Kuna mshkaji mwingine yule aliekuwa analala na madem mwisho akauwa Mama yake mwisho akawa chizi zile ni true hata mtu anavyoelezea unajua this is true
@damarisnjerichege1009 ай бұрын
Wah the world has many secrets...Mungu tuhifadhi tuklsiwahi kutana na watu wa aina hiyo
@judyokumu84398 ай бұрын
Mungu atusaidie jmn
@michaelbengesi983810 ай бұрын
🔥 🔥 tupe part 4
@mariamfritsi494310 ай бұрын
Asante kwa muendelezo
@flm153010 ай бұрын
Part 4 davister unachelewesha bn
@AllyNganganilla-bz2kk10 ай бұрын
Watatu weweeee utamu umulile😅😅
@Irenes_Kitchen10 ай бұрын
Namtaka baby wangu wamayo 😢
@happinessemmanuel633610 ай бұрын
😂
@user-nq8zq1tx6m10 ай бұрын
😂❤
@user-fy9zl1oq7x10 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@evachuwa380910 ай бұрын
😢😢😢
@user-nt4bl1hn9w10 ай бұрын
Wakwanza mm
@mwihakiwairimu780410 ай бұрын
Wanawake na pesa😢😢😢😢
@kotadapotar509410 ай бұрын
Wapili mimi devistar Ukingia Ukitoka Unakufa mbona yeye yupo Hai mpaka ivi sasa??????🇹🇿🇬🇷⛴⚓
@tahirnephessalum367810 ай бұрын
ukiskiliza story mpaka mwisho utajua kwanini hakufa? sasa ukitaka Akwambie kwanini hakufa si ndo story inaishia hapo?
@mariamswedi114010 ай бұрын
nimeona umuhim wa kuwa na Yesu ndio kila kitu
@cyantess842310 ай бұрын
davistar sheikh inaendelea auu it was just 2 episodes ?
@sukisa123410 ай бұрын
Davesta ndugu tunaomba uwe unatupa story mala mbili kwa siku maana story inakolea kusikiliza mpaka najikuta Kama naona nazama kabisa kusikiliza Hadi inakuwa Kama naona live ghafra story ikikata najikuta bado nipo kusubiri nyingine kwa muda huo kumbe nyingine mpaka kesho...
@sukisa123410 ай бұрын
Alafu muulize atufafanulie pale alipoambiwa atoe damu ya siku ya mke wake je alimwambia mke wake? Na wanachunguza mtu wakakuta Ana nguvu za kimungu he wanafanyaje?