NINI KIMETOKEA KWENYE MITANDAO HII GHAFLA?

  Рет қаралды 38,929

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

2 жыл бұрын

Пікірлер: 141
@vayaulashedrack5994
@vayaulashedrack5994 2 жыл бұрын
Pr ubarikiwe sanaaa. NAOMBA watu wa Mungu tutambue nyakati tunazoishi sasa na tutumie mda mwingi kujifunza neno la Mungu na kuomba.
@jonathanimdegela1005
@jonathanimdegela1005 2 жыл бұрын
Nisipo angalia we nitakusikiliza wapi
@barakafares2234
@barakafares2234 2 жыл бұрын
Amina pasto hii inaonyesha Kwa Kweli kwamba ipo siku hata Biblia na vtabu vya nyimbo watavifuta ole wao wasio na hard copy za bible na vtabu vya nyimbo
@rhinakiza
@rhinakiza 2 жыл бұрын
Asante pastor ubarikiwe sana 🙏🏼 Hii ni break wame tupatia kwamba to focus kwa Mungu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Kabisa
@suzanajohn4726
@suzanajohn4726 Жыл бұрын
Sauti iko chini PR
@maureenkemei9254
@maureenkemei9254 2 жыл бұрын
Amen Asante Sana najifunza kujitawala Mwenyewe.
@rosemarymwanitega7926
@rosemarymwanitega7926 2 жыл бұрын
Amen.Asante Pastor
@namsifumaduhumwita2495
@namsifumaduhumwita2495 2 жыл бұрын
Ni mpambano haswaaa. Mungu atusaidie sana
@farajamaduhu1981
@farajamaduhu1981 2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@conniemukami127
@conniemukami127 2 жыл бұрын
Thx pastor for information 🙏🙏Mungu nisaidie nisitawaliwe na mitandao
@danieligrangaisanganda1998
@danieligrangaisanganda1998 2 жыл бұрын
Mchungaji nimeamini kwamba ulichosema ni kweli mitandao hii inayo milikiwa na watu kuna uwezekano mkubwa wa kufutwa sasa hii iwe fundisho kwa wale ambao wanaiamini sana hii mitandao ya kijamii hasa wanao tumia biblia kwenye mitandao na programu mbalimbali za kiroho badala yake watu wa Mungu warejee biblia za kawaida ili siku mitandao ikifungwa tusipate shida ubarikiwe sana binafsi nimejifunza kitu
@katakabilhah6619
@katakabilhah6619 2 жыл бұрын
🙏🙏🙏Amen Tuko katika nyakati za mwisho Wacha tuombe bila kukoma
@mussayusuph8696
@mussayusuph8696 2 жыл бұрын
Asante kwataalifa hii, muhimsana, asiejua, hawezi kukuelewa, kwawenye ufaham, tayali tumepa, pointi muhim MUNGU akujenje.
@billclintononyimbo_officia
@billclintononyimbo_officia 2 жыл бұрын
Thanks pastor for information
@khaldn7409
@khaldn7409 2 жыл бұрын
Amen pastor kwa iyo habari
@charlesbabag1424
@charlesbabag1424 2 жыл бұрын
Ahsante Sana Pastor Mungu akupe zaidi hekima uzidi kuisimamia kweli ya neno la Mungu nakuokoa kizazi hiki kilichopotoka
@bupemwakamela1091
@bupemwakamela1091 2 жыл бұрын
Asante sana pastor David...Mungu akulinde daima kwa jinsi unalitumikia kusudi..tutambue namna itupasavyo kama wana wa MUNGU.....
@kemuntojackline2267
@kemuntojackline2267 2 жыл бұрын
Thanks pastor Mungu akubariki sana mjungaji sana
@gospotv
@gospotv 2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@saumhamisi7320
@saumhamisi7320 2 жыл бұрын
Amen Pastor barikiwa sana
@lacksonmwakanema6799
@lacksonmwakanema6799 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Mchungaji, Mimi nimekuelewa vizuri, nitachukua hatua zaidi, maana Kwa hakika nimekuwa mtumwa Sana wa mitandao hiyo.
@jessikaakinyi8445
@jessikaakinyi8445 2 жыл бұрын
Asante sana pastor Mungu akubariki
@Gold_of_hope_Tv
@Gold_of_hope_Tv 2 жыл бұрын
Asante pastor NA BWANA AKUBARIKI KWA UJUMBE HUU TUKO PAMOJA
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 2 жыл бұрын
Asante sana Mungu akubariki 🙏🏼🙏🏼🙏🏼💗🥰❤️
@meshackadam1521
@meshackadam1521 2 жыл бұрын
Asante sana pastor
@sabathlameck9772
@sabathlameck9772 2 жыл бұрын
Ubarikiw xan pastor mbaga mungu akulinde
@dorothymokua8751
@dorothymokua8751 2 жыл бұрын
Ahsante Sana Pastor, Kweli Mungu atawale akili zetu!
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 2 жыл бұрын
Huyu mpare huwa nampenda sana. Huwa anaongea point sana
@dadapechi
@dadapechi 2 жыл бұрын
Na wewe u kabila gani.
@grdcgv7ufdwdfghh633
@grdcgv7ufdwdfghh633 2 жыл бұрын
Amen mtumishi wa Mungu
@jimmymarwamatjr491
@jimmymarwamatjr491 2 жыл бұрын
Amen pastor... Mungu ni mwema atupiganie tuyashinde ya mitandao.
@MN-hi8ll
@MN-hi8ll 2 жыл бұрын
My favorite pastor!!!
@isaiahstadius2383
@isaiahstadius2383 2 жыл бұрын
Asante Pastor.
@daisybuyantsi5953
@daisybuyantsi5953 2 жыл бұрын
Asante Pastor umesema ukweli, Mungu akubariki
@kimusembura9483
@kimusembura9483 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akupemaisha marefu
@emmanuelsamuellupiga7630
@emmanuelsamuellupiga7630 2 жыл бұрын
Amina pr Mungu akubariki
@niwevyose8147
@niwevyose8147 2 жыл бұрын
Amen and be blessed pastor
@happinessmisana73
@happinessmisana73 2 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor
@t7zkc5tpxgim28
@t7zkc5tpxgim28 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana pastor
@neemakweli461
@neemakweli461 2 жыл бұрын
Asante Sana Mtumishi wa MUNGU ubarikiwe.
@narggdhdv765
@narggdhdv765 Жыл бұрын
Asante. Mungu tusaidiee
@leticiakibona7055
@leticiakibona7055 2 жыл бұрын
Amen Mungu atusaidie na huu utumwa wa mitandao
@erickmogere6558
@erickmogere6558 2 жыл бұрын
Pastor hapo umenijenga sana huwa nakupenda sana kwa mafundisho ambayo kila siku matazamo wangu unabadilika na kunijengea imani
@shegashega2421
@shegashega2421 2 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana mtumshi kwa fumbo hili. Nakupenda sana
@Lesley400
@Lesley400 2 жыл бұрын
Asante ubarikiwe mchungaji wangu
@richardomary143
@richardomary143 2 жыл бұрын
Nimekuelewa mtumishi wa Mungu ubarikiwe
@christinengola6016
@christinengola6016 2 жыл бұрын
Mungu akuongezee hekima na bussra
@alicenyabate8148
@alicenyabate8148 2 жыл бұрын
Barikiwa pastor
@malochafrenkmayala260
@malochafrenkmayala260 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi.
@edithmakwakwa9489
@edithmakwakwa9489 2 жыл бұрын
Ukweli mtupu pastor Mmbaga David
@mossesjoseph2202
@mossesjoseph2202 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Pastor kwa kutufumbulia fumbo hili.
@jadirawholesale3287
@jadirawholesale3287 2 жыл бұрын
God bless u
@malochafrenkmayala260
@malochafrenkmayala260 2 жыл бұрын
Leo dunia iwahi na kulala😂😂
@priscillaheri6823
@priscillaheri6823 2 жыл бұрын
Mungu akubariki mch Mmbaga
@elizabethjohn5442
@elizabethjohn5442 2 жыл бұрын
Mungu akubariki PR nimepata jambo
@navokisembo
@navokisembo 2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu
@michaelcastory5348
@michaelcastory5348 2 жыл бұрын
Mungu akubarik sana
@mariahaloyce5190
@mariahaloyce5190 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@anethmasaki5842
@anethmasaki5842 2 жыл бұрын
Asante kwa kuniimarisha
@joliea2956
@joliea2956 2 жыл бұрын
Asante sana mchungaji
@stephanoleonce5530
@stephanoleonce5530 2 жыл бұрын
Amina ubarikiwe
@gracejapheth3476
@gracejapheth3476 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji.
@rosemarylihawa6547
@rosemarylihawa6547 2 жыл бұрын
Point sana Mungu atusaidie na atuponye
@agostysilver7015
@agostysilver7015 2 жыл бұрын
sahihi kabisa Pr. dunia ya leo watu wengi wametawaliwa na mitandao ya kijamii
@dadapechi
@dadapechi 2 жыл бұрын
Tumetawaliwa. Tutachomokaje
@tajitunzo1664
@tajitunzo1664 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@brendapierre878
@brendapierre878 2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu alinipa ufahamu kuhusu mitandao mapema..
@HabilyTech
@HabilyTech 2 жыл бұрын
Mungu akubariki baba
@xmaramoja362
@xmaramoja362 2 жыл бұрын
Barikiwa sana Mchungaji.
@shaurirwanika5867
@shaurirwanika5867 2 жыл бұрын
Asante sana baba. Shauri toka drc goma
@leahmora8019
@leahmora8019 2 жыл бұрын
Barikiwa Pr. Kweli tunapaswa kujitawala na sio kutawaliwa na mitandao ya kijamii. Mungu kwanza🙏
@naomiwillson811
@naomiwillson811 2 жыл бұрын
Brikiwa pr
@pendoemmanuel4319
@pendoemmanuel4319 2 жыл бұрын
Hanna kitu kama hicho,kwa nn wafunge masaa 6? Huyo Dada ni yuleyule,hao watu sku zote ni wanafiki.wanaonyesha kupingana kumbe ni wamoja,hii yote ni Sera ya kuelekea the common good
@jonacemanyama4858
@jonacemanyama4858 2 жыл бұрын
Amina sana mtumishsi wa BABA
@jeanettegloria6244
@jeanettegloria6244 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@gracenyamisa8703
@gracenyamisa8703 2 жыл бұрын
Amen Amen
@eliyahdavid397
@eliyahdavid397 2 жыл бұрын
Amen amen 🙏🏻
@rosemutinda3076
@rosemutinda3076 2 жыл бұрын
Media ni ulevi kama vile ulevi wa drugs, tunahitaji nguvu za Mungu zituokoe na huu ulevi
@sisterdivvana8770
@sisterdivvana8770 2 жыл бұрын
Kama vile watu wanavyoabudu miungu ndivyo wengine wanavoabudu
@bjchamba6452
@bjchamba6452 2 жыл бұрын
Kweli tena mwenyezi Mungu atusaidie tu,
@sisterdivvana8770
@sisterdivvana8770 2 жыл бұрын
Very true serious yani tukae mbali na mitandao
@puritychogoro
@puritychogoro 2 жыл бұрын
Hallelujah
@ciciandjojo7701
@ciciandjojo7701 2 жыл бұрын
Mmmh! Interesting 🤔
@melvinnakhungu2504
@melvinnakhungu2504 2 жыл бұрын
Amen its true.
@happynessmpaza379
@happynessmpaza379 2 жыл бұрын
Daah. Imagine nilikuwa sijui kuwa mitandao haikuwepo.
@zacharianicodemas184
@zacharianicodemas184 2 жыл бұрын
Noted ✊✊✊✊✊
@allanothuman2941
@allanothuman2941 2 жыл бұрын
ILE VIDEO YA MTUKUF CORONA IPO KWENY CHANEL GAN MBONA SIION MTUMISH WA MUNG.... 👏
@victoriajames6190
@victoriajames6190 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie
@geraldineirankunda1159
@geraldineirankunda1159 2 жыл бұрын
Ansante sana balikia
@dadapechi
@dadapechi 2 жыл бұрын
Binafsi nakutakia Kila la kheri. Na Mwenyezi Mungu Awabariki
@happinessmassageclinic4265
@happinessmassageclinic4265 Жыл бұрын
ASANTE SANA PASTOR
@allychengula3511
@allychengula3511 2 жыл бұрын
Barikiwa canaaa
@benedictojakobo4425
@benedictojakobo4425 2 жыл бұрын
👍👏👏
@bibleministry7175
@bibleministry7175 2 жыл бұрын
Nashukuru kwa maelezo ya kutufungua macho
@dorahyonah9734
@dorahyonah9734 2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@mashaeliazer7433
@mashaeliazer7433 2 жыл бұрын
Amen
@mariamswedi1140
@mariamswedi1140 2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu hata sikujua tatizo lililotokea mpk hali imebadilika ndio nasikia
@GibiGene
@GibiGene 2 жыл бұрын
Ukweli mtupu.
@esthermsely3537
@esthermsely3537 2 жыл бұрын
🙏
@isayamgaza7716
@isayamgaza7716 2 жыл бұрын
Kwangu mimi naona kuna kitu kipya kimepandikizwa ghafla na kwa siri ili kisichukuliwe taarifa za live au kusiwepo na ushahidi wa mtu yeyote kutambua maana sasa hivi mambo yanafichuka haraka bila mtoa taarifa kuidhinisha jambo hadharani,, tayari kuna singment flani imepandikizwa
@gudabutondo5966
@gudabutondo5966 2 жыл бұрын
title haiendani na ujumbe nilitaka kushangaa Pr. ujiingize kwenye mijadala mfu, ubarikiwe kwa ufafanuzi mzuri na sahihi
@fridageorge2809
@fridageorge2809 2 жыл бұрын
Pasta mimi ni mfuatiliaji wako mzuri lkn kwenye swala la kusema dunia ilisimama mi siafiki hata kidogo!! Kwasababu mimi binafsi sigundua kama kuna jambo kama hilo na maisha yangu yaliendelea kama kawaida! Nilihadithiwa jambo hili siku ya pili!
@perepetuarwabona4178
@perepetuarwabona4178 2 жыл бұрын
Kwasababu hutumii labda kla siku ila kweli haikuwepo mda wa masaa kadhaa
@J.WEZATv
@J.WEZATv 2 жыл бұрын
Ahsante
@sumasamwel9081
@sumasamwel9081 2 жыл бұрын
Mungu atusaidie kujitawal,, sio kutawliwa
@sisterdivvana8770
@sisterdivvana8770 2 жыл бұрын
Shetani ndio anamiliki social media ila ukitako kupotea geza na kuamini maisha ya watu wa instangram
@trophywilson7211
@trophywilson7211 2 жыл бұрын
Wanapima waone wangapi tutapata 5G ili waongeze mbinu ya Chanjo
@rehabokaya2232
@rehabokaya2232 2 жыл бұрын
Mungu atusaidia kuelewa haya mambo
@jamiejames6100
@jamiejames6100 2 жыл бұрын
Social media detox....be blessed pastor 🙏.
UWEKEZAJI BY AY NYARUGUSU LIVE PERFORMANCE AT KAHAMA NET EVENT 01 JUNE 2024
5:24
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 36 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 63 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 27 МЛН
2015 Personality Lecture 08: Depth Psychology: Sigmund Freud (Part 1)
1:14:40
Jordan B Peterson
Рет қаралды 676 М.
MAMBO MATATU MUHIMU KATIKA MAWASILIANO YA ULIMWENGU WA KIROHO!
1:06:47
KANUNI HIZI TANO ZITAKUSAIDIA WAKATI WA SHIDA KUBWA MAISHANI
48:39
MUSIC SEMINAR BY PR. PAUL SEMBA
37:47
ORIONe TV
Рет қаралды 9 М.
HUWEZI KUFANIKIWA KIMAISHA BILA  MATATU HAYA.... SEH YA TATU
38:55
KWANINI WENGI WANASHINDWA KATIKA MAISHA? - PR. DAVID MMBAGA
1:20:38
BADILI FIKRA!! MAJIBU YA SHIDA ZAKO HAYA HAPA!!!!
39:28
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 152 М.
MWANAMKE AKIELEWA HILI,NDOA ITAKUWA SAFIIII!!!
19:54
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 116 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 36 МЛН