Wakenya twakupenda sana Dav na Zab❤️💓🇰🇪🇧🇭 Mia Mia kitabu nakihitaji kijana yangu anapenda mastori sana
@babymkuya3593 жыл бұрын
Wa60 naomba like nimejitahid
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Twende kz
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
🤣🤣
@faifidelis30413 жыл бұрын
Nimetokea kukupenda zabron mm nitakununulia camera nipo india kwa sasa nitakucheki whtsup mungu akujalie kwa kira unachokifanya
@jameskamwaji2443 жыл бұрын
mh
@idanysedrc12003 жыл бұрын
Zablon ni talented sana
@monicasimpilu62573 жыл бұрын
Dav tunakesha sababu ya Zabron ok tuendelee
@sheikhanasser47143 жыл бұрын
😀 Zabron utata ulikusumbuwa wakati Wa nyuma lakini ulifanikisha ukaongoza maneno kwa Angel akakufaham hongera na pole nyingi kwa msiba Wa Angel
@fahadjinni58453 жыл бұрын
Katika watu waliopendwa kweny Chanel NI HUYU CHIEF ZABRON.....yan tumekukubali mwanetu
@gharibislam15863 жыл бұрын
Ata Sisi pia tumempenda
@rebeccapmashauli26483 жыл бұрын
Kabisa
@rahemahassan30153 жыл бұрын
Hatariiiiiiiiiii na nusu hakuna kulala wa kwanza leo💃
@marysteven6053 жыл бұрын
Lakn mm nakushaur umtafute Zaid Mungu Jehovah,kwa kua msaada wa Shetan hayafiki mbali,usimtegemee malasta kwa kua naye ni mwanadam tu,
@mayaalmahrooqi13453 жыл бұрын
Kumbe bado tunaendelea ok pamoja
@janendzadze71793 жыл бұрын
Number ya marastar Davistar
@igurusitv65533 жыл бұрын
Hilo Basi halikuungua manyoni singida, liliungua maeneo ya singida mjini nyuma kidogo na ilipo stend kuu sasa hivi. Kipindi linaungua mimi nilikuwepo maeneo hayo coz tulikua tunajenga ile barabara na kampuni ya kichina ya cietco. Kutoka raundi about ya mkoani mpaka ikungi. Nakukumbuka Sana hii ajali watu waliungua mnoo
@mashamramba34613 жыл бұрын
Safii sana tupo pamojaa tena sanaa
@mamskiumbe40573 жыл бұрын
Jamaaa katesek kwl
@djmack7683 жыл бұрын
First one gonga like hapa
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Hongera
@user-vh7ry4ip8r3 жыл бұрын
Pole kaka utafanikiwa kwa uwezo wa allah.tunataka kumuona mpenzi wako aliyefariki toto la kiyarabu
@dorcaskidoti2493 жыл бұрын
Fb Zabron c mwita utamuona Angel
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Nenda fb utamuona toto LA kiarabu
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Pole sana kwa matatizo mkulungwa
@remigjohn48433 жыл бұрын
Jiwe juu ya jiwe
@mashamramba34613 жыл бұрын
Si chakula Mr Davistar . Angepakua mzigo yani ngozi manyoya I say .
@upendoluv71973 жыл бұрын
Dunia inamambo walah...duuu Mungu tusaidie peke yetu hatuwezii
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Asante kwakujifunza vitu
@africandarling69253 жыл бұрын
Duuu Zabron umepitia mengi dooo AISSEH mungu ni mwema sana
@IANA20303 жыл бұрын
Leo nimekutime Davi😂😂👯💃🏾
@sultanaswaleh47083 жыл бұрын
Halowwww ! Dv my. Son part 45..plzzzzzz !
@ddumba28153 жыл бұрын
WAKURYA HUWA NI MAGENIUS AISEEE.🦸🦸🦸🦸🦸
@davidkizito69003 жыл бұрын
Dumba nawe eno bulijo olumbisayo, duh
@douglasorina93143 жыл бұрын
Leo number one
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Masharti kibao waaa lkn shukuru Mungu kivuli kimerudii uko chonjo
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Halloo number 1 kwa mpigo like yangu jameni
@aiyamhassan13213 жыл бұрын
Aysha leo uwapiii shoga angu pili njoo dear mambo tayar....
@pilimusa77703 жыл бұрын
Ndiyo numefikaa shoga angu kipenzi. Asante
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Npo 💃💓💓💓💓💓💓💓
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Shkuran 😍😍😍😍😍😍😍
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
ooh Angel wetu jamanii,akafa na sura yote ile bana
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Team kuchelewa 💃
@evelyneakech26773 жыл бұрын
Nmbr 1 representing 254💃💃💃💃💃🥂
@happyoshea3 жыл бұрын
Maskini Angel 😭😭. Pole sana bwana misosi aka Srila
@oscarlemamaringo80813 жыл бұрын
Yes mwamba shukran umetupa namba
@winnyenockwinnyenock69863 жыл бұрын
Pole Sana mr zablon chifu kikalo kwakweli umepitia mangumu Sana sisi tupo uarabuni tutakuwezesha tu usjl inshallah tumepara ni ya wsap tutaongea
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
Zablon imani yako umeijenga ktk Mizizi, lkn kufanya biashara bila ndumba inawezekana. Pia kutoa zaka na Sadaka ni lazima utoe, kwani usipotoa kanisani utapeleka tu lazima kwa Waganga.
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Duuu kivuliweeeeeee yani mitihani kwahiyo sahii uko full shadow😄😄😂😂😂😂
@charlesmapunda59053 жыл бұрын
Duu hiki kivuli navyo kichunga kila nikiamka lazima nikasimame juani nikicheki kama kipo japo hiki cha kawaida kisije kusepa,😂😂😂😂😂
@nurafedrick3783 жыл бұрын
@@charlesmapunda5905 😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wallah unanivunja mbavu chakawaida kiko ila hicho chamwilini ndounakuta mtu anaambiwa kaekwaa kwanywe chupa ndohiyo hiyo hali sasa kikitoka ndokinakutokea mwenyekivuli🤣🤣🤣hadi kieudishwee sahii ako full
@kawtharsaleh92293 жыл бұрын
Leo imecheleawa
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Pia mie
@rosecruiz43483 жыл бұрын
Davistar tupewe no ya marastar
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Duuu pole sana kupigwaa nasufuria kwamali yako wanawake wengine bn Ndomm sipendi nikieka sim kwamtu charger bila kuifungaa mana wengine hata hela huibaa nasasa walikutumia SMS iliuonekane wwe jambazi waaa
@bisunmwamini69933 жыл бұрын
Jamaa story yake nzuri lakini hualisia wake mdogo!mambo mengi amejiongeza!!!
@halimaabduli5623 жыл бұрын
Dah story nzuri sanaa nafatilia mwanzo mwisho Davista plz naomba namba
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
26:19 jamaa hataki kuzungumzia misosi!!!!!!!!🌟
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Mambo yakubuni huwa sio xuri huyo mama nawanae yani afungwee tuu buree kisa Mali zako waaa pole sana mzee babaz
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
Mimi sikulaum Zabron, ila nalaumu wazazi,make ukizaliwa na mzazi akiwa ktk kitu anachokiamini na kukiweka mbele zaidi ya vingine na ww ni lazima utakuwa hvyo.