toka kenya hapa. nimepatana na video zake kule facebook. ikabidi nimemsaka huyu mzee. yeye ni true comedian
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Jamaa mkweli sana. Hapo K9 kiumeni ni noma. Gari za tia maji tia maji usipeleke huko zinakula mzinga sana. Big up legendaryary.
@thetas08Ай бұрын
Mpeni deal mzee mkongwe comedy mzuri bila kufikiria anajibu hapo kwa hapo mpeni matangazo anapendwa sana na pia anaburudisha sana Kilubwa kwake code zake kuziielewa big up mkongwe bondei in air
@Heyumjunior1192 ай бұрын
Dah unyamaaa sana
@raymondswed73582 ай бұрын
Huyu mzee fala san😂😂😂 Namkubali sana ana kipaji kikubwa sana😂😂😂
@theresialumato22812 ай бұрын
Daah uyu mzee kiboko yaan nilikuwa nime vurugwa lakin nimejikuta nacheka
@harunichambo46582 ай бұрын
KO Mzee kakutoa mvurugo😂
@abrahammichael6422 ай бұрын
Huyu jamaa angepata nafasi CHEKA TU ingekuwa poa sana
@rehemakanyere4188Ай бұрын
Hahaha
@solomondanny-1507Ай бұрын
Duuuh
@salimmalaka256Ай бұрын
BABA LEVO ALIMPELEKA KUANGALIA HIVI MAJUZI NDARO NA LEONRALDO
@nancyg8664Ай бұрын
@@salimmalaka256nadhani ni Leonardo sio Ronaldo
@salimmalaka256Ай бұрын
@@nancyg8664 YES NDIE HUYO LEONARDO
@EmmanuelMachupa-st4zh2 ай бұрын
Nimekubali sana hiyo ya mahimahu ya nairobi na hiyo ya Nakuru kweli nihatari sanaaa
@patrickkarugu71992 ай бұрын
It's called Mai mahiu.
@asawoasawo5172 ай бұрын
Kweli
@eleven-in5qwАй бұрын
@@patrickkarugu7199😊
@dubabaxakatv2993Ай бұрын
Na mazeras balaa pia
@ramadhanurassa24102 ай бұрын
Mzee anaongea kwa code balaa eti ushuke na kaseja kama huna D 2 huwezi elewa
@kenrailzdutchman6359Ай бұрын
Bana hata sijaelewa . Kama kushuka na kaseja
@Kevworx2 ай бұрын
K9 balaa sana mzee hiyo unaelekea Kabanga sio mchezo ukishafika shuleni tu pale unaanza kuishuka ni hatari sana na hiyo ya rusumo inaitwa machinjioni nayo hailali na njaa mpaka gari ndogo zinakomaga hapo
@roseurio5032 ай бұрын
Haki huyu mzee mpeeni kazi yaani kuchangamsha kipindi😂😂😂😂
@sportskijiwe7812 ай бұрын
Ebwaaaaa mzee epewe matangazo jaman apige mpunga kidogooo
@allahisone63862 ай бұрын
NDIOOOOOOO ALLAH AMRAHISISHIE ❤🎉
@fabianmainchanyangachika50172 ай бұрын
Huyu jamaa ni comedy anafaa sana udereva alivamia
@ukhutfatumah1154Ай бұрын
😂😂😂Mb zangu zimeenda kihalali wallah nimejikuta nipo happy mwanzo wa interview mbk mwisho
@HamidaHamisi-ej8kz2 ай бұрын
Rusumo machinjioni kiboko sana
@ntegamaherezovenusteАй бұрын
Jina nivenuste mimini munyarwanda nime ku frow na tiktok namimi ni oparet wamashin focke rifut nakupend san mung akubarikiwe
@bakarimusa62972 күн бұрын
Mteremko wowote teremka kwa heshima utavuka vikwazo vyote K9 pakawaida tu ukifata maelekezo.
@CosmasSylivester-z8uКүн бұрын
Babu lala nayo,lala nayo nakuaminiaaaaaa😅😅😅
@alisaadmohammed2 ай бұрын
Kongole sana dreva mkongwe
@EddyRajabАй бұрын
He is a good story teller...though exaggerating at some point ...😂😂😂
@Mu_ALI254Ай бұрын
Wow, I love the conversation. Huyu Mzee is So experienced. Why not Make him an Officer In Truckers association. He will do a Good Job
@nakundwamkubwe78232 ай бұрын
Nimecheka 😅😅
@ukuvukiland23872 ай бұрын
Huyo mzee kanivunja mbavu zangu na story za nyani wa kitonga.
@khamisomary74282 ай бұрын
Hio K9 asee nikweli ngara hio nibalaa asee😂😂 nilikutana na lori speed yake nisawa na mtoto anavyo tambaa
@octavianbaragwiha38362 ай бұрын
Huyuu dereva kweriii . . . K9 hatariiii Sana pia Kuna pale panaitwa machinjioniii
@Khalidniya3802 ай бұрын
Hiyo K9 naijua saana ni balaaa
@lukasjelamisanana67702 ай бұрын
Sawa lakin hiyo k9siyo Kama anavosema huyu mzee km 38 kweli labda kutoka Kona ya benako had ngara hapo sawa
@mwanaidimussa2 ай бұрын
@@lukasjelamisanana677038 ni nyingiiii sanaaa !!! Ila panaogopeshaaa jmb
@user-ju3nm8oc1c2 ай бұрын
Daah! Huyu dereva mcheshi sana.
@ngayaimkwe51752 ай бұрын
Daa mzee tunamkubali sasa sana
@emmanuelalfred1402 ай бұрын
Baba levo mtafutie kipindi huyo ana faida katika fani ya uchekezaji na atatoa elimu katika udereva kwa njia ya comedy 😎😎😎😎🙏🏿🙏🏿🙏🏿👍
@aminathaabubakarmasoud5652 ай бұрын
Sure ❤
@bensonpaul3672Ай бұрын
Huyu jamaa kanikumbusha mbali sana,TULIKUWA STAFF 11, KUFIKA RUSUMO TUKASHTULIWA NA WATU WALIOKUWA WAKIPIGA KELELE WAKISEMA GARI INAUNGUA,kumbe ni Landcruiser yakwetu,wakati wa kushuka huo mlima ilishika break mpaka taili ikaanza kuwaka moto...
@dicksongeorge774525 күн бұрын
Ikawaje, malizia stori basi
@gordonkadege11 күн бұрын
Namkubali sna Kosovo dereva mkongwe nikiwa na stress zinapungua anaweza
@komboarts711018 күн бұрын
Aende kwa coy mzungu huyu jamaa lazma tucheke sana
@feliudmasimba6252 ай бұрын
K NINE NOMA MZEE
@user-zb9mf3us2w2 ай бұрын
madereva tujitokeze midia zitasaidia kupeleka changamoto za rod
@hamisindaro330Ай бұрын
Hio salgaa ukweli huo mlima mwamba
@ScopionScopion-zj9cd2 ай бұрын
dereva nakubali sana
@aminielimushi87092 ай бұрын
Aina mpya ya usanii TZ
@ramadhaniyahaya728625 күн бұрын
Nakukubali sana deleva mkongwe lakini unacho feli ni kuongelea masilahi ya madeleva pesa unayo pewa haifai tetea hilo kakanitakukubali sana
@SAKAYONZA2 ай бұрын
salgaaa hatari ....watu daily wazikwa pale
@wycliffatambo3614Ай бұрын
Share dereva Mkongwe’s number we appreciate his mastery in storytelling aisee.
@rajabhassan69662 ай бұрын
Mzee mpeni kipindi coz kipindi kimenoga mwanzo meisho
@lukasjelamisanana67702 ай бұрын
Lakin pia mteremko mkar upo burundi huo wenyewe ukianza kushuka ni unashuka km zaid ya 30 bugarama hiyo
@jumapiliissa48352 ай бұрын
😂😂 simchezo aisee
@mrpullover3991Ай бұрын
#Ngarayiwachu #homesweethome #Ngara Kagera tz dah mzeee katembea aseee mteremko unaanzia sehemu inaitwa #lukole Kuna high school hapo shule yangu...
@petergitau163215 күн бұрын
naomba nkutuishie,,, babu mkongwe,,,, usije kiamaiko,,, mathare valley ,,nairobi,,,, MAIRUNGI utatafuna cha lazma
Huyo mpeni kipindi cha usafiri na pia ni comedian 🎉❤😂
@kwizeralajoie36192 ай бұрын
Mkogwe umenikumbusha k9❤❤
@user-wu9zh1hc3i2 ай бұрын
K9 nimepita jana balaa kwel
@AllanKisiasdg12313 күн бұрын
Swaali kabisa kabla ujaswaliwa,,, hahaha
@HamidaHamisi-ej8kz2 ай бұрын
K9 kiumeeni kabisa tena kabisa
@salomewandya72572 ай бұрын
Kumbe mjomba wa Muheza Hahaha
@mbaruksaid57752 ай бұрын
Namkubali sana huyu mzeee
@allahisone63862 ай бұрын
Me too 🎉❤
@user-tk4tc6bv5g2 ай бұрын
K9 ni hatari sana
@rajabsaria846621 күн бұрын
Sasa iyo barabara ilitengezwa vipi kwenye iyo milima?????
@maigajohn5828Ай бұрын
Huyu Mzee uwa namkubali sana inabidi aandike kitabu cha historia ili Sisi madereva chipukizi tuendelee kupata muendelezo
@mwanaidimussa2 ай бұрын
Ken9 na loriiii😳 mbn hatariiiii !!!! Nimteremkooo mkal hatariiii
@mwitajoseph83152 ай бұрын
Ngara ata gari dogo kama halina nguvu utakesha
@mwangamtoto65827 күн бұрын
😅😅😅😅😅mzee mzee mzee nimekuita Mara 3 umetisha
@youseph-tzАй бұрын
Duuh nilichogundu kuwa madereva wengi wa gali ndogo hawazifahamu alama nyingi za barabaran mfano hapo baba leo swali alilo liuliza nimegundua kuwa angekutana na hiko kibango cha toxicna gia box asijejuwa nini kimemaanishwa
@innocentkimishaАй бұрын
Ni kweli wengi hawafahamu. Lakini hapo kwenye kipindi lazima mtangazaji aulize kwa faida ya wasikilizaji na watazamaji wake. So ilikua lazima aulize fuvu na gearbox na 1 low vinamaanisha nini ili hata ambaye si dereva aelewe.
@hassanmatata93352 ай бұрын
Baba Levo leo umekutana na chizi kuliko wewe
@ashahussen5538Ай бұрын
Mwambie congo imebadilika saizi mkongwe kanyaka unaijua! Kwa mjeshi unapajuaa😢
@husseinmwedi71252 ай бұрын
Baba nakubal San mkongwe
@user-ju3nm8oc1c2 ай бұрын
Hahaha, dah ! Anachekesha.
@ernestmillinga71162 ай бұрын
Mate ya chumviii noma sana...usiombee aisee..
@steramwanakira71832 ай бұрын
Is soo funny
@EzekielKamandaАй бұрын
Anachekesha sana
@patrickkilongo32142 ай бұрын
Kwan uyu mzee ni cimedian au 😅
@user-bl3rq8fj9uАй бұрын
Jamaa anakubalika sana ache udele anachekesha sana 😂😂
@AllyMngoya-ov8fs2 ай бұрын
apewe nafasi uyo ataokoa jazz madereva awana bb wala mama mtz ana saman katika kazi yake
@zedekiahmagwega80442 ай бұрын
Mwanamke huyo yeye ANAWAZA HELA TU, kila muda yeye ni hela tu
@dannymoses18822 ай бұрын
K9
@kelvinmuuwo6733Ай бұрын
Any other Kenyan who saw his reel on facebook and came here looking for him Kwanza niko hiyo taxin anasema😂😂😂😂
@starjay30522 ай бұрын
😁😁🤣🤣 burundu inaiona ile lakini upo tanzania 🇹🇿 bado dah 😁😁🤣🤣
@Kevworx2 ай бұрын
Kobero hapo hatari
@charlesmwaipasi28842 ай бұрын
Mwamba namuona sana Morogoro
@celinaernst9652 ай бұрын
Yaani sijawahi kucomment .ila napenda kusema watu tunacheka tu huyu jamaa anavyotuchekesha ila watu wenye shule za driving wangemtumia huyu jamaa private kumfanyia mtu driving exam hawa madereva wa maroli hakuna kupita exam ya kuendesha maroli bila kufaulu mtihani huo watu wengi Tz wanatumia kufundisha tu utingo kesho anapewa roli . Hii ingesaidia madereva kuepuka pia ajali za barabarani. Nchi za wenzetu hakuna driving licence bila kupita exams kwa shule zilizodajiliwa siku ya exam kosa 1 tu la barabarani ukifanya na wasimamizi wa exam wakaliona utarudia Hakuna kupita hivi hivi. NA Maroli hayaruhusiwi kuovertake hovyo hovyo kisheria
@stevewanga957Ай бұрын
Achana na mugokaaa huo 😂😂 mzee anasema ukweli
@youngweezy38462 ай бұрын
Nimecheka kifala😅😅😅😂
@feliudmasimba6252 ай бұрын
MKOKAA
@MtessaAlly-rd4hf2 ай бұрын
Hayo makampuni matatu yaliyo tajwa halo na mzee dereva mkongwe wamuite wamlipe maana kawatangazia biashara.
@haridimnimbo73772 ай бұрын
Hapo kwenye kucha kutoka jasho! Kubababake😂
@Johansenjoshua12712 ай бұрын
😂😂 Ila mandevu
@fabianmainchanyangachika50172 ай бұрын
Mzee Sasa staafu
@davidchege3252 ай бұрын
😂😂😂lakini ndugu iyo kitu hailiwi na farasi Nairobi
@user-um5uw9yo5q2 ай бұрын
Hapo kwenye k9 umetupiga inakilomita 9 tu Ila ni mporomoko mkali sana
@samidquiz63162 ай бұрын
Hiyo ni sifa ya fasihi simulizi inakuwa na chuku nyingi
@MarckyCholla2 ай бұрын
Kakosea wapi mbona hapo tunapajua wengi
@user-ul9df5ko2r2 ай бұрын
Si ndy k9 ww mbege
@Bruno4cus2 ай бұрын
K9 siyo kilometer 9 ni Kona 9 mzee
@namaraalexmbeikya14912 ай бұрын
Hata mm nimeshangaa Kutoka Benaco mpaka mjini Ngara ni 36Km halafu yeye anasema K9 ni 38Km 😂
@itanzaniaASАй бұрын
LIFE EXPERIENCE
@adenmohamed-ew8xwАй бұрын
Astaghfurulaah; mitume hawasaidii na Bilal hasaaidii bali Mungu husaidia; ni Mungu tu si binadam
@HamadiBwakame2 ай бұрын
Nisawa anasema Mongok a ukila unasema pekeyako unajikuna kichwa
@maulidiadamu66182 ай бұрын
Mkongwe
@salimjumaa8180Ай бұрын
Ndio maana mombasa umepigwa marufuku huo mgukaa, unalemaza wa2 kwl kwl