Tafakari Nzito Juu ya Maisha ya Padre Pio, Pd. Patris Aelezea kwa Uchungu Kusudi la Mungu Kwetu

  Рет қаралды 33,149

Jugo Media

Jugo Media

Жыл бұрын

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GDS87FVmKB5...
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Пікірлер: 79
@GraceMganga
@GraceMganga 2 ай бұрын
Asante sana baba kwa kutufundisha kuhu madhara ya madhabahu, ubarikiwe sana mungu akupe afya ya roho na mwiri.
@agnesedward5694
@agnesedward5694 Жыл бұрын
MUNGU MWENYEZI MUUMBA Mbingu na Nchi Akubariki Akulinde kwa DAMU ya Thamani ya Agano Jipya. Ni Jambo ambalo nilikuwa ninalitafuta sana kwa Mapadri wa Kanisa Katoliki kwa ajili ya Kuwavusha Waumini Wake.
@frankluswaga
@frankluswaga Жыл бұрын
Asante sana baba padre kwa homilia nzuri,binafsi nmebarikiwa sana.
@egidymaliga6209
@egidymaliga6209 Ай бұрын
Baba Patrise hongera kwa wito na mafundisho yako.Nimejiona kama nimezaliwa upya.
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 Жыл бұрын
Mungu akutunze baba padre ,,how a young man can deliver a strong msg like this,be blessed baba padre
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Жыл бұрын
God has shown the uniqueness in him. Be blessed always Father Patris🙏🙏🙏
@fellytemba9064
@fellytemba9064 Жыл бұрын
Umenipa maarifa mengi ya kujitambua kupitia mahubiri yako Fr.Patris.Mungu akubariki sana.Mt.Padre Pio utuombee.
@user-fo3fh8ll8x
@user-fo3fh8ll8x 10 ай бұрын
Amina baba Mungu akutunze
@emmaachiengradonji6336
@emmaachiengradonji6336 Жыл бұрын
Amen Amen thank you Padre for the enlightment. Wow ! St. Padre Pio pray for us
@honorinaverani1057
@honorinaverani1057 Жыл бұрын
oooh my God. I am proud Catholic Mungu akubariki sana Baba padre.
@zakayoelias9532
@zakayoelias9532 5 ай бұрын
Asante Sana padre
@poncegk5263
@poncegk5263 3 ай бұрын
Barikiwa sana
@josephissob2076
@josephissob2076 Жыл бұрын
Ahsante sana sana sana Baba Padre
@aloycemchuo7687
@aloycemchuo7687 Жыл бұрын
Baba ubarikiwe
@patrickntalasha3956
@patrickntalasha3956 Жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua Fr. Natamani uje parokiani kwetu mbweni mpiji DSM
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 Жыл бұрын
Amina....Fr. Patris ubarikiwe kwa mafundisho na ujembe mzuri
@juliusmichael6191
@juliusmichael6191 Жыл бұрын
Padre Pio Utuombee 🤲🏻🙏
@idachristopher8592
@idachristopher8592 Жыл бұрын
Asante kwa tafakari Baba Padre, Mungu akutunze.. Mt.Padre Pio,utuombee 🙏
@yesunimwema4497
@yesunimwema4497 Жыл бұрын
Asante sana baba padre( PATRIS )kwakuturisha neno la mungu nimebarikiwa sana 🙏
@lucymwasu2615
@lucymwasu2615 Жыл бұрын
Asante Sana Padre kwa mafundisho mazuri,Mungu azidi kukubariki
@annanjau6716
@annanjau6716 Жыл бұрын
Asante Fr kwa content ambayo iko very unique Mungu aendelee kukubariki
@yolandaliyoya1839
@yolandaliyoya1839 Жыл бұрын
Amina Fr🙏🙏🙏 MUNGU AKUBARIKI SANA KWA MAHUBIRI MAZURI.FR PIO NI MFANO WA KUIGWA .
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 27 күн бұрын
Amina
@sarafinafranci8481
@sarafinafranci8481 Жыл бұрын
Amina sana father Mungu akubaliki mpaka uchangae.
@revocatusfabian7399
@revocatusfabian7399 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pd. Paris kwa mafundisho bora sana. Pd. Pio Utuombee
@isaackisahali8743
@isaackisahali8743 Жыл бұрын
Asante sana baba Patrice,nimebarikiwa sana na tafakari yako,hususani kuhusu kujua kusudio la Mungu kwa kila mmoja wetu
@polycarpedward-oo3iy
@polycarpedward-oo3iy Жыл бұрын
Thank father
@florencejohn6427
@florencejohn6427 Жыл бұрын
Asante sana Fr Uiso kwa chakula cha roho. Unanikumbusha mbali sana tulivyokuwa tunasoma falsafa pale Morogoro
@assumptamassoi4134
@assumptamassoi4134 Жыл бұрын
Nakushukuru sana Padre Ndemasi! Mungu akubariki kwa neno hili na Mungu anisaidie kufahamu kusudio langu maishani🙏🛐
@raymondlaurent9403
@raymondlaurent9403 Жыл бұрын
Waaaoh Mafundisho mazuri.. natamani kupata mwendelezo wake..
@jeanm.2973
@jeanm.2973 Жыл бұрын
Praise be to Jesus.May the Holy Spirit guide us to know what we were called for. Thank you Fr. Patris for your encouraging homily. From Kenya
@beatricekavenuke8587
@beatricekavenuke8587 Жыл бұрын
Barikiwa Sana Baba Padri
@maximillianmubashi7328
@maximillianmubashi7328 Жыл бұрын
Ahsante sana Padre patris
@elizabethshayo733
@elizabethshayo733 Жыл бұрын
Asante sana baba tumejifunza kwakweli. Mungu akutunze
@upendoeliudi5196
@upendoeliudi5196 Жыл бұрын
🙏🔥🔥🔥🔥Mungu akutunze father, nimebarikiwa sana sana sana namafundisho haya
@mcparoko6186
@mcparoko6186 Жыл бұрын
My father God bless you to sms
@assumptamassoi4134
@assumptamassoi4134 Жыл бұрын
I couldn’t blink my eye!! Powerful ! God bless you abundantly! I pray that I visit Tegeta Nyuki parish🙏🙏🛐
@faustanyambuli2813
@faustanyambuli2813 Жыл бұрын
Ni jambo jema kwa kila mtu kutambua kusudi la Mungu kwake,asante baba kutukumbusha
@agnesmanonga3084
@agnesmanonga3084 Жыл бұрын
Baba barikiwa sana
@joycemrosso1896
@joycemrosso1896 Жыл бұрын
Barikiwa sana Pd. Patris nimejifunza kitu.
@sospetermpuya8217
@sospetermpuya8217 Жыл бұрын
You show committiments good
@geraldtadeo4819
@geraldtadeo4819 Жыл бұрын
Honger sana
@mumyhendry2919
@mumyhendry2919 Жыл бұрын
Oooooh My God 🙏🙏🙏Mungu akutunze daima Padre wangu,nmetamani usimalize kuhubur
@rosetemba9858
@rosetemba9858 Жыл бұрын
Mungu ni mwema sana, I was longing to hear from catholic for so long. Una maarifa na karama kuu. Mungu akulinde ili uendelee kuponya roho za waamini kwa kuwapa maarifa ambayo waamini ndio wanayatafuta huko nje
@magrethcolestine2880
@magrethcolestine2880 Жыл бұрын
God is good, God bless you
@lucianotodeschini
@lucianotodeschini 4 ай бұрын
Nilikuwa huko wiki iliyopita,kwa padre pio,kweli kuna maajabu sana.
@albertjames6845
@albertjames6845 Жыл бұрын
Padre Uiso nimesoma naye shule ya Sekondari Umbwe, alinitangulia vidato vitatu. Nafurahi kumwona akiwa na haiba ileile. Mungu ni mwema. 🙏🏼
@petromalimi6667
@petromalimi6667 Жыл бұрын
mungu mwema sanaa asante kwa mahubiri mazuri mt pio utuombee
@olivaellahenordm1742
@olivaellahenordm1742 Жыл бұрын
Amina baba,you are so blessed kwakweli homily inaponya mioyo
@racheljohn7185
@racheljohn7185 Жыл бұрын
Wawoo! Asante kwa mahubiri manzuri,, God Bless you
@maniratungageorge6797
@maniratungageorge6797 Жыл бұрын
Asant sana mutumishi wa Yezu, mafunzo yako imenisaidia sana Mungu akupariki muzazi wetu wakanisa yetu%%.
@edwinelias8554
@edwinelias8554 11 ай бұрын
Tumemupata muzuri padre muzazi mukanisa yetu kutoka Kinshaza Congo 😝
@ibrahimkatonkola1144
@ibrahimkatonkola1144 Жыл бұрын
Proudly rc🙏🙏
@ekahensa
@ekahensa Жыл бұрын
Ameniumba Kwa jinsi ya ajabu
@michaelmagembe5069
@michaelmagembe5069 Жыл бұрын
Amina baba
@yolandaliyoya1839
@yolandaliyoya1839 Жыл бұрын
Ndiyo Fr KWAJINA LA YESU NA DAMU YA YESU TUNAWEZA.MUNGU ÑI MWAMINIFU.
@tegemeajustice2602
@tegemeajustice2602 Жыл бұрын
Yesu apewe sifa!
@fellytemba9064
@fellytemba9064 Жыл бұрын
Hakika ndani mwako Mungu ameweka zawadi nzuri sana.Kipaji cha kuhubiri ni kikubwa na hata nguvu ya uponyaji ni kubwa sana.Mungu azidi kukubariki uendelee kuinjilisha.Nimejifunza mengi sana.
@lucylucyan5947
@lucylucyan5947 Жыл бұрын
Amina baba mungu adumishe utume alioweka ndani mwako
@theresiamateru6426
@theresiamateru6426 Жыл бұрын
Sisi wakatoliki huwa hatutafakari Biblia Bali tunapenda sana kitafakari watakatifu mtu unaweza kuta anajua Mt flani na mara nyingi yuko naye,mara nyingi ukimfuatilia unakuta huyu mtu ana maumivu ya ndani maana hamjui Mungu anajua watakatifu hata mstari mmoja kwenye Biblia hajui lakini watakatifu usiseme
@venancemsigala1701
@venancemsigala1701 Жыл бұрын
@@theresiamateru6426 watu wa namna hiyo ni wale wasioyaelewa mafundisho ya kanisa. Kanisa alihimizi kukariri tu watakatifu, bali kujua mema waliyotenda na kuiga, watakatifu kwetu ni mifano (role models)ya mema ya Mungu waliyofanya wakati wao ili nasi tuige kutenda hayo kwa wakati huu na huwezi kuwajua watakatifu pasipo kwenda sambamba na neno la Mungu kutoka kwenye biblia. Unaona hata pd Patris hapo anamtumia mt Padre Pio kama mfano wa kuigwa katika kutafuta kusudi la Mungu katika kuubwa kwetu na anaelezea maisha ya pd Pio akitumia mistari ya biblia pia. Kwahiyo ni muhimu kuwajua watakatifu kupitia mafundisho ya biblia.
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Жыл бұрын
God bless u Fr
@paskalinakilave4795
@paskalinakilave4795 4 ай бұрын
Kwa kweli Parokia ya Baruti tumepata neema kuwa paroko Baba Ndemasi
@upendoj
@upendoj Жыл бұрын
Let us rediscover ourselves. you are Blesses and you bless us even more.
@roselambert6700
@roselambert6700 Жыл бұрын
Amen Fr
@frankzulu5901
@frankzulu5901 Жыл бұрын
Amina Baba asante kwa chakula cha Roho...binafsi naomba namba yako baba kwa maombezi zaidi
@vickymanga4257
@vickymanga4257 Жыл бұрын
Nakuona fr
@dativambaga6206
@dativambaga6206 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Father❤🙏
@igulampoki6312
@igulampoki6312 Жыл бұрын
Mungu nisaidie nijue ulichoweka ndani yangu barikiwa pd Patrick
@mariselaraulent3687
@mariselaraulent3687 Жыл бұрын
Amina 🙏🙏 Mungu nisaidia niweze kusali kama Mt pio
@melkizedeckminja9322
@melkizedeckminja9322 Жыл бұрын
Nimepata kitu
@winjoymakena2864
@winjoymakena2864 Жыл бұрын
May the lord continue to empower u so that u may continue blessing us. I'm really blessed by this message. Watching from Kenya
@kelvinobrey9583
@kelvinobrey9583 Жыл бұрын
MAY GOD BLESS YOU DEAR
@josephinemaina1536
@josephinemaina1536 Жыл бұрын
Naomba contacts padre
@user-fj5dy9hh5v
@user-fj5dy9hh5v 16 күн бұрын
Mapadre km wewe ndani ya kanisa katoliki ni wachache sana unapatikana wapi father
@petertarimo5819
@petertarimo5819 Жыл бұрын
Padri patrice yupo parokia gani
@sarafinafranci8481
@sarafinafranci8481 Жыл бұрын
Kunduchi.
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 Жыл бұрын
Amina
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 53 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 34 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 21 МЛН
Fadhili za Bwana nitaziimba milele; Kwaya Kuu ya Mt. Yosefu
3:30
MWIMBIENI BWANA ZABURI
Рет қаралды 524
Padre Dkt Kamugisha :Asife/ Ukitaka Baba yako akuite Baba kuwa Padre
32:38
Askofu Mkuu Nkwande alivyomnasa Frater feki Mwanza.
8:53
Radio Mbiu
Рет қаралды 41 М.
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 53 МЛН