R.I.P Prof. NGOWI, HAUKUWA NA BAYA BABA, MAARIFA YAKO YALIWAFIKIA WENGI

  Рет қаралды 20,881

Ngowi TV

Ngowi TV

2 жыл бұрын

Uliifanya Ngowi TV kuwa jukwaa la maarifa hata kwa wanyonge

Пікірлер: 59
@johngibson3089
@johngibson3089 2 жыл бұрын
Mimi binafsi ni mfuatiliaji mzuri wa ngowi tv na makala za prof ngowi. Nimeumia sana moyoni mwangu kwa kifo chake. Huyu mtu ni prof wa tofauti sana ukilinganisha na wale wanaokimbilia kwenye siasa na kujikondesha ili wapate teuzi kwa kuwa hawana maarifa kama pro ngowi wakati ngowi anagawa maarifa kwa jamii buuuureee. Nawashauri maPROF wengine wote kupitia makala zake na watakuwa na cha kujifunza. RIP Pro NGOWI. You will always be missed
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Kwakeli kizuri huwa hakidumu. Mungu hujichukulia vyake vizuri mapema
@sitakija4161
@sitakija4161 Жыл бұрын
Siyo sili imeniuma sana bada ya kujuwa kuwa huyu mzee kaisha juga aseee inauma sana pole ntanzania titék kiujumra aseeeeha
@ambore610
@ambore610 2 жыл бұрын
Daaah nimeimia sana,pumzika kwa amani baba,nilitamani kukutana na ww siku moja😭😭😭😭
@ponsianaermandus5955
@ponsianaermandus5955 2 жыл бұрын
Daaaa lala Baba sina neno tumepoteza Mtu wa muhmu sana mara nyingine kwenye Taifa Letu,
@Coachsamwel
@Coachsamwel 2 жыл бұрын
So sad kwakwel😭😭😭 Alikuwa msomi mwenye akili na mapenzi mema kwa jamii yake.. Tunamshukuru Mungu kwa mazuri yake... Mungu akawe Faraja kwetu
@subirajohn728
@subirajohn728 2 жыл бұрын
Amina!
@mariammwamaso3984
@mariammwamaso3984 2 жыл бұрын
Duh! Nimeumia sn japo nilikua sikufaham, lkn nafuatilia TV yako ulikua mtu mwema sana. Ushaur wako umeanza kunijenga kwa namna flan hv. Pumzika kwa Aman Baba. Hakika chema hakidumu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@givennzunda340
@givennzunda340 2 жыл бұрын
Ulikua ni zaidi ya professor,. Uliutoa mda wako na nguvu zako kwa ajili ya kuleta chachu ya maendeleo kwa mtu mmoja mmoja na vijana kwa ujumla. R.i.p Dady
@3kumahiri867
@3kumahiri867 2 жыл бұрын
Dah! Apumzike kwa amani Professor🙏🙏
@martinahezron6450
@martinahezron6450 2 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la amani Prof. Ngowi. Ulitufundisha mengi tukiwa Mzumbe ikiwa ni pamoja na upendo mkubwa uliotuonesha
@pascalsamson4721
@pascalsamson4721 2 жыл бұрын
Daaaa inauma sanaaa
@musajoseph7933
@musajoseph7933 2 жыл бұрын
Nitakukumbuka sanaa mwalimu wangu wa uchumi, upumzike kwa amani!
@johnngowi2992
@johnngowi2992 2 жыл бұрын
Mungu ampunzishe kwa amani. Tumejifunza mengi kwake. ❤❤❤
@salomekense525
@salomekense525 2 жыл бұрын
Udongo unafaidi jamani. R.l.p.
@jumachanewstrends6899
@jumachanewstrends6899 2 жыл бұрын
Rip baba Nilipenda sanaaa motivator wako
@jacklinmasawe2697
@jacklinmasawe2697 2 жыл бұрын
Mpaka nimeliaaaaaa
@erickbitarohize1591
@erickbitarohize1591 2 жыл бұрын
Living legacy. Rest easy big Brain you'll always be missed
@maryr4033
@maryr4033 2 жыл бұрын
Rest in Peace Prof Ngowi. Think Tank Of Africa.
@allan3723
@allan3723 2 жыл бұрын
Tangulia kamanda.Wee mbele sisi nyuma
@rajabhussein7794
@rajabhussein7794 2 жыл бұрын
Nimelia Sana jamani prof ngowi duu
@isikesamike
@isikesamike 2 жыл бұрын
Rest easy Prof Ngowi 🙏
@elizabethkimbi3336
@elizabethkimbi3336 2 жыл бұрын
Kumbe ngowi ulikuwa unafanya kazi hizi pamoja na usomi wako may God rest your soul in peace
@innosenciajoseph9967
@innosenciajoseph9967 2 жыл бұрын
Tujifunze kutoka kwake. Kila fursa iliyo mbele yetu tuitumie ipasavyo!!
@jacquelineulotu5279
@jacquelineulotu5279 2 жыл бұрын
Rest in peace our beloved professor Ngowi 😭😭😭😭😭😭
@nedkatunge5702
@nedkatunge5702 2 жыл бұрын
Jamani serikali mtusaidie malori yanayobeba makonteina yatatumaliza wenye magari hayo huwa hayaziyafungi makonteina yao kwa kutokuyafunga makonteina hayo ili yakianguka yadianguke na gari ndo maana kila ukisikia konteina limeanguka gari haranguing serikali kuoitia training wayakamate magari hayo na kuzuiwa kufanya kazi.
@subirajohn728
@subirajohn728 2 жыл бұрын
R.i.p Profesa Ngowi!
@giftmangowi816
@giftmangowi816 2 жыл бұрын
Rest in Peace Professor🕯🕯
@davidndolela7758
@davidndolela7758 2 жыл бұрын
R.i.p papa tunaanzia tumboni kuelekea kaburini pumzika kwa amani ulikua mtu na nusu wewe😭😭😭😭
@tumsifumunuo2602
@tumsifumunuo2602 2 жыл бұрын
RIP PROF NGOWI. TILL WE MEET AGAIN
@mwanahawarajabu1837
@mwanahawarajabu1837 2 жыл бұрын
Huuyu alikua zaidi ya professor
@emmana07
@emmana07 2 жыл бұрын
Rest well Professor P. H. Ngowi.
@beatricetenywa4367
@beatricetenywa4367 2 жыл бұрын
Mmmh Jamani😭😭😭🙏
@emilinechitalasita6077
@emilinechitalasita6077 2 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Mpendwa wetu tutakukumbuka daima.prof.Ngowi
@lokindasamwel5305
@lokindasamwel5305 2 жыл бұрын
💔💔💔💔daaaaaah
@rosekishengere7258
@rosekishengere7258 2 жыл бұрын
PUMZIKA KWA AMANI PROF NGOWI TUTAKIKIMBUKA SANA KWA WEMA WAKO ULITIFUNDISHA TUKAWA IMARA NA SASA TUNATUMIA UJUZI ULIOTUFUNDISHA, PUMZIKA KWA AMANI.
@kayshanil9195
@kayshanil9195 2 жыл бұрын
R I P Prof......
@mwijagenelsoni357
@mwijagenelsoni357 2 жыл бұрын
RIP baba
@bonifacejohanes895
@bonifacejohanes895 2 жыл бұрын
Mtu mpole na asiye na makuu. Pumzika kwa amani
@mwanagwakyala3213
@mwanagwakyala3213 2 жыл бұрын
R.I.p mzee
@sublimemedia2795
@sublimemedia2795 2 жыл бұрын
Too Sad 🥺
@daudimasui3806
@daudimasui3806 2 жыл бұрын
RIP Prof.
@edwardmwampaka8320
@edwardmwampaka8320 2 жыл бұрын
Brother Aidan hii ni kama bado nipo kwa ndoto...
@daudiaidani3860
@daudiaidani3860 2 жыл бұрын
Ni kweli kaka na ataagwa pale Karimjee siku ya alhamis
@edwardmwampaka8320
@edwardmwampaka8320 2 жыл бұрын
@@daudiaidani3860 Nashukuru kwa taarifa brother
@wingodsiyao7658
@wingodsiyao7658 2 жыл бұрын
Rest in Peace Professor. Your LEGACY will live forever
@veronicatemba7683
@veronicatemba7683 2 жыл бұрын
Rest in peace ngowi
@joycengai6669
@joycengai6669 2 жыл бұрын
Mmmh,kweli haupo????
@shawejimnipera2937
@shawejimnipera2937 2 жыл бұрын
R. I.P
@veronicaromwald8311
@veronicaromwald8311 2 жыл бұрын
Huzuni Kubwa 😥
@omarhamad9489
@omarhamad9489 2 жыл бұрын
Dah hapa tume poteza ila ndio hatma ya mwana adamu
@jobmaclean5382
@jobmaclean5382 2 жыл бұрын
Kiukweli alikuwa ni MTU anayesikiliza mawazo ya MTU bila kujali ukubwa na udogo wa MTU mwenyewe
@frankdionis7700
@frankdionis7700 2 жыл бұрын
Du yaani jamaa amewagusa wanyonge wengi Mimi huwa naonana naye sana akija Zanzibar huwa namuendesha Sana😭😭😭
@michaelmandia4405
@michaelmandia4405 2 жыл бұрын
Yaaah
@frankdionis7700
@frankdionis7700 2 жыл бұрын
Kizuri hakidumu Mimi nilikua namuendesha Sana nikiwa Kama dereva wake akija kikazi huku Zanzibar huyu jamaa alikua ni zaidi ya professor
@kwizeraerick
@kwizeraerick Жыл бұрын
R.I.P profesor
@mwakalagotv711
@mwakalagotv711 2 жыл бұрын
Kila raheli umetuachia hazina kubwa ya elimu isiyofundishwa shule
@phiniasoyugi4850
@phiniasoyugi4850 2 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman mentor
@ismailkatanga6611
@ismailkatanga6611 2 жыл бұрын
R.I.P
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 123 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
NINAPAMBANA NA WANAUME NA NINAWAKALISHA
13:29
Ngowi TV
Рет қаралды 275
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 123 МЛН