Ww makonda hata wakuweke wap utawasaidia wanyonge wapige sipana mpaka wanyooke utafika mbali zaidi
@kimeajuma3267Ай бұрын
Mheshimiwa makonda mungu awe pamoja na wewe
@gracekagoma3231Ай бұрын
Wewe kaka mchungaji acha udiwani.😢😢
@justerissaya9165Ай бұрын
Mmenikumbusha mbl sna mwaka 1999 kuna mtendaj alikuja kweny kata yetu akawa anashinikizwa na aliiwakut kumtapel mzazi wanguardhi eti kisa ni mwanamke mama alienda kwa mkuu wa mkoa wiki hyohy mtendaj alipoteza kaz na akaja kukili tena kuwa co yeye alikuwa anatumwa na wajumbe wake ,,niwasii watumish mspende kuruth uadui wamtu fanya kilichokweka mahali🙏
@user-oh6pc7zd4sАй бұрын
FIDDA HUSEIN NI FISADI MKUBWA WA NYUMBA ZAWATU HUKU DAR
@gracekagoma3231Ай бұрын
Mchungaji muongo
@OmanOman-dn6djАй бұрын
braza unampiga mkwara Makonda😂😂😂
@victorkalolo9517Ай бұрын
Mchungaji anaunyenyevu waki mungu jaman
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
SUPANA ZIENDELEHE PEMBE ZOTE ARUSHA 😂
@user-ur7pw9ek6sАй бұрын
WAPIGWE SPANA TU 😂😂😂
@yolo5261Ай бұрын
Part 3 Vpi⁉️
@VickyKabutaАй бұрын
Unakiti chako hko juu mbingun makonda
@josephineokama2200Ай бұрын
makonda ananimalizia bando jamani mwee piga kazi baba unakiti chako mbinguni utakikuta kimepakwa mpaka rangi nyeupeee