizi nyimbo bdo ni hit songs kwangu...AMen.
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa maombi yako ndugu. Mungu aendelee kukutunza wewe na nyumba yako.
@KedmonKinyunyu Жыл бұрын
Amna sanaaa nabalikiwa Sana wimbo mzur una ujumbe
@lomaolais41552 жыл бұрын
Hawa watu Mungu awabariki uimbaji wao unanibariki sana, nimekuwa nikiwafuatilia toka miaka ya 2000
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki pia
@israelzakayo24063 ай бұрын
Wapendwa mnanibariki Sana nawapenda sana❤❤❤❤❤
@tuomwinuka4460 Жыл бұрын
This is my best song from my child hood...nakulilia Jehovah ...stay blessed my people mmenikumbusha mbali Sana na uimbaji uaiochuja
@frankmbatta4403 жыл бұрын
More than 15years listening to this song,kila siku is a new song in my heart.
@TumainiShangilieniChoir3 жыл бұрын
We pray that Jehovah, our Lord almighty who hears our cries, that he hears and remember you in your time of grief and rejoice
@georgemassebu20832 жыл бұрын
Acha tu aisee...nakumbuka maisha fulani hivi kiasi natoaga machozi,zamani hairudi na raha zake
@janethballi Жыл бұрын
Asante sana mungu awatunze
@MnkondoBendera11 ай бұрын
@@TumainiShangilieniChoir0:33 0:33
@user-fu4ki2ph7h9 ай бұрын
The Psalm of David, still speaking and encouraging us to this day😢
@mangikariakoo42972 ай бұрын
Nakulilia jehova 2024
@merina73482 жыл бұрын
Anglican Mungu atuimarishe tuzidi viwango zaidi ya hivi sasa congole Tumaini choir St.James
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen Amen, Ahsante kwa maombi; Mungu wetu mwema akubariki sana
@benard4378 Жыл бұрын
This brethren preached grace without their knowledge. The hand of God was upon them for God to reach out to us. I personally I received grace from their message and I think some today are old enough to sit and hear other generations singing but their songs were sawn together by the Holy Spirit. Thanks to God and to you for being a bridge for my reach out.
@elizabethmgassa72436 ай бұрын
Hawa ndio waliipeleka injili ya kweli hata kuimba kwao walidhamilia kumtimikia Mungu sio km waimbaji wa Leo wanataka kujionyesha na sifa nyingi na kwa ajili ya pesa tu
@mozesamizi9312 жыл бұрын
Wapendwa nyie watu wa Mungu mpo!!,wangapi waliimba hii wapo hadi leo!Mungu awabariki
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Tupo ndugu na rafiki yetu. Wapo wengi zaidi ya asilimia 95
@israelkisaila840110 ай бұрын
@@TumainiShangilieniChoirnatamani siku moja tuwas8kie wote wakitoa shuhuda zao ,tangu walipoanza kuimba mpaka sasa,tuwasikie,mnatubariki mnoo
@labanakyoo41772 жыл бұрын
Mungu awabariki popote mlipo mlioimba wimbo huu, mliimba Kwa msaada wa roho mtakatifu, Bwana asiwaache,
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen
@stephen36142 жыл бұрын
This CHOIR has played a very VITAL ROLE in my LIFE;May ALMIGHTY GOD BLESS YOU AND YOUR GENERATIONS INDEED.
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen, we are glad and humbled to have been of impact in your life; May our Good Lord Jesus Christ bless you and your beloved ones
@gracehezron12162 жыл бұрын
Glory to God
@gracehezron12162 жыл бұрын
Katika shida zangu zooooteeee.Glory to God Tumaini choir
@clementkileo37823 жыл бұрын
Hii kwaya nyimbo zoa zinanifariji na kunibariki sana.MUNGU awabariki sana
@esdraskambale9661 Жыл бұрын
Nyimbo hizo zajigenga sana. Mungu wetu aibariki shangilieni vizazi kwa vizazi
@mwitasamwel79726 жыл бұрын
Jeshi lijapojipanga kupigana nami sitaogopa nakutegea wewe bwana wangu . mmbarikiwe sana popote mlipo st.james Arusha
@SuperBlessedb3 жыл бұрын
Hayo maneno ninayapenda sana
@jenahando2747 Жыл бұрын
So many memories during that time and we are still here 2023.God is Great
@corneillemikalano733211 ай бұрын
Wakati Mungu ali kuwa na heshimika
@dingo21102 жыл бұрын
Heard this song from Ben mnyampi a salvation army officer missionary in Kenya who taught it to joyland special school for the disabled children.30years ago and it was a blessing and to date it touches my heart mightly...
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
We are so much humbled to have been a blessing into your life and the lives of those young children to who it was taught.
@festohkozby13783 жыл бұрын
This song sounds heavenly. Takes me back in time
@paulmango_ke4 жыл бұрын
Tafadhali twahitaji nyimbo zaidi kama hizi si sarakasi, Asante.
@emmanuelmollel77554 жыл бұрын
Za kale dhahabu hapo nikumbuka niikuwa nakuwa naikuta hii nyimbo ila mpk leo inanigusa xana na naipenda itx ma favourate choir n' itx inxpire me enough
@georgeketo159 ай бұрын
Hawa jamaa hawachuji aisee... ni icon katika kwaya za kanisa Anglikana ... ni "marolimodo" wangu katika ufundishaji wa kwaya!
@eliudlucas87195 ай бұрын
Amina maina aaah inabariki saana
@benjaminjackson85672 ай бұрын
Kiukweli mi huwa sichoki kusikiliza hizi Nyimbo zote🙏🏿🙏🏿🙏🏿♥️♥️♥️🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿
@TumainiShangilieniChoir2 ай бұрын
Ameen, Mungu wa Mbinguni Akubariki
@erickfredy45663 жыл бұрын
Mbarikiwe sana "jeshi lijapo jipanga kupigana nami sitaogopa sababu wewe upo"🙏🙏
@innocentkamote74586 жыл бұрын
Kwaya yangu ya kwanza kabisa kuisikiliza na kuipenda mnafanya kazi nzuri sana
@berithaandersonn22345 жыл бұрын
Nakutolea mwokozi, mali na maisha yangu.... vikutukuze ewe MUNGU... zamani utotoni nilikua nakasirika sana hizi video waziziweka yaani leo ndo naelewa ujumbe😁
@greysonmheni69383 жыл бұрын
Ee Mungu uwakumbuke watumishi wako hawa.
@bizamanamvukira78334 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kupata nyimbo hizi ni nzuri sana nilikuwa na album hii 1999 Sasa leo naipata nashukuru Mungu sana Mubarikiwe
@omarinziku93283 жыл бұрын
Eeehhh mungu wangu tutazame waja wako, mpaka inanitoa machoz
@billyrique6 жыл бұрын
Yaani huu wimbo ninapokuwa katika shida na majaribu nikiusikiliza huwa wanifariji sanaa! Maneno mazuri yanagusa sanaa!!
@billyrique6 жыл бұрын
One of my best songs from this choir TUMAINI SHANGILIENI CHOIR ST. JAMES AC ARUSHA
@idikagutsungwa77844 жыл бұрын
Hakika wameimba
@lightnessmungongo93112 жыл бұрын
nazipeza sana nyimbo za hii album ...zinanibariki mnoooo❤️
@frankahia18832 жыл бұрын
Very special song And wonderful hakika Mungu alitukuzwa kupitia wimbo huu
@anosisyekinsindi76662 жыл бұрын
Umejaa nguvu Roho mtakatifu
@amospemba189 Жыл бұрын
kweli nimetoka mbali kipindi hicho nishaoga tuawekewa mkanda wa kwaya hivi. mbarikiwe 👌
@nsajigwarichard19513 жыл бұрын
Nasikia kutiwa moyo sana sana. Mungu awabariki sana wapenzi
@yusramgendi85825 жыл бұрын
Naipenda sn hii nyimbo nikiisikiliza napata amani ya ajabu.! inanikumbusha mbali sn! DahMungu awabariki sn.
@geraldnyawehe74213 жыл бұрын
Nawakumbuka sana nduguzangu mungu ayilinde Atlanta zenu.kiukweli ninamkumbuka Joni mtango wakati ninaimba kwaya yazaburi Ngaramtoni kiukweli walikuwa wanatupahamasa sana Mimi mpaka leonasikiliza hikwsya
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki zaid
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Amen, Tunashukuru sana
@stephanimtaita115810 ай бұрын
Duuh kazi nzuri sana hii... Nausikiliza wimbo huu tangu ninunue kanda ya audio mwaka 2002.. Miaka 21 sasa
@donaldmhulula68883 жыл бұрын
Naishukuru sana St.Phillips Anglican Theologian College Ya Dodoma Kongwa Kijiji cha Mlanga Nakumbuka Tulikua tuna ruhusiwa kuangalia Television siku ya juma Pili,na hivi ndivyo nika pata kuwajua ! na wimbo huu una endelea kuni jenga ki IMANI, nabarikiwa sana pia wabarikiwe wachungaji wanafunzi kwa kutuambukiza imani na kutujenga katika misingi mizuri mpaka hii leo tuna endelea na misimamo ya ki ROHO.
@TumainiShangilieniChoir3 жыл бұрын
Hii ni kumbukumbu njema sana. Tunakuombea Mungu aendelee kukutunza.
@tumainisampeta55703 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@donaldmhulula68882 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir Amina watumishi
@user-nz3db5gm1q5 ай бұрын
Hata mm huu wimbo unanikumbusha mbali San miaka kumi 15 iliyopita
@godygody62582 жыл бұрын
Mbalikiwe Sana watumishi
@andrewmziray22334 жыл бұрын
Glory to God wakt ule 1995mpk 2000 sikujua km ntafik 2020 . Nikiw tayar mtu mzim kuona hii kwaya .Mungu nijalie na watt wangu waje niwape hii enz y kijijin
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
AMen ; Mung akupe sawa na haja ya moyo wako.
@lordorcas93449 ай бұрын
Shalom E Bwana Yesu Kuja Ku tu Chukuwa mi na Choka Sana
@estherkwamboka41732 жыл бұрын
This song sang in my heart yesterday night, Jeshi lijapojipanga kupigana nami sitaogopa sababu we upo 🙏🙌 asante yesu
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Ni Maombi Yetu Kuwa Mungu akapigane vita yako na adui zako
@sheilamohamed859 Жыл бұрын
Mi enyew naipenda vby eee yesu simama nasi
@lulusalila62002 жыл бұрын
Mungu awabariki sana. Wimbo Mzuri naupenda sana
@eliyamulunga62205 жыл бұрын
Binfasi, nabarikiwa sana. Nakumbuka, mara ya mwisho kuwaona live, ilikuwa 2013 Kwaya Ilipokuja KCMC Moshi. Siku hiyo ilikuwa ni mkesha. Kwaya pamoja na watu wengine tuliohudhuria siku hiyo, tulibarikiwa sana. Nakumbuka siku hiyo ilihudhuriwa na Mwimbaji Jackson Benty. Uwepo wa Mungu Ulishuka siku hiyo. Maana hakuna mtu aliyetaka kupambazuke mapema. Hebu hiyo hali iliyotokea KCMC 2013 Isizimike bali Izidi kuendelea katika uimbaji wenu. Please continues to maintain the Lord God's Presence which visited His people through your songs in KCMC Hospital in 2013.
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Dear Eliya, Thanks for your prayers and words of encouraging us; We strive to serve Our Good Lord Jesus Christ in his Holiness as so in our daily Lives. Blessings
@wandedalushi2984 Жыл бұрын
2023 Jan nauona mpya kwangu kabisaaaaa
@newtonsimba79306 ай бұрын
Amen. 2024 Jan . Very nice still .
@webingogo36334 жыл бұрын
Wimbo huu hunipa nafasi ya kutafakari sana wema mungu juu ya maisha yangu:
@sospetermigera6859 ай бұрын
Kila siku huwa nasikiliza wimbo huu maana hunipa nguvu hakika kama hawa waimbaji wapo hai waendelee Kubarikiwe .
@barakakulwa38353 жыл бұрын
2021 AND STILL WATCHING THE SONG
@SalumHatman2 ай бұрын
Wakati huo waimbaji walikuwa hawajalipwa wasanii wa mziki wa injili, walitumia neno la hekima kwaya, shetani mwovu alikuwa hajavamia vikundi vya kwaya
@johnruthaclaud8950 Жыл бұрын
Jeshi lijapo jipanga kupigana NAMI sitaogopa sababu wewe upo!!
@ev.shadrackbendepsalmist.66713 жыл бұрын
Huu wimbo ni wa mwaka gani nilianza kuutaza nyimbo zenu nikiwa darasa la tatu na sasa ni mzee...nyimbo zenu hazizeeki
@TumainiShangilieniChoir3 жыл бұрын
Early 1992
@elihakisalehe54455 жыл бұрын
Ni Mpenzi Mkubwa Sana wa Nyimbo za Shangilieni Choir tangu nikiwa mdogo sana kule Kijijini kwetu Kisiwani-Same-Kilimanjaro. Leo nimekua mtu mzima na Familia na bado ni Mpenzi Mkubwa wa Choir hii, Mungu Awabariki Sana ktk Huduma hii ambayo mnaifanya kwa Miaka Mingi sasa. Ni kupitia nyimbo zenu mmeokoa na kuponya wengi sana. Nabarikiwa Sana Sana na Nyimbo zenu.
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Tunafurahi sana kusikia namna ambavyo Mungu amekua mwema kwako na kwa wengi kupitia huduma hii; Ahsante sana kwa kuendelea kutuombea.
@ymusic8035 жыл бұрын
hizi nyimbo ladha yake haipungui hata kidogo waimbaji walikuwa karibu sanaa na Mungu na walitumia "Neno la Mungu"na si maneno ya ujanja ujanja
@rosechawe32724 жыл бұрын
yusuph mayige Ivy USB
@gananielsaphan2459 Жыл бұрын
Wimbo huu unagusa sana moyo wangu, Kila niusikilizapo na kuutazama hisia za waimbaji natiririkwa na machozi,na kuhisi kuwa hakika Mungu yupo wakusikiliza kilio chetu
@anifampiluka80292 жыл бұрын
Nilipenda sana hii nikiwa mtoto kiukweli nimefurahi sana kuisikia tena
@georgemassebu20832 жыл бұрын
Aisee..kwa miaka mingi sana nimetamani kumuona huyo dada wa tano kutoka kulia safu ya mbele,huyu dada mweusi...tafadhari nijue alipo nikamsalimie popote pale kama yu hai
@christinamsuya54922 жыл бұрын
2022 bado nabarikiwa na nyimbo hizi🙏🙏🙏
@petermboye81187 жыл бұрын
God Bless you! One of the Best Gospel Albums of all times
@josephhizza80044 жыл бұрын
Mmenikumbusha Mr. Mchaina hapa. Kweli duniani hatuna mji udumuo bali tunautazamia ule ujao. Mpendeni Yesu na kumtumikia mkijali sana Utakatifu katika mwenendo wenu wote. Bless you again.
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Blessings to you our beloved brethren
@rehemasambwe63719 сағат бұрын
2024❤ still the best song ever
@patriciagodfrey834 жыл бұрын
Mnanifariji sana
@kapeto_tv2 жыл бұрын
This song makes me fear GOD.
@dicksonfocus4 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana asante Mungu wangu kwa yote unayonipigania,,,,, R.I.P Baba yangu
@TumainiShangilieniChoir2 жыл бұрын
Mungu aendelee kukutunza na kukupigania; May the precious Soul of Your father Rest in Eternal Peace