Tangu Mr brown Davistar ahanze vipindi vyake hii Story ndo ya kwanza kucheka kila siku
@elizabethauma22603 жыл бұрын
Usi msau chacha aliokoa maisha yako,
@alexjos76253 жыл бұрын
Wenye upendo wa kihindi tujuane kwenye like
@zettyhassani22443 жыл бұрын
Daah leo nimecheka aiseee bonge la move
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Devistar mchokozi et alikua anamume ???🤣🤣🤣wakati hata kwa uyo mama hapajui😂😂😂😂😂😂
@asiasalim46343 жыл бұрын
Saa tisa usiku from India 🇮🇳🇮🇳🇮🇳😁😁umetuweza davido 😀😀😀❤️🌹
@hamisimtemi38033 жыл бұрын
ametuweza davido..hahaa
@twaibumikidadi73773 жыл бұрын
asalam alaykum kweli hii style ya utongozaji ya wakulya hapo ndipo nmechoka !! duh kunywa sumu !!!!!
@winnyenockwinnyenock69863 жыл бұрын
Ahahahaaaa zabloni acha utani na kifo eti sumu jamani mapenzi shikamoo MARAHABa😂😂😂😂
@babyboss28863 жыл бұрын
Top 100 wapi likes from Qatar nafuatilia Sana ila 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mwajiranimesalimu55093 жыл бұрын
tuko pamoja
@carolinewanza26483 жыл бұрын
💪💪💪💪
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
Pamoja
@MohamadHamza-hb2qvАй бұрын
Tunapata vyema
@asiaside95583 жыл бұрын
Zabron usimsahau chacha
@sheikhabdallahiddi33503 жыл бұрын
Allah amekyjalia fahamu nzuri. Mshukuru saana Allah
@petermwantole94333 жыл бұрын
walioshtukia hapo n Kamanga Ferry -Mwanza tujuane
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Unachekesha eti unamlazimisha bint akupende😄😄😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣wapenxi yakulazimisha wapi nawapi jamani
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Una coment na hujamaliza kutazama
@highnesseverest36193 жыл бұрын
Ahsante sana Davistar pamoja na Zablon
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
Zabron bwana ukapata pesa ukaacha kufanya maendeleo na kusaidia wazazi ukaanza kula bata 😆
@abbyadams86913 жыл бұрын
Madhara ya kukosa kivuli😆😆😆😜😜🤸🤸🤸
@nakundwamkubwe78233 жыл бұрын
@@abbyadams8691 😆😅
@mbarikiwambarikiwa39883 жыл бұрын
@@abbyadams8691 kivuli alishaludishiwa.
@acruxe58103 жыл бұрын
@@abbyadams8691 kukosa kivuli utajuaje ?
@hancymachibbula43553 жыл бұрын
Zabron una moyo wa upendo sana yule Okelo asingestahil kuendelea kuwepo mpk sasa kwa mabaya aliyokufanyia alitakiwa atendewe kama alivyokutendea.
@IANA20303 жыл бұрын
🤣🤣😂 ni omera👆🏿
@hancymachibbula43553 жыл бұрын
@@IANA2030 😆😆😆 nilisahau kidg
@sallo27.703 жыл бұрын
Mmmmmh.! Huyo Binti Wa Hindi. Kakuvuruga.
@sapnaabdallah10843 жыл бұрын
Wa 175 naombeni like zenu
@merycharles27073 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣dav et keshaanza kuchanganyikiwa kama zaman
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
leo tumengogana vichwa hapa😁😁😁😁😁💣💣💣💣💺💺🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@happykajeli54533 жыл бұрын
Cheef we hatariiiii ila usingekutana na changamoto kukurudisha nyuma ungekuwa tajiri mkubwa unajitahidi kupambana hukati tamaa harafu huchagui kazi
@happynesskimt62492 жыл бұрын
Sana🤝🤝🤴
@ibucwayves84403 жыл бұрын
Sema point tu.
@dearlaviee40513 жыл бұрын
Nice Niko rada sanaaa😘😘😍😍😍😍
@griezmannmhalaka43383 жыл бұрын
Davista ynapenda sana wamama wewe
@susankomu89783 жыл бұрын
True
@mariammgombayeka18243 жыл бұрын
😂😂😂😂😂like zenu wa 13 leoooo
@hamisimtemi38033 жыл бұрын
sema kingne tena kama nikuja inbobo sie tunakusiklza tu mama..hta ukituambia tutembee kwa magoti. ..😅😅😅
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@omaryramadhan28663 жыл бұрын
😂😂😂 akazunguka hviiiii...akanipiga bonge ya roba!!
@kenyanniggar3572 жыл бұрын
"mwili unaonyesha ushirikiano" hehe nice
@alexjos76253 жыл бұрын
Tunaojipitisha mbele ya demu gonga like
@theunseen.believe56723 жыл бұрын
Nimekuwahi Leo😀
@geraldrobert18013 жыл бұрын
Nakukumbusha tu, wakati wote wa mchakato wa uchaguzi hatukuwa na Internet, hatukuwa na uhuru wa kuchagua, na bado hata sasa hatuna uhuru na usawa wa kupata au kuripoti habari. Ahsante
@hajiabdalla57723 жыл бұрын
Da vista unapenda majimama
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
ZABRON UNAKUMBUKUMBU NYINGI SANA MUNGU AKUTANGULIE!!!!!!!!!!
@matthewjohn51083 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Zabron leo umenichekesha sana, Hapo umenifurahisha, wanawake wa kihindi au waarabu wanazinguka sana.
@avierastevens51413 жыл бұрын
Chief gikarooo eti nitajiuwaaa Leo nimecheka
@aliaalooya38963 жыл бұрын
Jmn mapenz haya mwenyewe🤣🤣
@hamisimtemi38033 жыл бұрын
jamaa anamuulza hapo ulikua una akil ya kawaida au uliku umeshaanza kuchanganyikiwa..😂😂😂😂
@oneclick20233 жыл бұрын
Zabu kaoza kwa toto la kiarab 😅,Ila kana ruka viunzi🛀🛀😌😌 #TeamZabu#TeamZabuMadiko 🍝🍜 Sema Bwana Zabu nilicho note kukata tamaa kwako Ni mwiko ,Big up Zabu.😌 Mr.Fact# DM
@maryamumapenzi12573 жыл бұрын
Hii story tamu sana
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
Wamama WA Magomeni Manazingua! Kwann MNALAZIMISHA NILALE KWENU😜 MNATAKA KUNIBEMENDA🙄😜🤣
@nurafedrick3783 жыл бұрын
😄😄😄😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminanamoyo833 жыл бұрын
😂😂😂😂😂zabron somehow comedian, eti najisikia kufa huku nakuona 😂😂😂😂😂 chezea penzi wewe 😜❤🇨🇭
@alexjos76253 жыл бұрын
Aliyempa demu cd na card gonga like
@aminsalimali7933 жыл бұрын
Ubarikiwe davistar
@beatricekweka66833 жыл бұрын
Good night..🤞🤞
@jamesngalijah37103 жыл бұрын
Jamaa ananikumbusha mbali sanaaaa kweny nguo hapo
@titinmbega41283 жыл бұрын
Waah aki 😂😂sema kupenda🙈
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Aaah huyo mama duh au ile hilizi ndo maana mama alimuangalia kwa mahabati
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kujiuwa tena duh😂😂😂😂😂
@ayshamahariq66653 жыл бұрын
🤔
@rosekyule31633 жыл бұрын
safi Sana
@mtanzaniatz33463 жыл бұрын
Davista naomba unisaidie kumuuliza zablon kwamba mtu atajuaje kuwa hana kimvuli atupe dalili usije ukakuta na sisi tunatembea bila kivuli
@salmasalma82033 жыл бұрын
😀😀😀 dvstr noma snaaa
@jesusismyking52923 жыл бұрын
Number 1 tena
@nurafedrick3783 жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄😄wateja wanashidaa kuvaa kutoa anaezajaribishaa shati kumi lkn anachukuwa moja AMA amaasichukue kabisaa😄😄😄😂😂😂😂😂mm pia sipendi
@omaryramadhan28663 жыл бұрын
Goodnght all of u!
@susannyamwitha13543 жыл бұрын
Hahaa hahaa, davista Leo nakufa kicheko, mapenzi kweli ya Tisha kweli, zaburon huendi kwa wazazi vile ulipata hera
@Mpakauseme3 жыл бұрын
Watoto wa dar es salam kweli walio wengi hawanaeshima aisee... Heshima ni silaha kubwa
@mbwanakiting71803 жыл бұрын
Yani hiyo scene nakupa mwezi utazikuta bongo movie si unajua walivyo mazoba baadhi yao kwa kuiga
@hamphreymlelwa2893 жыл бұрын
Big up davsta
@judiehance17363 жыл бұрын
Kweli mapenzi yana endesha dunia,,yaani hakuwaza kunywa sumu enzi zile za Gamboshi, anakuja kunywa sumu juu ya demu🤔🤔🤔
@zaytunhijja67713 жыл бұрын
Amkeniiiiii tayari huku
@hamisimtemi38033 жыл бұрын
jaman mukue mnasinzia..manaake tunadhalalishana sasa. haiwezekan kila watu tukijitahd tunakuta watu 90 tayar
@gosbertmuta54213 жыл бұрын
Yap
@chollogangstar31833 жыл бұрын
Davistar mtoto wa juzi ajui zizle jeans
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
23:38 daaah Husiombe yakukute!!!!🙄🤗😜🙄
@nawalabdula16233 жыл бұрын
Kupenda kwel ugonjwa
@honestema3 жыл бұрын
mngekuwa mnapiga na bites wakati anasimulia maana tunamuona msimuliaji anapiga mihayo kweli
@reubenlameck62253 жыл бұрын
🔥🔥
@nurudaud39932 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂daaa kwenye kujiua hapo zabron daaa 😅😅😅
@fatmaalrshdii76153 жыл бұрын
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu wa ukweli ulipo Nipo
@roseuwambe80893 жыл бұрын
Stori inaendelea mbaka tutafka nayo 2021😂😅
@latifajanja23753 жыл бұрын
Yaan mmenifanya nikae mpka saa 9 za usiku naskiliza story ya huyu kaka jmn😤
@guddannaika97783 жыл бұрын
Latifa janja 🤣🤣🤣 pole tuko wote et
@latifajanja23753 жыл бұрын
@@guddannaika9778 😂😂😂pole na ww
@titinmbega41283 жыл бұрын
Aki cjacheka kama leo waah Zablon😂😂😂😂😂
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Ati ukule sumu Mimi nimecheka sana😅😅😅yani wewe ulipitaa mpaka gambosh
@abbyadams86913 жыл бұрын
Story imefika penyewe ninapopapendaga,ngoja nisogee siti ya mbele.🙉🙉😜😜😜🤸🤸🤸
@jjrussell0813 жыл бұрын
Pamoja sana
@gilbertybahati16143 жыл бұрын
hiki kipande nmecheka sana aisee
@umbeaeastafrica79433 жыл бұрын
Mi mama yeyote yule akinikaribishaga kwake sitojivunga. Naendaga na sitakataaga chochote kile atakachoniambiaga hata kama ni kwenda kumsaidia kumsuguaga mgongo bafuni. Naenda tu. Wamama wanamahitaji mengi hata wawe na hela nyingi kiasi gani.
@apolinemalungano91553 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣huyu jama ana stori Sana
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Jamani huyu jamaa Sija msikia ametuma Pesa kwa mamake wala kwa rafiki yake Chacha.
@juriayasri29333 жыл бұрын
Kaka ana story uyu kha haiishi😆😆
@abbyadams86913 жыл бұрын
Tatizo hana kivuli 😆😆😆🙉🙉🤸🤸🤸
@angelmilele47303 жыл бұрын
One love 💜💜
@seeboman31063 жыл бұрын
Nzuri
@mtzhalisi22323 жыл бұрын
Kwenye mwaka huna kumbukumbu nzuri
@rasjamal98543 жыл бұрын
Cd no 36 Rnb na card nzuri, I love you ina wa kawaka, mbona kisu sikioni angel kakuletea kisu ujiuwe mwenyewe, chefu unazinguwa unajifanya utaki maziwa 😁😁😁
@hamisimtemi38033 жыл бұрын
kuna mtu alikua mzinguaj hpo
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Mbona mama anakazana uende kwake😄😄😄😄huku huna sim naunauzaa bidhaa zamaana hujui sim ndokila kitu
@nusaebahkeis67743 жыл бұрын
Zabroooon
@peninapenina44983 жыл бұрын
Hahahahhh mapenzi ya zamani hayo
@bebebebe56773 жыл бұрын
Yan hii part 26 ndo inafraisha duuh noma san
@moreenmbatha11473 жыл бұрын
na mmeniumiza kichwa leo💣💣💣😁😁😁
@kelvindaudi67653 жыл бұрын
Sawa kaka
@wantangosaimon52953 жыл бұрын
Kweli mapenzi siasa hahahaa mpaka Zabron anabuni kujiua duh
@tamranadiya29623 жыл бұрын
Nani amesikia pamba nyepesi ndani ya pamba nyepesi