OSCAR RICHARD vs TONY RASHID WALIVYOPIMA UZITO, NACCOZ Hawana DOGO, WAINGIA kama WAFUNGWA..

  Рет қаралды 6,247

Bongo Boxing Safari

Bongo Boxing Safari

15 күн бұрын

OSCAR RICHARD vs TONY RASHID WALIVYOPIMA UZITO, NACCOZ Hawana DOGO, WAINGIA kama WAFUNGWA..
MABONDIA wote watakaopigana kesho Juni 29, 2024 kwenye pambano la 'DAR BOXING DERBY' wamepima uzito na afya leo.
Pambano hilo litachezwa kwenye uwanja wa Posta jijini Dar.

Пікірлер: 17
@stapinuswilliam860
@stapinuswilliam860 14 күн бұрын
Patachimbika kinoma
@gastonjustine9199
@gastonjustine9199 13 күн бұрын
Nomaa sana yaani
@user-ze8hp1ls6t
@user-ze8hp1ls6t 14 күн бұрын
Watoto wa nacozi Awana mpinzani big up nacozi
@mwlpierre
@mwlpierre 14 күн бұрын
Hii Inamaana Oscar Richard ni mfungwa mwenye kosa kubwa sana kama anastahili kunyongwa halafu yuko mtaani
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 14 күн бұрын
kweli oscar umeua
@FatimaFati-pu4lb
@FatimaFati-pu4lb 14 күн бұрын
Oscar 😂😂😂❤❤
@shabanissngungi5395
@shabanissngungi5395 14 күн бұрын
Tunamaanisha kuwa Oscar Ni Mfungwa mwenye hasira zilizo pitiriza kiasi kwamba akifunguliwa tu kauwaaa😂(hii ndio naccoz team tunapiga tunaburudisha nan anakataa)
@kibwanakizulege4632
@kibwanakizulege4632 14 күн бұрын
Ni kunogesha pambano, inavuta mashabiki, nimeipenda sanaaa.....mwali mwali mwaliii😂❤
@mosongatz4534
@mosongatz4534 14 күн бұрын
SAFI SANA TEAM NACCOZ UBUNIFU MZURI HII NDIO MAANA YA KAMBI KUBWA TEAM NACCOZ MMESHASHINDA NNJE YA UWANJA NA TUNAIMANI PIA NA NDANI YA ULINGO TONY ATAPIGWA KAMA BEGI
@salumuseif3324
@salumuseif3324 14 күн бұрын
hii sio powa
@twizzycannello2482
@twizzycannello2482 14 күн бұрын
Nzr sana hii
@modestusmayowa-vc4gj
@modestusmayowa-vc4gj 14 күн бұрын
Safi....!! 🥊
@YasreArafat-kk9en
@YasreArafat-kk9en 14 күн бұрын
Kuuliza sio upumbavu Ni kutaka kujua tu Kwa mfano Hii inaongeza nini au inahamasisha nini Au ina faida gani Haya twende pale wadau😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😊😅
@kervinijosephu3164
@kervinijosephu3164 14 күн бұрын
Ni hamasa tu kwa mashabiki hakuna kingine .
@EmmanuelZenda-ji5gc
@EmmanuelZenda-ji5gc 14 күн бұрын
Tony rashid anashinda kirahisi tu hao Nacoz saiv zimebaki mbwembwe tu.
@AziziAlly-xc6nm
@AziziAlly-xc6nm 14 күн бұрын
Kuna Naccoz alafu kuna Oscar Richard huo ni moto hatari sana💪💪💪
@EmmanuelZenda-ji5gc
@EmmanuelZenda-ji5gc 12 күн бұрын
@@AziziAlly-xc6nm Ikawaje na uo moto😂
تجربة أغرب توصيلة شحن ضد القطع تماما
00:56
صدام العزي
Рет қаралды 36 МЛН
1❤️
00:17
Nonomen ノノメン
Рет қаралды 13 МЛН
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 25 МЛН
Khaligraph Jones at Uhuru Park (FULL PERFORMANCE)
8:16
WHY THEY ARE TRENDING
Рет қаралды 1 М.
PRANK STAR  - Saison 3 episode 17 Bombardier - Damay dorat d
26:24
Exclusif : Tapha Tine intenable promet le feu à Balla : " na arbitre bi  … "
24:22
❌🔴🟡 WHO DID WIN!? | SPEED CHALLENGE💨
0:13
ag_soccer team
Рет қаралды 99 МЛН
Controversial Referee Decisions ❌
0:27
TIKI-TAKA
Рет қаралды 5 МЛН
Мбаппе, ты где?
1:00
Губиньо
Рет қаралды 516 М.
Как Погба профукал карьеру
0:57
Советский Эксперт 2.0
Рет қаралды 522 М.