Video nzuri, Lakini wacha nizungumzie jambo muhimu, naona vijana na wazee wengi wakifanya makosa ambayo nadhani hayafai. Nadhani kila mtu, mdogo au mzee, anapaswa kuwa na mpango wa uwekezaji unaoongeza mapato yao ya kifedha kwa takwimu tatu hadi sita. Uwekezaji unaweza kuwa mpango wako wa kustaafu au mpango wako wa baadaye, chochote unachotaka, lakini cha muhimu zaidi ni kwamba una uwekezaji wa faida.
@lovemorepatrick48692 жыл бұрын
Uwekezaji ndio ufunguo wa maisha yenye mafanikio, ikiwa umebahatika kuona jukwaa au wakala aliye na mpango mzuri na utambuzi bora, fanya vyema kuchukua nafasi yako.
@arnulfbrand97532 жыл бұрын
Salamu kutoka Florida, nimesoma maoni mengi kumhusu katika majukwaa mengi, lazima awe mwanamume halali.
@emmanuelokoye48552 жыл бұрын
Hii sio mara ya kwanza kumsikia Alexander Barnes na athari zake kwenye ulimwengu wa uwekezaji, nadhani nitajaribu kuwekeza naye.
@wilsonmurdoch42812 жыл бұрын
Ninamjua mtu huyu, ni bora katika kile anachofanya. Nilianza tu kufanya biashara naye kwa uwekezaji wa awali wa $1550 na nilipata hadi $3200 katika wiki moja tu ya kufanya biashara naye. Mikakati yake ni ya kutisha
@malalezengo44055 жыл бұрын
Safi sana mwalimu wangu mwaka 2018 niliahidi kwamba nwaka 2019 ntafungua duka LA nguo nimefungau narudisha marejesho asante kwa masomo yako mazur
@tilsajohn64942 жыл бұрын
👍
@ram_btv38222 жыл бұрын
Nashukuru kuanzia nianze kukufatilia nayaona mabadiliko kwenye biashara zangu kutokana na kujitangaza zaidi🙏
@mussakingay9012 жыл бұрын
Brazaa nakufatilia sanaa vipind vyako
@burudikotv1953 Жыл бұрын
Mungu akulinde Sir❤
@queenmduma38695 жыл бұрын
So powerful..Be blessed brother Asante sana Njia ya kwanza(Market Penetration) na ya tatu (Market Development) ntaanza nazo. "Mafanikio yako yamefichwa kwenye ujasiri wako wa kutafuta masoko mapya"
@debdahchannel91593 жыл бұрын
Hey....tunahitaji waalimu wengi zaidi kama hawa maana kwasasa tatizo si pesa tuu ila fahamu zetu MUNGU AKUTUNZE MWALIMU PROUD OF YOU
@shidakabichi103 жыл бұрын
Your always my friend nanauka although I never see you facely, thank you for the good advice in business issues
@ezabron47845 жыл бұрын
Asante sana Joel,bado naendelea kuelimika kupitia wewe. Mungu akubariki.
@hellychavdy55315 жыл бұрын
Kaka nanauka wewe nizaidi ya noma umenifanya nijione JOKA refu kwenye biashara yangu nakuiboresha zaidi na zaidi asante sana mungu akubariki sana nanime donlod
@joesphjustine80944 жыл бұрын
Mwanzo nilikuwa nauza chipsi nilikuwa naogopa kuibadili kazi ile kwa miaka mingi. Nilikuwa muoga sana wa kuthubutu kuiacha. Baada ya kufuatilia kwa makini masomo yako Siku izi nimefungua duka la vipodozi na ninaendelea vizuri sana.# asante Mr jn Mungu akubariki sana na akuwezeshe ktk kazi yako.
@andersonnambunga33882 жыл бұрын
Nice
@kilolahmakondo7664 жыл бұрын
Nashukuru kaka unatoa elim nzr ya ujasiliamali.Tupo nyuma yk haraf nashukuru umefanyia kaz ushaur wangu kwamba ulikuwa unaongea haraka harak mno kipindi cha nyuma ila kwa ss umebadilika unaongea taratibu tunakuellewa na unasikika barabara asante kaka Mungu akupe masikio na maarifa mengi pia
@gladmboya23855 жыл бұрын
Kaka umenitoa nilipo nimesogea sehemu nyingine,kuanzia kesho nitatafta Wateja wapya wa chakula maofisini,Mungu akubariki sana.
@peterkasembo7854 Жыл бұрын
Kiukwery ume gusa maisha yangu kwa utofati zaid
@elizabethmichael64585 жыл бұрын
Hatua ya tatu ndio natakiwa kuanza nayo . Asante kwa kuendelea kutuelimisha Neema za Mungu ziendelee kuwa juu yako
@tracyjoseph20753 жыл бұрын
Thanx so much kwa darasa but mim napenda kutumia marketing penetration na diversification nadhani hizo zitanifaa zaidi
@thomasdamas43474 жыл бұрын
Asante Mr Joel nayafanyia kazi hayo mawazo... See you at the top
@habarikalizatown90524 жыл бұрын
Umenifurahisha sana kaka nimepata madini kidogo endapo nilichelewa
@assamwakasanga35705 жыл бұрын
thank you so much to teach us every day if to do work, ibelive yourself we go to succesfull....God belless you ... see you at the top#
@aminasalum8183 Жыл бұрын
u r the best broh….lemme start dealing with this ideas ❤❤❤
@justinycleverton73452 ай бұрын
asante sana maana hadi kichwa kili stuck umenipa wazo
@eng.anoldkishumu30805 жыл бұрын
Asante sana bwana Joel. Nimeshasoma vitabu vyako yaani timiza malengo yako, nguvu ya mwanamke, ishi ndoto yako, tabia ya kughairisha mambo. Kwa kweli vyote ni vizuri. Kama utatoa kingine naomba unijulishe niweze kupata softcopy yake maana naamini bei yake itakuwa sio kubwa kama ya hardcopy. Mungu akubariki.
@joelnanauka5 жыл бұрын
ANOLD KISHUMU hongera sana kwa kuwa mfuatiliaji mzuri sana .Sawa nitakujulisha
@faudhiatmasoud40255 жыл бұрын
softcopy ulipataje ndugu nahitaji
@allyhamad1301 Жыл бұрын
@@joelnanauka m ntaka ushauri
@hildabundala75275 жыл бұрын
Karibu morogoro bro. Nikuandalie semina ya vijana
@herielkimambo72115 жыл бұрын
Hi hilda
@gladnessgiven4511 Жыл бұрын
Nakushkur Sana blaz kwa kunfundisha somo Leo ntatafta wateja wapya
@chrismassawe3265 жыл бұрын
Najifunza sana kwako unanifundisha sana nimeshaanza kubadilika kiufaham na mtazamo wangu umebadilika kabisa nataman unitembelee kwenye duka langu
@letionnews3103 жыл бұрын
Nimekuelewa sana
@uiavajiwgav5441 Жыл бұрын
We salute my fover right ad viser wesh your long life 💘🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mohamedfaris30003 жыл бұрын
Yes, ni kweli moja ya point muhimu uliyozungumza ni kuhusu matangazo na discount, nakukubali mkuu
@tfashy_hub91562 жыл бұрын
Asante sana Kaka. Umenipa kitu.
@helencyprian60443 жыл бұрын
Daah umeniongezea maarifa, asante kaka. Sikuwahi kugundua kama kuna mambo mazuri huku.
@isackryoba71935 жыл бұрын
ahsante brother binafsi nimejifunza mengi kupitiaa ww accha niyafanyia kazi kisha penye tatizo nikujulisha kwa msaada zaidi
@neemamgumba6575 Жыл бұрын
Asante kwa kufungua mind set yangu .natamani kukuza biashara yangu ya duka genge.
@powamkumba21314 жыл бұрын
Asante sana schoolmate, unrelated and related business na kufanya promotion ktk biashara yako
@husnamaftah42892 жыл бұрын
Very helpful presentation. God bless you
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Jazaaaq LLAH kheir.. Thanks brother my regards ALLAH BLESSING you..and towerds efforts for all you wish in your life
@furahathomas20742 жыл бұрын
Asante kaka kwa ushauri wako mzuri mungu akubariki kwa kutupa elimu nzuri
@jacksonmathayo65104 жыл бұрын
Ahsante Sana broo Mungu azidi kuku uongoza vyema zaidi kiongozi
@thegirl14055 жыл бұрын
Shukraan brother kwa somo makini sana ubarikiwe 🙏🙏
@user-hi1hm9yv9r5 ай бұрын
Joel great point lakini nataka unisaidie nimekuwa na maono ya kufungua saloon ya kiume na Hadi nimenunua vifaa lakini kutokana na mazingira nayo ishi vyumba vimekuwa gharama Zaid nisiyo iweza na Kwa nje na mazingira yangu imekuwa ngumu kufatilia sababu ya majukumu na kuogopa namna ya usimamiaji sasa nataka kujua nifanye nini biashara yangu ianze kufanya kazi
@mwajumamwishehe34235 жыл бұрын
Mimi bd sema naitaji kuwa mfanya biashala hapo baadae enderea kutuelimisha kaka mungu hawe pamoja nawe🙏🙏🙏
@zickmalik4901 Жыл бұрын
Nashkuru nimekutana na mtu sahihi. Asante sana
@michaeljordan25585 жыл бұрын
Good brother..real appreciate. God bless you
@shuukuchy63502 жыл бұрын
Kuhama mji n kuongeza vtu vnavyoendana.. Bst fr me
@TujuzeTv3 жыл бұрын
From Burundi nakufuatilia saaana haswa katika mtandao wa Facebook daaaah ubarikiwe kwa saaaaana tuu
@sumiodilo11805 жыл бұрын
Bado nakufata, nakutazama, najifunza, na-like na pia ninatafiti-sisi watazamaji hasa tunaokomenti na wewe vile vile. Kuna watu walikuwa wanakomenti hapa ili kutafuta followers kwenye account zao za KZfaq, hilo nimegundua, ushahidi upo katika somo moja wakati unamalizia mwishoni ulisema pongezi, shukurani zakweli/kinafki na hata tabasamu(sija-quote kama ilivyo) ulisema inajulikana apewapo mtu, wakajua umewashtukia mara watu wale wakasepa, sijaona tena komenti zao. Tuliopo thabiti kama kawaida unatuona. Mungu akuinue zaidi kaka. Ninabarikiwa na mafunzo yako.
@dynesyonazi74492 жыл бұрын
Asantee kwa somo zurii kaka i real appreciate you
@oliverfrancis82192 жыл бұрын
Asante kwa darasa
@ezabron47845 жыл бұрын
Naongezea mbinu nyingine hapo. Kutoa elimu namna bidhaa au huduma unayoitoa itakavyowasaidia unaowahudumi. Wengne wanaweza wakaelewa huduma/bidhaa ila wasitambue msaada inayowapatia. Wanunuzi wengi huangalia pesa wanasahau umuhimu wake. Asante!!
@wangwanatv25553 жыл бұрын
Your lesson it's nice I have learnt something ...Thanksgiving 🙏🙏💯
@othmanmuhammad16505 жыл бұрын
I really enjoyed it brother,. that's lit!,,you rock,.!.,
@MwendeshaNdaki-fh9wi2 ай бұрын
Vip bei ya utengenezaji naomba kujua
@MariaKisabo3 ай бұрын
Kwakweli izo njia ni nuli sana
@seciliasinde-xy8ow10 ай бұрын
Thank you brother
@upendofrank49174 жыл бұрын
Blessing for u brother
@farajawilly9700 Жыл бұрын
Asante sana kwa somo zuri
@esterbryson3020 Жыл бұрын
SoMo zuri me ni mmoja wapo ninaetaka kufunga biashara
@Mwamba675 жыл бұрын
God bless you....!!
@zainaselemani97752 жыл бұрын
Waaoh!! Thanks so much nimekuelewa bro🙏🙏mm ndio kwañza nimeanza ka biashar kangu ya urembo lyke cheni,hereni, blacelet na vinginevyooo so naomba ushaurii zaidi nifanyeje ili nikuze zaidii ya hapo.
@allyhamad1301 Жыл бұрын
Mm naomba ushauri kutoka kwako
@frankfiretz5 жыл бұрын
Ahsante Sana Kaka kwa somo nzuri
@giftmasukila4736 Жыл бұрын
Mim lengo Ni kufanya biashara vizuri Ila najikutaa napoteza mtaji kutokana na mahitaj kuwa mengii na biashara kuwa ndogo nifanyaje
@fahmitumu86205 жыл бұрын
Kaka njoo na somo LA uwekezaji katika njia mbal mbal tunakuomba
@stephahObimo5 жыл бұрын
Nimekuelewa brother Nafikili ntafanyia kazi
@elizabethmichael64585 жыл бұрын
Asante kaka yang mungu akubariki sana
@editordominick68795 жыл бұрын
Thank you nataman ungekuwa dodoma
@agathamagidanga15185 жыл бұрын
Nmekuelewa sana, inayonifaa kwa sasa ni market penetration
@mdaginyikamwamuyinga8953 жыл бұрын
Joel ,, binafsi kupitia post zako nibayaona mapungufu yangu mengi ambayo ninaamini yamenifanya niwe haoa nilipo natamani kufanya uoya kadri niwezavyo . Asante
@user-fi8ig5oy3x5 ай бұрын
Daaaa safi sana
@donatusdeusdedith6784 Жыл бұрын
Binafis najifunza zaidi kwako kaka ww kweli nimfano wa kuigwa
@nyaamajengo58614 жыл бұрын
Asante sana nimejifunza kitu
@eliezermtokoma20575 жыл бұрын
asante kwa chakula cha ubongo..
@Jackson_12523 Жыл бұрын
NJIA GANI NA WEZA KUANZISHA BIASHARA
@chrismassawe3262 жыл бұрын
Bado narudia hili somo
@KIMSwahili3 жыл бұрын
Shukurani sana mwalim
@gwakisaabisay6184 Жыл бұрын
Noted brother
@empireofficialtrailer95992 жыл бұрын
Umenifungua kwa kiasi kikubwa
@jacksonmgonde4 ай бұрын
Nimekuelewa Kaka nimeferi muda mrefu Sana kwenye biashara yangu
@hilarygodfrey58625 жыл бұрын
Unazidi kutufundisha sana kaka yake
@nuldinsalm86323 жыл бұрын
Dar nakuelewasana
@rumishamsaki59443 жыл бұрын
Asanteh sana brother
@summerbill7480 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Bomba sana Mkuu
@julianamusa42162 жыл бұрын
Samahani joel manauka nataka kuanzisha biashara ya mikate sasa sija jua napataje vifungishio vya kubebea mikate nisaidie napataje
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Merci bouquet..+250
@michaelkatigula57933 жыл бұрын
Somo zur Sana mwalimu
@mercyolando-ii7hl11 ай бұрын
Asante kwa mafunzo,lakini nina swali niko na salon nataka kugawanya pande moja iwe duka,inawezekana ama haziko related.
@shubackmashinga35354 жыл бұрын
God bless you ma brother
@kelvinmwakatobe2174 Жыл бұрын
For now nahitaji hii market penetration inaweza kua bora zaidiii na nikifanikiwa hapooo nita Move on ... Kwenye izooo zengine......
@babalois72405 жыл бұрын
Wakati mwingine mafanikio yako yamejificha kwenye uoga wako wa kutafuta masoko mapya..NOTED
@danielbalama78784 жыл бұрын
Ameni
@rhoidatolya84462 жыл бұрын
Nahitaji mabadiliko eneo la kutimiza malengo
@egonkasiano78225 жыл бұрын
Shukran
@hawakimaro96753 жыл бұрын
Thanks a lot joel
@hillaryaugustine71415 жыл бұрын
Nakukubali Cana Mr Nanauka
@hanginguje6 ай бұрын
Nahitaji kitabu kaka yangu cha kukuza biashara na jisi ya kuanzisha biashara nakupataje nipo Kenya lakinii nakaa Katoro nakupataje kaka
@joseefaidabutu64675 жыл бұрын
Asante sana
@edinachami17545 жыл бұрын
Love u brthr from cameroon
@adelinakibejile46962 жыл бұрын
Shukran b blessed
@faudhiatmasoud40255 жыл бұрын
Asanteee
@deodatiemmanueltarimo67143 жыл бұрын
Nimeipenda
@user-jn7pi4fl5m2 жыл бұрын
Ndo kwaza nimeaza kufatilia leo subili ikufatilie
@ericjonstz31204 жыл бұрын
Naitwa Ibrahim saburi natokea kalenga cte iringa Tanzania nimekupata vizuli kaka