NIMEWAHI KUFELI BREKI NIKAILENGA HOSPITALI| MLIMA KITONGA CHA MTOTO KUNA DOWN INAITWA K '9'

  Рет қаралды 101,291

Wasafi Media

Wasafi Media

2 ай бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 204
@kuriaeric3073
@kuriaeric3073 Ай бұрын
toka kenya hapa. nimepatana na video zake kule facebook. ikabidi nimemsaka huyu mzee. yeye ni true comedian
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Ай бұрын
Jamaa mkweli sana. Hapo K9 kiumeni ni noma. Gari za tia maji tia maji usipeleke huko zinakula mzinga sana. Big up legendaryary.
@thetas08
@thetas08 Ай бұрын
Mpeni deal mzee mkongwe comedy mzuri bila kufikiria anajibu hapo kwa hapo mpeni matangazo anapendwa sana na pia anaburudisha sana Kilubwa kwake code zake kuziielewa big up mkongwe bondei in air
@Heyumjunior119
@Heyumjunior119 2 ай бұрын
Dah unyamaaa sana
@raymondswed7358
@raymondswed7358 2 ай бұрын
Huyu mzee fala san😂😂😂 Namkubali sana ana kipaji kikubwa sana😂😂😂
@theresialumato2281
@theresialumato2281 2 ай бұрын
Daah uyu mzee kiboko yaan nilikuwa nime vurugwa lakin nimejikuta nacheka
@harunichambo4658
@harunichambo4658 2 ай бұрын
KO Mzee kakutoa mvurugo😂
@abrahammichael642
@abrahammichael642 2 ай бұрын
Huyu jamaa angepata nafasi CHEKA TU ingekuwa poa sana
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 Ай бұрын
Hahaha
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 Ай бұрын
Duuuh
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
BABA LEVO ALIMPELEKA KUANGALIA HIVI MAJUZI NDARO NA LEONRALDO
@nancyg8664
@nancyg8664 Ай бұрын
​@@salimmalaka256nadhani ni Leonardo sio Ronaldo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
@@nancyg8664 YES NDIE HUYO LEONARDO
@EmmanuelMachupa-st4zh
@EmmanuelMachupa-st4zh 2 ай бұрын
Nimekubali sana hiyo ya mahimahu ya nairobi na hiyo ya Nakuru kweli nihatari sanaaa
@patrickkarugu7199
@patrickkarugu7199 2 ай бұрын
It's called Mai mahiu.
@asawoasawo517
@asawoasawo517 2 ай бұрын
Kweli
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw Ай бұрын
​@@patrickkarugu7199😊
@dubabaxakatv2993
@dubabaxakatv2993 Ай бұрын
Na mazeras balaa pia
@ramadhanurassa2410
@ramadhanurassa2410 2 ай бұрын
Mzee anaongea kwa code balaa eti ushuke na kaseja kama huna D 2 huwezi elewa
@kenrailzdutchman6359
@kenrailzdutchman6359 Ай бұрын
Bana hata sijaelewa . Kama kushuka na kaseja
@Kevworx
@Kevworx 2 ай бұрын
K9 balaa sana mzee hiyo unaelekea Kabanga sio mchezo ukishafika shuleni tu pale unaanza kuishuka ni hatari sana na hiyo ya rusumo inaitwa machinjioni nayo hailali na njaa mpaka gari ndogo zinakomaga hapo
@roseurio503
@roseurio503 2 ай бұрын
Haki huyu mzee mpeeni kazi yaani kuchangamsha kipindi😂😂😂😂
@sportskijiwe781
@sportskijiwe781 2 ай бұрын
Ebwaaaaa mzee epewe matangazo jaman apige mpunga kidogooo
@allahisone6386
@allahisone6386 2 ай бұрын
NDIOOOOOOO ALLAH AMRAHISISHIE ❤🎉
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 2 ай бұрын
Huyu jamaa ni comedy anafaa sana udereva alivamia
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Ай бұрын
😂😂😂Mb zangu zimeenda kihalali wallah nimejikuta nipo happy mwanzo wa interview mbk mwisho
@HamidaHamisi-ej8kz
@HamidaHamisi-ej8kz 2 ай бұрын
Rusumo machinjioni kiboko sana
@ntegamaherezovenuste
@ntegamaherezovenuste Ай бұрын
Jina nivenuste mimini munyarwanda nime ku frow na tiktok namimi ni oparet wamashin focke rifut nakupend san mung akubarikiwe
@bakarimusa6297
@bakarimusa6297 2 күн бұрын
Mteremko wowote teremka kwa heshima utavuka vikwazo vyote K9 pakawaida tu ukifata maelekezo.
@CosmasSylivester-z8u
@CosmasSylivester-z8u Күн бұрын
Babu lala nayo,lala nayo nakuaminiaaaaaa😅😅😅
@alisaadmohammed
@alisaadmohammed 2 ай бұрын
Kongole sana dreva mkongwe
@EddyRajab
@EddyRajab Ай бұрын
He is a good story teller...though exaggerating at some point ...😂😂😂
@Mu_ALI254
@Mu_ALI254 Ай бұрын
Wow, I love the conversation. Huyu Mzee is So experienced. Why not Make him an Officer In Truckers association. He will do a Good Job
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 2 ай бұрын
Nimecheka 😅😅
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 2 ай бұрын
Huyo mzee kanivunja mbavu zangu na story za nyani wa kitonga.
@khamisomary7428
@khamisomary7428 2 ай бұрын
Hio K9 asee nikweli ngara hio nibalaa asee😂😂 nilikutana na lori speed yake nisawa na mtoto anavyo tambaa
@octavianbaragwiha3836
@octavianbaragwiha3836 2 ай бұрын
Huyuu dereva kweriii . . . K9 hatariiii Sana pia Kuna pale panaitwa machinjioniii
@Khalidniya380
@Khalidniya380 2 ай бұрын
Hiyo K9 naijua saana ni balaaa
@lukasjelamisanana6770
@lukasjelamisanana6770 2 ай бұрын
Sawa lakin hiyo k9siyo Kama anavosema huyu mzee km 38 kweli labda kutoka Kona ya benako had ngara hapo sawa
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 2 ай бұрын
@@lukasjelamisanana677038 ni nyingiiii sanaaa !!! Ila panaogopeshaaa jmb
@user-ju3nm8oc1c
@user-ju3nm8oc1c 2 ай бұрын
Daah! Huyu dereva mcheshi sana.
@ngayaimkwe5175
@ngayaimkwe5175 2 ай бұрын
Daa mzee tunamkubali sasa sana
@emmanuelalfred140
@emmanuelalfred140 2 ай бұрын
Baba levo mtafutie kipindi huyo ana faida katika fani ya uchekezaji na atatoa elimu katika udereva kwa njia ya comedy 😎😎😎😎🙏🏿🙏🏿🙏🏿👍
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 2 ай бұрын
Sure ❤
@bensonpaul3672
@bensonpaul3672 Ай бұрын
Huyu jamaa kanikumbusha mbali sana,TULIKUWA STAFF 11, KUFIKA RUSUMO TUKASHTULIWA NA WATU WALIOKUWA WAKIPIGA KELELE WAKISEMA GARI INAUNGUA,kumbe ni Landcruiser yakwetu,wakati wa kushuka huo mlima ilishika break mpaka taili ikaanza kuwaka moto...
@dicksongeorge7745
@dicksongeorge7745 25 күн бұрын
Ikawaje, malizia stori basi
@gordonkadege
@gordonkadege 11 күн бұрын
Namkubali sna Kosovo dereva mkongwe nikiwa na stress zinapungua anaweza
@komboarts7110
@komboarts7110 18 күн бұрын
Aende kwa coy mzungu huyu jamaa lazma tucheke sana
@feliudmasimba625
@feliudmasimba625 2 ай бұрын
K NINE NOMA MZEE
@user-zb9mf3us2w
@user-zb9mf3us2w 2 ай бұрын
madereva tujitokeze midia zitasaidia kupeleka changamoto za rod
@hamisindaro330
@hamisindaro330 Ай бұрын
Hio salgaa ukweli huo mlima mwamba
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 2 ай бұрын
dereva nakubali sana
@aminielimushi8709
@aminielimushi8709 2 ай бұрын
Aina mpya ya usanii TZ
@ramadhaniyahaya7286
@ramadhaniyahaya7286 25 күн бұрын
Nakukubali sana deleva mkongwe lakini unacho feli ni kuongelea masilahi ya madeleva pesa unayo pewa haifai tetea hilo kakanitakukubali sana
@SAKAYONZA
@SAKAYONZA 2 ай бұрын
salgaaa hatari ....watu daily wazikwa pale
@wycliffatambo3614
@wycliffatambo3614 Ай бұрын
Share dereva Mkongwe’s number we appreciate his mastery in storytelling aisee.
@rajabhassan6966
@rajabhassan6966 2 ай бұрын
Mzee mpeni kipindi coz kipindi kimenoga mwanzo meisho
@lukasjelamisanana6770
@lukasjelamisanana6770 2 ай бұрын
Lakin pia mteremko mkar upo burundi huo wenyewe ukianza kushuka ni unashuka km zaid ya 30 bugarama hiyo
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 ай бұрын
😂😂 simchezo aisee
@mrpullover3991
@mrpullover3991 Ай бұрын
#Ngarayiwachu #homesweethome #Ngara Kagera tz dah mzeee katembea aseee mteremko unaanzia sehemu inaitwa #lukole Kuna high school hapo shule yangu...
@petergitau1632
@petergitau1632 15 күн бұрын
naomba nkutuishie,,, babu mkongwe,,,, usije kiamaiko,,, mathare valley ,,nairobi,,,, MAIRUNGI utatafuna cha lazma
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Ай бұрын
😂😂😂😂 K9 shikamoo aise umejua kunifurahisha mzee wangu
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 2 ай бұрын
Ule mlima wa tznia kuingia Burundi siopowa😊
@amourgwabananga1543
@amourgwabananga1543 16 күн бұрын
Jamaa muongo k9 huu mlima hauna km 38
@omarylugojo9970
@omarylugojo9970 2 ай бұрын
K9 naijua babu
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 2 ай бұрын
MZEE comedian huyu🤣🤣🤣
@kendwahamisi4903
@kendwahamisi4903 2 ай бұрын
Lala nayo babu
@law93king
@law93king 2 ай бұрын
daaaah aisee
@georgehajji9790
@georgehajji9790 2 ай бұрын
Duh!
@muhinabakali7377
@muhinabakali7377 Ай бұрын
Nakubali dachi udevu
@mariamhamissi4428
@mariamhamissi4428 2 ай бұрын
Noomaa sanaa😅
@emmanuelalfred140
@emmanuelalfred140 2 ай бұрын
Huyo mpeni kipindi cha usafiri na pia ni comedian 🎉❤😂
@kwizeralajoie3619
@kwizeralajoie3619 2 ай бұрын
Mkogwe umenikumbusha k9❤❤
@user-wu9zh1hc3i
@user-wu9zh1hc3i 2 ай бұрын
K9 nimepita jana balaa kwel
@AllanKisiasdg123
@AllanKisiasdg123 13 күн бұрын
Swaali kabisa kabla ujaswaliwa,,, hahaha
@HamidaHamisi-ej8kz
@HamidaHamisi-ej8kz 2 ай бұрын
K9 kiumeeni kabisa tena kabisa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 ай бұрын
Kumbe mjomba wa Muheza Hahaha
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 2 ай бұрын
Namkubali sana huyu mzeee
@allahisone6386
@allahisone6386 2 ай бұрын
Me too 🎉❤
@user-tk4tc6bv5g
@user-tk4tc6bv5g 2 ай бұрын
K9 ni hatari sana
@rajabsaria8466
@rajabsaria8466 21 күн бұрын
Sasa iyo barabara ilitengezwa vipi kwenye iyo milima?????
@maigajohn5828
@maigajohn5828 Ай бұрын
Huyu Mzee uwa namkubali sana inabidi aandike kitabu cha historia ili Sisi madereva chipukizi tuendelee kupata muendelezo
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 2 ай бұрын
Ken9 na loriiii😳 mbn hatariiiii !!!! Nimteremkooo mkal hatariiii
@mwitajoseph8315
@mwitajoseph8315 2 ай бұрын
Ngara ata gari dogo kama halina nguvu utakesha
@mwangamtoto658
@mwangamtoto658 27 күн бұрын
😅😅😅😅😅mzee mzee mzee nimekuita Mara 3 umetisha
@youseph-tz
@youseph-tz Ай бұрын
Duuh nilichogundu kuwa madereva wengi wa gali ndogo hawazifahamu alama nyingi za barabaran mfano hapo baba leo swali alilo liuliza nimegundua kuwa angekutana na hiko kibango cha toxicna gia box asijejuwa nini kimemaanishwa
@innocentkimisha
@innocentkimisha Ай бұрын
Ni kweli wengi hawafahamu. Lakini hapo kwenye kipindi lazima mtangazaji aulize kwa faida ya wasikilizaji na watazamaji wake. So ilikua lazima aulize fuvu na gearbox na 1 low vinamaanisha nini ili hata ambaye si dereva aelewe.
@hassanmatata9335
@hassanmatata9335 2 ай бұрын
Baba Levo leo umekutana na chizi kuliko wewe
@ashahussen5538
@ashahussen5538 Ай бұрын
Mwambie congo imebadilika saizi mkongwe kanyaka unaijua! Kwa mjeshi unapajuaa😢
@husseinmwedi7125
@husseinmwedi7125 2 ай бұрын
Baba nakubal San mkongwe
@user-ju3nm8oc1c
@user-ju3nm8oc1c 2 ай бұрын
Hahaha, dah ! Anachekesha.
@ernestmillinga7116
@ernestmillinga7116 2 ай бұрын
Mate ya chumviii noma sana...usiombee aisee..
@steramwanakira7183
@steramwanakira7183 2 ай бұрын
Is soo funny
@EzekielKamanda
@EzekielKamanda Ай бұрын
Anachekesha sana
@patrickkilongo3214
@patrickkilongo3214 2 ай бұрын
Kwan uyu mzee ni cimedian au 😅
@user-bl3rq8fj9u
@user-bl3rq8fj9u Ай бұрын
Jamaa anakubalika sana ache udele anachekesha sana 😂😂
@AllyMngoya-ov8fs
@AllyMngoya-ov8fs 2 ай бұрын
apewe nafasi uyo ataokoa jazz madereva awana bb wala mama mtz ana saman katika kazi yake
@zedekiahmagwega8044
@zedekiahmagwega8044 2 ай бұрын
Mwanamke huyo yeye ANAWAZA HELA TU, kila muda yeye ni hela tu
@dannymoses1882
@dannymoses1882 2 ай бұрын
K9
@kelvinmuuwo6733
@kelvinmuuwo6733 Ай бұрын
Any other Kenyan who saw his reel on facebook and came here looking for him Kwanza niko hiyo taxin anasema😂😂😂😂
@starjay3052
@starjay3052 2 ай бұрын
😁😁🤣🤣 burundu inaiona ile lakini upo tanzania 🇹🇿 bado dah 😁😁🤣🤣
@Kevworx
@Kevworx 2 ай бұрын
Kobero hapo hatari
@charlesmwaipasi2884
@charlesmwaipasi2884 2 ай бұрын
Mwamba namuona sana Morogoro
@celinaernst965
@celinaernst965 2 ай бұрын
Yaani sijawahi kucomment .ila napenda kusema watu tunacheka tu huyu jamaa anavyotuchekesha ila watu wenye shule za driving wangemtumia huyu jamaa private kumfanyia mtu driving exam hawa madereva wa maroli hakuna kupita exam ya kuendesha maroli bila kufaulu mtihani huo watu wengi Tz wanatumia kufundisha tu utingo kesho anapewa roli . Hii ingesaidia madereva kuepuka pia ajali za barabarani. Nchi za wenzetu hakuna driving licence bila kupita exams kwa shule zilizodajiliwa siku ya exam kosa 1 tu la barabarani ukifanya na wasimamizi wa exam wakaliona utarudia Hakuna kupita hivi hivi. NA Maroli hayaruhusiwi kuovertake hovyo hovyo kisheria
@stevewanga957
@stevewanga957 Ай бұрын
Achana na mugokaaa huo 😂😂 mzee anasema ukweli
@youngweezy3846
@youngweezy3846 2 ай бұрын
Nimecheka kifala😅😅😅😂
@feliudmasimba625
@feliudmasimba625 2 ай бұрын
MKOKAA
@MtessaAlly-rd4hf
@MtessaAlly-rd4hf 2 ай бұрын
Hayo makampuni matatu yaliyo tajwa halo na mzee dereva mkongwe wamuite wamlipe maana kawatangazia biashara.
@haridimnimbo7377
@haridimnimbo7377 2 ай бұрын
Hapo kwenye kucha kutoka jasho! Kubababake😂
@Johansenjoshua1271
@Johansenjoshua1271 2 ай бұрын
😂😂 Ila mandevu
@fabianmainchanyangachika5017
@fabianmainchanyangachika5017 2 ай бұрын
Mzee Sasa staafu
@davidchege325
@davidchege325 2 ай бұрын
😂😂😂lakini ndugu iyo kitu hailiwi na farasi Nairobi
@user-um5uw9yo5q
@user-um5uw9yo5q 2 ай бұрын
Hapo kwenye k9 umetupiga inakilomita 9 tu Ila ni mporomoko mkali sana
@samidquiz6316
@samidquiz6316 2 ай бұрын
Hiyo ni sifa ya fasihi simulizi inakuwa na chuku nyingi
@MarckyCholla
@MarckyCholla 2 ай бұрын
Kakosea wapi mbona hapo tunapajua wengi
@user-ul9df5ko2r
@user-ul9df5ko2r 2 ай бұрын
Si ndy k9 ww mbege
@Bruno4cus
@Bruno4cus 2 ай бұрын
K9 siyo kilometer 9 ni Kona 9 mzee
@namaraalexmbeikya1491
@namaraalexmbeikya1491 2 ай бұрын
Hata mm nimeshangaa Kutoka Benaco mpaka mjini Ngara ni 36Km halafu yeye anasema K9 ni 38Km 😂
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Ай бұрын
LIFE EXPERIENCE
@adenmohamed-ew8xw
@adenmohamed-ew8xw Ай бұрын
Astaghfurulaah; mitume hawasaidii na Bilal hasaaidii bali Mungu husaidia; ni Mungu tu si binadam
@HamadiBwakame
@HamadiBwakame 2 ай бұрын
Nisawa anasema Mongok a ukila unasema pekeyako unajikuna kichwa
@maulidiadamu6618
@maulidiadamu6618 2 ай бұрын
Mkongwe
@salimjumaa8180
@salimjumaa8180 Ай бұрын
Ndio maana mombasa umepigwa marufuku huo mgukaa, unalemaza wa2 kwl kwl
@steramwanakira7183
@steramwanakira7183 2 ай бұрын
I laughed so much
@josephmpunta2662
@josephmpunta2662 2 ай бұрын
Mzee wa hovyo
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 93 М.
Box jumping challenge, who stepped on the trap? #FunnyFamily #PartyGames
00:31
Family Games Media
Рет қаралды 20 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 28 МЛН
小蚂蚁被感动了!火影忍者 #佐助 #家庭
00:54
火影忍者一家
Рет қаралды 41 МЛН
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 208 М.
KADANGANYA
10:21
Joti TV
Рет қаралды 138 М.
Panel Conversation
37:41
UNESCO Child and Family Research Centre
Рет қаралды 48 М.
KISA CHA DEREVA LORY,ALIVYOKUTANA NA FREE MASON USIKU WA MANANE SAFARI ZA KONGO
38:52
как пройти скулбоя за 36 секунд?
0:22
Holy Baam
Рет қаралды 1,4 МЛН
УДИВИЛА ПАРНЯ🤯👏
0:20
Бутылочка
Рет қаралды 6 МЛН
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
0:12
Savage Vlogs
Рет қаралды 8 МЛН