Mkutano mkubwa wa Injili waanza Rasmi stendi ya Daladala Kilombero
Пікірлер: 144
@RashidLukindo-yl2yl3 ай бұрын
NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
@victoriamaige28624 ай бұрын
Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe
@user-mh2cn3fb6j3 ай бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale
@rahabnkya82764 ай бұрын
Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
@BeatriceSangito-gi1ld4 ай бұрын
Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu
@user-cy6tb1bm4x4 ай бұрын
Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe
@geofreyngolua95533 ай бұрын
Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God
@user-eg5lt4lu2z4 ай бұрын
Tupo pamoja mchungaji..God bless you more... Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,
@AminielMbise-cl3fq4 ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
@marcosearnest36172 ай бұрын
Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana
@jimmymwashambwa7364Ай бұрын
Na Mimi nimepokea baraka tosha za Yesu Toka mkutano wa Arusha amina
@elishamumba43044 ай бұрын
Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba
@jasperjackson88714 ай бұрын
Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa. Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥
@DanielMwasenga-bx7bd4 ай бұрын
Hongera sana baba naipenda sana injili hii
@rahabnkya82764 ай бұрын
Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe
@EllieSammy-tf4gx4 ай бұрын
Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.
@user-gc8vb3gv8c4 ай бұрын
Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu
@janemuthui61303 ай бұрын
I give God all the glory Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe. ❤ Your ministering, be blessed in Jesus name
@JohnMalengua-jh6ps4 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa
@KanankiraNassary-iv3uwАй бұрын
Naomba ROHO yako mara dufu niliota unaniombea napokea upako wa MUNGU kwa JINA la YESU ameeeeen
@elinaikerichardkisanga91933 ай бұрын
Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43
@rahelhango92364 ай бұрын
Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥
@user-godfreyRobert4 ай бұрын
Ubarikiwe baba🎉🎉
@ChapChap-z2s10 сағат бұрын
Barikiwa Sanaa Baba , klb songwe pia
@godwinkaunda95163 ай бұрын
Bravo man of God my the Almighty God Bless you
@eliphaznkurunziza74054 ай бұрын
Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda Endelea baba
@user-ep2cm5xo3k4 ай бұрын
Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.
@user-no2tw5vb8j4 ай бұрын
This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching
@Nazareth81193 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.
@ev.samsonrweongachannel6583 ай бұрын
Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe
@ProsperMbena3 ай бұрын
Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana
@BONIPHACEJOHN-kb1zb4 ай бұрын
Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho
@NENO_UZIMA904 ай бұрын
Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza
@user-bm6dh8id1h4 ай бұрын
Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you
@prospermallya30924 ай бұрын
Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale
@eunicelukanda18284 ай бұрын
Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele
@alexkamba52644 ай бұрын
Asante kutuachia wazee kama hwa
@NEEMAJames-ns4ds4 ай бұрын
BARIKIWA mtumishi. TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO
@RashidLukindo-yl2yl3 ай бұрын
Magembe ni Jembe la Injili, binafsi amenikomaza kupitia Injili yake nimemwona Yesu!!
@user-ri1by1ij4o4 ай бұрын
Uko vizuri mtumishi wa Mungu,
@ev.samsonrweongachannel6583 ай бұрын
Mzee yupo sawa kabisa
@tlotwe.01.4 ай бұрын
Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.
@paulkamete29474 ай бұрын
Waoooooh i like this kind of Preaching! God bless you Man of God
@user-gu6xy2hf5u3 ай бұрын
Baba mungu akubariki naazidikukutumia
@user-po1qk1jf7v3 ай бұрын
Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana
@barakasikuomba79204 ай бұрын
Great servant of God
@ChedyMlwale-kx9ms3 ай бұрын
Barikiwa mch kwa injiri ya kweli
@EliaSaimon4 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana
@jeremialaizer99783 ай бұрын
Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mariamndwilo11044 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehova
@apostlejacksonkalinga51914 ай бұрын
Asante sana MCH
@lekinyaurey57723 ай бұрын
Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu
@JohnJoel-ro7lc3 ай бұрын
Ilove this
@odethamlyuka25523 ай бұрын
Amen mtu wa Mungu 1)mjue Mungu anayetaka kuabudiwa
@KyongoKyongo-rr8lm4 ай бұрын
Tuna barikiwa sana Baba
@bensonmoris4634 ай бұрын
nimekubali
@PastorlevisIsambechohassan3 ай бұрын
Baba,Mungu wangu akubariki
@godfreykawibesele85452 ай бұрын
Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake
@gracemachongwe4314 ай бұрын
Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa
@rahelkimario14973 ай бұрын
Amen baba.
@mpinabaharia22474 ай бұрын
Theolojia imelala kichwani
@awitness90204 ай бұрын
Kama Kuna number I ya baba huyu wekeni kwa mtandao Bishop toka kenya
@laizermsagalla3 ай бұрын
Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri
@janemuthui61303 ай бұрын
I would like to know how I can attend one of your meetings I am in Kenya, Nakuru Jane Muthui
@jimmymwashambwa7364Ай бұрын
Injili iliyonyoooka ndiyo hii ninayo iamini na kuipenda sana
@OinothMunga3 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@ev.samsonrweongachannel6583 ай бұрын
Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi
@user-sm7gj4mn5n4 ай бұрын
Hakika mungu mwema barikiwa mchungaji
@RidimaRidima-kb3nn2 ай бұрын
Amina
@ayubumollel36473 ай бұрын
❤❤❤
@user-qt7vs8pq5h3 ай бұрын
Balikiwa baba magembe
@shahazarpeter60973 ай бұрын
Ameeeee halijamaliza nguvu ndyo Baba
@vicentmsabila-fl6uj3 ай бұрын
Chapa injili mtumishi wa Mungu aliye hai Dunia imjue Mungu wa kweli
@johnsebastian-bx6qn4 ай бұрын
Amina baba Yesu atukuzwe
@sophiakimaro5174Күн бұрын
Vile roho ya ya Eliya ilivyomwendea Elisha ndivyo roho ya kolola ilivyomwelekea magembe.
@jimmymwashambwa7364Ай бұрын
Yesu njooo
@perpetuamuna16334 ай бұрын
Aminaaaaa....
@joelmwamlima56864 ай бұрын
Sumbawanga utakuja lini?
@DavidMalimbegu-dq8tp4 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtumishi wa Mungu umejitoa kuhubili injili isiyo goshiwa, mi binafsi nikukubari sana hiyo ndiyo injili iliyo iva Amina
@martinakyoo1483 ай бұрын
Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa
@CalorineMushi4 ай бұрын
Aisee mchungaji nafurahi nimeipenda iyoo ya kupiga shetani was arusha
@IsayaSchone-kt7uq4 ай бұрын
Aminaaa kuuu
@user-ic4nt2kn2z3 ай бұрын
Amen
@user-by6zw5zf4e3 ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli makete tunaipata
@naomichristopher39413 ай бұрын
Baba , Baba yangu , nakusubili MZA injili hii NI Moto motooo utawaka MZA wachawi wooote wa MZA mfungashe vilago vyenu , hawa wazee NI wachache wanao hubiri injili isiyo goshiwa .
@user-oy7ly5cg5y4 ай бұрын
Aminaaa!!!!!!
@user-lm7nd9ez2e3 ай бұрын
Amina mtumishi wa bwana
@ahazichunya42653 ай бұрын
Hakika utukufu mwingi uwe juu yako tunapona Mtumishi
@mchungajimpigauzitv57034 ай бұрын
Balikiwa Sana mtumishi wabwana habali Njema ndiyo hiyo
@user-cm5xv7gb2e4 ай бұрын
Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo
@frolafelix4 ай бұрын
jina la Yesu libarikiwe kwa chombo chake
@user-hu1qm7kj5z2 ай бұрын
Tukipata hata kumi tu kama huyu baba hakika nji hii itapona tunaitaji injiki ya wazee kama Hawa sio wamwaga mafuta kwa watu bila maandiko au kukemea dhambii iwatoroke watu
@user-xh5ds2mb5w4 ай бұрын
AMEEEN.
@geofreyngolua95533 ай бұрын
Imen Imen
@humphreybilly74374 ай бұрын
Amen Amen.
@magogelameck15014 ай бұрын
Ameen
@user-cs3mp1rc5h3 ай бұрын
ameeen...💯💯💯💯
@user-do4qs8vx2s4 ай бұрын
Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe