@@sweetie6934 Mungu nimwema kila wakati ipo siku yao hao wachawi
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@sweetie6934 kweli kabisa.
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@dorcaskidoti249 kabisa yani
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Jamaaa noma sana ni genius
@terrellbraxton192 жыл бұрын
Instablaster
@euniceeunice76803 жыл бұрын
Jamaa ni genius kinoma achagui kazi kbs zotee kafanya zotee zile vjna wa sasa awawezi yy kapiga...umepitia magumu mnooo jamani aiseee daah..pamoja ba yotee lkn Mungu ajakuacha bado anakubariki kwa njia tofauti
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Yaani nilichokukubali ulikuwa huchagui Kazi mola akujalie
@satinotino4813 жыл бұрын
Nampongeza sana kwa kuto chaguwa kazi.na ana roho safi sana ndio maana mungu hamuachi
@mimisir57172 жыл бұрын
Ile ishu ya bank na majambaz aliikataa ila ndo ilikua kazi ya kupiga sasa iv angkua dubai
@alitoufik54773 жыл бұрын
Anaekubali Zabron ni genius like
@fadhiliswalehe92863 жыл бұрын
Mie ni genius na nina kumbukumbu kali ila zabron umenizidi big up bro
@chopsmediatz3 жыл бұрын
huyo zabron story yake tam sana na anajua kuelezea, vizuri kwa utaratibu, kazi nzuri davista
@neemaomar763 жыл бұрын
Niliku naisubir kwa hamu ndio kwanza nmewek bando nmekimbilia you tube 🤣 nashkur nmeikuta 😂🥰
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Mimi nilikuwa naiwaza tu sasa nimefrahi
@popoali66413 жыл бұрын
Maashaallah huyu jamaa nmempenda story zake tamu mungu amfungulie rzk zake
@biambarak52983 жыл бұрын
Hii story nzuri sana na refu Kama Ile ya juma 17
@aishasaid67493 жыл бұрын
Hii stori naipenda
@nurudaud39932 жыл бұрын
Kichwa kiko poa sana brother uko genius sana be blessed bro thanks Mr everything davistar mata na mikas na story za kijanja naelimika sana😊
@caimedia3 жыл бұрын
Zabron Leo unanirudisha nyuma kabisa katka kipindi cha sitasahau cha RFA, hongera kwa simulizi nzuriii
@ochuboysosman83763 жыл бұрын
Umepitia magumu sana pole Zabron
@happynesskimt62492 жыл бұрын
Mungu ni mwema akikupangikitu binadamu kamwe hawezi pangua hata kwa ndumba haiwezekani : vijana tujifunze kujitumana na hakuna kuchagua kazi wala kukatatamaa💪
@jamilaally31723 жыл бұрын
Dah kwer pamoja sana another episode my favourite chanel back again big up
@salehfarid10033 жыл бұрын
DAVISTER kapelo hizo zinakutulia saaana ✅✅✅👍🏼
@pilimusa77703 жыл бұрын
Saana
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Unamsfia
@JOZELDOTz3 жыл бұрын
HIVI MMEJIVUNZA NINI KWENYE HIYI VIDEO? Comment down Tuone
@oprahsalum81853 жыл бұрын
From South Africa huyu kijana ni nguvu kazi, mvumilivu ,ana upendo and he is very patient Mungu ambariki sana and he is not a give up type
@aishasaid67493 жыл бұрын
Usikate tamaa mapema mtihani ipo na kila mtu humkuta
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Nimejifunza mengi moja apo binaadamu tusikate tamaa yote ni mitihani tu tusimkufuru Mungu
@charlesmapunda59053 жыл бұрын
Kweli mejifunza mengi lakini makubwa ni Watu wenye roho mbaya,kutokata tamaa katika maisha, Uvumilivu, Upendo, Kutochagua kazi, Ubaya wa ushirikina, Nuksi na Mikosi yaani mambo mengi ukiachilia mbali burudani na mafundisho.
@marysteven6053 жыл бұрын
Nimejifunza katika Maputo mazito,mtegemee Mungu wala wewe usifanye mabaya itafika mda Mungu atakutetea tu utashinda,
@joycejoseph88633 жыл бұрын
I was waiting for it#🇰🇪
@daudimziwanda95363 жыл бұрын
Me 2
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Me 3
@barakamakongo61843 жыл бұрын
And here it is
@learnselfdefense7653 жыл бұрын
Miaka 15 ya Zabron enzi hizo alitakiwa asalimiwe na wanaume miaka 30 waliokuwa wanaishi kwao.... Kama maisha hayo bora wali maharage kuliko wali mwengu
@tracyirene89173 жыл бұрын
Nipo bado 👍 Duhh !!Mr.facts
@matabarohm31673 жыл бұрын
Story ndefuuuu saana, ila nimekuwa nasubiri history ya gamboshi. Mimi ni mrundi tena gamboshii ao the Triangle. Mukuwe makini
@patriciakamugisha22943 жыл бұрын
Dah!maish yako kama story huamini kama yametokea kweli. Umezaliwa na bahati sana. Tuletee nyingi kwa mfululizo bac
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Ni story yako nzuri na inaskitisha pole kwa kupitia magumu
@theunseen.believe56723 жыл бұрын
😄😄😄Davista anakatiza stori anakuwacha na hamu ya kujua kilichofuatia(suspence)
@carolinetalam58323 жыл бұрын
No matter the hard life this guy passed through, he looks very young and handsome tuned 🇰🇪 🇰🇪
@barakamakongo61843 жыл бұрын
True
@abbyadams86913 жыл бұрын
Wanaume wa Bongo siku zote tuko handsome. Diamond platinumz ndo mwanaume pekee mwenye sura mbaya.🙉🙉🙉😅😆😆😅
@carolinetalam58323 жыл бұрын
@@abbyadams8691 hahaha 😄 😄 you've made my night, i mean amejitunza hajachiachilia coz watu wa rika lake wamezeeka Sana hata utapata wengine wa born 80s but wamechapa sana
@abbyadams86913 жыл бұрын
@@carolinetalam5832 🤸🤸😜
@sallo27.703 жыл бұрын
Kwa kweli Mitihani Ipo. Ila MUNGU Hamtupi Mja wake. (Speed).