Njia Nne (4) Za Kukuza Biashara Yako - Joel Nanauka

  Рет қаралды 145,762

Joel Nanauka

Joel Nanauka

5 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 196
@jackwalson2712
@jackwalson2712 2 жыл бұрын
Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.
@lovemorepatrick4869
@lovemorepatrick4869 2 жыл бұрын
Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.
@arnulfbrand9753
@arnulfbrand9753 2 жыл бұрын
Salamu kutoka Florida, nimesoma maoni mengi kumhusu katika majukwaa mengi, lazima awe mwanamume halali.
@emmanuelokoye4855
@emmanuelokoye4855 2 жыл бұрын
Hii sio mara ya kwanza kumsikia Alexander Barnes na athari zake kwenye ulimwengu wa uwekezaji, nadhani nitajaribu kuwekeza naye.
@wilsonmurdoch4281
@wilsonmurdoch4281 2 жыл бұрын
Ninamjua mtu huyu, ni bora katika kile anachofanya. Nilianza tu kufanya biashara naye kwa uwekezaji wa awali wa $1550 na nilipata hadi $3200 katika wiki moja tu ya kufanya biashara naye. Mikakati yake ni ya kutisha
@malalezengo4405
@malalezengo4405 5 жыл бұрын
Safi sana mwalimu wangu mwaka 2018 niliahidi kwamba nwaka 2019 ntafungua duka LA nguo nimefungau narudisha marejesho asante kwa masomo yako mazur
@tilsajohn6494
@tilsajohn6494 2 жыл бұрын
👍
@ram_btv3822
@ram_btv3822 2 жыл бұрын
Nashukuru kuanzia nianze kukufatilia nayaona mabadiliko kwenye biashara zangu kutokana na kujitangaza zaidi🙏
@mussakingay901
@mussakingay901 2 жыл бұрын
Brazaa nakufatilia sanaa vipind vyako
@burudikotv1953
@burudikotv1953 Жыл бұрын
Mungu akulinde Sir❤
@queenmduma3869
@queenmduma3869 5 жыл бұрын
So powerful..Be blessed brother Asante sana Njia ya kwanza(Market Penetration) na ya tatu (Market Development) ntaanza nazo. "Mafanikio yako yamefichwa kwenye ujasiri wako wa kutafuta masoko mapya"
@debdahchannel9159
@debdahchannel9159 3 жыл бұрын
Hey....tunahitaji waalimu wengi zaidi kama hawa maana kwasasa tatizo si pesa tuu ila fahamu zetu MUNGU AKUTUNZE MWALIMU PROUD OF YOU
@shidakabichi10
@shidakabichi10 3 жыл бұрын
Your always my friend nanauka although I never see you facely, thank you for the good advice in business issues
@ezabron4784
@ezabron4784 5 жыл бұрын
Asante sana Joel,bado naendelea kuelimika kupitia wewe. Mungu akubariki.
@hellychavdy5531
@hellychavdy5531 5 жыл бұрын
Kaka nanauka wewe nizaidi ya noma umenifanya nijione JOKA refu kwenye biashara yangu nakuiboresha zaidi na zaidi asante sana mungu akubariki sana nanime donlod
@joesphjustine8094
@joesphjustine8094 4 жыл бұрын
Mwanzo nilikuwa nauza chipsi nilikuwa naogopa kuibadili kazi ile kwa miaka mingi. Nilikuwa muoga sana wa kuthubutu kuiacha. Baada ya kufuatilia kwa makini masomo yako Siku izi nimefungua duka la vipodozi na ninaendelea vizuri sana.# asante Mr jn Mungu akubariki sana na akuwezeshe ktk kazi yako.
@andersonnambunga3388
@andersonnambunga3388 2 жыл бұрын
Nice
@kilolahmakondo766
@kilolahmakondo766 4 жыл бұрын
Nashukuru kaka unatoa elim nzr ya ujasiliamali.Tupo nyuma yk haraf nashukuru umefanyia kaz ushaur wangu kwamba ulikuwa unaongea haraka harak mno kipindi cha nyuma ila kwa ss umebadilika unaongea taratibu tunakuellewa na unasikika barabara asante kaka Mungu akupe masikio na maarifa mengi pia
@gladmboya2385
@gladmboya2385 5 жыл бұрын
Kaka umenitoa nilipo nimesogea sehemu nyingine,kuanzia kesho nitatafta Wateja wapya wa chakula maofisini,Mungu akubariki sana.
@peterkasembo7854
@peterkasembo7854 Жыл бұрын
Kiukwery ume gusa maisha yangu kwa utofati zaid
@elizabethmichael6458
@elizabethmichael6458 5 жыл бұрын
Hatua ya tatu ndio natakiwa kuanza nayo . Asante kwa kuendelea kutuelimisha Neema za Mungu ziendelee kuwa juu yako
@tracyjoseph2075
@tracyjoseph2075 3 жыл бұрын
Thanx so much kwa darasa but mim napenda kutumia marketing penetration na diversification nadhani hizo zitanifaa zaidi
@thomasdamas4347
@thomasdamas4347 4 жыл бұрын
Asante Mr Joel nayafanyia kazi hayo mawazo... See you at the top
@habarikalizatown9052
@habarikalizatown9052 4 жыл бұрын
Umenifurahisha sana kaka nimepata madini kidogo endapo nilichelewa
@assamwakasanga3570
@assamwakasanga3570 5 жыл бұрын
thank you so much to teach us every day if to do work, ibelive yourself we go to succesfull....God belless you ... see you at the top#
@aminasalum8183
@aminasalum8183 Жыл бұрын
u r the best broh….lemme start dealing with this ideas ❤❤❤
@justinycleverton7345
@justinycleverton7345 2 ай бұрын
asante sana maana hadi kichwa kili stuck umenipa wazo
@eng.anoldkishumu3080
@eng.anoldkishumu3080 5 жыл бұрын
Asante sana bwana Joel. Nimeshasoma vitabu vyako yaani timiza malengo yako, nguvu ya mwanamke, ishi ndoto yako, tabia ya kughairisha mambo. Kwa kweli vyote ni vizuri. Kama utatoa kingine naomba unijulishe niweze kupata softcopy yake maana naamini bei yake itakuwa sio kubwa kama ya hardcopy. Mungu akubariki.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 жыл бұрын
ANOLD KISHUMU hongera sana kwa kuwa mfuatiliaji mzuri sana .Sawa nitakujulisha
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 5 жыл бұрын
softcopy ulipataje ndugu nahitaji
@allyhamad1301
@allyhamad1301 Жыл бұрын
@@joelnanauka m ntaka ushauri
@hildabundala7527
@hildabundala7527 5 жыл бұрын
Karibu morogoro bro. Nikuandalie semina ya vijana
@herielkimambo7211
@herielkimambo7211 5 жыл бұрын
Hi hilda
@gladnessgiven4511
@gladnessgiven4511 Жыл бұрын
Nakushkur Sana blaz kwa kunfundisha somo Leo ntatafta wateja wapya
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 жыл бұрын
Najifunza sana kwako unanifundisha sana nimeshaanza kubadilika kiufaham na mtazamo wangu umebadilika kabisa nataman unitembelee kwenye duka langu
@letionnews310
@letionnews310 3 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@uiavajiwgav5441
@uiavajiwgav5441 Жыл бұрын
We salute my fover right ad viser wesh your long life 💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mohamedfaris3000
@mohamedfaris3000 3 жыл бұрын
Yes, ni kweli moja ya point muhimu uliyozungumza ni kuhusu matangazo na discount, nakukubali mkuu
@tfashy_hub9156
@tfashy_hub9156 2 жыл бұрын
Asante sana Kaka. Umenipa kitu.
@helencyprian6044
@helencyprian6044 3 жыл бұрын
Daah umeniongezea maarifa, asante kaka. Sikuwahi kugundua kama kuna mambo mazuri huku.
@isackryoba7193
@isackryoba7193 5 жыл бұрын
ahsante brother binafsi nimejifunza mengi kupitiaa ww accha niyafanyia kazi kisha penye tatizo nikujulisha kwa msaada zaidi
@neemamgumba6575
@neemamgumba6575 Жыл бұрын
Asante kwa kufungua mind set yangu .natamani kukuza biashara yangu ya duka genge.
@powamkumba2131
@powamkumba2131 4 жыл бұрын
Asante sana schoolmate, unrelated and related business na kufanya promotion ktk biashara yako
@husnamaftah4289
@husnamaftah4289 2 жыл бұрын
Very helpful presentation. God bless you
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Jazaaaq LLAH kheir.. Thanks brother my regards ALLAH BLESSING you..and towerds efforts for all you wish in your life
@furahathomas2074
@furahathomas2074 2 жыл бұрын
Asante kaka kwa ushauri wako mzuri mungu akubariki kwa kutupa elimu nzuri
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 жыл бұрын
Ahsante Sana broo Mungu azidi kuku uongoza vyema zaidi kiongozi
@thegirl1405
@thegirl1405 5 жыл бұрын
Shukraan brother kwa somo makini sana ubarikiwe 🙏🙏
@user-hi1hm9yv9r
@user-hi1hm9yv9r 5 ай бұрын
Joel great point lakini nataka unisaidie nimekuwa na maono ya kufungua saloon ya kiume na Hadi nimenunua vifaa lakini kutokana na mazingira nayo ishi vyumba vimekuwa gharama Zaid nisiyo iweza na Kwa nje na mazingira yangu imekuwa ngumu kufatilia sababu ya majukumu na kuogopa namna ya usimamiaji sasa nataka kujua nifanye nini biashara yangu ianze kufanya kazi
@mwajumamwishehe3423
@mwajumamwishehe3423 5 жыл бұрын
Mimi bd sema naitaji kuwa mfanya biashala hapo baadae enderea kutuelimisha kaka mungu hawe pamoja nawe🙏🙏🙏
@zickmalik4901
@zickmalik4901 Жыл бұрын
Nashkuru nimekutana na mtu sahihi. Asante sana
@michaeljordan2558
@michaeljordan2558 5 жыл бұрын
Good brother..real appreciate. God bless you
@shuukuchy6350
@shuukuchy6350 2 жыл бұрын
Kuhama mji n kuongeza vtu vnavyoendana.. Bst fr me
@TujuzeTv
@TujuzeTv 3 жыл бұрын
From Burundi nakufuatilia saaana haswa katika mtandao wa Facebook daaaah ubarikiwe kwa saaaaana tuu
@sumiodilo1180
@sumiodilo1180 5 жыл бұрын
Bado nakufata, nakutazama, najifunza, na-like na pia ninatafiti-sisi watazamaji hasa tunaokomenti na wewe vile vile. Kuna watu walikuwa wanakomenti hapa ili kutafuta followers kwenye account zao za KZfaq, hilo nimegundua, ushahidi upo katika somo moja wakati unamalizia mwishoni ulisema pongezi, shukurani zakweli/kinafki na hata tabasamu(sija-quote kama ilivyo) ulisema inajulikana apewapo mtu, wakajua umewashtukia mara watu wale wakasepa, sijaona tena komenti zao. Tuliopo thabiti kama kawaida unatuona. Mungu akuinue zaidi kaka. Ninabarikiwa na mafunzo yako.
@dynesyonazi7449
@dynesyonazi7449 2 жыл бұрын
Asantee kwa somo zurii kaka i real appreciate you
@oliverfrancis8219
@oliverfrancis8219 2 жыл бұрын
Asante kwa darasa
@ezabron4784
@ezabron4784 5 жыл бұрын
Naongezea mbinu nyingine hapo. Kutoa elimu namna bidhaa au huduma unayoitoa itakavyowasaidia unaowahudumi. Wengne wanaweza wakaelewa huduma/bidhaa ila wasitambue msaada inayowapatia. Wanunuzi wengi huangalia pesa wanasahau umuhimu wake. Asante!!
@wangwanatv2555
@wangwanatv2555 3 жыл бұрын
Your lesson it's nice I have learnt something ...Thanksgiving 🙏🙏💯
@othmanmuhammad1650
@othmanmuhammad1650 5 жыл бұрын
I really enjoyed it brother,. that's lit!,,you rock,.!.,
@MwendeshaNdaki-fh9wi
@MwendeshaNdaki-fh9wi 2 ай бұрын
Vip bei ya utengenezaji naomba kujua
@MariaKisabo
@MariaKisabo 3 ай бұрын
Kwakweli izo njia ni nuli sana
@seciliasinde-xy8ow
@seciliasinde-xy8ow 10 ай бұрын
Thank you brother
@upendofrank4917
@upendofrank4917 4 жыл бұрын
Blessing for u brother
@farajawilly9700
@farajawilly9700 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@esterbryson3020
@esterbryson3020 Жыл бұрын
SoMo zuri me ni mmoja wapo ninaetaka kufunga biashara
@Mwamba67
@Mwamba67 5 жыл бұрын
God bless you....!!
@zainaselemani9775
@zainaselemani9775 2 жыл бұрын
Waaoh!! Thanks so much nimekuelewa bro🙏🙏mm ndio kwañza nimeanza ka biashar kangu ya urembo lyke cheni,hereni, blacelet na vinginevyooo so naomba ushaurii zaidi nifanyeje ili nikuze zaidii ya hapo.
@allyhamad1301
@allyhamad1301 Жыл бұрын
Mm naomba ushauri kutoka kwako
@frankfiretz
@frankfiretz 5 жыл бұрын
Ahsante Sana Kaka kwa somo nzuri
@giftmasukila4736
@giftmasukila4736 Жыл бұрын
Mim lengo Ni kufanya biashara vizuri Ila najikutaa napoteza mtaji kutokana na mahitaj kuwa mengii na biashara kuwa ndogo nifanyaje
@fahmitumu8620
@fahmitumu8620 5 жыл бұрын
Kaka njoo na somo LA uwekezaji katika njia mbal mbal tunakuomba
@stephahObimo
@stephahObimo 5 жыл бұрын
Nimekuelewa brother Nafikili ntafanyia kazi
@elizabethmichael6458
@elizabethmichael6458 5 жыл бұрын
Asante kaka yang mungu akubariki sana
@editordominick6879
@editordominick6879 5 жыл бұрын
Thank you nataman ungekuwa dodoma
@agathamagidanga1518
@agathamagidanga1518 5 жыл бұрын
Nmekuelewa sana, inayonifaa kwa sasa ni market penetration
@mdaginyikamwamuyinga895
@mdaginyikamwamuyinga895 3 жыл бұрын
Joel ,, binafsi kupitia post zako nibayaona mapungufu yangu mengi ambayo ninaamini yamenifanya niwe haoa nilipo natamani kufanya uoya kadri niwezavyo . Asante
@user-fi8ig5oy3x
@user-fi8ig5oy3x 5 ай бұрын
Daaaa safi sana
@donatusdeusdedith6784
@donatusdeusdedith6784 Жыл бұрын
Binafis najifunza zaidi kwako kaka ww kweli nimfano wa kuigwa
@nyaamajengo5861
@nyaamajengo5861 4 жыл бұрын
Asante sana nimejifunza kitu
@eliezermtokoma2057
@eliezermtokoma2057 5 жыл бұрын
asante kwa chakula cha ubongo..
@Jackson_12523
@Jackson_12523 Жыл бұрын
NJIA GANI NA WEZA KUANZISHA BIASHARA
@chrismassawe326
@chrismassawe326 2 жыл бұрын
Bado narudia hili somo
@KIMSwahili
@KIMSwahili 3 жыл бұрын
Shukurani sana mwalim
@gwakisaabisay6184
@gwakisaabisay6184 Жыл бұрын
Noted brother
@empireofficialtrailer9599
@empireofficialtrailer9599 2 жыл бұрын
Umenifungua kwa kiasi kikubwa
@jacksonmgonde
@jacksonmgonde 4 ай бұрын
Nimekuelewa Kaka nimeferi muda mrefu Sana kwenye biashara yangu
@hilarygodfrey5862
@hilarygodfrey5862 5 жыл бұрын
Unazidi kutufundisha sana kaka yake
@nuldinsalm8632
@nuldinsalm8632 3 жыл бұрын
Dar nakuelewasana
@rumishamsaki5944
@rumishamsaki5944 3 жыл бұрын
Asanteh sana brother
@summerbill7480
@summerbill7480 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Bomba sana Mkuu
@julianamusa4216
@julianamusa4216 2 жыл бұрын
Samahani joel manauka nataka kuanzisha biashara ya mikate sasa sija jua napataje vifungishio vya kubebea mikate nisaidie napataje
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Merci bouquet..+250
@michaelkatigula5793
@michaelkatigula5793 3 жыл бұрын
Somo zur Sana mwalimu
@mercyolando-ii7hl
@mercyolando-ii7hl 11 ай бұрын
Asante kwa mafunzo,lakini nina swali niko na salon nataka kugawanya pande moja iwe duka,inawezekana ama haziko related.
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 4 жыл бұрын
God bless you ma brother
@kelvinmwakatobe2174
@kelvinmwakatobe2174 Жыл бұрын
For now nahitaji hii market penetration inaweza kua bora zaidiii na nikifanikiwa hapooo nita Move on ... Kwenye izooo zengine......
@babalois7240
@babalois7240 5 жыл бұрын
Wakati mwingine mafanikio yako yamejificha kwenye uoga wako wa kutafuta masoko mapya..NOTED
@danielbalama7878
@danielbalama7878 4 жыл бұрын
Ameni
@rhoidatolya8446
@rhoidatolya8446 2 жыл бұрын
Nahitaji mabadiliko eneo la kutimiza malengo
@egonkasiano7822
@egonkasiano7822 5 жыл бұрын
Shukran
@hawakimaro9675
@hawakimaro9675 3 жыл бұрын
Thanks a lot joel
@hillaryaugustine7141
@hillaryaugustine7141 5 жыл бұрын
Nakukubali Cana Mr Nanauka
@hanginguje
@hanginguje 6 ай бұрын
Nahitaji kitabu kaka yangu cha kukuza biashara na jisi ya kuanzisha biashara nakupataje nipo Kenya lakinii nakaa Katoro nakupataje kaka
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 жыл бұрын
Asante sana
@edinachami1754
@edinachami1754 5 жыл бұрын
Love u brthr from cameroon
@adelinakibejile4696
@adelinakibejile4696 2 жыл бұрын
Shukran b blessed
@faudhiatmasoud4025
@faudhiatmasoud4025 5 жыл бұрын
Asanteee
@deodatiemmanueltarimo6714
@deodatiemmanueltarimo6714 3 жыл бұрын
Nimeipenda
@user-jn7pi4fl5m
@user-jn7pi4fl5m 2 жыл бұрын
Ndo kwaza nimeaza kufatilia leo subili ikufatilie
@ericjonstz3120
@ericjonstz3120 4 жыл бұрын
Naitwa Ibrahim saburi natokea kalenga cte iringa Tanzania nimekupata vizuli kaka
Njia  Nne (4) Za Kuongeza Ushawishi Katika Kile Unachokifanya
14:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 70 М.
Njia 4 Rahisi Za Kujenga Nidhamu Ya Fedha Ili Utimize Malengo Yako
7:52
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Как бесплатно замутить iphone 15 pro max
00:59
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 6 МЛН
MBINU ZA SIRI KATIKA DUKA LA REJAREJA/ UNATENGAJE FAIDA.?
10:59
SED Jamii.
Рет қаралды 56 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 52 М.
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН