OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe

  Рет қаралды 642,101

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

OMAR AL-BASHIR: Rais Aliyetema Mate Juu Yakamdondokea Mwenyewe
Tangu Sudan ipate uhuru mwaka 1956 imekuwa ni nchi ya vuta nkuvute. Full kunyoana nywele bila maji. Waafrika wanachinjana, wachina na wazungu wanakunywa mafuta, halafu vyombo vya habari vinasema tatizo la Sudan ni ukabila wa waarabu kuwabagua weusi kwa sababu ya ukafir wao na sisi tunakubali kama nyumbu vile. Wageni wanatugombanisha kama madume ya ng’ombe kule kwa wafugaji wakati wa mashindano ya wanyama, ng'ombe wanatwangana bila kujua sababu. Akili za ngo’mbe ndo zinatusumbua Afrika. Leo Bashir ametimuliwa Ikulu kama mbwa koko wa Afande Muroto wa Dodoma na wa Sudani kutokwa machozi ya furaha ambayo siku za usoni yatageuka kuwa machozi ya damu! Muda haudanganyi!
Unajua kilichomgharimu al-Bashir ni kushindwa kuusoma mchezo mapema na kuishia kuwatemea mate ndugu zake waafrika yakamrudia. Alimtimua kazi na kumtia jela Al- Tulab waliyekuwa naye tangu mapinduzi kwa sababu tu Marekani walimwambia afanye hivyo na ule mwaka wa shetani ulipofika al-Bashir naye akatupwa gereza lile lile alilomfunga jamaa yake, halafu akasema gereza lile ni hatari kwa afya ya binadamu, sasa siju al- Tulab na wenzake aliowafunga mle walikuwa mbuzi? Lakini pia siku ile Gaddafi anakufa Bashir alisema wasudan wanamshukuru Mungu kwa zawadi ya kifo cha Gaddafi na kujigamba kwamba vile vifaru, silaha na makombora yaliyotumika kummaliza Gaddafi aliyafadhili yeye kwa asilimia 100. Ntakusimulia ilikuaje, acha twende kwenye hoja kwanza!
#HISTORIA #OMARALBASHIR
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 604
@doctorjohn1898
@doctorjohn1898 5 жыл бұрын
Ananias Edgar hongera mjomba,,,,naipenda kazi yako sana... Shukran kwa hino historia.. Salam zimfikie mpagaze..
@jacksonngusi4122
@jacksonngusi4122 5 жыл бұрын
Uyu Ananias Yupo vzr mno kwa sauti na mpangilio wa simulzi zake ni hatar huyu Mtu
@nasoralnaamani9237
@nasoralnaamani9237 4 жыл бұрын
Ananias. Fdgar. Tafazari Sana. Tunakuoba. Kuwatukana. Waarabu. Na kutowa histori.zao.kiuwogo. Asha. Asha. Hiya ruga Waarabu wenge wanaijuwa. Wewe umemkashifu. Marihim. Nassa sisi hatujakashifu raisi yoyote waa Africa. Tunakujuwaa acha acha. Kashif a.
@justinenyantoloma642
@justinenyantoloma642 4 жыл бұрын
Ningekuwa waziri wa habali ningemteua huyu kiongozi akawa msimamizi kweny kitengo nyeti cha habal nchini
@hadija846
@hadija846 3 жыл бұрын
@@justinenyantoloma642 Yaani mtangazaji wa hari ya juu sana na wakufurahisha mioyo ya watu nimempenda sana kwa kazi zake
@emersonrocky8724
@emersonrocky8724 3 жыл бұрын
sorry to be so off topic but does any of you know of a method to log back into an Instagram account..? I stupidly forgot the login password. I would love any help you can give me.
@rodrickbm8326
@rodrickbm8326 5 жыл бұрын
Kama unamkubalii uyuu jamaa fanyaa kubofyaaa,, Mana ni Nouma.. Firee
@tungozaanzali3831
@tungozaanzali3831 5 жыл бұрын
Chonjo bro sauti tamu
@zuwenasaid9707
@zuwenasaid9707 5 жыл бұрын
Sio sauti hata makala pia ni matamu
@alexmerck2568
@alexmerck2568 5 жыл бұрын
namkubari kinoma Noma
@enockyohana6856
@enockyohana6856 5 жыл бұрын
Africa ni bara mam LA dunian..pia ndipo mhara baraka Mungu alipo ziweka ..ukitizama mamb yote yanavy tokea utanielewa..siombi like ila tuendelee kuujua ukwel
@christophernyamhanga7888
@christophernyamhanga7888 5 жыл бұрын
Kaka uko vizuri sana huwa napenda unavyo toa tarfa kama mnamkubali piga like
@babasayana1253
@babasayana1253 5 жыл бұрын
Huyu jamaaa fundi sanaaaa
@sethsimon5746
@sethsimon5746 5 жыл бұрын
Kaka Mpagaze uko vizuri saaana .Unajua kuunganisha matukio vizuri sana mkuu. Mungu aing'arishe taaluma yako.
@edwardguguyu7546
@edwardguguyu7546 5 жыл бұрын
Kwa kifpi mpagaze Yuko Makin ktk ufafanuz wa matkio, hongera sana
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Ooh, AMINA
@samsonnzisabira768
@samsonnzisabira768 5 жыл бұрын
@@mpagazedenis8395 Mpagaze nafurahia utangazaji wako ,utendaji kazi wako wasifiwa mpaka nje ya Tanzania.keep on my dear brother. Samson Niko Burundi
@juliuszakayo1792
@juliuszakayo1792 4 жыл бұрын
Ndugu Mimi Mc j. Nakukubali sana barikiwa..
@sistymbombo1616
@sistymbombo1616 Жыл бұрын
Ole wetu Alina baba hutukumbukwi kwa kama Ila mabaya tu
@djatm1319
@djatm1319 5 жыл бұрын
Mwana historia huyu kipenzi changu....nikiwa Kenya nakupenda sana sauti umebalikiwa nayo
@lesikankya7772
@lesikankya7772 5 жыл бұрын
DJ ATM m
@salumumsike8175
@salumumsike8175 5 жыл бұрын
you are the best brother.. Golden voice with insight of events connection....
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 5 жыл бұрын
Brother hongera sana umegusa matukio yote. Nilijua nawe utachagua baadhi tu. Congratulation.
@BaineWamash
@BaineWamash 5 жыл бұрын
Listening from Kenya. Content kali kabisa.
@damianmachilutv1167
@damianmachilutv1167 5 жыл бұрын
Mkuu umejaaliwa sauti nzuri sana kwa utangazaji nadhani utafika tu
@johnmbugani6532
@johnmbugani6532 5 жыл бұрын
We jamaa noma sanaaa! Tusome jamani kupata ukweli wa dunia
@azizimuhibu7771
@azizimuhibu7771 5 жыл бұрын
Huyu mpagaze yuko vizur na anapenda kazi yake,,huwa naanza kukoment kabla ya kumaliza kusikiliza
@maikomsigwa7377
@maikomsigwa7377 5 жыл бұрын
Jamaa yupo vizur bhn yan huchoki kumuskiliza aiseee
@nafisamohammed9064
@nafisamohammed9064 5 жыл бұрын
Hongera kwa simulizi. You give me history that I didn't know.
@bumijamshana9691
@bumijamshana9691 5 жыл бұрын
Nafisa Mohammed mambo
@tamaraeliz7114
@tamaraeliz7114 5 жыл бұрын
Is Not Easy. May God Help and Bless Sudan
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
Mashaallah hiyo sauti inanifanya nisikilize hata ingekuwa simulizi haiivutii ila sauti mungu kakupa 👌🔥
@abdulsalim8900
@abdulsalim8900 5 жыл бұрын
Wacha nyege izo sikiliza story Iyo
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
@@abdulsalim8900 nyege zipi sasa Salim ndugu yangu au una kiu ya kutukana?
@abdulsalim8900
@abdulsalim8900 5 жыл бұрын
Samahan nlijua unaskilizia kwa hisia kunradhi dadaangu
@ashaally6993
@ashaally6993 5 жыл бұрын
@@abdulsalim8900 Mimi sina neno
@msambichakaambrose2601
@msambichakaambrose2601 5 жыл бұрын
@Asha Ally
@MegaAlexison
@MegaAlexison 5 жыл бұрын
My goal is to meet this guy someday wewe na kuaminiaka kabisa
@khanakwasarahlydia2190
@khanakwasarahlydia2190 3 жыл бұрын
ata mimi
@georgechombo3672
@georgechombo3672 5 жыл бұрын
God bless you for the voice He gave to you my brother
@mr.performance2533
@mr.performance2533 5 жыл бұрын
Hizi ndo habari tunataka kuzisikia zakitafiti na cio zile za kusubiri vyombo vya magharibi viseme na waandishi wetu wanakopy na kipaste very brilliant reporting keep the good work bro
@davidleparakuo2401
@davidleparakuo2401 2 жыл бұрын
Asante Sana kaka keep up the good work 👌🏼👌🏼👏👏👏very informative, following you from Nairobi..
@abuuqaasim4815
@abuuqaasim4815 4 жыл бұрын
Mjomba hongera sana unajua kuwasilisha na kusoma habari pia sauti yako inaendena na kazi yako kwa niaba ya wasikilizaji wenzangu nasema togather we love you ❤❤❤
@gillahathumani4879
@gillahathumani4879 5 жыл бұрын
Mkuu nakuelewa sana. Tuletee na historia ya farao wa misri mkuu
@erickfod3792
@erickfod3792 5 жыл бұрын
hatari sana itakuwa
@slayingtee6044
@slayingtee6044 5 жыл бұрын
Kazi nzuri..keep it up
@hundamaniamania872
@hundamaniamania872 5 жыл бұрын
Historia nzr na imepata mtangazaji mzuri,you ar genius guy👍
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Жыл бұрын
Oya jamaa unasauti zuri na vionjo vitamu sana ongera
@johnmaiyo7384
@johnmaiyo7384 5 жыл бұрын
Amen Amen. Mungu tusaidie wa Afrika tupe hekima yako tuache kuana na kuzarauliana. Inaumiza sana habari hii. Mungu tusaidie. Amen .
@princemtotomzuri231
@princemtotomzuri231 3 жыл бұрын
Mwaka wa pili huu baado naisoma story book of Omary Albashiri kama umerudia tena kama mm Leo tena tarehe 10.10.2020
@siliakilojasi4188
@siliakilojasi4188 3 жыл бұрын
Jamali.akasome.kwa kichwa.hikii.noma.sana.umetisha
@jimadavejr9542
@jimadavejr9542 5 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe bro, hata kama ni tatizo kubwa Sana kwa wasudan wenzangu kutosikia lugha ya kiswahili!!! Long live bro,
@AbiudiMwandi
@AbiudiMwandi 5 ай бұрын
Hongera mpakaze Kwa kazi nzuri Kwa simulizi
@sarahtv8853
@sarahtv8853 5 жыл бұрын
Yaani ww kaka unajuwa sana ❤️
@apostlesamuelkiariemuthoni7754
@apostlesamuelkiariemuthoni7754 5 жыл бұрын
Bwana I salute you for the great work you are doing, tafadhali tufahamishe maisha ya Gadafi na alivyo malizia.
@petermahimbo9450
@petermahimbo9450 5 жыл бұрын
Bando langu Lipo salama huku
@selemanmwita6255
@selemanmwita6255 5 жыл бұрын
asante sana kwa historia hii kuntu.
@kizamulenda8894
@kizamulenda8894 5 жыл бұрын
Hongera sana.. unatupeya historia nzuri... ata sijachoka kukusiliza
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana mkuu
@mdeeboy846
@mdeeboy846 5 жыл бұрын
Nice,unasimulia vizuri.Keep it up
@khalidali1130
@khalidali1130 5 жыл бұрын
Kaka mungu akubariki kaz yko usichoke kutupa uhondo tunakpenda sn bro
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 жыл бұрын
Ukisikia usalama wa bando ndo huu, Mara zote sijutii kujiunga ili nije huku
@farryswaleh8279
@farryswaleh8279 4 жыл бұрын
uko vizuri sana sautiyako
@goo6341
@goo6341 3 ай бұрын
Shukran sana Kaka Ananias Edgar na Mwalimu Dennis Mpagaze ❤
@rudomgera6394
@rudomgera6394 4 жыл бұрын
Aise ndo yale yale ya South Africa. Ngozi nyeusi yakana ngozi nyeusi where are we heading. Asante sana ediga kila nikisikiliza hizi historia napata point mpya na kuwa mpya
@MartinaMsimbe-qk8ug
@MartinaMsimbe-qk8ug 2 ай бұрын
Nimependa story ❤❤❤
@princemtotomzuri231
@princemtotomzuri231 4 жыл бұрын
Ananias Adgar una sauti nzuri xanaa
@thomasbobtv7584
@thomasbobtv7584 5 жыл бұрын
Aizeh wee ni doctor wa kila historia....nipo Nairobi Kenya
@saidomar5555
@saidomar5555 5 жыл бұрын
Thanks
@ndayishimiyeshabani3277
@ndayishimiyeshabani3277 4 жыл бұрын
Ambae hakukubali basi haja pita juo na wala hafatiliye history. Salute from Durban
@mgobanyapazi7738
@mgobanyapazi7738 5 жыл бұрын
Wachonganishi wote Africa Mungu atawaalani na kuwadhalilisha kwa uwezo wake. ALLAH AKBAR!!!
@mwalumwakili2541
@mwalumwakili2541 5 жыл бұрын
The more reason i will always be following your post kaka ubarikiwe
@abdulaziz703
@abdulaziz703 5 жыл бұрын
😂😂😂 eti ukiona gari limeharibika na abiria haondki, ujue kuna mzigo wake humo ndani.. Tuendelee tu
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 Жыл бұрын
Unaelezea vizur sana na unaviujo vizuri sana ,onger kwailo
@husseinmfinanga3293
@husseinmfinanga3293 5 жыл бұрын
mpagaze mko vizuri sana ongora sana ananiani edag kazi nzuri
@stevegithuku458
@stevegithuku458 5 жыл бұрын
Very nice and quality journalism. Excellent delivery, respect from Kenya
@mohdyussah825
@mohdyussah825 5 жыл бұрын
Mpagaze uko vizuri kwa ku report Big up Africans leaders always is selfish daah Yani hawa jifunzi Kila siku ujinga ule ule . Allah help this bara lenye kiza Ameen
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Asante sanaaa
@officialsalmazayn2938
@officialsalmazayn2938 5 жыл бұрын
Nakupenda Bure We Kka 😍😍😍
@nashonlubata1357
@nashonlubata1357 5 жыл бұрын
We dad mamb
@gideonredson7895
@gideonredson7895 5 жыл бұрын
Your professional I like your stories
@penanahome5191
@penanahome5191 5 жыл бұрын
Thanks bro God bless you to this msg
@allymafita4443
@allymafita4443 4 жыл бұрын
Bro NAKUKUBALI SAANA, UNA KITU CHA UTOFAUTI, NATAMANI KUFANYA NAWE KAZI👏👏👏🤝🤝🤝
@rudboy8459
@rudboy8459 5 жыл бұрын
Nakupata vizuri,pongezi 🇰🇪
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Asante san ndugu kwa histoli nzuri san mwenyez MUNGU akuzidishee maono zaidi
@mohammedally2914
@mohammedally2914 5 жыл бұрын
Upo vizur sana brother. Mungu azidi kukuongezea kipaji chako aiseee...
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Asante sana.
@flaviejuliusanney2823
@flaviejuliusanney2823 4 жыл бұрын
Yaani kwa huyu jamaa naweza weka bando zikaisha nikaweka Tena nisijutie kuendelea kumsikiliza jamaa huyu!...yo my favourite and the best narrator bro ananias, mfikishie salamu mwenzio.mpagaze popote alipo Kaka!
@mickyomary5215
@mickyomary5215 5 жыл бұрын
Yani adi raha unavyo tanganza sisi tunajua mzic tu unaotupa raha kumbe kunasauti zakuongea zaidi ya mzic raha sanaaaah mungu akupe maisha marefu kwautangazaji👏👏👏👏👏
@patrickkimoyo8626
@patrickkimoyo8626 4 жыл бұрын
I love your analysis
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 5 жыл бұрын
tupe mauhondo big up sana ananias edgar mungu akubarik kwa kutupa habari moto moto
@misaluucha6029
@misaluucha6029 5 жыл бұрын
Wakwaza leo namba like zenu jamani
@michaelmuchomerson2658
@michaelmuchomerson2658 4 жыл бұрын
God bless africa God bless mtangazaji, ngoja tena nirudie kusikiliza na bundle nyingne.
@henryhenry8150
@henryhenry8150 4 жыл бұрын
Good story
@twaliburajibi856
@twaliburajibi856 5 жыл бұрын
Jamaa ni noma, uko vizuri
@raymondbazilishayo990
@raymondbazilishayo990 5 жыл бұрын
huu ni ukombozi kwa wale ambao hawaijui historia ya Africa big up sana bro chee'r up
@monicamichael8119
@monicamichael8119 5 жыл бұрын
Nakupnda San kakaa unajua kutangaza asanteee
@saintpatronekeey9647
@saintpatronekeey9647 23 күн бұрын
2024 mpaka leo na angali iyi makala ni moto 🔥
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 жыл бұрын
Amen Amen. Inasikitisha sana wafrika kushindwa kunia pamoja ili kuyashinda mabaya ya madui. Mungu atusaidie.Amen.
@paschalantonymanyasulamany6632
@paschalantonymanyasulamany6632 5 жыл бұрын
Ebwanaee ediga Mungu akulindesan
@globaltv_online
@globaltv_online 5 жыл бұрын
Amina
@abdulibrahim2104
@abdulibrahim2104 4 жыл бұрын
Zambi sana masikini huyo mtoto hakiyamungu
@abdul-rahmanfakijuma1879
@abdul-rahmanfakijuma1879 4 жыл бұрын
I appreciate you job, good.
@eliaymweshitete4781
@eliaymweshitete4781 5 жыл бұрын
Eeeeeh!!! ili jamaa lilikuwa wapii mbona linajuwaa kutangaza bwanaa!! big up my brother from another mother
@yelemiakameta6033
@yelemiakameta6033 5 жыл бұрын
Good kaka yangu
@goldenboy8385
@goldenboy8385 5 жыл бұрын
Listerning from kenya you are the best presenter ever asante sana ndugu yangu kwa historia
@tfl4963
@tfl4963 4 жыл бұрын
Bwana Ananias umeweza kwenye makala haya unayotusimulia bila uoga au tashwishi. Mimi Mkenya na nakusifu kwa kazi mwafaka mno! Endelea vivyo hivyo Hongera
@mariamfritsi9761
@mariamfritsi9761 5 жыл бұрын
Una kipaji cha kusimulia una haki ya kupata tuzo ,upo vizuri sana. Hongera.29.04.19
@petrochengula9480
@petrochengula9480 5 жыл бұрын
Umetisha bro
@magessamagessa5502
@magessamagessa5502 5 жыл бұрын
Upo vzr
@sanilodaniel1458
@sanilodaniel1458 5 жыл бұрын
Naomba utuandalie historia ya nyerere na mwinyi kaka nakukubali sana
@beesmarttv3792
@beesmarttv3792 5 жыл бұрын
kaka huwa sipitwi na hiz historia shukran sana
@liberatusulaya2269
@liberatusulaya2269 5 жыл бұрын
Africa ,my continental, love u
@karimamir1998
@karimamir1998 5 жыл бұрын
hizi ndo zinakufaa, combination nzuri ww na Mpagazi n keep it up.
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Kabisa
@peternyaome5357
@peternyaome5357 4 жыл бұрын
Kazi nzuri my brother from another mother
@oswaldmwihavapaul8517
@oswaldmwihavapaul8517 5 жыл бұрын
Bro uko vizuri ....MNOOO kwenye simulizi yaaan mtu hachoki kukusikiliza
@devothafesto2786
@devothafesto2786 5 жыл бұрын
Oswald Mwihava Paul yaaaaap
@danielmbalwa9307
@danielmbalwa9307 5 жыл бұрын
Storiii nzuriii sanaaaaaa!!Duh hongeraaa!!
@andrecorte3681
@andrecorte3681 Жыл бұрын
Asante sana kwa kutupa elimu ya maisha
@nisilesanga3602
@nisilesanga3602 4 жыл бұрын
Mpiga picha alikuwa hana ubinadamu kabisa nampongeza mke kwa kumpiga chini🙌🙌
@ntandikasimu3933
@ntandikasimu3933 3 жыл бұрын
N unyama ulioje jmn nusu choz linitoke
@paulcastor6054
@paulcastor6054 5 жыл бұрын
Good job brother nakuon mbali sana juu ya kazi yako ya kutuelimisha
@kennedyrubaza5846
@kennedyrubaza5846 5 жыл бұрын
THANK YOU VERY MUCH my brother
@chidiomari.65
@chidiomari.65 5 жыл бұрын
Asanten sana kwa mliondaa hii story, 🇹🇿🇫🇮
@alexmerck2568
@alexmerck2568 5 жыл бұрын
hongera bro kwakazi nzuri unaitendea haki kabisa
@nelsonnevlin2919
@nelsonnevlin2919 5 жыл бұрын
daaaah mtangazaji umejitosheleza vizuri kabisa...step kwa step..umetisha
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Asante sana my brother from another mother
@habeebomerabubaker4817
@habeebomerabubaker4817 3 жыл бұрын
Good
@mulirohilary209
@mulirohilary209 5 жыл бұрын
Mpagaze I admirer the work u do fantastic ur an inspiration asante mno
@mpagazedenis8395
@mpagazedenis8395 5 жыл бұрын
Thank u so much mkuu
@shedrackmgaya6341
@shedrackmgaya6341 5 жыл бұрын
nakukubali kinoma we mtangazaji balaa Uko vzr Sana
@nisilesanga3602
@nisilesanga3602 5 жыл бұрын
Nakukubali sana kaka mkubwaaa jah bless
@VoH-Official
@VoH-Official 5 жыл бұрын
Hongera sana Mpangaze
@salvatorykipyoka1567
@salvatorykipyoka1567 5 жыл бұрын
Braza wew ni firee
MUAMMAR GADDAFI: Rais Aliyeuawa Kama Kuku / Kazikwa Kusikojulikana!
29:26
Global TV Online
Рет қаралды 374 М.
HISTORIA: RAIS Aliyekatwa Masikio Akiwa Hai, Na Yeye Aliwakata Wengine
18:44
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 120 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 6 МЛН
GIANT umbrella by Tsuriki Show
00:15
Tsuriki Show
Рет қаралды 6 МЛН
FRANSISCO NGUEMA: Rais Mvuta BANGI Aliyeua Nusu Ya Raia / Alinyongwa Pia
13:34
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
25:56
Global TV Online
Рет қаралды 933 М.
HISTORIA YA OPERATION ENTEBBE(Part 1)
40:32
Global TV Online
Рет қаралды 2,1 МЛН