PART26:BINADAMU MWENYE ASILI YA JINI ALIEISHI GAMBOSHI YA UCHAWI/NAKULA WATU/NAISHI NA JINI/NILIKUF

  Рет қаралды 17,127

Davistar Mata Media

Davistar Mata Media

3 жыл бұрын

Пікірлер: 279
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 3 жыл бұрын
Gonga like kama unakubali kuwa zebron ndiyo anayeongoza kwa story ndefu kuliko wote walio hojiwa
@theunseen.believe5672
@theunseen.believe5672 3 жыл бұрын
Alafu pia stori yake inaburudisha sana
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
Hivi mwisho utakuwaje
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 жыл бұрын
wanaosema a man behind the camera anapaswa kupigwa makofi gongeni likes hapa
@deelissa2746
@deelissa2746 3 жыл бұрын
Yupo sawa SEMA Kaka ako ndio anaangaika tu 🤸
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
@@deelissa2746 😅
@mickeytv3691
@mickeytv3691 3 жыл бұрын
Wa 16 jamn npen ata like
@sultanaswaleh4708
@sultanaswaleh4708 3 жыл бұрын
Kuregeshewa kivuli NA hiriizi misuko suko imeisha,,Sasa ni srori,za raha😁😁😁
@dotosalim5090
@dotosalim5090 3 жыл бұрын
😄😄
@deelissa2746
@deelissa2746 3 жыл бұрын
Kwani amesharudishiwa🙄
@carolinewanza2648
@carolinewanza2648 3 жыл бұрын
😅😅😅😅🙌🙌🙌
@Teacher_01
@Teacher_01 3 жыл бұрын
Alikuwa ameolewaa.....alikuwa ana mzee hahaha davista ww hatari sanaa wamama watakunyooshaa 😂😂😂😂😂
@zennahenry5953
@zennahenry5953 3 жыл бұрын
Yaan we kaka hongera Sana mapito yote ulopitia lakini hujawai kata tamaa
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 3 жыл бұрын
Sasa Zabron. Je, unapofanikiwa unampa support Chacha? Yafaa ungempa hata mtaji yule. Alikuokoa sana yule Chacha
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 жыл бұрын
Mi naona alimsahau kabisa maana hata wakati alimfukuza akaenda kufungua duka hakumkumbuka
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Wacha tusikize coz chacha anamdai 350k hope alimlipa nakama hakumlipa doh sio vizuri
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
@@user-me3ee4fu8w Husiombe yakakukuta!!!!!!!!!!!!🙄
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
@@shantellemwanakombo3703 Husiombe yakakukuta!!!😜🙄
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
@@shantellemwanakombo3703 Husiombe yakakukuta!!!😜🙄
@mariamripiti2137
@mariamripiti2137 3 жыл бұрын
Tangu Mr brown Davistar ahanze vipindi vyake hii Story ndo ya kwanza kucheka kila siku
@elizabethauma2260
@elizabethauma2260 3 жыл бұрын
Usi msau chacha aliokoa maisha yako,
@alexjos7625
@alexjos7625 3 жыл бұрын
Wenye upendo wa kihindi tujuane kwenye like
@zettyhassani2244
@zettyhassani2244 3 жыл бұрын
Daah leo nimecheka aiseee bonge la move
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 3 жыл бұрын
Devistar mchokozi et alikua anamume ???🤣🤣🤣wakati hata kwa uyo mama hapajui😂😂😂😂😂😂
@asiasalim4634
@asiasalim4634 3 жыл бұрын
Saa tisa usiku from India 🇮🇳🇮🇳🇮🇳😁😁umetuweza davido 😀😀😀❤️🌹
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 жыл бұрын
ametuweza davido..hahaa
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 3 жыл бұрын
asalam alaykum kweli hii style ya utongozaji ya wakulya hapo ndipo nmechoka !! duh kunywa sumu !!!!!
@winnyenockwinnyenock6986
@winnyenockwinnyenock6986 3 жыл бұрын
Ahahahaaaa zabloni acha utani na kifo eti sumu jamani mapenzi shikamoo MARAHABa😂😂😂😂
@babyboss2886
@babyboss2886 3 жыл бұрын
Top 100 wapi likes from Qatar nafuatilia Sana ila 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mwajiranimesalimu5509
@mwajiranimesalimu5509 3 жыл бұрын
tuko pamoja
@carolinewanza2648
@carolinewanza2648 3 жыл бұрын
💪💪💪💪
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
Pamoja
@MohamadHamza-hb2qv
@MohamadHamza-hb2qv Ай бұрын
Tunapata vyema
@asiaside9558
@asiaside9558 3 жыл бұрын
Zabron usimsahau chacha
@sheikhabdallahiddi3350
@sheikhabdallahiddi3350 3 жыл бұрын
Allah amekyjalia fahamu nzuri. Mshukuru saana Allah
@petermwantole9433
@petermwantole9433 3 жыл бұрын
walioshtukia hapo n Kamanga Ferry -Mwanza tujuane
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Unachekesha eti unamlazimisha bint akupende😄😄😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wapenxi yakulazimisha wapi nawapi jamani
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 жыл бұрын
Una coment na hujamaliza kutazama
@highnesseverest3619
@highnesseverest3619 3 жыл бұрын
Ahsante sana Davistar pamoja na Zablon
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 жыл бұрын
Zabron bwana ukapata pesa ukaacha kufanya maendeleo na kusaidia wazazi ukaanza kula bata 😆
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
Madhara ya kukosa kivuli😆😆😆😜😜🤸🤸🤸
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 😆😅
@mbarikiwambarikiwa3988
@mbarikiwambarikiwa3988 3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 kivuli alishaludishiwa.
@acruxe5810
@acruxe5810 3 жыл бұрын
@@abbyadams8691 kukosa kivuli utajuaje ?
@hancymachibbula4355
@hancymachibbula4355 3 жыл бұрын
Zabron una moyo wa upendo sana yule Okelo asingestahil kuendelea kuwepo mpk sasa kwa mabaya aliyokufanyia alitakiwa atendewe kama alivyokutendea.
@IANA2030
@IANA2030 3 жыл бұрын
🤣🤣😂 ni omera👆🏿
@hancymachibbula4355
@hancymachibbula4355 3 жыл бұрын
@@IANA2030 😆😆😆 nilisahau kidg
@sallo27.70
@sallo27.70 3 жыл бұрын
Mmmmmh.! Huyo Binti Wa Hindi. Kakuvuruga.
@sapnaabdallah1084
@sapnaabdallah1084 3 жыл бұрын
Wa 175 naombeni like zenu
@merycharles2707
@merycharles2707 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣dav et keshaanza kuchanganyikiwa kama zaman
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 жыл бұрын
leo tumengogana vichwa hapa😁😁😁😁😁💣💣💣💣💺💺🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@happykajeli5453
@happykajeli5453 3 жыл бұрын
Cheef we hatariiiii ila usingekutana na changamoto kukurudisha nyuma ungekuwa tajiri mkubwa unajitahidi kupambana hukati tamaa harafu huchagui kazi
@happynesskimt6249
@happynesskimt6249 2 жыл бұрын
Sana🤝🤝🤴
@ibucwayves8440
@ibucwayves8440 3 жыл бұрын
Sema point tu.
@dearlaviee4051
@dearlaviee4051 3 жыл бұрын
Nice Niko rada sanaaa😘😘😍😍😍😍
@griezmannmhalaka4338
@griezmannmhalaka4338 3 жыл бұрын
Davista ynapenda sana wamama wewe
@susankomu8978
@susankomu8978 3 жыл бұрын
True
@mariammgombayeka1824
@mariammgombayeka1824 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂like zenu wa 13 leoooo
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 жыл бұрын
sema kingne tena kama nikuja inbobo sie tunakusiklza tu mama..hta ukituambia tutembee kwa magoti. ..😅😅😅
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@omaryramadhan2866
@omaryramadhan2866 3 жыл бұрын
😂😂😂 akazunguka hviiiii...akanipiga bonge ya roba!!
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 2 жыл бұрын
"mwili unaonyesha ushirikiano" hehe nice
@alexjos7625
@alexjos7625 3 жыл бұрын
Tunaojipitisha mbele ya demu gonga like
@theunseen.believe5672
@theunseen.believe5672 3 жыл бұрын
Nimekuwahi Leo😀
@geraldrobert1801
@geraldrobert1801 3 жыл бұрын
Nakukumbusha tu, wakati wote wa mchakato wa uchaguzi hatukuwa na Internet, hatukuwa na uhuru wa kuchagua, na bado hata sasa hatuna uhuru na usawa wa kupata au kuripoti habari. Ahsante
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 жыл бұрын
Da vista unapenda majimama
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
ZABRON UNAKUMBUKUMBU NYINGI SANA MUNGU AKUTANGULIE!!!!!!!!!!
@matthewjohn5108
@matthewjohn5108 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Zabron leo umenichekesha sana, Hapo umenifurahisha, wanawake wa kihindi au waarabu wanazinguka sana.
@avierastevens5141
@avierastevens5141 3 жыл бұрын
Chief gikarooo eti nitajiuwaaa Leo nimecheka
@aliaalooya3896
@aliaalooya3896 3 жыл бұрын
Jmn mapenz haya mwenyewe🤣🤣
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 жыл бұрын
jamaa anamuulza hapo ulikua una akil ya kawaida au uliku umeshaanza kuchanganyikiwa..😂😂😂😂
@oneclick2023
@oneclick2023 3 жыл бұрын
Zabu kaoza kwa toto la kiarab 😅,Ila kana ruka viunzi🛀🛀😌😌 #TeamZabu#TeamZabuMadiko 🍝🍜 Sema Bwana Zabu nilicho note kukata tamaa kwako Ni mwiko ,Big up Zabu.😌 Mr.Fact# DM
@maryamumapenzi1257
@maryamumapenzi1257 3 жыл бұрын
Hii story tamu sana
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
Wamama WA Magomeni Manazingua! Kwann MNALAZIMISHA NILALE KWENU😜 MNATAKA KUNIBEMENDA🙄😜🤣
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
😄😄😄😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂zabron somehow comedian, eti najisikia kufa huku nakuona 😂😂😂😂😂 chezea penzi wewe 😜❤🇨🇭
@alexjos7625
@alexjos7625 3 жыл бұрын
Aliyempa demu cd na card gonga like
@aminsalimali793
@aminsalimali793 3 жыл бұрын
Ubarikiwe davistar
@beatricekweka6683
@beatricekweka6683 3 жыл бұрын
Good night..🤞🤞
@jamesngalijah3710
@jamesngalijah3710 3 жыл бұрын
Jamaa ananikumbusha mbali sanaaaa kweny nguo hapo
@titinmbega4128
@titinmbega4128 3 жыл бұрын
Waah aki 😂😂sema kupenda🙈
@wantangosaimon5295
@wantangosaimon5295 3 жыл бұрын
Aaah huyo mama duh au ile hilizi ndo maana mama alimuangalia kwa mahabati
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kujiuwa tena duh😂😂😂😂😂
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 жыл бұрын
🤔
@rosekyule3163
@rosekyule3163 3 жыл бұрын
safi Sana
@mtanzaniatz3346
@mtanzaniatz3346 3 жыл бұрын
Davista naomba unisaidie kumuuliza zablon kwamba mtu atajuaje kuwa hana kimvuli atupe dalili usije ukakuta na sisi tunatembea bila kivuli
@salmasalma8203
@salmasalma8203 3 жыл бұрын
😀😀😀 dvstr noma snaaa
@jesusismyking5292
@jesusismyking5292 3 жыл бұрын
Number 1 tena
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄😄wateja wanashidaa kuvaa kutoa anaezajaribishaa shati kumi lkn anachukuwa moja AMA amaasichukue kabisaa😄😄😄😂😂😂😂😂mm pia sipendi
@omaryramadhan2866
@omaryramadhan2866 3 жыл бұрын
Goodnght all of u!
@susannyamwitha1354
@susannyamwitha1354 3 жыл бұрын
Hahaa hahaa, davista Leo nakufa kicheko, mapenzi kweli ya Tisha kweli, zaburon huendi kwa wazazi vile ulipata hera
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Watoto wa dar es salam kweli walio wengi hawanaeshima aisee... Heshima ni silaha kubwa
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 3 жыл бұрын
Yani hiyo scene nakupa mwezi utazikuta bongo movie si unajua walivyo mazoba baadhi yao kwa kuiga
@hamphreymlelwa289
@hamphreymlelwa289 3 жыл бұрын
Big up davsta
@judiehance1736
@judiehance1736 3 жыл бұрын
Kweli mapenzi yana endesha dunia,,yaani hakuwaza kunywa sumu enzi zile za Gamboshi, anakuja kunywa sumu juu ya demu🤔🤔🤔
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 3 жыл бұрын
Amkeniiiiii tayari huku
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 жыл бұрын
jaman mukue mnasinzia..manaake tunadhalalishana sasa. haiwezekan kila watu tukijitahd tunakuta watu 90 tayar
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 3 жыл бұрын
Yap
@chollogangstar3183
@chollogangstar3183 3 жыл бұрын
Davistar mtoto wa juzi ajui zizle jeans
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 жыл бұрын
23:38 daaah Husiombe yakukute!!!!🙄🤗😜🙄
@nawalabdula1623
@nawalabdula1623 3 жыл бұрын
Kupenda kwel ugonjwa
@honestema
@honestema 3 жыл бұрын
mngekuwa mnapiga na bites wakati anasimulia maana tunamuona msimuliaji anapiga mihayo kweli
@reubenlameck6225
@reubenlameck6225 3 жыл бұрын
🔥🔥
@nurudaud3993
@nurudaud3993 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂daaa kwenye kujiua hapo zabron daaa 😅😅😅
@fatmaalrshdii7615
@fatmaalrshdii7615 3 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo
@roseuwambe8089
@roseuwambe8089 3 жыл бұрын
Stori inaendelea mbaka tutafka nayo 2021😂😅
@latifajanja2375
@latifajanja2375 3 жыл бұрын
Yaan mmenifanya nikae mpka saa 9 za usiku naskiliza story ya huyu kaka jmn😤
@guddannaika9778
@guddannaika9778 3 жыл бұрын
Latifa janja 🤣🤣🤣 pole tuko wote et
@latifajanja2375
@latifajanja2375 3 жыл бұрын
@@guddannaika9778 😂😂😂pole na ww
@titinmbega4128
@titinmbega4128 3 жыл бұрын
Aki cjacheka kama leo waah Zablon😂😂😂😂😂
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Ati ukule sumu Mimi nimecheka sana😅😅😅yani wewe ulipitaa mpaka gambosh
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
Story imefika penyewe ninapopapendaga,ngoja nisogee siti ya mbele.🙉🙉😜😜😜🤸🤸🤸
@jjrussell081
@jjrussell081 3 жыл бұрын
Pamoja sana
@gilbertybahati1614
@gilbertybahati1614 3 жыл бұрын
hiki kipande nmecheka sana aisee
@umbeaeastafrica7943
@umbeaeastafrica7943 3 жыл бұрын
Mi mama yeyote yule akinikaribishaga kwake sitojivunga. Naendaga na sitakataaga chochote kile atakachoniambiaga hata kama ni kwenda kumsaidia kumsuguaga mgongo bafuni. Naenda tu. Wamama wanamahitaji mengi hata wawe na hela nyingi kiasi gani.
@apolinemalungano9155
@apolinemalungano9155 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣huyu jama ana stori Sana
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 3 жыл бұрын
Jamani huyu jamaa Sija msikia ametuma Pesa kwa mamake wala kwa rafiki yake Chacha.
@juriayasri2933
@juriayasri2933 3 жыл бұрын
Kaka ana story uyu kha haiishi😆😆
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
Tatizo hana kivuli 😆😆😆🙉🙉🤸🤸🤸
@angelmilele4730
@angelmilele4730 3 жыл бұрын
One love 💜💜
@seeboman3106
@seeboman3106 3 жыл бұрын
Nzuri
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 3 жыл бұрын
Kwenye mwaka huna kumbukumbu nzuri
@rasjamal9854
@rasjamal9854 3 жыл бұрын
Cd no 36 Rnb na card nzuri, I love you ina wa kawaka, mbona kisu sikioni angel kakuletea kisu ujiuwe mwenyewe, chefu unazinguwa unajifanya utaki maziwa 😁😁😁
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 жыл бұрын
kuna mtu alikua mzinguaj hpo
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 жыл бұрын
Mbona mama anakazana uende kwake😄😄😄😄huku huna sim naunauzaa bidhaa zamaana hujui sim ndokila kitu
@nusaebahkeis6774
@nusaebahkeis6774 3 жыл бұрын
Zabroooon
@peninapenina4498
@peninapenina4498 3 жыл бұрын
Hahahahhh mapenzi ya zamani hayo
@bebebebe5677
@bebebebe5677 3 жыл бұрын
Yan hii part 26 ndo inafraisha duuh noma san
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 жыл бұрын
na mmeniumiza kichwa leo💣💣💣😁😁😁
@kelvindaudi6765
@kelvindaudi6765 3 жыл бұрын
Sawa kaka
@wantangosaimon5295
@wantangosaimon5295 3 жыл бұрын
Kweli mapenzi siasa hahahaa mpaka Zabron anabuni kujiua duh
@tamranadiya2962
@tamranadiya2962 3 жыл бұрын
Nani amesikia pamba nyepesi ndani ya pamba nyepesi
@christophersaimon4398
@christophersaimon4398 3 жыл бұрын
haa
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 9 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,1 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 194 МЛН
Inside Out Babies (Inside Out Animation)
00:21
FASH
Рет қаралды 15 МЛН
MAKAMBAKO YA SASA VS MAKAMBAKO TUNAYOITARAJIA
13:36
Makambakotc
Рет қаралды 9 М.
🔴LIVE : RIPOTI YA LEO SIMULIZI YA EDGAR  07  -  JUNE 18
51:33
EFM TANZANIA
Рет қаралды 9 М.
SADAKA NA FUNGU LA KUMI
48:56
RGC-TOANGOMA
Рет қаралды 19 М.
Waka Waka 😁 #funnyshorts #rianashow
0:14
RianaShow
Рет қаралды 27 МЛН