Padre Bandiho afungisha ndoa jozi 101 / Bila msamaha familia itakua uwanja wa vita

  Рет қаралды 827

Radio Mbiu

Radio Mbiu

2 ай бұрын

Waamini wametakiwa kuwa wamojaa kwa kuzungumza lugha ya upendo na amani na wanandoa kuishi fadhili za kusameheana na kuvumiliana katika maisha ya kila siku.
Wito huo umetolewa na Padre Solomon Bandiho, Paroko wa Parokia ya Mt. Augustino wa Hippo- Buyango Jimbo Katoliki la Bukoba, wakati wa homilia yake katika adhimisho la misa takatifu ya Sherehe ya Pentekoste, misa inayoambatana na kutoa Sakramenti takatifu ya ndoa kwa jozi 101 Parokiani hapo.
Katika homilia yake Padre Bandiho amesema kuwa, Kazi ya Mungu Roho Mtakatifu ni kuunganisha watu, ambaye anawafanya wanadamu kuongea lugha moja iliyojaa amani na upendo na kuwasihi waamini kuacha tabia ya ubinafsi badala yake wajazwe na nguvu ya Roho Mtakatifu na kusahau ya zamani na kuanza maisha ya matumaini, maelewano bila kuwepo maneno ya kufarakana.
Aidha Padre Bandiho amewataka wanandoa kuishi fadhili za kusameheana na kuvumilia katika maisha ya kila siku na kamwe wasikubali kumaliza siku bila kusameheana katika familia itakuwa uwanja na mlipuko wa ugomvi.
Padre Bndiho alihitimisha homilia yake kwa kuwataka mababa wa familia kuwa na upendo katika familia zao na kupatikana katika familia ili kujenga na kudumisha mawasiliano hai katika familia na kuacha tabia ya kurudi nyumbani kwa kuchelewa kwa kisingizio cha kutafuta.
www.radiombiu.co.tz
#RmSautiYaFaraja

Пікірлер: 3
@leticialyimu2378
@leticialyimu2378 2 ай бұрын
Hongera SANA Baba Paroko Kwa Neno zuri Kwa wanandoa
@leticialyimu2378
@leticialyimu2378 2 ай бұрын
Hongera SANA Baba Kwa Neno lako Kwa wanandoa la kusameheana ktk familia zao...
@joselinejosephine2610
@joselinejosephine2610 2 ай бұрын
big up baba
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 13 МЛН
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 23 МЛН
Fast and Furious: New Zealand 🚗
00:29
How Ridiculous
Рет қаралды 46 МЛН
Fr Kamugisha: Atakaye kula chakula vizuri unamuona wakati wa kunawa/
29:52
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН