Karibu kijana wa kupanda mnazi Kwa mkono mmoja hii atari sana
@isakamwambenja7397Ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu Davista
@khadijaabdullah63282 жыл бұрын
Hayo macho yake tu Yy mwenyewe ni shetani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@shukrimusa5282 жыл бұрын
Watanzania bana.wanapenda kuskiliza stori za uongo
@noelbernard63902 жыл бұрын
Hautaki kukubali ukweli.
@briandeflugel90552 жыл бұрын
Hata hapa jirani 🇰🇪 tunapenda story za ukweli... Shuhuda za kweli... Mr Facts endelea vivo hivo.....
@isakamwambenja7397Ай бұрын
Mungu akuinue na azidi kukulinda sana
@adaboychibu16592 жыл бұрын
Nimegundua kuwa hiki kipindi kinaupotoshaji mkubwa kwenye Iman hasa dini ya kiislam mwanzo nlikuwa najifunza sana kwa story za kweli lakini nimekuja kugunduwa hii online tv ni ya dini flani na inatumika kuchafua iman flani na kuitukuza imani nyingine kuwa ndio sahii !
@dcobrafitness112 жыл бұрын
That’s True Bro Kwa muda mrefu Nilikua Nafatilia Hiki Kipindi Kilikua Kizuri But Now Inaonekana Zahir Kua Jamaa wanapondea Dini Fulani Kueka Dini Fulani Juu Ingawa yeye mwenyewe anasema Hazungumzii Dini Ya mtu Lakini Sio Kweli Davista Stop Doing This Shit Bro Utapoteza Baadhi Ya mashabiki
@adaboychibu16592 жыл бұрын
@@dcobrafitness11 kabisa bro jamaa mnafki sana binafsi mi nimeshampoteza !unapoitaja makkha inaamana kubwa sana kwa historia ya waislam,ni mji takatifu alafu wee unakuja kuichafua kirahisi hivyo kwa story za uongo
@salimalaquimane30772 жыл бұрын
Me nlilona ilo mda mref kias mapenz yang kwa kipindi yame pungua
@nooor11202 жыл бұрын
Hata mimi zamani nilikua addicted na hiki kipindi ila nimegundua kuna upotoshaji na ukandamizani wa dini ya kiislam ila nawambia tu mkikubali mukikataa kuwa hakuna atakae fanikiwa kuuchafua uislam hata mkijaribu vipi kwani wameshindwa mapadri wa rome na nchi kubwakubwa waliotangulia karne za nyuma kila wakijaribu kutia dosari uislam ndio zaidi makafiri wanafatilia na kujua ukweli mwisho wake wanasilimu . Kwahio dini ya haki ni uislam na haki itabaki kuwa haki hata mukifanyaje nikuhangaika bure na kujipalia makaa mbele ya mola wa haki nae ni Allah huo ndio ukweli usiopingika mkikubali mukikataa.
@gosbertmuta54212 жыл бұрын
Unafata nn kuskliza apa we vp lkn Adam hukui tu? Skia nkwambie kitu uislam Ni ushilikna kwan wemwenyewe sishahd wamambo hayo? Au ulipo biashala yako iyo unaiendeshaje? Acha unafk ukguswa unalukaluka
@bintalmasi23932 жыл бұрын
Ahsante Davista hii inaonekana ni ya kipekee sana, tufunuliwe siri za arabia.
@gosbertmuta54212 жыл бұрын
😹
@officialczeey9619 Жыл бұрын
Tukisambaza story kuwaaminisha watu, tukumbuke Mungu hapendezwi na Uongo. Mungu amsamehe
@bluebrown55662 жыл бұрын
Hio nguvu ambayo aliyopata akiwa kwenye hatari inatwa adrenaline rush na kilamtu anayo wakati wowote wa hatari.
@JamallyHMlela2 жыл бұрын
Story za huyu Davista ukizikiliza vizuri kwa sikio la story za Kweli hakuna ukweli wowote
@noelbernard63902 жыл бұрын
Mara nyingi nyie mnaobisha bisha ukweli ndiyo wachawi wenyewe.
@austorb.nyondo27082 жыл бұрын
Achana nazo tuachie tuojua maandiko na namna Mungu aishivyo
@JamallyHMlela2 жыл бұрын
@@austorb.nyondo2708 Sawa bwana maandiko kujua
@JamallyHMlela2 жыл бұрын
@@noelbernard6390 Sawa mtabiri
@acimamalingano85562 жыл бұрын
Pamoja saana Mr everything 💪
@newtonrobert95252 жыл бұрын
Wa kwanz kucomment tuko pamoj san davista
@tydookoh2146 Жыл бұрын
Nice
@nancyjohnson66202 жыл бұрын
Kwanza msimuliaj yuko vzr anaonekana katulia hapa katikat wasimuliaj wengine walikua wanatia uvivu ad umuulize maswal
@kimjey00122 жыл бұрын
URONGO MTUPU HAPA STORY ZA KUTUNGA
@mutomubaya2 жыл бұрын
Maisha ya watu washirikina hayapendezi. Waongo wanahadaa watu ati wanajua madawa ya kuishi mtu asidhurike na wanyama wakali kama vile viboko, kwa nini hawana dawa ya kuepuka mauti? Heri kuacha mila potofu na kuwa Muislamu, kwa kuwa Allah ndiye mwenye uwezo wa kila Jambo.
@ciikuthemillennial.30822 жыл бұрын
Jina la Yesu!
@husseingabo54972 жыл бұрын
Yesu kuku tu
@eaglecrown11012 жыл бұрын
Amina 🙏🤔
@nooor11202 жыл бұрын
@@husseingabo5497 usijaribu kumtukana yesu kwani Yesu sio kuku , yesu ni mtume wa mmungu na biblia imethibitisha hivo ila wanakosea kusema yesu ni mungu.
@hope_4022 жыл бұрын
@@husseingabo5497 Ipo cku utatamani ubadili hayo maneno...Mungu akurehemu!!
@husseingabo54972 жыл бұрын
@@hope_402 Mimi siwez kuabudu kiumbe kama Mimi
@munakhamis9822 жыл бұрын
Kwanz ifahamike Makkah ni wapiiii.....msihusishe dini na mji ni vtu tofaut cos huko makah pia kuna wat waovu maan ni binadam hakuna aliyekamilika ......
@lutufyodixon99972 жыл бұрын
Relax dawa ikuingie... Dunia hii n zaidi uijuavyo
@mamananga28492 жыл бұрын
Umeongea sahihi
@DWAYNEKI2 жыл бұрын
@@lutufyodixon9997 hua mpo wepesi na haraka kujibu mkiskia tuu hata ukucha ukitajwa Uislam faham kwamba kila dini inawatu wakuipinga na lazima DINI YA HAKI IPIGWE VITA NAMAADUI...
@lutufyodixon99972 жыл бұрын
@@DWAYNEKI wewe ukiwa mchafu na ukiambiwa kuwa n mchafu yamaanisha unapigwa vita? Panua uwezo wako wa kufikiri mzee
@lutufyodixon99972 жыл бұрын
@@DWAYNEKI 1. Unajua kuwa Makkah ya Saudi Arabia siyo Makkah ya kwenye Koran? 2. Kibla ya misikiti ya kale ilikuwa haielekei Saudi Arabia na hata ile misikiti ya yerusalem ilikuwa haielekei huko? Wajua n kwanini? Mitandao ya kijamii n mahali pa kutoa tongotongo na si mahali pa kutaka kila kitu kiwe vile unavyotaka wewe. Ukiambiwa jambo ambalo hujawahi kusikia au lenye kuleta ukakasi basi tumia muda kujifunza zaidi na usiwe mtu wa kujihami kuwa watu wanakashfu. Hiyo n tabia ya mtu asiyetaka elimu na maarifa
@suzanadeimamo77262 жыл бұрын
Sawa
@tatuluanda65812 жыл бұрын
Pelekeni na story zenu za michongo hizo mim huwa siamini mambo ya kishirikina hizo
@noelbernard63902 жыл бұрын
Mara nyingi wanaojidai hawaamini ushirikina ndiyo mnakuwaga wachawi na washirikina
@valerieobanya51722 жыл бұрын
Everyone's body releases adrenaline especially when in danger.
@juliusmushi64282 жыл бұрын
Sauti imepita hiviiiii
@nyawebabu56442 жыл бұрын
Nyie chafueni usilamu lkn wasomi wa ulaya na wamerika wasilimu nyiny tafuteni kiki
@nooor11202 жыл бұрын
Umeona eee Waache na kiki hao, wakristo wenzao wamejikita kutafuta uislam huko ulaya na wanaingia ktk uislam makundi kwa makundi wache wa tz wapige kiki wasitafute haki na wala Allah hahitaji chochote ila sisi ndio tunamhitaji Allah so nyie makafiri endeleeni na kiki mkp mutiwe kaburini mkifika huko hakuna yesu mlokua mkisema km kafa kwa dhambi zenu ila yesu mwenyewe kasema kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe siku hio ikifikaaaaaaa.
@gosbertmuta54212 жыл бұрын
Unachobisha Ni nn sasa
@jkkim38482 жыл бұрын
Hakupenda kuoga ,🤣🤣🤣
@gosbertmuta54212 жыл бұрын
😹
@ANITHASTEPHEN-bs1ee11 ай бұрын
izi ndio story sasa
@ANITHASTEPHEN-bs1ee11 ай бұрын
izi ndio story
@husseinkiruta17122 жыл бұрын
8:2 Quran Waislam wa kweli hawaamini mizimu,shetani ,mapango ,nk Note:shetan Ni sifa anaweza kuwa binadamu au jini . Uislam Ni dini Kuna tabia za mtu Fulani na dini Ni vitu viwili tofauti Mfano kisu unaweza kukutmia vizur au vibaya inategemeana na matumizi yako Wenye akili ndyo wanaelewa 5:90 Quran Bila shaka ulevi,kamari ,kupiga ramli (uganga )Ni kazi chafu ya shetani jiupeshe navyo ili upate kufanikiwa Note.huo Ni ushirikina wa familia zenu
@aiahadoha45502 жыл бұрын
Hawamini mizimu na muko nayo misikitini majini mashetani heeeeeeee hebu nicheke kidogo kwa maana hujui usemacho soma vizuri hiyo karatasi yenu ya mashairi mlopewa na majini ndio utajua aliambiwa nni na hao miungu yenu ndio ujiekewa wasema nni pimbi mkubwa shetani aletubwa duniani akapokekewa na huyo shetani mwenzake kuwapotosha nyinyi eti dini ya haki nyoo toka huko kuzimu wwee ukarithi ufalume wa MUNGU mbinguni milele Kisha mkadanganywa kua mumewekewa wanawake wa saizi yenu mukaoe duuh makubwa
@nooor11202 жыл бұрын
Said well bro I hope wataelewa wenye akili na wenye kutaka kujua haki sio wenye kupenda kiki na ushindani.
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
Kweli umefafanua kwa upeo mkubwa sana juu ya kuijua kweli kwa upande wa uislam, ila mi nna viswali kidogo. Katika kuzungumzia (Fildaus) kama sijakosea huko wanasema kutakua na Mito ya Pombe yaaniau mnamaanisha mmekatazwa kunywa duniani ili mkanywee huko, je hii imekaaje? Pili huko (Fidaus) huko mmeandaliwa mabinti Mabikra kila anafanikiwa kufika huko anakabidhiwa mabinti 82 na wana utamu zaidi ya mara 2 na wahuku duniani, lakini wanawake wa kiislam hapa duniani pepo yao ipo hapahapa Duniani yaani ni kumuudumia mumeo hapahapa, kwanini hii Dini imemdharau mwanamke kiivyo? Hayo ni maagizo ya Mungu au Muhammad mtume wa waislam?
@noelbernard63902 жыл бұрын
Mtume alisema majini wengine ni waislamu
@ahmadlitwe71902 жыл бұрын
Na Majini wengine ni wakristo pia lakini wapo mabudha mayaudi na dini nyinginezo kama ilivyo kwa binadamu
@vitalisonyango67082 жыл бұрын
Kagera ituma ni wachawi wengi wanakaa huko
@mkukistore28162 жыл бұрын
kijana alikua anajikulia sheria mkononi sijajua, yani alikua anakamua nyoka au?😃😃
@josephmuchiri31802 жыл бұрын
Mr facts!God bless you bro
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
Natafuta mchumba mimi nimwanamke nahitaji mwanaume mwenye malengo anaejua kufikiri vzr asiwe wakupnda starehe asiwe. Mlevi awe na mapenzi ya dhati. Mimi umri akiwa miaka 28..hadi kuendelea
@khadijahassan37612 жыл бұрын
Zaituni mamy wanaume kweli maweisha mpk uanze kuwatafuta mitandaoni ok Allah akuongoze kipenz
@user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын
@@khadijahassan3761 🙏🤣
@acimamalingano85562 жыл бұрын
Gs
@isayamichael40852 ай бұрын
Mtu makinii
@wasalimie112 жыл бұрын
davista wameni maji hawa waelezaji jamani mbona mnafeli
@ramadhanisalum354828 күн бұрын
Muongo tu huyu kibaka
@tututz1002 жыл бұрын
ANAPENDA NYU
@shaloboy38612 жыл бұрын
Macca akuiingi viumbe wachafu awache unafiki nimechunguza mtu akitaka kujitangaza kua askofu anaanza na propaganda za kisenge
@aprilking82502 жыл бұрын
Maca sio mbinguni
@jesusislord91902 жыл бұрын
makkah si ndio majini walimuita Muhhamad akawafundishe Quran?? si ndio kunamsikiti unaitwa al jinn??
@munakhamis9822 жыл бұрын
@@jesusislord9190 Km huna elimu usiongee pumba acha chuki za kidin ww unadin yako na waislam wanain yao ko acha tupumue ukwel nipale tu pumzi itakapofunga utajua ujui mbuzi ww
@habibadaudi82422 жыл бұрын
Hatari watu wanafuta ela
@fatumakhamisi10022 жыл бұрын
Hapo ndipo waamini wa Dini za Ibrahim mnaponichoshaaa ,na hapo ndipo nilipozikataaa maana kimsingi haziwasaidii zaidi ya kuwagawa na kuwapandikiza chuki tu zisizo na msingiii ,haya heri yenuuu
@mhabimina40232 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥👌
@jesusislord91902 жыл бұрын
sikia kiboko jamaa kanikumbusha madhira yaliyonikuta ziwa Rukwa..daaa...ebana eee..
@Mazoea2 жыл бұрын
Mimba mwaka na miezi Sita so angekufa
@rahmanassor58982 жыл бұрын
Muendelezo wake
@mzalendomzalendo25672 жыл бұрын
Acheni ujinga
@hamisikitwana79572 жыл бұрын
Uongo
@Mazoea2 жыл бұрын
Are Siri za freemason wamuache huru...wengi wao ni waongo .wachache sana story zao za kqeli
@jkkim38482 жыл бұрын
Unahiari ya kutoskiza
@habibadaudi82422 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows mm nipo arabu mbona sjasika baya lolote Jamani Ila Dunia Ina mambo Wallahi
@charlesmapunda59052 жыл бұрын
@@habibadaudi8242 Kwani we unamacho yakuona kila kilichopo mbele yako? Au una masikio yakusikia kila lisemwalo ndani ya huo mji? Basi jua hata hao manabii ulio wahi kuwasikia kila mmoja alikua na Karama zake za kilichotokea na kuendelea kipindi cha utume wao, hivyo we upo tuu na macho na masikio ya nyama sio kibinadamu hivyo huwezi jua chochote.
@mutomubaya2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows Siri gani za uarabuni ungependa kutoa? So utoe za uko unakoishi kama unadhani watu wana haja ya kujua? Siri ni za mambo mema au mabaya. Kama ni mema basi Waarabu wako na kiuyfhhh
@janeschurmanns73642 жыл бұрын
Mi sijaelewa wabura ni jina la baba yake na mama yake ba babu 🤣🤣🤣
@nooor11202 жыл бұрын
🤣🤣
@aprilking82502 жыл бұрын
Jamaa anaongea vizuri sana
@acimamalingano85562 жыл бұрын
Fg
@noelbernard63902 жыл бұрын
Nyie waislamu msikimbilie kukataa tu hapa wakati Dini yenu inaamini ushirikina, mtume anasema majini wengine ni waislamu. Masheikh wengi nyuma ya pazia ni.....
@mutomubaya2 жыл бұрын
Majini ni viumbe kama wanadamu ila hawaonekani. Shetwani ni miongoni mwa Majini. Na wapo wa kila kabila na kila Dini. Wapo wachawi wapo wanaomuamini Mwenyezi Mungu. Waislamu wanawajua kwa kusoma Qur'an. Wa ni viumbe. Haifai kuwaabudu wala kufuata ushirikiano na wale wabaya ili kuwadhuru watu. Hata Isa (Jesus) yasemekana aliwatoa wale evil spirits waliokuwa wameingia ndani ya mtu.