BILIONEA JACK MA: MTOTO wa MASKINI, ALIYEOMBA KAZI MARA 30 AKAKOSA, KIINGEREZA KIKAMUOKOA....

  Рет қаралды 280,341

Global TV  Online

Global TV Online

3 жыл бұрын

BILIONEA JACK MA: MTOTO wa MASKINI, ALIYEOMBA KAZI MARA 30 AKAKOSA, KIINGEREZA KIKAMUOKOA....
HII ni makala fupi inayomuelezea Bilionea namba moja nchini China, Jack Ma, anayemiliki kampuni ya Alibaba Group.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 163
@elishamwakipiti1044
@elishamwakipiti1044 3 жыл бұрын
Napenda Sana kujua historia ya waliofanikiwaa,,,hua zinanitia moyo sana
@johnsilima1629
@johnsilima1629 3 жыл бұрын
Hata mimi
@saraenock7600
@saraenock7600 3 жыл бұрын
Haki napenda saana mambo hizi za waliopata vyao mapema!!!!!!!!!!!!!
@jameskenzedex
@jameskenzedex 3 жыл бұрын
Hata mie kakangu napenda Sana hunifanya kutia Bidii kwa Sana
@fatmaswahiba6969
@fatmaswahiba6969 3 жыл бұрын
Tupo pamoja
@danielkenedy4357
@danielkenedy4357 3 жыл бұрын
Sio wew tu ndugu
@waweruwanyawiramassiv2652
@waweruwanyawiramassiv2652 3 жыл бұрын
Mkenya hapa naskiza kiswahili cha TZ kitamu. nipe like kutoka Kenya
@hassanalkinanga
@hassanalkinanga Жыл бұрын
Karbu saan Tanzania
@johnsilima1629
@johnsilima1629 3 жыл бұрын
Kama unaamini ONE DAY YES GONGA LIKE HAPAA
@piusimnanka8140
@piusimnanka8140 3 жыл бұрын
Jipe moyo..!
@isiakaabdallah3031
@isiakaabdallah3031 3 жыл бұрын
Unazngua sana sana mtangazji kwa kumuiga mtiga nkujifanansha nae kwakujikunja nkutoa saut inayofanana kidgo na mshkaji utakunya buree boya wwe tumia saut yko harisi uo ni ushamba
@afyanajamiino1338
@afyanajamiino1338 3 жыл бұрын
MKOMBOZI WA WANAWAKE KWA MAGONJWA SUGU NA USAFI BINAFSI 0766189074 Ni tiba ya asili na isiyo na kemikali wala madhara yyt yale inatibu vitu vifuatavyo 🥦Uvimbe kwenye kizazi 🥦Homon Imbalance 🥦Hutibu UTI sugu 🥦Miwasho 🥦Huondoa harufu mbaya ukeni 🥦Hufungua mirija ya Uzazi iliyoziba 🥦Huondoka uchafu Ukeni 🥦Hurudisha asili ya uke 🥦Kurudisha hamu ya tendo la ndoa nk Kwa mahitaji tuwasiliane kwa 0766189074 Imethibitisha na mamlaka zote duniani. Karibu upate huduma na ushauri pia
@mussamati5216
@mussamati5216 3 жыл бұрын
Nimungu na jitihada
@ommythebestotb4383
@ommythebestotb4383 3 жыл бұрын
Dah!!! Kweli aripitia changamoto sana. Hongera!!! Kijana kwa kutuletea mambo bora na yenye kutufungua kifikra. Kama umeipenda na kujifunza like ili tufahamiane
@shancyskitchen3044
@shancyskitchen3044 3 жыл бұрын
Mokombozi Wetu Maskini Through Alibaba Ishaallah Tunampenda💕💕Inshallah Tunamuombea
@shazyahya4121
@shazyahya4121 3 жыл бұрын
Habari kama hizi ndizo zinazoitajika mitandaoni kuamasisha watu wafanye kazi kwa juhudi kufikia malengo ya mafanikio kama MR billionaire JACK MA safi sana 🤝🏾💫
@enockadam8509
@enockadam8509 3 жыл бұрын
Tutafute pesa guys, haina kufeli
@khatibkhatib2249
@khatibkhatib2249 3 жыл бұрын
Hahahaha
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 3 жыл бұрын
Uelezeapo upo sawa brother Jitahidi kuunda makala Bora utajenga jina lako vema.
@amosmahona433
@amosmahona433 3 жыл бұрын
Napenda Sana Kufuatilia historian za Watu waliofanikiwa maana wananipa msukumo mpk Sasa nayaona mafanikio KUTOKAna na hamasa
@leahmbutu3960
@leahmbutu3960 3 жыл бұрын
Never ever give up we are waiting our turn
@chiefkaitaba.m.9466
@chiefkaitaba.m.9466 3 жыл бұрын
Tajiri wa Mali na nafsi 👏👏👏 Mungu ambariki sana.
@khadijashabaninimba7890
@khadijashabaninimba7890 2 жыл бұрын
Utakiwi kukata tamaa katika maish yako hata kama unanipitia magumu kiasi gani na unatakiwa kushukur mungu kwa kila hatua unayo pitia 💪💪Never give up 💯
@kuttoa2320
@kuttoa2320 3 жыл бұрын
Huku Kenya 🇰🇪 tuna Hustler Nation agenda yake likiwa kuweka kipaimbele maneno yanayo usiana nakuwaenua kiuchumi ilewaweze kujidumu kimaisha na kuchangia ku endelesh Kenya 🇰🇪 mbele.
@jacobcharles1604
@jacobcharles1604 3 жыл бұрын
Mungu amlinde kweli kabisa umasikini n laana big up bro
@user-lf9xb8jw8r
@user-lf9xb8jw8r 4 ай бұрын
Siku moja na me ntafanikiwa kwa uwezo wa mungu
@evamakaranga6955
@evamakaranga6955 3 жыл бұрын
God bless you alibaba
@abbaimran4122
@abbaimran4122 3 жыл бұрын
It motivates alot
@abdulnjumanji3106
@abdulnjumanji3106 3 жыл бұрын
JACK MA 💯💯🙌🏻
@komboabdallah4451
@komboabdallah4451 3 жыл бұрын
Ali baba pia ali mama ,aisee waswahili tudai hatimiliki yetu ya jina
@Donrugi
@Donrugi 3 жыл бұрын
Be inspired 💪🏽🙏🏽🙏🏽
@twahakassimtk4313
@twahakassimtk4313 3 жыл бұрын
Unajua Mzee Baba..,Endelea Kukaza
@bonifacenyaroo174
@bonifacenyaroo174 3 жыл бұрын
Ipo siku(◍•ᴗ•◍)❤
@user-bu9wj5pi3t
@user-bu9wj5pi3t 4 ай бұрын
Kiswahili cha Tanzania ni Safi sana
@mohamedgaraad2986
@mohamedgaraad2986 3 жыл бұрын
This reporter is perfect masha Allah
@mwangadavid5167
@mwangadavid5167 3 жыл бұрын
Duh huyu jama kwenye kufu yupo Safi Sana
@hakizimanajeanbosco9223
@hakizimanajeanbosco9223 3 жыл бұрын
Ndio namupenda sana kumusikia jack ma
@saraenock7600
@saraenock7600 3 жыл бұрын
Asanteeeeee sana msimuliaji una sauti nzuri
@massudbiz9828
@massudbiz9828 3 жыл бұрын
Never give up in your life
@dokasalim943
@dokasalim943 3 жыл бұрын
Ila kk unajiminya Sana kwa sauti Yako najua unamuiga jamaa flani simtaji jina ila usikaze sana sauti kumuiga mtu TOKA kama wewe anyway stori nzuri kk🤲🤲🤲✔️
@kpetres2872
@kpetres2872 3 жыл бұрын
Dennis mpagaze🤣🤣😅
@husseinkaoneka5834
@husseinkaoneka5834 3 жыл бұрын
Hpo ushamaansha ANANIAS EDGER 😂😂
@michaelfrenkline3429
@michaelfrenkline3429 3 жыл бұрын
Sio vibaya kuiga ki2 kizuri
@khatibkhatib2249
@khatibkhatib2249 3 жыл бұрын
😂😂😂😂Ananias edgaa ilaa siyo vibaya kuiga sauti sema atakuja Kunya maana anjikamua saanaa
@christinasteven9361
@christinasteven9361 3 жыл бұрын
Mmh wabongo hamuish chuki mtabak hvohvo
@norbertelpidius4850
@norbertelpidius4850 3 жыл бұрын
Your my role modal Jack ma
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 3 жыл бұрын
Njoo uichukue na historia yng mpk Leo napiga Dona kwa mrenda
@highvoltages4169
@highvoltages4169 3 жыл бұрын
😁😂😁😀 umeamua kutuchekesha Kama ni hivyo wengi tutakua na historia hiyohiyo, *AJE NA KWANGU*
@amosmahona433
@amosmahona433 3 жыл бұрын
😂😂
@hermanaaron1320
@hermanaaron1320 3 жыл бұрын
Haha haha
@subiraathumani9424
@subiraathumani9424 3 жыл бұрын
Nimeckeka sana
@subiraathumani9424
@subiraathumani9424 3 жыл бұрын
Hili nalo neno haki
@perndivon8007
@perndivon8007 3 жыл бұрын
Good sounding
@Thomas-gm9ml
@Thomas-gm9ml Ай бұрын
❤ dah tupambane sana jamani never give up
@happykopa1560
@happykopa1560 3 жыл бұрын
One day yes
@faridaessa7844
@faridaessa7844 3 жыл бұрын
Asante sana kaka
@josephchacha5112
@josephchacha5112 3 жыл бұрын
Wapili leo,ngonga like ntendeze2
@selemaniahmadi8501
@selemaniahmadi8501 3 жыл бұрын
Yani mimi huwa naumia sana napo ona mwana dam anamteka mwana dam mwenzi kisha anam zulu
@erickomeru1864
@erickomeru1864 3 жыл бұрын
Amen
@anthonyfredrick6572
@anthonyfredrick6572 3 жыл бұрын
maisha ni msoto
@joelbeatus2622
@joelbeatus2622 3 жыл бұрын
Napenda historians za waliofanikiw
@coletashirima2193
@coletashirima2193 3 жыл бұрын
Thnx
@mussacharles1967
@mussacharles1967 3 жыл бұрын
Big up xna huwa inanipa matumaini katka maisha yng
@deogratiusmarandu7355
@deogratiusmarandu7355 3 жыл бұрын
Uko vizuri mwangu
@salumsasboy9369
@salumsasboy9369 3 жыл бұрын
Jack Ma saiv ni bilionea wa PILI baada ya Zhong Zhong ambae ni bilionea wa Saba kidunia, wa Pili ni Jack Ma watatu ni Ma Yun mmiliki wa Tencent
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 3 жыл бұрын
serikali hizi hususa china unatakiwa uwe makini sana unapo kuwa una relationship na marekani...wachina wanahisi atatoa siri ya corona kwa wamarekani.
@gadoshtv7266
@gadoshtv7266 3 жыл бұрын
Gooood
@user-jm6uf8bs1c
@user-jm6uf8bs1c 3 ай бұрын
Napenda sana kujua history ya ma bilionear
@miriamloserian5698
@miriamloserian5698 3 жыл бұрын
Well done
@tuyisengesamila2893
@tuyisengesamila2893 2 жыл бұрын
Asante nakupenda
@imaninamahubirchanel7071
@imaninamahubirchanel7071 3 жыл бұрын
Kama tuko pamoja hapa gonga gumba na ninaiman namm siku moja
@abuubilal2646
@abuubilal2646 3 жыл бұрын
Alybaba Alymama niambien maana yake jaman!
@kuchiethephenomenal7879
@kuchiethephenomenal7879 3 жыл бұрын
My motivator in 2021
@magidachimija5599
@magidachimija5599 2 жыл бұрын
incredible
@habeebomerabubaker4817
@habeebomerabubaker4817 3 жыл бұрын
Good Happy
@mpwekenyeke_tv
@mpwekenyeke_tv 3 жыл бұрын
💪💪
@shukurushiboga9397
@shukurushiboga9397 3 жыл бұрын
Ok
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 2 жыл бұрын
Big up
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Жыл бұрын
Asante studios
@ramadhanijumanne-rm5pl
@ramadhanijumanne-rm5pl Жыл бұрын
Yes
@peterchristopher9590
@peterchristopher9590 4 ай бұрын
What i shall do so as to be like jack-ma...???😢
@mussacharles1967
@mussacharles1967 3 жыл бұрын
Mafanikio ya Siri ndefu xna katka maixha ya mtu Kuna changamoto nyingi xna na misukosuko mungu ndo anajuwa
@ammsuya9400
@ammsuya9400 3 жыл бұрын
Hawa jamaa wa mitandao kipindii hiki cha corona uchumi wao mbona umepanda sanaaaaaa
@maliyagat6081
@maliyagat6081 3 жыл бұрын
Kazi nzuri 💪
@maliyagat6081
@maliyagat6081 3 жыл бұрын
NAMPENDA sana mtu huyu
@husseinkaoneka5834
@husseinkaoneka5834 3 жыл бұрын
Ipo cku ntatusua niwe hata lakinea mchyuuuuu, sas hvi elfunea nkifika kwny lakinea ntashkuru nifke hta milionea asee
@iporasta1429
@iporasta1429 3 жыл бұрын
Nenda free masoni
@CyprianMhanga
@CyprianMhanga 5 ай бұрын
Nahitaji zaidi kujifuza kuhusu biashara
@gogerrah447
@gogerrah447 3 жыл бұрын
Safi
@davidehenriqueslikonde7556
@davidehenriqueslikonde7556 3 жыл бұрын
Amevumilia mengi mzee
@amanimanase5794
@amanimanase5794 3 жыл бұрын
Kwa imani na mm lazima ntakuwa bil
@tableykija2064
@tableykija2064 3 жыл бұрын
Pl
@tableykija2064
@tableykija2064 3 жыл бұрын
p P
@tableykija2064
@tableykija2064 3 жыл бұрын
p
@tableykija2064
@tableykija2064 3 жыл бұрын
lp
@tableykija2064
@tableykija2064 3 жыл бұрын
pppp
@peterchristopher9590
@peterchristopher9590 4 ай бұрын
May almighty God protect you and be with u😢❤
@enocklazaro576
@enocklazaro576 3 жыл бұрын
Kazi tu
@shabanimwangia7671
@shabanimwangia7671 3 жыл бұрын
Good boy
@siliakilojasi4188
@siliakilojasi4188 3 жыл бұрын
Jack ma.nakubari.huyumwamba
@stephanoraulent2904
@stephanoraulent2904 3 жыл бұрын
Kung fu master
@praygodmbisse-cc1tx
@praygodmbisse-cc1tx Жыл бұрын
Simulizi zinatia moyo 👍🤝
@monalisakadja7481
@monalisakadja7481 3 жыл бұрын
Nisa sana kk
@allanothuman2941
@allanothuman2941 3 жыл бұрын
Tunaibiwa mali na wazung wanatuita nyan yaaan wat wa ulay wanatudharu sn ss africk yaaan ww acha tuuh tunaach uzalend tunaend kufuata vya wengine
@azizawadh5973
@azizawadh5973 3 жыл бұрын
Jack ma
@edghamoses6189
@edghamoses6189 3 жыл бұрын
Daaaaaah
@stephanoraulent2904
@stephanoraulent2904 3 жыл бұрын
Gud,jb
@omarymohamed1318
@omarymohamed1318 3 жыл бұрын
Kweli juud
@selemanemmanuel7423
@selemanemmanuel7423 3 жыл бұрын
Jack ma√√
@kimlisbonriffle1183
@kimlisbonriffle1183 3 жыл бұрын
Is really harder situation he passed
@sirfabiano767
@sirfabiano767 3 жыл бұрын
Huyu jamaa si kahukumiwa kunyongwa kwa kutosapoti chama tawala nchini kwao
@abdallahsumaku5647
@abdallahsumaku5647 3 жыл бұрын
Duuuu
@benardedmin2207
@benardedmin2207 3 жыл бұрын
Hapana bado ila vikwazo kwa sasa ni vingi kwa kukosoa bank za China kwa kukosa ubunifu
@afyanajamiino1338
@afyanajamiino1338 3 жыл бұрын
MKOMBOZI WA WANAWAKE KWA MAGONJWA SUGU NA USAFI BINAFSI 0766189074 Ni tiba ya asili na isiyo na kemikali wala madhara yyt yale inatibu vitu vifuatavyo 🥦Uvimbe kwenye kizazi 🥦Homon Imbalance 🥦Hutibu UTI sugu 🥦Miwasho 🥦Huondoa harufu mbaya ukeni 🥦Hufungua mirija ya Uzazi iliyoziba 🥦Huondoka uchafu Ukeni 🥦Hurudisha asili ya uke 🥦Kurudisha hamu ya tendo la ndoa nk Kwa mahitaji tuwasiliane kwa 0766189074 Imethibitisha na mamlaka zote duniani. Karibu upate huduma na ushauri pia
@abdunewton6376
@abdunewton6376 3 жыл бұрын
U
@praygodmbisse-cc1tx
@praygodmbisse-cc1tx Жыл бұрын
Simulizi zako zina entertainment brooh
@praygodmbisse-cc1tx
@praygodmbisse-cc1tx Жыл бұрын
Daah unajua kisimulia kiongozi
@mussamati5216
@mussamati5216 3 жыл бұрын
Walio mcheka watalia mtukama huyu
@juliuskatemi6816
@juliuskatemi6816 3 жыл бұрын
Jack Ma
@diamondfrec9539
@diamondfrec9539 Жыл бұрын
They suppose to tell us where is jack ma?
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 3 жыл бұрын
Kiingereza
@mohammedkassim320
@mohammedkassim320 3 жыл бұрын
Hate midi maisha
@imchristian323
@imchristian323 3 жыл бұрын
Kingeleza
@malcomxlumumba
@malcomxlumumba 5 ай бұрын
Sote ndivyo tunapaswa kufuata kama wa swahili ili tutobowe maana akili zetu huu! Zinatisha
@jumamaboto9763
@jumamaboto9763 3 жыл бұрын
Maboto
@praygodmbisse-cc1tx
@praygodmbisse-cc1tx Жыл бұрын
Simulizi zako zimepangwa
@jumamataro4870
@jumamataro4870 Жыл бұрын
Jembe
@tekash6921
@tekash6921 Жыл бұрын
🇨🇳🇨🇳🇨🇳🇨🇳🇨🇳
@Muhammedramadhan-xl6yg
@Muhammedramadhan-xl6yg 21 күн бұрын
Uongo aise huyu ni muizrael alitupwa china kimakusudi. Uliza alipo sasa baada ya kuonekana ni agent wa CIA MOSAD 😂
@wilsonwerema1494
@wilsonwerema1494 3 жыл бұрын
Asante sana mwirwa wane kwa maelezo amaiya
@antonyjrc5792
@antonyjrc5792 3 ай бұрын
Uhakika
@Nasasha591
@Nasasha591 2 жыл бұрын
Dah kwel alipitia magumu na hakukata tamaa ingekuw mwingine angeshkt tamaa
@muhammadhamis8643
@muhammadhamis8643 3 жыл бұрын
mwamb anagonga mkono huyo ni balaa
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,3 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 17 МЛН
SHERIA ZA KOREA KASKAZINI ZITAKUACHA MDOMO WAZI
17:01
Global TV Online
Рет қаралды 815 М.
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
Хотите поиграть в такую?😄
00:16
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 2,3 МЛН