Pr ubarikiwe sanaaa. NAOMBA watu wa Mungu tutambue nyakati tunazoishi sasa na tutumie mda mwingi kujifunza neno la Mungu na kuomba.
@jonathanimdegela10052 жыл бұрын
Nisipo angalia we nitakusikiliza wapi
@barakafares22342 жыл бұрын
Amina pasto hii inaonyesha Kwa Kweli kwamba ipo siku hata Biblia na vtabu vya nyimbo watavifuta ole wao wasio na hard copy za bible na vtabu vya nyimbo
@rhinakiza2 жыл бұрын
Asante pastor ubarikiwe sana 🙏🏼 Hii ni break wame tupatia kwamba to focus kwa Mungu
@trophywilson72112 жыл бұрын
Kabisa
@suzanajohn4726 Жыл бұрын
Sauti iko chini PR
@maureenkemei92542 жыл бұрын
Amen Asante Sana najifunza kujitawala Mwenyewe.
@rosemarymwanitega79262 жыл бұрын
Amen.Asante Pastor
@namsifumaduhumwita24952 жыл бұрын
Ni mpambano haswaaa. Mungu atusaidie sana
@farajamaduhu19812 жыл бұрын
Kweli kabisa
@conniemukami1272 жыл бұрын
Thx pastor for information 🙏🙏Mungu nisaidie nisitawaliwe na mitandao
@danieligrangaisanganda19982 жыл бұрын
Mchungaji nimeamini kwamba ulichosema ni kweli mitandao hii inayo milikiwa na watu kuna uwezekano mkubwa wa kufutwa sasa hii iwe fundisho kwa wale ambao wanaiamini sana hii mitandao ya kijamii hasa wanao tumia biblia kwenye mitandao na programu mbalimbali za kiroho badala yake watu wa Mungu warejee biblia za kawaida ili siku mitandao ikifungwa tusipate shida ubarikiwe sana binafsi nimejifunza kitu
@katakabilhah66192 жыл бұрын
🙏🙏🙏Amen Tuko katika nyakati za mwisho Wacha tuombe bila kukoma
@mussayusuph86962 жыл бұрын
Asante kwataalifa hii, muhimsana, asiejua, hawezi kukuelewa, kwawenye ufaham, tayali tumepa, pointi muhim MUNGU akujenje.
@billclintononyimbo_officia2 жыл бұрын
Thanks pastor for information
@khaldn74092 жыл бұрын
Amen pastor kwa iyo habari
@charlesbabag14242 жыл бұрын
Ahsante Sana Pastor Mungu akupe zaidi hekima uzidi kuisimamia kweli ya neno la Mungu nakuokoa kizazi hiki kilichopotoka
@bupemwakamela10912 жыл бұрын
Asante sana pastor David...Mungu akulinde daima kwa jinsi unalitumikia kusudi..tutambue namna itupasavyo kama wana wa MUNGU.....
@kemuntojackline22672 жыл бұрын
Thanks pastor Mungu akubariki sana mjungaji sana
@gospotv2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@saumhamisi73202 жыл бұрын
Amen Pastor barikiwa sana
@lacksonmwakanema67992 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Mchungaji, Mimi nimekuelewa vizuri, nitachukua hatua zaidi, maana Kwa hakika nimekuwa mtumwa Sana wa mitandao hiyo.
@jessikaakinyi84452 жыл бұрын
Asante sana pastor Mungu akubariki
@Gold_of_hope_Tv2 жыл бұрын
Asante pastor NA BWANA AKUBARIKI KWA UJUMBE HUU TUKO PAMOJA
@shaniachanceline27512 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki 🙏🏼🙏🏼🙏🏼💗🥰❤️
@meshackadam15212 жыл бұрын
Asante sana pastor
@sabathlameck97722 жыл бұрын
Ubarikiw xan pastor mbaga mungu akulinde
@dorothymokua87512 жыл бұрын
Ahsante Sana Pastor, Kweli Mungu atawale akili zetu!
@georgematahimba52422 жыл бұрын
Huyu mpare huwa nampenda sana. Huwa anaongea point sana
@dadapechi2 жыл бұрын
Na wewe u kabila gani.
@grdcgv7ufdwdfghh6332 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu
@jimmymarwamatjr4912 жыл бұрын
Amen pastor... Mungu ni mwema atupiganie tuyashinde ya mitandao.
@MN-hi8ll2 жыл бұрын
My favorite pastor!!!
@isaiahstadius23832 жыл бұрын
Asante Pastor.
@daisybuyantsi59532 жыл бұрын
Asante Pastor umesema ukweli, Mungu akubariki
@kimusembura9483 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupemaisha marefu
@emmanuelsamuellupiga76302 жыл бұрын
Amina pr Mungu akubariki
@niwevyose81472 жыл бұрын
Amen and be blessed pastor
@happinessmisana732 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor
@t7zkc5tpxgim282 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor
@neemakweli4612 жыл бұрын
Asante Sana Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe.
@narggdhdv765 Жыл бұрын
Asante. Mungu tusaidiee
@leticiakibona70552 жыл бұрын
Amen Mungu atusaidie na huu utumwa wa mitandao
@erickmogere65582 жыл бұрын
Pastor hapo umenijenga sana huwa nakupenda sana kwa mafundisho ambayo kila siku matazamo wangu unabadilika na kunijengea imani
@shegashega24212 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana mtumshi kwa fumbo hili. Nakupenda sana
@Lesley4002 жыл бұрын
Asante ubarikiwe mchungaji wangu
@richardomary1432 жыл бұрын
Nimekuelewa mtumishi wa Mungu ubarikiwe
@christinengola60162 жыл бұрын
Mungu akuongezee hekima na bussra
@alicenyabate81482 жыл бұрын
Barikiwa pastor
@malochafrenkmayala2602 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi.
@edithmakwakwa94892 жыл бұрын
Ukweli mtupu pastor Mmbaga David
@mossesjoseph22022 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Pastor kwa kutufumbulia fumbo hili.
@jadirawholesale32872 жыл бұрын
God bless u
@malochafrenkmayala2602 жыл бұрын
Leo dunia iwahi na kulala😂😂
@priscillaheri68232 жыл бұрын
Mungu akubariki mch Mmbaga
@elizabethjohn54422 жыл бұрын
Mungu akubariki PR nimepata jambo
@navokisembo2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@michaelcastory53482 жыл бұрын
Mungu akubarik sana
@mariahaloyce51902 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@anethmasaki58422 жыл бұрын
Asante kwa kuniimarisha
@joliea29562 жыл бұрын
Asante sana mchungaji
@stephanoleonce55302 жыл бұрын
Amina ubarikiwe
@gracejapheth34762 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji.
@rosemarylihawa65472 жыл бұрын
Point sana Mungu atusaidie na atuponye
@agostysilver70152 жыл бұрын
sahihi kabisa Pr. dunia ya leo watu wengi wametawaliwa na mitandao ya kijamii
@dadapechi2 жыл бұрын
Tumetawaliwa. Tutachomokaje
@tajitunzo16642 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@brendapierre8782 жыл бұрын
Namshukuru Mungu alinipa ufahamu kuhusu mitandao mapema..
@HabilyTech2 жыл бұрын
Mungu akubariki baba
@xmaramoja3622 жыл бұрын
Barikiwa sana Mchungaji.
@shaurirwanika58672 жыл бұрын
Asante sana baba. Shauri toka drc goma
@leahmora80192 жыл бұрын
Barikiwa Pr. Kweli tunapaswa kujitawala na sio kutawaliwa na mitandao ya kijamii. Mungu kwanza🙏
@naomiwillson8112 жыл бұрын
Brikiwa pr
@pendoemmanuel43192 жыл бұрын
Hanna kitu kama hicho,kwa nn wafunge masaa 6? Huyo Dada ni yuleyule,hao watu sku zote ni wanafiki.wanaonyesha kupingana kumbe ni wamoja,hii yote ni Sera ya kuelekea the common good
@jonacemanyama48582 жыл бұрын
Amina sana mtumishsi wa BABA
@jeanettegloria62442 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@gracenyamisa87032 жыл бұрын
Amen Amen
@eliyahdavid3972 жыл бұрын
Amen amen 🙏🏻
@rosemutinda30762 жыл бұрын
Media ni ulevi kama vile ulevi wa drugs, tunahitaji nguvu za Mungu zituokoe na huu ulevi
@sisterdivvana87702 жыл бұрын
Kama vile watu wanavyoabudu miungu ndivyo wengine wanavoabudu
@bjchamba64522 жыл бұрын
Kweli tena mwenyezi Mungu atusaidie tu,
@sisterdivvana87702 жыл бұрын
Very true serious yani tukae mbali na mitandao
@puritychogoro2 жыл бұрын
Hallelujah
@ciciandjojo77012 жыл бұрын
Mmmh! Interesting 🤔
@melvinnakhungu25042 жыл бұрын
Amen its true.
@happynessmpaza3792 жыл бұрын
Daah. Imagine nilikuwa sijui kuwa mitandao haikuwepo.
@zacharianicodemas1842 жыл бұрын
Noted ✊✊✊✊✊
@allanothuman29412 жыл бұрын
ILE VIDEO YA MTUKUF CORONA IPO KWENY CHANEL GAN MBONA SIION MTUMISH WA MUNG.... 👏
@victoriajames61902 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@geraldineirankunda11592 жыл бұрын
Ansante sana balikia
@dadapechi2 жыл бұрын
Binafsi nakutakia Kila la kheri. Na Mwenyezi Mungu Awabariki
@happinessmassageclinic4265 Жыл бұрын
ASANTE SANA PASTOR
@allychengula35112 жыл бұрын
Barikiwa canaaa
@benedictojakobo44252 жыл бұрын
👍👏👏
@bibleministry71752 жыл бұрын
Nashukuru kwa maelezo ya kutufungua macho
@dorahyonah97342 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@mashaeliazer74332 жыл бұрын
Amen
@mariamswedi11402 жыл бұрын
Namshukuru Mungu hata sikujua tatizo lililotokea mpk hali imebadilika ndio nasikia
@GibiGene2 жыл бұрын
Ukweli mtupu.
@esthermsely35372 жыл бұрын
🙏
@isayamgaza77162 жыл бұрын
Kwangu mimi naona kuna kitu kipya kimepandikizwa ghafla na kwa siri ili kisichukuliwe taarifa za live au kusiwepo na ushahidi wa mtu yeyote kutambua maana sasa hivi mambo yanafichuka haraka bila mtoa taarifa kuidhinisha jambo hadharani,, tayari kuna singment flani imepandikizwa
@gudabutondo59662 жыл бұрын
title haiendani na ujumbe nilitaka kushangaa Pr. ujiingize kwenye mijadala mfu, ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri na sahihi
@fridageorge28092 жыл бұрын
Pasta mimi ni mfuatiliaji wako mzuri lkn kwenye swala la kusema dunia ilisimama mi siafiki hata kidogo!! Kwasababu mimi binafsi sigundua kama kuna jambo kama hilo na maisha yangu yaliendelea kama kawaida! Nilihadithiwa jambo hili siku ya pili!
@perepetuarwabona41782 жыл бұрын
Kwasababu hutumii labda kla siku ila kweli haikuwepo mda wa masaa kadhaa
@J.WEZATv2 жыл бұрын
Ahsante
@sumasamwel90812 жыл бұрын
Mungu atusaidie kujitawal,, sio kutawliwa
@sisterdivvana87702 жыл бұрын
Shetani ndio anamiliki social media ila ukitako kupotea geza na kuamini maisha ya watu wa instangram
@trophywilson72112 жыл бұрын
Wanapima waone wangapi tutapata 5G ili waongeze mbinu ya Chanjo